Wamenifukuza CCM lakini hawawezi kuuchukuwa uzalendo wangu kwa Zanzibar - Mzee Moyo

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 ส.ค. 2020
  • Miaka mitano iliyopita, Mzee Hassan Nassor Moyo alifukuzwa kutoka chama chake alichodumu nacho muda mrefu cha CCM kwa shutuma za kukiuka misingi ya chama hicho. Mwenyewe aliiambia Sauti ya Ujerumani ya Deutsche Welle kwamba hajali na angeliendelea kukisimamia alichokuwa akikiamini ambacho ni Maridhiano ya Wazanzibari, Muungano wa Serikali Tatu, na Zanzibar yenye mamlaka yake.

ความคิดเห็น • 58

  • @AP-uk3mq
    @AP-uk3mq 3 ปีที่แล้ว +11

    Allah akupe Qauli thabit Mzee wetu. Akusameh makosa yako

  • @zanlec7357
    @zanlec7357 ปีที่แล้ว +1

    Allah atie nuor Njema kwenye Kaburi lako, na manukato mazuri ya neema, na akujaalie pepo siku ya mwisho

  • @MsanangoMwalabu-rx1oo
    @MsanangoMwalabu-rx1oo 7 หลายเดือนก่อน

    Mzee mshukuru mungu kukumbusha usiondoke dunian na DOA LA dhuruma na ukandamizaji haki za wananchi

  • @Time-ev3dw
    @Time-ev3dw 2 หลายเดือนก่อน

    Alla akurehem mzee wet hakika uliipambania nchi yet na hukuyumba wao ni madalali wa nchi yet kwa uwezo wa Alla hawatafanikiwa

  • @pandungozi1072
    @pandungozi1072 3 ปีที่แล้ว

    Allaah akughufirie dhambi zaka na akulaze pahala pema peponi but tumeondokewa na mzee wetu mwenye msimamo mkali,fikra na busara kubwa kwa wazanzibarii🙏

  • @albassambakili3757
    @albassambakili3757 3 ปีที่แล้ว +1

    Mzee moyoo Allah akusamehe madhambi yko

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 3 ปีที่แล้ว +3

    Allah akustiri mzee wetu.
    Amin.

  • @talibally8743
    @talibally8743 3 ปีที่แล้ว +2

    Allah akupe kauli thabit n akuingiz peponi kw rehma za Allah... Ww unaipnd nchi yk n wtu wko huu ndio uislm unvotkiwa n hii ndio dini y kweli... Unambiw uwpend waislm wenzio kuliko unvo ipnd nafsi yk.. Mm nkuombea dua ya rabbi mpe pepo mj wko kw rehma zako apokelew kw mikono miwili n kitbu chko upew kw mkon w kulia... Amin.... Zanzibar asa hv tun dhulumiwa cc n cc viongz wn lion hli lkn wnfny hv Sbb wnaon jion wnpt kil kit cc wchn nd tunumia

    • @rehemamost444
      @rehemamost444 3 ปีที่แล้ว

      Dini yakweli , unapenda binadamy wote sio waisilamu wenziio Tu,

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 3 ปีที่แล้ว

      @@rehemamost444, Uisilam ni dini ya kweli na haq. Na ndio mana Allah akaeka wazi mapenzi ya imani, ya udugu na ubinaadamu. Uisilam umetufunza kupenda waisilam wenzetu, kupenda wanaadamu wote kiujumla, nakuwapenda ahli zetu. Na uisilam hauna kosa kusema mpende muisilam mwenzio kuliko unavyoipenda nafs yako mana nyote ni waimani moja. Akifa leo hatatoka wa dini nyengine akaja akamzika.

  • @masoudyrashidy9041
    @masoudyrashidy9041 3 ปีที่แล้ว +2

    Babu yangu mungu akuvishe taji la peponi

  • @abdulfirst_pilot
    @abdulfirst_pilot 3 ปีที่แล้ว

    Mungua ailaze roho ya mzee moyo mahali pema peponi amini kiukwelii wazanzibar wata kukumbuka sana kwa msimamo wako na kuitakia mema zanzibar pia

  • @amarbinswaleh4293
    @amarbinswaleh4293 3 ปีที่แล้ว +3

    Inasubiriw ukasitiriwe kwenje njumba yako ya Miller Mungu akulaze mahala pema peponi Amin

  • @maikosaga3632
    @maikosaga3632 3 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akulaze mahali pema peponi mzee wetu mwema amiin

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 3 ปีที่แล้ว +6

    Innalillahi Wainna Ilayhii Rajiuun

  • @alialibablly7010
    @alialibablly7010 3 ปีที่แล้ว +6

    Uchungu wa zanzibar aujua mwana zanzibar alie kinae

  • @salimmawiya6473
    @salimmawiya6473 3 ปีที่แล้ว +2

    Mzee Wangu umeonesha juhudi yako kwa Zanzibar

  • @aybkham5795
    @aybkham5795 3 ปีที่แล้ว

    ALLAH amped mzee Hassan Nassoro Moyo Makazi mema peponi, Aameen

    • @AP-uk3mq
      @AP-uk3mq 3 ปีที่แล้ว

      Ameen

  • @fatmas7338
    @fatmas7338 3 ปีที่แล้ว +1

    Allah akupe qaul thabit mzee wetu

  • @rukky4169
    @rukky4169 3 ปีที่แล้ว

    Allah a kurehemu na akusameh makosa yako ww na jamii muslimiin

  • @amarbinswaleh4293
    @amarbinswaleh4293 3 ปีที่แล้ว +9

    Mung akulaze pema peponi

  • @alisaid1204
    @alisaid1204 3 ปีที่แล้ว +2

    Ewe Mola wa Arshi tukufu msamehe mzee Moyo na wazee wetu walo kwisha tangulia na uwaingize katika jannat l-firdaws.

    • @AP-uk3mq
      @AP-uk3mq 3 ปีที่แล้ว +1

      Ameen

    • @ahmedkhamis9539
      @ahmedkhamis9539 3 ปีที่แล้ว +1

      Allah amrehemu mzee wetu amsamehe makosa yake

    • @rehemamost444
      @rehemamost444 3 ปีที่แล้ว

      Kama Tanzania inanuka maovu, usingeishi, nenda hapo Somalia Tu, ukaishi harafu ndo utajua Tanzania viongoz wetu wananukia Aman,

    • @mohammedhamad9392
      @mohammedhamad9392 3 ปีที่แล้ว

      @@rehemamost444 Zanzibar kwanzaaaa

  • @muhiddinjamhour910
    @muhiddinjamhour910 3 ปีที่แล้ว +6

    انا لله وانا اليه راجعون
    الله يرحمه ويغفر له

    • @kingelkindy2920
      @kingelkindy2920 3 ปีที่แล้ว

      الله يغفر له ويرحمه ويسكنه فسيح جناته

  • @husseinmillans3794
    @husseinmillans3794 3 ปีที่แล้ว

    Inna lillah wainna ilaih rajiuun!!R.I.P Papa.

  • @thedriver.michael.3975
    @thedriver.michael.3975 ปีที่แล้ว

    Kama wewe ni muasisi wa muungano iweje leo unataka uvunjike? Inna lillah...

  • @hamishamis9905
    @hamishamis9905 3 ปีที่แล้ว

    Rip

  • @z.nalnabhani7194
    @z.nalnabhani7194 3 ปีที่แล้ว

    Alamdulillah uliwaacha madhalimu na udhalimu wao

  • @samoragoodwin7309
    @samoragoodwin7309 3 ปีที่แล้ว +1

    Mzee moyo alisimamia kile alichokuwa anaamini

  • @sulaimanalriyami471
    @sulaimanalriyami471 3 ปีที่แล้ว +1

    اللهم غفر له وارحمه واسكنه فسيح جناته

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 2 หลายเดือนก่อน

    Hawakumtendea haki

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy8888 3 ปีที่แล้ว

    اللهم اغفر له وارحمه واسكنه في الجنة واكرم مثواه

  • @athumankigomba427
    @athumankigomba427 3 ปีที่แล้ว

    Mzee Zanzibar au tanzania

  • @adilhabibu7958
    @adilhabibu7958 3 ปีที่แล้ว

    Mmh

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 3 ปีที่แล้ว

    Ukisema ukweli n kutaka mamlaka kamili zanzibar nakutetea zanzibar ccm haitaki ivo Allah akusamehe mazambi yako akujalie kauli sabit naukisema ukweli ktk ccm lazima ufukuzwe

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 9 หลายเดือนก่อน

    Mola akubari na umejitahidi kadiri ya uwezo wako

  • @iddijumaali7192
    @iddijumaali7192 3 ปีที่แล้ว +1

    Simba

  • @mattarmattar4405
    @mattarmattar4405 3 ปีที่แล้ว

    [[[[[[[]]]]]]]]

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 3 ปีที่แล้ว

    Mapinduzi ya mama zao

  • @mwalimumbukuzi7273
    @mwalimumbukuzi7273 3 ปีที่แล้ว

    kina maalim sefu igeni ukweli na uaminifu wa huyu comred,ili iwe ni ushahidi mbele ya Allah.
    fitna na farka+majungu vitawafanya mfe vibaya

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 3 ปีที่แล้ว

    Bado tinga tinga na wafuasi wake

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 3 ปีที่แล้ว

    Tanzania inanuka maovu kutoka kwa wanaongoza uongozi

    • @fahadfaraj1822
      @fahadfaraj1822 3 ปีที่แล้ว

      Siasa ya duniani ipo ivyo leo iyo saudia nchi takatifu na kumeoza kiuongozi ivyo tuombe pepo tu haya ya dunia wala hayana lolote

  • @tawfiqissa6123
    @tawfiqissa6123 3 ปีที่แล้ว

    Hatuta kusahau ww nilulu kwa zanzibar yetu

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 3 ปีที่แล้ว

    Mnafiki wewe!!!

  • @adammillanzi6087
    @adammillanzi6087 3 ปีที่แล้ว

    Mnafki hana chochote. CCM oyeeeeee mpaka kiama. Mkichukia poa tu.

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 3 ปีที่แล้ว

    Allah Akujaalie Qabri Yako Minalriadhiljannah Yarabiy