Wanaume wote tujifunze kwa huyu kaka amefanya jambo ambalo limenitoa machozi ameonesha uanaume wake na kuona ya kwamba mama ndo mwenye thamani kuliko chochote kile ❤❤❤
Wallah Allah ampe pepo kijana huyu *ANAEJITAMBUA* na wengine jifunzeni toka kwakwe, lakini Kuna Wanaume wengi tu ambao hufanya hivyo kwa wazazi na ndugu wa wake zao ila wanawake wengi kwa kuogopa kuachwa hawaliweki *WAZI* Jambo hili, nasi wanawake *TUAMKE* Tusiogope wala kuona haya kwa hili.
Hakika hili n funzo kuna wanawake wengi wanipenda waumezao lkn hawathamini mama aliemzalia mume ambayo n makosa sn. Mama n pepo ya mwanawe wakiume na mume n pepo ya mke tambueni hilo. N zaytoon kutoka saudia
Hapa ndio mimi sielewi kabisaaaaa yaani Hebu jamani nifahamisheni vizuurrrri wanaume wenzangu mama na mke nani anauma sana? 😂😢😮😅 hahahaha 😆 😂 🤣 hawa ndio wanawake sasa uwe na pesa baba yako amefariki na mirathi kazuwia mama mzazi ? ❤❤❤
Wanaume wote tujifunze kwa huyu kaka amefanya jambo ambalo limenitoa machozi ameonesha uanaume wake na kuona ya kwamba mama ndo mwenye thamani kuliko chochote kile ❤❤❤
Swadhakta sana
❤🎉 congratulations 👏 nimeona msimamo wa mtoto kwa mzazi na maamuzi ya hekma 🇧🇭🇰🇪
Mashaallah kaka umefanya jambo la maana sana huyo mkeo 🤣🤣 hata rudia tena ujinga kama huo
Safi san nimependa hii movies juu ya vijana wengi wamejisahau san kwa wazazi wao big up bujra
Wanatekwa sana
Mashallah mwanaume kama huyo hataki mchezo na mamake hongera kakangu kuwa shujaa
Kaka yangu umefauli mtihani wana me wengi wana shindwa kujuwa mama namkee mkubwa nimama mashaallah
Mimi nakubali sana maigizo nyenu zaidi ya icho kiswahili cha pwani aisee natamani siku moja nije nijitwalie mwali wakimombasa
Haya ndio maamuzi ya sawa yanayotakiwa kwa wandoa....hongera sana hakuna kama mama
Mafunzo mazuri sana.... mashaallah
Mzazi hana replacement, but mke,mume replacement ipo.
Kabisaaaa
Wanawake sie jamani tukifnya mchezo pepo tutaiskia mbali wallah
Nimaamuzi sahihi uliyachukuwa ndio vizuru kuwa jali wazee wanawake ni marafik wa muda mfupi kwet ahsante sana kijana Kwa maaaamuz sahihi
Hongera sana broo ww ndo mwanaume sasa siyule wakusikiza mke
Kazi safi ndugu 🎉
Wallah Allah ampe pepo kijana huyu *ANAEJITAMBUA* na wengine jifunzeni toka kwakwe, lakini Kuna Wanaume wengi tu ambao hufanya hivyo kwa wazazi na ndugu wa wake zao ila wanawake wengi kwa kuogopa kuachwa hawaliweki *WAZI* Jambo hili, nasi wanawake *TUAMKE* Tusiogope wala kuona haya kwa hili.
Safii sana mzeee wa busara wanawake wengi sahizi hawana heshima 🇧🇭🇧🇭
Kijana mwenye msimamo wengine hapo angeona mama Ake muongo anamsingizia Mkewe.
Kweli kabisa congrats kijana Bijra
@@فطومفاطمه-ش2و N kwel🤔
Kazi nzuri kaka mashallah dina na nzimo ino
Mashallah movie nzuri yamafunzo mwajua tena mwajua sanaaaa
mfano wa maisha mazuri tunayotakiwa kuishi , na mafanikio baadae yatakuja tu ❤❤
❤❤❤❤Tatizo shetani anapitia watu na haonekani kw kwel ibilisi unakaz kubwa xan dunia hii😂😂😂😂😂😂
Eti mumezoea makanju😂😂😂😂
😂😅😂
Safi sana kkngu bujra
Nalaiti wanaume wangelikuwa na msimamo kama huyu majumba yetu yangelikuwa na amani
Wallahi hii story imenitach big up mwanangu
👏👏sawa mzee wa busara
Kweli yamo vijijini pole mama
Maa shaa Allah 😍😍😍 muendelezo😍😍
Safisana uwondiwo msimamo wa mwana muumee siyo kuburuzwa
Mama Mishi nakupenda 😊😊
Mafunzo mema.
Hii ndio sanaa
Famasiaaala nn😂😂😂 talaka masihara nn maisha haya magumu😂😂😂
Mashaallah kaka ukovizuri
Aky kz nzuri kka bujra
Mkaza mwana amegeuka fastaa😂😂😂
MashaAllah...nimeipenda
Mimi ndo wakwanza kulike
SAFI kabisa...mama mkwe wamsemea hivyo
Lkn maskin mama hana tena furaha km alokujanayo mwanzo wanawakd wengine wabaya jamani
Nice movie
Mkaza mwana amegeuka fastaa😂
Content is good, lakini sanaa haijajitoshereza.
nimejifunzA kitu katika maisha yangu. Asanten sana🙏
Wadi go Hao sijui waongea vizuri
Jaman ivi SI wanawake tunapoolewa atujui kama hawa wanaume wanawazazi😌
Mashallah tujifunze jaman
Nimecheka sanaa🤣😂😎🤣😂
Wanawake mtihani
Makanju joined😂😂😂
Hakika hili n funzo kuna wanawake wengi wanipenda waumezao lkn hawathamini mama aliemzalia mume ambayo n makosa sn. Mama n pepo ya mwanawe wakiume na mume n pepo ya mke tambueni hilo. N zaytoon kutoka saudia
As, who, Familyyyy familiessss systems this the girl farhiasflower younger wife young women young madam on earthearthearth
Naomba kuigiza nami pia bujra
Mashallah.....
Maasha Allah chozi limenitoka
Talaka bro.. huyo sie wife.
Nani kama Mama katika hii Dunia tangu Enzi za Nabii Adam Mama ni mlezi wa jamii.. I love my mum also
Hakuna😍😍😍😍😍😍😍😍
Hakuna kama mama
Sio mchuzi 😅😅😅
MASHAHALLAH
Mayo ni mshamba bujira
Ela na nyie mamazenu tukiwaenzi twaishia machozi hawarudishi wema wanao fanyiwana wana wawenzao inlaws ishinao km majirani pitia km njia
Astaghafiruallah..... mchetu kataki kungungi😭
Hapa ndio mimi sielewi kabisaaaaa yaani Hebu jamani nifahamisheni vizuurrrri wanaume wenzangu mama na mke nani anauma sana? 😂😢😮😅 hahahaha 😆 😂 🤣 hawa ndio wanawake sasa uwe na pesa baba yako amefariki na mirathi kazuwia mama mzazi ? ❤❤❤
Mama ndio kila kitu hakuna mama wa pili mama ni mmoja tu lakin mwanamke unapata mwingine
Masha Allah ❤❤❤
Santha bujra😊❤😢
Masha Allah mafunzo mazuri
Huwondiwo msimamo wa mwanaumee
nduguzangu tujifunzeni kitu kupitia hii Video mama nikiungo muhimu kwenye maisha yetu
😭😭😭maskin maa 💔
Great work 🙏❤️
Mama ndio pepo ya dunia
Very emotional clip
😂😂😂😂😂😅😅😅😊😊😊
MashaAllah ❤
Ma sha Allah 💕😍😍
Ni elimu kwa wanawake wenye roho mbaya
Woooooow ❤❤
Shida hapo hao wake wa kuomba samahani, ndio hukosekana.
😮
Munafiki san mwamke ww eti mama unannn nyoo
Wanawake wengine tamaa na kupenda jamaa zao
Mashallahu ❤❤❤❤
Nice one ❤❤❤
Masha allah mmng uko sw
Mashallah❤❤
Manshallah
😢😢❤
Mashallah 🥰🥰🥰
😂😂😂😂a❤❤❤❤❤
😅😅😅😅😅😅😅😅 mama anashangaa nyumba mkwe kichambo😅😅😅 eti kunauzima kweli hapa
@@Kalssambabo-gv6uh 🤣🤣🤣🤣🤣
@@binthkhamis8042 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Subhanallaj
Nzuri
Mashallah ❤
Muendelezo uko. Wapi
Hawa watu c lblis mbona wasifanyie wa2 wa kwao. Vitimbi vyawafika watu wa kwa mume tu
Yap
Masha ALLAH
Mashaallah ❤🎉🎉🎉
🤣🤣🤣
Masha Allah
😃😃😃😃😃
Swafi
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😭😭😭😭