Kwakweli ichi kipindi kinamafunzo mazuri na nimekipenda sana kutokana na munavyo kiandaa pongezi sana kwa walioshiriki wote namungu awape uhmri mrefu natuburudike zaidi shukran.
Bujra ame act vile mwanaume anatakiwa kuwa kwa hali kama hii coz wakati madikodiko anakataa kumpa dadaake bujra , bujra amekaa kimya alipoondoka akamuuliza madikodiko sawia na dadaake madikodiko kumpa nduguye chakula
Haki hii n story ya kweli kbsaa yani hata cjui naota ama, kuumbe huwa mnafanya makusudi na kujifanya wakali mnapo ulizwa ukweliii oooh nimejua leo mtakoma round hii 😂😂😂😂 hongereni sana kwa Kutuchanua akili
😭😭yani mm hivi nmepitia hadi nmeona nikalia , mungu zidi kuibariki kazi ya mikono yangu
Ubunifu ❤❤inaelimisha big up👏
Saana asaa Kwa kweli
SubhanaAllah kwli yafanyika mtihani kwakwli😭😭
Burji ume feli yani kwenu kuoze kwa kina mke wakangee😂,
Anyway good lesson.
My amaizing team ❤❤❤😅😅😅😅Munajua sana
Wanaume tunafeli wapi lakini😂😂😂😂
Kwakweli ichi kipindi kinamafunzo mazuri na nimekipenda sana kutokana na munavyo kiandaa pongezi sana kwa walioshiriki wote namungu awape uhmri mrefu natuburudike zaidi shukran.
Duuuuuh jembe ungeingia jikoni uhakikishe banaaa kata stock, lakini uliweza mwisho mwisho
Waaah kam umeangalia hii n hujajifunza kitu pole yako Much love ❤❤
I love what am seeing
Hajafanya vizuri mama madikodiko Ana upendeleo jamani ...Bujra ungemvwatula vyo vyakurya ye shemegio kaanzadze kuonerana iko!!
Mhh mama ang hap tu umechensha hiyo ni roho mby et
Bujra ame act vile mwanaume anatakiwa kuwa kwa hali kama hii coz wakati madikodiko anakataa kumpa dadaake bujra , bujra amekaa kimya alipoondoka akamuuliza madikodiko sawia na dadaake madikodiko kumpa nduguye chakula
Unanyima ndugu ya mumeo ila dadko wampa...wanawake mashetan kweli
CREATIVITY ❤️😏
Mamako we waona wamaana na he huo aliekuzalia huyo mume je
Sad truth
Yafanyika haya kwa kweli
Wanawke wenyew Tabia hizi tuache kabisa jaman
Haki hii n story ya kweli kbsaa yani hata cjui naota ama, kuumbe huwa mnafanya makusudi na kujifanya wakali mnapo ulizwa ukweliii oooh nimejua leo mtakoma round hii 😂😂😂😂 hongereni sana kwa Kutuchanua akili
😅😅😅😅😅😅 nikweli yani ndg ya mume wanaumia sana
Creativity on 🔝
😂😂😂😂mama wapenda bwanako lakini mandugu zake unawabagua, nahiyo ndio tibia Sasa.
Mbali na kutufurahisha bali kuna na somo ndani yake
Ssi Wanawake Tutaenda Mbinguni Kma Tumechoka😢😢😢😢😢
Subhanallah Kuna watu wapo hivyo
😂😂😂 aiya wee
Kwani umeshindaje kumwambia mbele za dadake nakupunguza nusu vyende kwenu?
Lol😳
😂😂😂😂
😆😆😆😆
Jamani mke katili kweli
❤❤❤❤
Hii ni kali wifi yako umemnyima dadaako wampea ningekuwa bwana ningekichukua nikampelekea mama
@@hosnanassar8523 😂😂😂 hutaki mchezo
Pambeeee nzur
😢😢😢😢
😂😂