Amina, ninakilasababu ya kumushukru mungu kwa makuu aliyonitendea nilifungiwa siku zangu miez6 bila kuona cku zangu lkn baada ya kumfatilia mtume mwamposa cku zangu nikaziona. Mtume wetu mungu azid kukukinga na maadui
Kwa majina yangu ni Adia abely magesa kwa kupitia madhabahu hii nahitaji mwaka huu nishike ujauzito na nibebe mapacha wawili wa kiume na nijifunge kwa njia ya kawaida na siyo operation mungu naomba usikilize ombi langu. Pia mama angu ameugua miez8 sasa mpaka sasa hajapata nguvu za kutembea kwa kupitia madhabuhi hii ya mwamposa naomba mwaka huu mama angu awe kashapona. Amena
Kila Alie chukua uyayo wako ataurudisha kwa jina la yesu mwamposa ametumwa kuwafungua watu wote kila anae cheza na maisha yako atakufa kwa damu ya yesu
Mungu wa mwamposa nitembelee saa hii uniponye take away all the blemishes from my face ( unwanted hairs on my face ,neck, chin ,upper lip and chest )oh God husiniache mungu
Hakuna kitu kamahicho achauwongo kawa fufue watu mhimbili mwenye uwezohuo yesu peke yake hilo tukio tungesikia hata kwenye vyombo vya habari dada acha uwongo unalipwa
@@agnesskalinga9127, Huyo Yesu hakufanya kwa uwezo wake. Baada ya watu kumuomba muujiza wa kufufua aliomba kwa Allah/Mungu wake. Na pia alomfufua hajaishi hata siku moja na kufa. Na hata Nabii Mussa alimuomba Allah kumuonyesha namna atakavyofufua akhera. Na akafahamishwa kwa ndege.
Ee mungunifungulie katoka maisha yangu kilaniendapo nifanikiwe mikosi yote itoke Ee mungu nisaidie mumewangu wakwanza kumu oa aliondoka kupitia changa moto za kifamilia naomba mke wangu aludi Ee mungunisaidie nishivizuli na wazi nishivizuli nafamilia
Kupitia huu ushuhuda watoto wangu wafunguliwe mgongo wangu upone In Jesus Name
Dada mungu yupo kama unaiman . Baba. Mwamposa tunamuombea maisha marefu
Amen name Mungu na mm niwez kujenga nyumba na biaahara yngu ikue
Napokea uponyaji huu kwa kizazi cha mama yangu
Ameen
Amina, ninakilasababu ya kumushukru mungu kwa makuu aliyonitendea nilifungiwa siku zangu miez6 bila kuona cku zangu lkn baada ya kumfatilia mtume mwamposa cku zangu nikaziona. Mtume wetu mungu azid kukukinga na maadui
God is great and all he does is marvelous. Glory be to Jesus christ in the highest Ameen
Kupitia ii maeabau naomba watoto wangu wote wane wafunguliwe kwa jina la yesu
Mungu naomba unifungulie mlango nipate kazi nzuri amen
Mchungaji mungu azidi kukuon gezea siku nyingi za kuhishi hata miaka elfu mbili make wachawi watasarenda amen
Mungu nakuomba nijenge nyumba yangu dar ili nipate kujakuabudu katika madhabahu ya mwamposa
Ameni na mimi nimepokea kwa jina la yesu
Asante mungu kwakutupa mtumishi
Kupitia maombi haya naomba mungu hanifungue kwa jina la yesu
Kila anae cheza na mimi hataharibiwa katika jina la yesu
Unamlinda asiharibiwe anaecheza na wewe mbn hdileti maana
Najiunganisha na maombi asatatu
Mungu wangu naomba uniepushe nguvu za giza na unifungulie milango na nisiwe na miungu mingine ila wewe amen
Kila anae. Cheza na ndoa yangu ataharibiwa kwa jina la yesu
Mungu anifungue na mm kupitia uyu mama
Amina amina
Mungu funguwa mudomo n'a masikiyo ya mwanangu mimi ni mu Congo
Nakushukulu sana mwa mposa umenisaidia sana naomba mngu anisaidie nijifungue salama mwezi huu
Kwa majina yangu ni Adia abely magesa kwa kupitia madhabahu hii nahitaji mwaka huu nishike ujauzito na nibebe mapacha wawili wa kiume na nijifunge kwa njia ya kawaida na siyo operation mungu naomba usikilize ombi langu. Pia mama angu ameugua miez8 sasa mpaka sasa hajapata nguvu za kutembea kwa kupitia madhabuhi hii ya mwamposa naomba mwaka huu mama angu awe kashapona. Amena
Akuna mungu kama wewe...
Mungu wetu anatenda jaman
Tuendelee kumuomba na kuamini tuu
Asante san MUNGU kwamatendo yako makuu namna hii tutetee ee MUNGU wetu nawatoto wetu kaz zagiza zipigwe zianguke ktk jina la yesu kristo amen
Ee mungu iponye family yangu
Natoa shuhuda kupitia madhabahu hii nauona mkono wa Yesu ktkt maisha yangu eeee Mungu endelea kujidhihilisha kwangu maana ushindi wako niwahakika
Kupitia hii shuhuda naomba mwenyezi mungu anifungue kupitia madhabahu ya mwamposa
kupitia ushuhuda huu mungu atatufuwa nasisi ila mtume tukonalazima yakuongea na wewe mtume
Kupitia madhabahu hii naomba watoto wangu watiwe nguvu ya imani na matumaini
Kweli tunaamini Mungu yupo na ni mshindi wa Nguvu zote za giza.Jina lake liinuliwe na kuhimidiwa ktk maisha yetu
Napokea kufunguliwa uchumi wangu,ndoa yangu,afya yangu,baraka zangu,
Hakika wewe Ni Mungu, unaetenda maajabu, duh madhabahu ya inuka uangaze imejua kunifurahisha, mungu n mwema jaman..
Kila anacheza na maisha yangu ataribiwa kwa jina la yesu kristo alie ai
Mungu nakuomb unifungue kiuchumi nakuomb napatekiwanjwa na nijeng ameni
Kupitia maombi haya ya komboa watoto mungu uikomboe watoto wangu
Kila Alie chukua uyayo wako ataurudisha kwa jina la yesu mwamposa ametumwa kuwafungua watu wote kila anae cheza na maisha yako atakufa kwa damu ya yesu
Emmanuel.God is with us to save us from all evil and darkness in Jesus mighty name Ameen...
Kila anae cheza na maisha yangu hataharibiwa katika jina layesu
Mungu nakuomba niache kujichua amin
Achen mungu aitwe mungu,jaman kwa sio amini nawaombea Imani ya kristo iwe nanyi
Safi sana nguvu ya yesu ni kubwa kuliko mapepo
Amen
Napokea.kwajina.layesu
Kupitia ushuhuda huu mungu anijalie nijifungue salama
Mungu unaeponya naomba umponye na mwanangu awe mzima
Glory to God
What a miracle
Kila anayeharibu ndoa yangu ahariwe ktk kina la yesu
Hallelujah glory be to Jesus in the highest
Naomba mtumishi Wa mungu uniombee nizid kukua kiuchumi
Naitwa Maria Joseph kupitia ushuhuda huu namimi Kila anaecheza na afya za watoto wangu apigwe stock mpaka afe kwajina la yesu
Kupitia ushuhuda huuu wa hytu dada na iman nuliyonayo naomba nijifunguwe salama mwa huuu
mutumishi kupitia ushuhuda huu ubadilishe maisha yangu
Mungu aitwe mungu l cannot control my tears.
Amina
Ameeen chochote kinamtesa mwanangu happy kinamfanya asipende shule kupitia ushuhuda huu kika muachilie kwajina la Yesu
Napokea kufunguliwa Kwa watoto wangu ktk jina la yeu
Asante Yesu. Yaani hakuna Mungu kama wewe.
Mungu wa mwamposa nitembelee saa hii uniponye take away all the blemishes from my face ( unwanted hairs on my face ,neck, chin ,upper lip and chest )oh God husiniache mungu
MUNGU wa kurejesha
Hakuna kitu kamahicho achauwongo kawa fufue watu mhimbili mwenye uwezohuo yesu peke yake hilo tukio tungesikia hata kwenye vyombo vya habari dada acha uwongo unalipwa
@@agnesskalinga9127, Huyo Yesu hakufanya kwa uwezo wake. Baada ya watu kumuomba muujiza wa kufufua aliomba kwa Allah/Mungu wake. Na pia alomfufua hajaishi hata siku moja na kufa.
Na hata Nabii Mussa alimuomba Allah kumuonyesha namna atakavyofufua akhera. Na akafahamishwa kwa ndege.
Kupitia ushuhuda huu watoto wangu na wandugi zangu wakafufuke
Mungu ananguvu naomba pia mponye baba na mama angu kwa maradhi yao yote
God is good all the time and when you trust in him he does...🙏🙏
Yesu alitenda hata Sasa anatenda kwa Utukufu wa Mungu.
Amen nakila kitu kilichoshkilia maisha ya mwanangu kimaribwaa kwa jina la yesu.
Utukuzwe pia kwa Alven amen
Hallelujah mungu ni mwema
Kila anaye nitolea mimba zangu kupitia shuhuda hizi mwaka huu atashindwa kwa jina la yesu 🤰
Jamani naombeni namba ya kutuma ushuuda mungu kanitendea kitu kikubwa sana
Kila anaye cheza na mm ataharibiw kwa jina la yesu
Eee mungu hashidwii na chochotee
Amen mungu mkubwa sana imalisha iman yako kwa mungu
Mungu awabariki watumishi wa mungu
Mungu waponye silvia asma na lilian kwenye matezi
Napokea uponyaji naomba mungu aniponye
Napokea ufufua wa familia yangu biashara zangu kila hatua natembea katika ufufuo
Ameni kupitia huu ushuhuda naamini nitafufuliwa kiuchumi
Mungu azidi kkubariki mtumishi
Yesu ni muzuri ❤❤❤
Najileta mbelezako nina fanya kazi Omani mwaka9 sioni mafanikio mungu naomba uniponye
I love you mwamposa ❤asante
Kupitiya ushuuda huu mwanangu Esther atapona asima Amen
Kupitia shuhuda hizi naomba hata Mimi nipate maono we mungu ameni
Naomben no ya mwaposa jmn pls
Na pokea mume sahihi katika jina la yesu
Mungu akusaidie
Amina
Amina
Ee mungunifungulie katoka maisha yangu kilaniendapo nifanikiwe mikosi yote itoke Ee mungu nisaidie mumewangu wakwanza kumu oa aliondoka kupitia changa moto za kifamilia naomba mke wangu aludi Ee mungunisaidie nishivizuli na wazi nishivizuli nafamilia
Nataka kwajina ya YESU jitu au mtu yeyote alichukua uhai wakitu chochote kwawatoto wangu,safe wote na umekua hivyo kwa damu ya YESU.
Kupitia madhabahu haya naomba watoto wangu wafunguliwe nanipone maumivu ya tumbo langu
Duh atar mungu akubariki mtumish
Nafunguliwa kwa jina la yesu
Kupitia huu ushuda Mungu apone kwa jina. La Yesu
Mungu azidi kutia nguvu watumishi wake
Muito obrigada por tudo, Deus é meu tudo
Mhhhhhh, Mhhhhhh Sanaa zitaisha lini Tanzania?
Naitwa Christine, kupitia ii mazahabu ii na ushuuda ii tufunguliwe
Ameni,Dada ananikuzia imani
Mungu utukuzwe amina
Dada mungu akutetee 11:20
Eeh mungu ni mwema God to be glory
Kupitia huu ushuhuda kizazi changu kinaenda kufunguka kwajina la yesu
Napokea katika jina la yesu
Nimepokea kwa jina yesu
Amen
Nataman sana kufika hko namm namatatizo zaid eeemngu nioneshe njia
Mungu ni mwema
UTUKUFU KWA YESU KRISTO ALIYE HAI..NAMI NAPOKEA UFUFUO WA MAISHA YANGU KIROHO, UCHUMI, AFYA NA FAMILIA
Naamini pia Mimi nitafunguliwa mimi na watoto wangu kwa jina la YESU kristo mwana wa MUNGU 🙏
Utukufu kwa mungu
Glory be to God
Ahsante yesu kwa mambo yako makuu
Kila anayechezeya maisha yamume wangu akutane namtoto wayesu
Mungu anaweza
Jamani mtoto mdogo kakukosea nini😢😢😢
Ndio ujiulize
Kila anaye cheza na mimi atakufa kwa jina la YESU
Kupitia ushuhuda huu nami napokea ufufuo wa watoto wangu Jenifer na Lodrich wakawe vichwa shuleni na wakapate kibali Kila watakapokua
Kwanayesu asifiwe mtumishi naomba maombi ya kutoa umasikin na madeni na biashara
Amen Glory to God
Veepp
Amina najiungamanisha na madhabau ya mwamposa
Amène kwajina ra yesu
Mnaopinga ushuhuda huu mnataka nini mlitegemea mskie mtt kafa mnashindwa kuwapinga wanaoiba kwenye mitandao kwa kujiita waganga