Shekh bujra Leo ibilisi amekuzidi nguvu wasema wangechelewa ulikuwa wachinja ng'ombe sio umle kabisa na maini yke,twafaa kuwa na nguvu ilishetani asitutawale mwilini mwetu huo mtihani mkubwa Sana kwa wenye ndoa,tuko pamoja sana watu wangu
Mafunzo mazuri sana mwanamke upaswi kumsifia mmeo mbele ya yeyote hiyo Siri yako nae ila skuhizi wanawake wamekosa midhamu wamekosa Siri .haipo Siri Tena atupe hekma Allah subhana wataala tujuwe yapi ya kuyaongea njee ili tulinde ndoa zetu inshallah 🤲🥺🙏
Shekh bujra Leo ibilisi amekuzidi nguvu wasema wangechelewa ulikuwa wachinja ng'ombe sio umle kabisa na maini yke,twafaa kuwa na nguvu ilishetani asitutawale mwilini mwetu huo mtihani mkubwa Sana kwa wenye ndoa,tuko pamoja sana watu wangu
Kuanzia Leo Sitaki urafiki nyumbani kwangu 😂😂 Urafiki uwe wa barabarani 😊
😂😂😂😂😂
Mafunzo mazuri sana mwanamke upaswi kumsifia mmeo mbele ya yeyote hiyo Siri yako nae ila skuhizi wanawake wamekosa midhamu wamekosa Siri .haipo Siri Tena atupe hekma Allah subhana wataala tujuwe yapi ya kuyaongea njee ili tulinde ndoa zetu inshallah 🤲🥺🙏
Ameen
Eeeh huo mtihani si wakufaulu kabisa,ni wa kufeli tu moja kwa moja 😂
Mmedona huyu mashaaAllah nlimpeza mda
Lesson nzuri sana congratulations my guys
Haya ni kweli walahi hakuna rafiki mzuri
😂😂😂😂😂😂uliambiwa ukakana Beka angalia kwa macho rafiki rafikio funzo kwa wengine wanao tabia wacha weee😅😅😅😂😂😂😂dole
Halooo haloooo ni tajuwa miye
Kweli kabisa urafiki barabarani
Bujra jamani na mi naomba kuigiza napenda sana MashaAllah
Hongera mama umeweza
Jongo alikuwa Hana macho ukamwazima
❤mpokonye sifazote hizo usichelewe❤❤❤😂😅
Mavya nakupenda ❤ niozeshe mwanako wamwisho
Mwanawe wa mwisho ni bekah ruga😂😂😂
😂😂😂😂😅😅😅😊😊@@nurianaramadhan
Wah wah wah jamani walikuwa wachelewe kidogo mambo yangekuwa sawiya kabsa😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂rafiki huyo
Mama vyaa nimekupenda tuu sana kwa ushauri wako
Madikodiko wa mtoa mumeo mwenyewe 😅😅
Makubwa.mambo.ya.meanza😂😂😂😂
Mashallah, kweli mke na mume mambo yao ni yao tu
Mamkweeee Jamani mashaAllaah ❤
❤❤❤ leo w kwanza hpa
Umeona madiko mume alikua bdo kidgo tuu ungechelewa ww😂😂😂😂😂😂
Bujra wasema wangechelewa kidogo sio😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ama kweli nimeamini kikulacho kinguoni mwako
Bibi mkaza choka hongera bibi mumgu akujalie kipaji chako
Maa Shaa Allah,mama mkwe hongera❤
😂😂😂😂😂😂mwana kulitafuta mwana kulipata
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nawapenda bure ❤❤❤
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nawapenda from uk 🇬🇧
Mafunzo mazuri sana 😂😂😂😂😂 madikodikoo😂😂😂😂
Rafiki mnafiki nimejifunza kitu😂😂
🎉🎉🎉wah... what about
Ilikuwa bdo kiduchu upindue serekali 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nimejifunza kitu humu wacha kusifia mume tu hata maisha yako unayo ishi mazuri
Mzee bujra unawaambia lakini mumewahi kuja😂😂😂
😅😅😅😅😅
Kitakuraba ww madikodiko na uyoo na shonga wako😢
Sitaki marafiki nyumbani kwang😂😂😂😂😂😂😂
Bujira usifeli mitihani utamuuwa madikodiko😂😂😂
Siri ya mtungi aijue kata pekee usifanye kichwa pia kikajua
😂😂😂😂😂madikodiko utakoma peana sifa za mumewe kwa rafiki
Hiyo ndio kindaki ndaki,wamsifia mgema kugema pombe uliyataka mwenyewe madikodiko 😂😂😂😂.
Hizo pesa mkatoe sadaka huko
Leo hakuna matikiki😂😂😂
Hahaha kidogo tuuu apewa cucumber 😂😂
Mambo ya tango vimemkifu vibamia 😂😂😂😂😂
Mafunzo mazur jamani
Wacha wee 😂😂😂
Kimekuramba madikodiko❤❤❤
Bujra ati "mlikua mchelewe kidogo tu"😂😂😂😂
Tobaah, pole pole, mkono na paja
Madikodiko kimemramba leo😂😂
Asanteni kwa mafunzo mazuri❤❤
Rafiki namkaribisha kwangu kamamume kasafiri 😂😂
😂😂😂😂rafiki kindakindaki amekuwa handaki
Rafiki Kindakindaki😂😂😂
Ilibidi wachelewe kidogo
Koma rafiki😂😂
Mama sidi❤❤
Hahaaaaaa🎉🎉🎉🎉❤❤❤😂😂😂😂
😂😂😂😂😂mamkweeeè🎉🎉🎉
😂😂😂 Madikodiko wewe sema yote bujra aja twaliwa ulie peke yako.
Toba ilikua bado kidgo tu😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Rafiki mnafiki pole pole madikodiko 🤦♀️
Madikodiko sbr kikurambe mama 😂😂😂
😂😂😂😂😅😅😅😅😊😊😊
🎉🎉🎉😂😂😂
Cameraman bwana hutuliii
❤🔥🔥🔥🔥
Kindakindaki😂😂😂😢😢
Rafik bas🙌😂😂😂
Ata mjirani wakiona tu bali na rafiki
😂😂😂😂shoga ninyoka
Medona zuberi umepatia😅
😂😂😂
😂😂😂😂kula chuma hicho madiko diko
Keep it up😂
Mume hasifiwi kw marafiki
😂😂😂😂
😅😅😅
Shkamoohoo mavyaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂❤
Madikodiko!
😂
Hila mamadikodiko hicho kipini cha puwa chako sio staly yako kabisa ni manbo ya vijana nawe uko kio cha jaami wafunza jaami kwenye kazi zako
Kwani kina maana mpaka unasema hivyo mm naona niurembo tu kwa mtu yeyote ama chatukana niambie hata mm nijue manake bas ju mm naona niurembo tu
Urembo pia unatizama na umri wako la sivyo vinakushusha thamani kimtizamo
@@CrsAlzaidurembo na umri..kuna umri ukifikia kuna vitu unaachia wajukuu na wanaoo
Mmh jaman kipini Cha pua kina umri ndo nasikia kwako😂😂😂
Vipin vyasikuhizi sivyema kama ngombe alie tiwa kamba si heshima kwa mtu mzima
Jongo alikuwa Hana macho ukamwazima
😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂