1 Timotheo 3:16 Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulika kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaaminiwa katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika utukufu.
YOHANA 8:58-59 58 Yesu akawa jibu, “Nawaambia wazi, kabla Ibrahimu hajazaliwa, ‘Mimi nipo.’ ” 59 Ndipo wakainua mawe wamwue; lakini Yesu akajificha wasim wone; akatoka Hekaluni. YOHANA 10:18 Hakuna mtu atakayeondoa uhai wangu, bali ninautoa mwenyewe. Ninao uwezo wa kuutoa uhai wangu na pia ninao uwezo wa kuuchukua tena.
Yesu ni Mungu. Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani. Isaya 9:6
Ww hushasema mtoto amezaliwa huo ni mpango wa Paulo Yesu katabiriwa na malaika gabrieli na hutabiri huo aliyopewa bikira maria kuwa hatapa mtoto na mtoto huyo jina lake hataitwa Yesu sasa huo mpango wa mtoto amezaliwa jina Emanuel ni mpango wa wapagani waliokupeni dini ukisoma matendo ya mitume 11:25-26 hutapata jibu
Kwahio mungu alimuumba maria ikisha maria akamzaa mungu na kumnyonyesha. Ikisha mungu akakamatwa na binaadam akauliwa na binaadam 😂. Yani mnaona kama kungu ni kipande cha nguru eeh
Yeye ni njia ya uzima huwezi kumuona Baba bila ya mwana Mtu wa Mungu unapoteza muda mwingi aliyekufia msalaban ni nan wote tumeitwa kwa jina la kristi na kila goti liapigwa sikua narudi nakila jicho litamshuhudia
Ndomana Mungu alimpa kila mtu akili na macho ukiamua kusikiliza uvundo ni wewe tu! "Mungu akasema naTUMFANYE MTU KWA SURA YETU" Mwanzo 1:26 mwanzo 11:7 isaya 6:8 tito 2: 13 ufunuo1:3-6 ukipotea umechagua
Nachomkubali @mzeewaupako anajenga msingi WA andiko Kwa uwazi WA maandiko MENGI. Sio Hawa wengine wanaotegemea andiko Moja lisilo WAZI. Wewe ni Chief Bhana
Ni kweli kabisa Yesu siyo Mungu na wala hakuhusika ktk kuumba hii dunia ila ni nabii wa Mwenyezi Mungu na wanaomwita mungu na kumuabudu hiyo ni imani yao maana kuna wanaoabudu ng'ombe na masanamu pia wapo hivyo msimlaumu mzee wa upako
Aise Mzee WA Upako uko vizuri yaan wewe unalijua neno ,waambie maaskofu Safi Sana ,kuna kuhani alitaka kunipoteza Mungu ni Mungu na Yesu ni mwana WA Mungu
Kasome Yohana 1:1-15 tujue neno aliyefanyika mwili ni nani pia mwazo: tumfanye mtu kwa mfano wetu. Neno " tu" ni nafsi ya kwanza wingi inamaanisha nini kwa ulivyoelewa kuna Mungu wangapi
Mungu mmoja nafsi 3. Yesu ni Mungu, Mungu ni neno, Yesu Kristo ni neno, akafanyika mwili akaja kwetu nasi tukaona utukufu wake!! Yohana 1:1-14, Yesu ni Mungu Warumi 9:5, Tito2:13. Kwahiyo mzee wa upako ww ni mpinga Kristo. Utaangamia tu!! Tubu leo hii.
Haangamii Kwa Kusema Ukweli. Soma Vizuri Biblia Au Sikiliza Ama Uliza Haujui. Usinukuu vipengelee Usivyovijua. Rudia Maneno YEROI YEROI MBONA Umeniacha Bwana Yesu Akiomba Msaada Kwa Mungu Wake.
Yesu Kristo anamwambia huyo Yohana ya kwamba yeye "Yesu Kristo" ni Alfa na Omega. Ufunuo wa Yohana 22:12-16 13. Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, wa kwanza na wa mwisho. 16. Mimi Yesu nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina na Mzao wa Daudi, ile nyota yenye kung’aa ya asubuhi. Najua kuna watu hamfurahi ila YESU KRISTO NI "ALFA NA OMEGA, MWANZO NA MWISHO" . YESU NI MUNGU. NA ATARUDI KUHUKUMU ULIMWENGU HUU. JIANDAE KUMPOKEA.
Ufunuo wa Yohana 22:12-16 12. Tazama, naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo. 13. Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, wa kwanza na wa mwisho. 14. Heri wazifuao nguo zao, wawe na amri kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake. 15. Huko nje wako mbwa, na wachawi, na wazinzi, na wauaji, na hao waabuduo sanamu, na kila mtu apendaye uongo na kuufanya. 16. Mimi Yesu nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina na Mzao wa Daudi, ile nyota yenye kung’aa ya asubuhi.
Sikia wewe kipofu, Yesu ni Neno lililofanyika mwili na NENO ni ROHO na Roho ni Mungu. Ni kwasababu ule mwili uliyefanyika kwa Neno huo sio Mungu ila mwili ulirudi kuwa NENO. Sasa wewe ni mwongo na utumishi wako ni wa baba yako Ibilisi.
Mzee wa upako uko sawa Mungu atabaki kua Mungu Yesu ni binaadamu kama Mimi ila yeye amepewa unabii na miujiza Ili kuwafikishia ujumbe Wana wa Izirael waache Mila potofu na kumuabudu Mungu mmoja
Kuna nabii aliweza kufufa wafu tena zaidi ya mara 3, kuna nabii aliweza kukaa bila kula wala kunywa siku 40, kuna nabii aliweza kupaa kuondoka duniani, kuna nabii aliweza kufufuka baada ya kufa..?
Yesu siyo Mungu. Mwenyezi Mungu ni mmiliki wa Ulimwengu ambao una Sayari zaidi ya Trillion 2 na anajua vilivyomo. Yesu si mmiliki na hajui chochote kuhusu Sayari zote hizo. Mungu hana hofu lakini Yesu alikuwa na hofu wakati alipopata habari anatafutwa na maadui zake. Mungu hajaribiwi na Ibilisi lakini Yesu alijaribiwa.
Hii ndio njia sahihi ya kutetea Yesu Kristo kuwa Mungu. Neno litasimama milele. 13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu; (Tito 2:13)
biblia yenyewe inasema kuwa Yesu apewa mamlaka yote yaani yote kabisa haiku sema sehemu ya mamlaka ila imesema yote tena ikasema mbinguni na duniani sasa kila mtu anajuwa kuwa anaemiliki mbinguni ni Mungu akuna mwingine sasa yesu kapewa mamlaka yote mbinguni na duniani je yeye atakuwa ni nani? atakama kuna Mungu mwingine huyo tunamwitaji wa nini wakati mamlaka yake yote kasha mpa yesu?alafu Yesu ndie mwenye jina lipitalo majina yote sasa jina linalopita majina yote ni la nani kama sio la Mungu? alafu yesu alipo kuwa hapaduniani alikuwa ana waponya watu kwamfano kuna mmoja alimwambia inuka jitwike godoro lakoumesamehewa dhambi zako,sasa uki muuliza ata kichaa ni nani mwenye uwezo wa kusamehe dhambi ata kujibu ni Mungu peke yake ,sasa Yesu yeyealikuwa ana mwambia mtu inuka umesamehewa dhambi zako sio ngoja nikuombee kwa Mungu akusamehe au Mungu amekusamehe,alafu kitu kingine tumeona au kusikia shuhuda za watu wengi wakisema walipelekwa mbinguni na hii haijalishi kuwa ni kweli walipelekwa mbinguni au ni uwongo lakini wote wanasema wali mwona yesu akuna anae sema ali mwona Mungu, alafu anaposema yeye ni alfa naomega yani mwanzo na mwisho je alie wa mwanzo na wa mwisho ni nani kama sio Mungu? mzee wa upako hapa ume tupiga na kitu kizito au umetung'oa jino na sururu bila ganzi,au unafikiri ingekuwaje kama Yesu alipo kuwa hapa duniani ange jitangaza waziwazi kuwa yeye ndie Mungu wakati wakati huohuo kulikuwa na vipofu, vilema , masikini nk je unafikiri hawa wange kutana nae wange mwabia nini? c wangebakia kumlalamikia kwani mimi ukaniumba hivi au kwanini mimi ni masikini bila kujuwa aababu ya Mungu kuyaacha hayo yatokee? au hujui kwanini Mungu anasema tumtatute? je? unafikiri anasema tumtafute kama tunavyo tafuta pesa,,? la hasha ni kufikiria yale alio yasema yaani ukilinganisha hilinahili upate kuelewa ana maanisha nini
WARAKA WA KWANZA WA YOHANA 5 20 NASI TWAJUA KWAMBA MWANA WA MUNGU AMEKWISHA KUJA, NAYE AMETUPA AKILI KWAMBA TUMJUE YEYE ALIYE WA KWELI, NASI TUMO NDANI YAKE YEYE ALIYE WA KWELI, YAANI, NDANI YA MWANA WAKE YESU KRISTO, HUYU NDIYE MUNGU WA KWELI, NA UZIMA WA MILELE. AMEN!!!💖💖💖
Upofu wako ndio kikombe chako , ila Mungu n mwenye rehema anakuhtj Zaid so sisi kama wakristo tunakuombea uione rehema n pia jifunze kusoma bible vizuri n roho mtakatifu akuongoze uyapate mafunuo haya , maaan mpinga kristo yupo mbioni n anafamya kazi
Ukileta hoja yoyote inayomhusu Yesu kristo lazima huwe na ushahidi kamili wa kwenye Bible sio kusema vile unavyowaza hiyo nimbaya na upotoshaji wa Neno la Mungu. ANGALIA = 13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu; (Tito 2:13)
W tz wanaoamin wahubiri badala ya kusoma neno la mungu ni janga hyu aombewe amepagawa au konyagi yohn 1 kulikuwako neno naye neno alikuwako yesu ni mungu mwanzo na mwisho
Huwezi kumjua Yesu bila yeye kujifunua kwako,mathayo 11;27 Yesu ni Mungu hakuna ubishi.Wanaochanganywa na maandiko nawashauri waokoke kwanza,waishi maisha matakatifu,wajazwe Roho mtakatifu ndipo watamuelewa vizuri 1wakorinto 2;13(atajifunua kwao).Waulize wanaosema kuwa Yesu si Mungu ,waliambiwa na Roho mtktfu au wamepotelea kwenye maandiko? Maandiko hayo yameandikwa kwa uongozi wa Roho mt ,hivyo ukitaka kuyaelewa lazima ujazwe Roho yuleyule maana hayatambuliki kwa hekima ya kibinadamu,thx
Kwahiyo wewe mbwa unataka kusema yaani wewe wakati unakuja dunia ulipita sehemu ya siri ya mama yako na huyo mungu wako yesu wakati anakuja duniani alipita sehemu ya siri ya Mariam yaani kwenye uchi wa Mariam Sasa wewe siutakuwa ni taira huyo ni mungu gani wa hivyo
@@hajimasoud7210 kwa njia hiyo ya matusi na ubishi hautamjua Yesu,naomba akusamehe nami nimekusamehe maana hujui au unajua nguvu zinazokutumia..Mpokee Yesu,uliishi neno lake ,ujazwe Roho mtakatifu ,atajitamburisha kwako ya kuwa yeye ni nani,Asante ,Mungu akupe kipawa cha wokovu shekh
Acha matusi aisee, wewe unaupofu wa kimaandiko, Yesu mwenyewe anakwambia mimi ni alfa na omega yaani wamwanzo na wamwisho, tena anasema kabla ya Ibrahim mimi niko, Yesu anatamka kwa kinywa chake. Sasa kama alikuwepo kabla hata ya Babu wa mababu Ibrahim, wewe unamzungumziaje kibinadam, tizama usiwe kama wale waliomsurubisha maana alipojitanabaisha kuwa yu Mungu waliona amekufuru nakumsema kuwa anafundisha mafundisho mapotofu maana walikua na idea kama zako, Tumwombe atuokoe nakututoa kwenye upofu huo. Usitukane maana u naupofu wakimaandiko.
@@hajimasoud7210 umemuelewa vzuri uliekomenti kwake au unajibu kudhihirisha ujinga wako amejibu alichosoma na wewe lete ulichosoma sio ushabiki na ujinga ujinga lete maandiko yanayozuia yesu kutokua Mungu kwenye biblia
Mbele ya mungu wako unasimama kwa maneno yako. Lakini baada ya kukusikiliza inaonesha wewe ni sawa na Askofu Nikodemu aliyeshangaa uzaliwa wa mtu mara ya pili. Kwako (1) Hujaokoka (2) Kwa kukosa wokovu umeshindwa kujua pande mbili za Yesu, ambazo hayo aliyosema Yesu alikuwa wapi na akiwa nani. (3) Kwa kukosa kwako kuokoka umeshindwa kujua Yesu Duniani alikuja kufanya nini. Sikushangai, kwani ndani ya nyumba kuna vyombo vyenye thamani na visivyo na thamani. Huna uwezo wa kubadilisha kitu, YESU NI MUNGU.
@@FadhilaHakimungu Moja katika nafsi tatu huo ni upangani ulioingizwa kanisani mwaka wa 3 baada ya yesu kuondoka mbona Kila kitu Kiko wazi anaempinga Mzee wa upako ampinge kwa hoja
Kwan mzee wa upako anatumia biblia gani maana maandiko yanayosema Yesu ni Mungu yamejaa tele., au kama anatumia quran pia aseme maana ndyo kitabu kinachopinga uungu wa Yesu Sasa kama anasema Yesu si Mungu anasubiri nini kanisani.,si afadhali aende msikitini akaungane na waislamu na quran kupinga uungu wa Yesu!!!
Acha kufundisha watu uongo sifa zote alizanazo Mungu na Yesu anazo,utahukumiwa Kwa kufundisha uongo huu sijui kama unafundisha Kwa kutokujua au Kwa kujua
Yeye mwenyewe anaajichanganya, mwili wa nyama aliotoka nao kwa Mariam aliuvua palepale alipokufa msalabani, anasema Yohana baada ya miaka 30 alimwona akiwa na. Mwili mwinginekabisa, mwili wenye utukufu, anasema alipomwona alizimia, kwanini azimie maana alimona Mungu. Tizama sifa alizomwona nazo, macho kama miale ya moto, sura kama mwangaza wa jua, sauti kama wa maji mengi nk. Alikua na mwili wa utukufu, mtukufu ni Mungu tu, kwanini manajichanganya afu mnasifiana.
Kwahilo lakusema alitahiriwa ni pale unapomwangalia Yesu kibinadamu, ili akubalike katika jamii ilibidi afanye hayo ili aishi na jamii Ile ili aweze kuwahubiri Habari njema, hebu fikiria kama angekuja kwa utukufu ule wa mbinguni, nani angeweza kuwa nae karibu? Alijishusha ili injili itufikie. Kwahiyo usimwangalie Yesu in a human perspective. Mtizame Yesu yule aliekuwepo kabla ya Ibrahim babu yenu, Yule Yesu katika Yohana 1:1-14, yaani pale tunaposoma kuwa alikua neno nae neno alikua kwa Mungu, nae neno alikua Mungu, akafanyika Mwili nao utukufu wake tukaona kama utukufu wa mwana pekee wa Mungu. Jamani kwanini hatusomi maandiko? Yaani alikua kwa Mungu nae alikua Mungu. Ila sisi wanadamu tukamwona kama mwana pekee wa Mungu. Mnataka andiko lipi mjue kuwa alikua Mungu? Ee baba wasamehe maana hawajui wayafikiriayo.
Wana macho hawaoni wanamaskio hawasikiii leo sio Muislam kasema kukwambia Mungu ni mmoja bali mzee wa Upako ndio anakuwekeni wazi kuwa Mungu mmoja na Yesu sio mungu
Anaetoa hizo taarifa hapo ni mathoyo ndio alieziandika hizo habari,sisi hatuwezi kuamini hizo taarifa,yesu mwenyewe kasema Mimi ni mtu,anatokea mathayo anasema yesu ni mungu,tumuamini nani, mathayo au tumuamini yesu mwenyewe aliyejitambulisha kuwa ni mtu,
Tabiriwa na manabii kama yeye waseme utakuja,zaliwa kiroho kama yeye,fufua watu kama yeye,tebea juu ya maji uliwa na usurubiwe fufuka siku ya tatu na upae angani ikielekea paradiso,kama wewe ni mwanadamu kama yeye.
Kuna watu walikuja kuwapoteza kwa kuwatia iman nakuwafanya wasitumie akil na ndo mana wanajifichia kwa roho mtakatifu pale unapowambia ukwel ila naamin kupitia mchungaj wao kuna vitu vtawafanya watafakar
Yesu anakuona tubu KWA maneno Kuntu yasiyo na uzima wala uhai ,wewe sio mkristo ,sis wakristo tunaamini Yesu ni MUNGU , MUNGU pamoja nasi baba wa Milele
@user-wq4pl5dv6b Ukisoma Biblia kwa utashi wako hutaelewa kaa hivyo hivyo.Au tafuta watu wakuelesmishe.kwa nini Ni Neno.Kwa maana Mungu aliumba kilakitu kwa neno vitu vikawa.Ila wewe kibinadamu huwezi tamka vitu vikawa ndio maana yake.
Wakristo weng hawasom bibilia ni wafata mkumbo wakat yesu akiwa tumbon mwa mam ake nan alikuw anaongoza dunia kama yesu ni mungu mzee wa upako uko sawa
Duh!maajabu,mungu mkuu katahiriwa,mungu mkuu kasulubiwa na wanadamu,mungu mkuu kafa msalabani kwa kipigo,je siku tatu ambazo alikuwa amekufa,ni nani aliyekuwa akiusimamia ulimwengu?
Yesu ni mungu nafsi ya pili na kabla hajapewa jina la yesu alifahamika kama neno na alikuwepa kabla ya dunia kuumbwa rejea kitabu Cha mwazo mungu amesema na tumfanye mtu Kwa sura na mfano wetu alikuwa na yesu
Pambana na zambi watu wajitakase YESU analudi kwani masomo Yamaha antoney lusekelo koo wewe umeona ndio somo lakubabadilisha my iyo Y😂ao ao 5:57 washilika wako wapi mitume namanabi I walisimama kuya zungumuzia
Macho jua mm Yesu ni njia ya uzima ya kunifikisha mbinguni tena anasema mtu awezi kufika Kwa Baba bila kupitia kwake hivi mnajumbuka Yesu aliwauliza wanafunzi wake akasema watu wanamwitaje na akawaambia na ninyi je wasenaje kumbuka majibu ya wanafunzi wa Yesu wanaye sema Yesu sio Mungu na wanaye sema Yesu ni Mungu mtajaza kupitia majibu ya wanafunzi wake
Ungekua unajua vyema maandiko unpeeled kuwa huu si ukweli ni upotofu. Wanafunzi wake wakamuuliza unasema unakwenda kwa baba tuonyeshe basi huyo baba, akasema nalikua nanyi siku zote hamkunijua? Lakini maeneo mengi tu anajitanabaisha kuwa mimi niko ambae niko, mimi ni alfa na omega. Lakini maandiko yanathibitisha kuwa Yesu ni Mungu, ukitamani tuyachakate nambie tuendelee nikuthibitishie.
@@joshuandone468 kweli lakini hakusema yeye ni Mungu... ndio point yake anakusudia Kwa Nafasi yake yesu kulinganisha na Sisi wanaadam Daraja yake ipo Juu, ila kwa Mungu Hafanani nae. I think Hapo ndio Anakusudia.
Mzee wa Upako, mimi mtumishi mwenzako (japo nilistaafu miaka 20 iliyopita) nataka kusema nawe. 1. Mwanzo 1:26,27 kisarufi ya kiebrania Mungu (Siyo miungu) akasema, naniumbe mtu kwa mfano wangu na kwa sura yangu. 2. Kumbukumbu la torati 6:4 Mungu ni moja. 3. Mwanzo 3. 9,10 Mungu anatembea, haoni alipojificha Adam na anamtafuta. Hii tunaita anthropomorphic language. Yaani, Mungu aliye Roho (Mwanzo 1:2b, Yohana 4:24) anawezaje kutembea kwa miguu? Anawezaje kuto muona Adam Kwenye bustani aliyoiumba mwenyewe? Hiyo lugha ni pedagogical. 4. Mungu ni mmoja ana pedagogical trinitarian existence. MUNGU ni BABA ili tuwe na government. Yesu ni Mungu mwana ili tupate Haki ya Mungu. Roho Mtakatifu ni Mungu ili kuwe nguvu za Mungu kuitawala dunia.
Umejichora ulikuja na mafuta ya upako mbingu zimekukataa watoto wa machifu dunian ni machifu sembuse yeye aliye jitoa uhai umepoteana mzee wa upako Yesu Ni Mungu mwana waumini wako wameingiliwa
YOHANA 20:28" Thomaso akamwambia(Yesu), Bwana wangu na Mungu wangu, Yesu akamwambia, wewe kwakuwa umeniona umesadiki, heri wanaoamini bila kuona"......je, kama Yesu si Mungu kwanini alikubali kuitwa na Thomaso kuwa ni Bwana na Mungu?..tena alimpongeza Thomaso Kwa kumtambua yeye kuwa ni Bwana na ni Mungu?
Tito 2:13 Tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa kristo Yesu MUNGU MKUU na mwokozi wetu. Hivi haya maandiko hamuyaoni au mkifika ukurasa huo mnaruka??!!
MUNGU YUKO NDANI YA YESU NA YESU YUKO NDANI YA MUNGU NA SISI TUNAOMWAMINI YESU KRISTO KAMA BWANA NA MWOKOZI WETU TUKO NDANI YA YESU NA YEYE YUKO NDANI YETU. ......
Kama una roho mtakatifu utaweza kujua kuwa jina la Yesu ni (Kristo Yesu or YESU KRISTO) Hivi ndivyo ukamilifu wa jina Hilo ikimaanisha kuwa Jina Yesu = ni mwili alioupata kutoka kwa Mariamu ambao ndio ulimpa kristo uwezo na uwalali wakufanya kazi duniani na ndio uliotumika kumshinda Dunia na mambo dhambi zake. Kristo ni roho iliyotoka kwa BABA NA YANI NAFSI YA MWANA. Ambapo hii nafsi inayoitwa Kristo sasa ndio iliyokuwa ikitenda kazi ndani ya mwili unaoitwa Yesu. Sasa. NB: kwakuwa ni nafsi ya MUNGU (Kristo) iliyokuwa inatenda KAZI ndani ya mwili unaoitwa (Yesu) sasa YESU KRISTO NI MUNGU. UKISOMA BIBLE NAYO INASEMA WAZI HAPA 13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu; Tito 2:13
Yesu sio mungu wala sio mwana wa mungu wala si utatu katika utatu ila ni mtume wa Allah kapewa injili kazaliwa kwa miujiza wa neno liliyotoka kwa Allah na Maryam bikira
Neno la Mungu lilikuwa kwa Yesu.Tulizungumza na Mungu aslimia100 kupitia kinnywa cha Yesu.aliye muona yesu alimuonaMungu kwa NENO sio kwa kwa umbo.na ukweli huu haupingiki.Lusekelo yuko sawa.
Mathayo 7:21-23 yangojea wengi sana kwa maana wengi wanaojifanya wachungaji ni mawakala wa kuzimu.
1 Timotheo 3:16 Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulika kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaaminiwa katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika utukufu.
Haqq siku zote inakaa juu, Ahsant mzee Allah akuongoze ktk uislam
Amiin
Mathayo 1:23
[23]Tazama, bikira atachukua mimba,
Naye atazaa mwana;
Nao watamwita jina lake Imanueli;
Yaani, Mungu pamoja nasi.
Asante sana
Mzhe wa wupako hana wufunuo wa maandiko , Kbsa yesucristo ndie mungu wetu Yani mungu akizihirishwa ndani ya mwili 1timoteyo 3:16 ,Tito 2:11-13
Wewe ni mkweli nakupenda Sana mchungaji kalibu kwenye uislam mashaallah nidini ya haki na yaukweli
Yesu alisema, " uzima wa milele ndio huu.Wakujue were Mungu wa pekee wa kweli na wa milele, wanijue pia mimi Yesu Kristu uliyenituma."
YOHANA 8:58-59
58 Yesu akawa jibu, “Nawaambia wazi, kabla Ibrahimu hajazaliwa, ‘Mimi nipo.’ ” 59 Ndipo wakainua mawe wamwue; lakini Yesu akajificha wasim wone; akatoka Hekaluni.
YOHANA 10:18
Hakuna mtu atakayeondoa uhai wangu, bali ninautoa mwenyewe. Ninao uwezo wa kuutoa uhai wangu na pia ninao uwezo wa kuuchukua tena.
Yesu ni mungu mkubali msikubali mzee wa upako kapotoka haelewi maandiko.
Yesu ni Mungu.
Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.
Isaya 9:6
Ww hushasema mtoto amezaliwa huo ni mpango wa Paulo Yesu katabiriwa na malaika gabrieli na hutabiri huo aliyopewa bikira maria kuwa hatapa mtoto na mtoto huyo jina lake hataitwa Yesu sasa huo mpango wa mtoto amezaliwa jina Emanuel ni mpango wa wapagani waliokupeni dini ukisoma matendo ya mitume 11:25-26 hutapata jibu
Mungu hajazaliwa na yeyote wote waliozaliwa na mwanamke siku zao za kuishi ni chache Mungu hana mwisho
mungu haonekani na bibilia inaema vivyo na atakae muona mungu anakufa sasa iweje yesu awe mungu
acha kukalili
someni maandiko
jamani, acheni mambo ya kurithi
Tutumie akili zetu mungu alizotupa,, mungu atatuuliza tulizitumiaje
Kwahio mungu alimuumba maria ikisha maria akamzaa mungu na kumnyonyesha. Ikisha mungu akakamatwa na binaadam akauliwa na binaadam 😂. Yani mnaona kama kungu ni kipande cha nguru eeh
Yani wakristo wangetoka huko kumuita yesu mungu na kujua mungi ni 1,hakuzaa wala hakuzaliwa, wala hana afananae, bass huenda maisha yangenyoka👍🙏🏿
Soma, 1 Timotheo 3:16 alafu urudi tuzungumze
Ombea fahamu zako, usije ukasahau hili
@@nelssua8486kitabu kipi unachosoma (BIBLIA)😂
@@nelssua8486 hivi kwanini hamuhoji taurati ilipo? Why mpewe kumbukumbu la taurati?? Where is taurati???
Yeye ni njia ya uzima huwezi kumuona Baba bila ya mwana Mtu wa Mungu unapoteza muda mwingi aliyekufia msalaban ni nan wote tumeitwa kwa jina la kristi na kila goti liapigwa sikua narudi nakila jicho litamshuhudia
Baba uko sawa nakubali na unatuelimisha hiyo kazi ni ngumu sana mungu akutie nguvu
Mnapotozwa Alafu mnasema mnafunzwa
Anakupoteza hakufundishi
@@SiriliNachan kwahyo ww unaona uko sawa mungu kumfananisha na mwanadamu mungu hana ushirika na kumbe chochote haitaji nguvu nyingi kutambua hilo
Uko sawa kabisa mzee wetu Mungu akubariki sana na waumini wote kwani wamekuelewa
Ndomana Mungu alimpa kila mtu akili na macho ukiamua kusikiliza uvundo ni wewe tu! "Mungu akasema naTUMFANYE MTU KWA SURA YETU" Mwanzo 1:26 mwanzo 11:7 isaya 6:8 tito 2: 13 ufunuo1:3-6 ukipotea umechagua
Nachomkubali @mzeewaupako anajenga msingi WA andiko Kwa uwazi WA maandiko MENGI. Sio Hawa wengine wanaotegemea andiko Moja lisilo WAZI. Wewe ni Chief Bhana
Yesu ni Mungu alikuwepo kabla ya mariam pia kabla ya ibrahim yoh 8:58
Ni kweli kabisa Yesu siyo Mungu na wala hakuhusika ktk kuumba hii dunia ila ni nabii wa Mwenyezi Mungu na wanaomwita mungu na kumuabudu hiyo ni imani yao maana kuna wanaoabudu ng'ombe na masanamu pia wapo hivyo msimlaumu mzee wa upako
Nani aliye umba juwa namwezi?
Aise Mzee WA Upako uko vizuri yaan wewe unalijua neno ,waambie maaskofu Safi Sana ,kuna kuhani alitaka kunipoteza Mungu ni Mungu na Yesu ni mwana WA Mungu
Kasome Yohana 1:1-15 tujue neno aliyefanyika mwili ni nani pia mwazo: tumfanye mtu kwa mfano wetu. Neno " tu" ni nafsi ya kwanza wingi inamaanisha nini kwa ulivyoelewa kuna Mungu wangapi
Hatauseme yesu si mungu haitamufanya kutokuwa mungu danganya Hao ambao hawasome maandiko
Mzee wa upako asikilizwe ana hoja ya msingi
Mungu mmoja nafsi 3. Yesu ni Mungu, Mungu ni neno, Yesu Kristo ni neno, akafanyika mwili akaja kwetu nasi tukaona utukufu wake!! Yohana 1:1-14, Yesu ni Mungu Warumi 9:5, Tito2:13. Kwahiyo mzee wa upako ww ni mpinga Kristo. Utaangamia tu!! Tubu leo hii.
Haangamii Kwa Kusema Ukweli. Soma Vizuri Biblia Au Sikiliza Ama Uliza Haujui. Usinukuu vipengelee Usivyovijua. Rudia Maneno YEROI YEROI MBONA Umeniacha Bwana Yesu Akiomba Msaada Kwa Mungu Wake.
@@nurdinmfamau3493 No no no. Isaya 9:6 Yesu ni Mungu mwenye nguvu mfalme wa amani. Huwezi kuniambia kitu ww mpagani usiyejua kitu.
@@MichaelMathew-j3f Eti Yesu Ni Mungu Na Mungu Atakuwa Nani.
@@MichaelMathew-j3f Ukweli Umekufikia Mengineyo. Mengine Aongoki Mwenye Kuongoka Ila Kwa Matakwa Ya Wetu Mlezi.
@@nurdinmfamau3493 andika point vizuri maana hata sikuelewi. Andika kitu vizuri ueleweke
Yesu Kristo anamwambia huyo Yohana ya kwamba yeye "Yesu Kristo" ni Alfa na Omega.
Ufunuo wa Yohana 22:12-16
13. Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, wa kwanza na wa mwisho.
16. Mimi Yesu nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina na Mzao wa Daudi, ile nyota yenye kung’aa ya asubuhi.
Najua kuna watu hamfurahi ila YESU KRISTO NI "ALFA NA OMEGA, MWANZO NA MWISHO" . YESU NI MUNGU.
NA ATARUDI KUHUKUMU ULIMWENGU HUU.
JIANDAE KUMPOKEA.
Anarudi lini tumsubili
❤❤❤❤❤❤Kipawa nilichonacho nilikitamani kutoka kwako miaka hiyo. Nilimuomba Mungu akanishushia biblia ikanijaa kichwani, chanzo ni ww.
Jeremiah 10:16,19
Warumi 9:5
Allah akuongoze zaid.imebaki sehem ndogo tu utakua umenyoooka mzeee
Anapotea
@@SiriliNachankama ulivyopotea wewe
@@abdullahmanalex2306 siabudu sanamu mm
@@abdullahmanalex2306 nyie n waabudu masanamu
@@abdullahmanalex2306 mimi siyo mwabudu sanamu km nyie waislam
Asante cheef Kwa mafundisho yako
Ufunuo wa Yohana 22:12-16
12. Tazama, naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo.
13. Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, wa kwanza na wa mwisho.
14. Heri wazifuao nguo zao, wawe na amri kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake.
15. Huko nje wako mbwa, na wachawi, na wazinzi, na wauaji, na hao waabuduo sanamu, na kila mtu apendaye uongo na kuufanya.
16. Mimi Yesu nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina na Mzao wa Daudi, ile nyota yenye kung’aa ya asubuhi.
Amina mtumishi mimi nimeelewa kbs
Sikia wewe kipofu, Yesu ni Neno lililofanyika mwili na NENO ni ROHO na Roho ni Mungu. Ni kwasababu ule mwili uliyefanyika kwa Neno huo sio Mungu ila mwili ulirudi kuwa NENO. Sasa wewe ni mwongo na utumishi wako ni wa baba yako Ibilisi.
Mzee wa upako yupo sahihi kabisa sijui kwanini watu wabishi yesu mwenyewe alijikatalia yeye sio mungu .yupo mungu baba someni vizuri
Unapotoka
Yesu sio mungu
Yesu n mungu
Yesu siyo mungu ila ni Mungu
@@JoyceMtambo-d1lwe jau😂
@@SiriliNachanacha ujinga uwo ,usiish kwa kukalili
@@Habaritrending.tanzania km sio mungu bc n nan nikuulize ww
Mzee wa upako uko sawa Mungu atabaki kua Mungu Yesu ni binaadamu kama Mimi ila yeye amepewa unabii na miujiza Ili kuwafikishia ujumbe Wana wa Izirael waache Mila potofu na kumuabudu Mungu mmoja
Kuna nabii aliweza kufufa wafu tena zaidi ya mara 3, kuna nabii aliweza kukaa bila kula wala kunywa siku 40, kuna nabii aliweza kupaa kuondoka duniani, kuna nabii aliweza kufufuka baada ya kufa..?
kwani mshikaji wa upako kakosea wapi mi kwangu sahihi mungu na yesu vitu viwili tofauti
Yesu ni MUNGU
Na Mungu n nan?
Hapana karibuni utajuta cheo Cha mungu siyo mchezo
Allahu Akbaru
Ck zte ukiamua kua mkweli jipange mawe utakayopigwa n mengi sn, keep up Lusekelo Allah is the only God✌️
Ashapotea huyo
Halafu kumbukeni nyinyi ni watu wa Allah, Mungu wawa kristo cyo Alah msijipe shida
Mashaallah Allah
Yesu ni mtume kwa wana waisirail tu sio dunia nzima
Kwaiyo we unapindana na yesu au maana yeye anasema ametumwa ulimwenguni ili kuokoa ulimwwngu
@@rogatimushi689 bibilia haibadiliki maneno yanakua ni yale yale binadamu ndio mnabadilisha
Pole
@@rogatimushi689ndo maan akasema yesu ni mtume ambae ametumwa na mungu ,ujaelewa nn apo😂
Yesu siyo Mungu. Mwenyezi Mungu ni mmiliki wa Ulimwengu ambao una Sayari zaidi ya Trillion 2 na anajua vilivyomo. Yesu si mmiliki na hajui chochote kuhusu Sayari zote hizo. Mungu hana hofu lakini Yesu alikuwa na hofu wakati alipopata habari anatafutwa na maadui zake. Mungu hajaribiwi na Ibilisi lakini Yesu alijaribiwa.
Yesu alimjibu shetani usimjaribu bwana Mungu wako , soma biblia wewe
Yesu ni Nabi tu wala siyo Mungu
@@mgejadldm1pia hajamaansha hvyo ulvyoelewa ww.
Anamaansha pnd akfanya km shetan alvyomuamulu bc atakuw kamjaribu Mungu baba
huyu mzee wa upako yuko sawa kabisa hawa kwa hili sema ukweli kwa wanaokupinga hawana hoja za msingi M/Mungu hakuzaa wala kuzaliwa.
Katika mwili haya twende katika roho😂😂😂
Isaya 9:6 ...Naye ataitwa jina lake, mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu
Hii ndio njia sahihi ya kutetea Yesu Kristo kuwa Mungu.
Neno litasimama milele.
13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu; (Tito 2:13)
biblia yenyewe inasema kuwa Yesu apewa mamlaka yote yaani yote kabisa haiku sema sehemu ya mamlaka ila imesema yote tena ikasema mbinguni na duniani sasa kila mtu anajuwa kuwa anaemiliki mbinguni ni Mungu akuna mwingine sasa yesu kapewa mamlaka yote mbinguni na duniani je yeye atakuwa ni nani? atakama kuna Mungu mwingine huyo tunamwitaji wa nini wakati mamlaka yake yote kasha mpa yesu?alafu Yesu ndie mwenye jina lipitalo majina yote sasa jina linalopita majina yote ni la nani kama sio la Mungu? alafu yesu alipo kuwa hapaduniani alikuwa ana waponya watu kwamfano kuna mmoja alimwambia inuka jitwike godoro lakoumesamehewa dhambi zako,sasa uki muuliza ata kichaa ni nani mwenye uwezo wa kusamehe dhambi ata kujibu ni Mungu peke yake ,sasa Yesu yeyealikuwa ana mwambia mtu inuka umesamehewa dhambi zako sio ngoja nikuombee kwa Mungu akusamehe au Mungu amekusamehe,alafu kitu kingine tumeona au kusikia shuhuda za watu wengi wakisema walipelekwa mbinguni na hii haijalishi kuwa ni kweli walipelekwa mbinguni au ni uwongo lakini wote wanasema wali mwona yesu akuna anae sema ali mwona Mungu, alafu anaposema yeye ni alfa naomega yani mwanzo na mwisho je alie wa mwanzo na wa mwisho ni nani kama sio Mungu? mzee wa upako hapa ume tupiga na kitu kizito au umetung'oa jino na sururu bila ganzi,au unafikiri ingekuwaje kama Yesu alipo kuwa hapa duniani ange jitangaza waziwazi kuwa yeye ndie Mungu wakati wakati huohuo kulikuwa na vipofu, vilema , masikini nk je unafikiri hawa wange kutana nae wange mwabia nini? c wangebakia kumlalamikia kwani mimi ukaniumba hivi au kwanini mimi ni masikini bila kujuwa aababu ya Mungu kuyaacha hayo yatokee? au hujui kwanini Mungu anasema tumtatute? je? unafikiri anasema tumtafute kama tunavyo tafuta pesa,,? la hasha ni kufikiria yale alio yasema yaani ukilinganisha hilinahili upate kuelewa ana maanisha nini
@@amedeusmtui5495 Yesu ni MUNGU 100% waingizwe tu mkenge wasiojishughlisha kusoma neno
WARAKA WA KWANZA WA YOHANA 5
20 NASI TWAJUA KWAMBA MWANA WA MUNGU AMEKWISHA KUJA, NAYE AMETUPA AKILI KWAMBA TUMJUE YEYE ALIYE WA KWELI, NASI TUMO NDANI YAKE YEYE ALIYE WA KWELI, YAANI, NDANI YA MWANA WAKE YESU KRISTO, HUYU NDIYE MUNGU WA KWELI, NA UZIMA WA MILELE.
AMEN!!!💖💖💖
Upofu wako ndio kikombe chako , ila Mungu n mwenye rehema anakuhtj Zaid so sisi kama wakristo tunakuombea uione rehema n pia jifunze kusoma bible vizuri n roho mtakatifu akuongoze uyapate mafunuo haya , maaan mpinga kristo yupo mbioni n anafamya kazi
Ukileta hoja yoyote inayomhusu Yesu kristo lazima huwe na ushahidi kamili wa kwenye Bible sio kusema vile unavyowaza hiyo nimbaya na upotoshaji wa Neno la Mungu.
ANGALIA = 13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu; (Tito 2:13)
W tz wanaoamin wahubiri badala ya kusoma neno la mungu ni janga hyu aombewe amepagawa au konyagi yohn 1 kulikuwako neno naye neno alikuwako yesu ni mungu mwanzo na mwisho
Amena amen
Anayoyasema yapo kasome utaona
@@JohnMahu-f1g acha uongo
@@JohnMahu-f1g Wewe ndio umepagawa siukasome hayo maandiko aliyoyataja
Mungu akurehemu
Huwezi kumjua Yesu bila yeye kujifunua kwako,mathayo 11;27 Yesu ni Mungu hakuna ubishi.Wanaochanganywa na maandiko nawashauri waokoke kwanza,waishi maisha matakatifu,wajazwe Roho mtakatifu ndipo watamuelewa vizuri 1wakorinto 2;13(atajifunua kwao).Waulize wanaosema kuwa Yesu si Mungu ,waliambiwa na Roho mtktfu au wamepotelea kwenye maandiko? Maandiko hayo yameandikwa kwa uongozi wa Roho mt ,hivyo ukitaka kuyaelewa lazima ujazwe Roho yuleyule maana hayatambuliki kwa hekima ya kibinadamu,thx
Kwahiyo wewe mbwa unataka kusema yaani wewe wakati unakuja dunia ulipita sehemu ya siri ya mama yako na huyo mungu wako yesu wakati anakuja duniani alipita sehemu ya siri ya Mariam yaani kwenye uchi wa Mariam Sasa wewe siutakuwa ni taira huyo ni mungu gani wa hivyo
@@hajimasoud7210 kwa njia hiyo ya matusi na ubishi hautamjua Yesu,naomba akusamehe nami nimekusamehe maana hujui au unajua nguvu zinazokutumia..Mpokee Yesu,uliishi neno lake ,ujazwe Roho mtakatifu ,atajitamburisha kwako ya kuwa yeye ni nani,Asante ,Mungu akupe kipawa cha wokovu shekh
Acha matusi aisee, wewe unaupofu wa kimaandiko, Yesu mwenyewe anakwambia mimi ni alfa na omega yaani wamwanzo na wamwisho, tena anasema kabla ya Ibrahim mimi niko, Yesu anatamka kwa kinywa chake. Sasa kama alikuwepo kabla hata ya Babu wa mababu Ibrahim, wewe unamzungumziaje kibinadam, tizama usiwe kama wale waliomsurubisha maana alipojitanabaisha kuwa yu Mungu waliona amekufuru nakumsema kuwa anafundisha mafundisho mapotofu maana walikua na idea kama zako, Tumwombe atuokoe nakututoa kwenye upofu huo. Usitukane maana u naupofu wakimaandiko.
@@hajimasoud7210 umemuelewa vzuri uliekomenti kwake au unajibu kudhihirisha ujinga wako amejibu alichosoma na wewe lete ulichosoma sio ushabiki na ujinga ujinga lete maandiko yanayozuia yesu kutokua Mungu kwenye biblia
Amen amen
Mbele ya mungu wako unasimama kwa maneno yako.
Lakini baada ya kukusikiliza inaonesha wewe ni sawa na Askofu Nikodemu aliyeshangaa uzaliwa wa mtu mara ya pili. Kwako
(1) Hujaokoka
(2) Kwa kukosa wokovu umeshindwa kujua pande mbili za Yesu, ambazo hayo aliyosema Yesu alikuwa wapi na akiwa nani.
(3) Kwa kukosa kwako kuokoka umeshindwa kujua Yesu Duniani alikuja kufanya nini. Sikushangai, kwani ndani ya nyumba kuna vyombo vyenye thamani na visivyo na thamani. Huna uwezo wa kubadilisha kitu, YESU NI MUNGU.
divine guidance
Sahihi kabisa we mzee Uwe MUISLAMU TU Allah akuongoze YESU Ni nabii tu wa MUNGU
Mzee wa upako ni mlevi hap kagonga bia zake anaongea utumbo utumbo kalale wewe
Huyu mzee wa upako ni shangingi flani la kikristo.maandiko yapo wazi kabisa Yesu ndie huyohuyo Mungua katika utendaji wake wa kazi
Akili huna
Mkichaa wewe unaepinga ukweli yesu ni mtume
In Catholic mungu ni mmoja katika nafsi tofauti ni tafakari ya dominika ya pili ILIYOPITA .huyu amepotea tayar ni kumwombea tu apate mwanga
@@FadhilaHakimungu Moja katika nafsi tatu huo ni upangani ulioingizwa kanisani mwaka wa 3 baada ya yesu kuondoka mbona Kila kitu Kiko wazi anaempinga Mzee wa upako ampinge kwa hoja
Kwan mzee wa upako anatumia biblia gani maana maandiko yanayosema Yesu ni Mungu yamejaa tele., au kama anatumia quran pia aseme maana ndyo kitabu kinachopinga uungu wa Yesu
Sasa kama anasema Yesu si Mungu anasubiri nini kanisani.,si afadhali aende msikitini akaungane na waislamu na quran kupinga uungu wa Yesu!!!
Acha kufundisha watu uongo sifa zote alizanazo Mungu na Yesu anazo,utahukumiwa Kwa kufundisha uongo huu sijui kama unafundisha Kwa kutokujua au Kwa kujua
Ww acha kumsingizia mungu mungu hana sifa kama za yesu mungu alizaliwa na nan pia mungu alinyonya wap mungu hana sifa kama za yesu
Yesu mamake ni mariam.....
Mmke Mungu anaitwa nanni????
Umeona wapi Mungu anakula mkate
Mungu hawez kutahiriwa na kiumbe wake aliemuumba,
Swadakta
Yeye mwenyewe anaajichanganya, mwili wa nyama aliotoka nao kwa Mariam aliuvua palepale alipokufa msalabani, anasema Yohana baada ya miaka 30 alimwona akiwa na. Mwili mwinginekabisa, mwili wenye utukufu, anasema alipomwona alizimia, kwanini azimie maana alimona Mungu. Tizama sifa alizomwona nazo, macho kama miale ya moto, sura kama mwangaza wa jua, sauti kama wa maji mengi nk. Alikua na mwili wa utukufu, mtukufu ni Mungu tu, kwanini manajichanganya afu mnasifiana.
Kwahilo lakusema alitahiriwa ni pale unapomwangalia Yesu kibinadamu, ili akubalike katika jamii ilibidi afanye hayo ili aishi na jamii Ile ili aweze kuwahubiri Habari njema, hebu fikiria kama angekuja kwa utukufu ule wa mbinguni, nani angeweza kuwa nae karibu? Alijishusha ili injili itufikie. Kwahiyo usimwangalie Yesu in a human perspective. Mtizame Yesu yule aliekuwepo kabla ya Ibrahim babu yenu, Yule Yesu katika Yohana 1:1-14, yaani pale tunaposoma kuwa alikua neno nae neno alikua kwa Mungu, nae neno alikua Mungu, akafanyika Mwili nao utukufu wake tukaona kama utukufu wa mwana pekee wa Mungu. Jamani kwanini hatusomi maandiko? Yaani alikua kwa Mungu nae alikua Mungu. Ila sisi wanadamu tukamwona kama mwana pekee wa Mungu. Mnataka andiko lipi mjue kuwa alikua Mungu? Ee baba wasamehe maana hawajui wayafikiriayo.
Nyie ambae mmeshawahi kumuona Mungu tuambie anafananaje?
Wamekisa maarifa dada, wameamua kupotezana.@@WinfridaCreitus-bf3zn
Wana macho hawaoni wanamaskio hawasikiii leo sio Muislam kasema kukwambia Mungu ni mmoja bali mzee wa Upako ndio anakuwekeni wazi kuwa Mungu mmoja na Yesu sio mungu
Yesu n mwana wa mungu na mungu hazai binadam anazaa mungu
Hahahahaahahah😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mzee wa upako au mpiga pesa za waislam
Mzee wangu nimekuelewa❤❤🎉🎉
Yesu in mungu
Soma mathayo 1:23 Tazama bikira atachukua mimba naye atamzaa mwana nao watamwita jina lake Emmanuel mungu pamoja nasi.
Anaetoa hizo taarifa hapo ni mathoyo ndio alieziandika hizo habari,sisi hatuwezi kuamini hizo taarifa,yesu mwenyewe kasema Mimi ni mtu,anatokea mathayo anasema yesu ni mungu,tumuamini nani, mathayo au tumuamini yesu mwenyewe aliyejitambulisha kuwa ni mtu,
Upo sahihi Sana Mzee wa upako, wafundishe watu wanahubiri utamaduni wa Warumi wanafanya kua Injili.
Watu hawakumwelewa Yesu na hawata mwelewa milele. Yesu alikuwa binadamu aslimia 100.
Ajidhaniae amesimama aangalie asianguke
Tabiriwa na manabii kama yeye waseme utakuja,zaliwa kiroho kama yeye,fufua watu kama yeye,tebea juu ya maji uliwa na usurubiwe fufuka siku ya tatu na upae angani ikielekea paradiso,kama wewe ni mwanadamu kama yeye.
Kuna watu walikuja kuwapoteza kwa kuwatia iman nakuwafanya wasitumie akil na ndo mana wanajifichia kwa roho mtakatifu pale unapowambia ukwel ila naamin kupitia mchungaj wao kuna vitu vtawafanya watafakar
Km ww usingemwelewa ndo mana bibilia inasema alifanyika kuwa mwili ko yesu n mungu
Kwani yesu alitoka wapi
Uko sawa mzee kabisa yani mungu hazai hajulikani alivyo yesu watu waliish nae na alimuomba Amuepushe na baraa
Mzee wa upako unanena vema sana barikiwa sana
Haki mandiko yana timia wewe unaye sema yesu sii Mungu naa fikiri wewe ni mzee wamashatani
Yesu ni Mungu kweli
Ata yesu alimulizaa petro watu wabasema mimi ni nani petro hakamjibu wew n mwana wa Mungu ulie hai🙏🙏🙏
Hiyo njia ulioichangua mzee itakuangamiza mungu anachukia upotoshaja@
Mzee wa upoko ni muukweli
Kondoo aliyepotea
Yesu ni Mungu. Isaya 6: 9
Hakuna hajaye Kwa Baba ila Kwa njia ya MIMI.
FILIPO alijibiwa.
Hakuna atakayeelewa haya ila MTEULE TUU.
Daaaaaa hakuna ajae kwa baba ila kwa njia yangu??? Kweli kaka Akyoo hapo mimi cjaelewa kifungu hiki kinanichanganyaga sn
Yesu anakazi gani mbinguni mda huu??@McbarakaeventsTz
@McbarakaeventsTz jibu swali anakazi gani
@McbarakaeventsTz labda ujanielewa Yesu mbinguni yupo na kazi basi kaka mm nakutaka unambie iyo kazi. Mbona simple tu.
Yesu anakuona tubu KWA maneno Kuntu yasiyo na uzima wala uhai ,wewe sio mkristo ,sis wakristo tunaamini Yesu ni MUNGU , MUNGU pamoja nasi baba wa Milele
soma vizuri biblia.huyo mzee wa upako anatoa maandiko kwa biblia.someni biblia ndio utajua
Huyo ni tapeli tyu yupo ki pesa
Mathayo 3:17 na tazama sauti kutoka MBINGUNI ikasikika ikisema huyu ndiye mwanangu nipendezwaye naye msikilizeni yeye
❤❤❤❤
Swadakta Mzee wa upako
Hakika upo saw yesu sio mungu na ana sifa ya uungu wala usimuingize yesu kwenye mtihani siku ya kihama aulizwe na mwenyez mung
Kwani wewe unajua hiyo kiama Nani atahukumu
Naye neno ni Mungu, naye neno akafanyika mwili, yaani wakristo wa siku hizi jau kweli
Sio wote,.Wale aliojifunua kwao wanamjua na kumuelewa ,achana na huyu mtumishi ambaye anahararisha kutoelewa kwake,mathayo 11;27
Na Kila jicho litamwona, na hao waliomchoma watamwona, YESU NI MUNGU KWELI KUTOKA KATIKA MUNGU KWELI,!!!!!
@user-wq4pl5dv6b
Ukisoma Biblia kwa utashi wako hutaelewa kaa hivyo hivyo.Au tafuta watu wakuelesmishe.kwa nini Ni Neno.Kwa maana Mungu aliumba kilakitu kwa neno vitu vikawa.Ila wewe kibinadamu huwezi tamka vitu vikawa ndio maana yake.
Wakristo weng hawasom bibilia ni wafata mkumbo wakat yesu akiwa tumbon mwa mam ake nan alikuw anaongoza dunia kama yesu ni mungu mzee wa upako uko sawa
Swali la kijinga kabisa😅😅
Amen Mzee nakubaliana nawe mia kwa mia ubarikiwa
YESU ni MUNGU tena Mkuu
Tito 2:13
Duh!maajabu,mungu mkuu katahiriwa,mungu mkuu kasulubiwa na wanadamu,mungu mkuu kafa msalabani kwa kipigo,je siku tatu ambazo alikuwa amekufa,ni nani aliyekuwa akiusimamia ulimwengu?
Yesu ni mungu nafsi ya pili na kabla hajapewa jina la yesu alifahamika kama neno na alikuwepa kabla ya dunia kuumbwa rejea kitabu Cha mwazo mungu amesema na tumfanye mtu Kwa sura na mfano wetu alikuwa na yesu
yesu sio mungu kweli Mzee Wa upako
uko sawa
Soma Neno Mzee wa upako wafilipi 2:5-10 jitahid kujua unabii acha kudanganya watu wa Mungu na msome nabii Isaya vzr
Pambana na zambi watu wajitakase YESU analudi kwani masomo Yamaha antoney lusekelo koo wewe umeona ndio somo lakubabadilisha my iyo Y😂ao ao 5:57 washilika wako wapi mitume namanabi I walisimama kuya zungumuzia
Umesema kweli Mzee wa Upako Mwenyezi Mungu akubariki.
Kanisa ni moja tu ,katoliki la mitume
Macho jua mm Yesu ni njia ya uzima ya kunifikisha mbinguni tena anasema mtu awezi kufika Kwa Baba bila kupitia kwake hivi mnajumbuka Yesu aliwauliza wanafunzi wake akasema watu wanamwitaje na akawaambia na ninyi je wasenaje kumbuka majibu ya wanafunzi wa Yesu wanaye sema Yesu sio Mungu na wanaye sema Yesu ni Mungu mtajaza kupitia majibu ya wanafunzi wake
😂😂 Mzee mbona unajichanganya tena Mara Yesu sio Mungu mara Mungu.
Luka 9:20 Akawaambia, Nanyi mwasema ya kwamba mimi ni nani? Petro akamjibu akasema, Ndiwe Kristo wa Mungu.
Ukweli tusiopenda kusikia
Mungu atatutia nguvu hata mbuyu ulianza kama mchicha
Ungekua unajua vyema maandiko unpeeled kuwa huu si ukweli ni upotofu. Wanafunzi wake wakamuuliza unasema unakwenda kwa baba tuonyeshe basi huyo baba, akasema nalikua nanyi siku zote hamkunijua? Lakini maeneo mengi tu anajitanabaisha kuwa mimi niko ambae niko, mimi ni alfa na omega. Lakini maandiko yanathibitisha kuwa Yesu ni Mungu, ukitamani tuyachakate nambie tuendelee nikuthibitishie.
soma Yohana Sur ya 1 yote hapo utaelewa uungu waYesu
@@joshuandone468 kweli lakini hakusema yeye ni Mungu... ndio point yake anakusudia Kwa Nafasi yake yesu kulinganisha na Sisi wanaadam Daraja yake ipo Juu, ila kwa Mungu Hafanani nae. I think Hapo ndio Anakusudia.
Oya ndugu mungu hakuzaa hwa raaku zariwa irayesu kazaliwawp
Mzee wa Upako, mimi mtumishi mwenzako (japo nilistaafu miaka 20 iliyopita) nataka kusema nawe.
1. Mwanzo 1:26,27 kisarufi ya kiebrania Mungu (Siyo miungu) akasema, naniumbe mtu kwa mfano wangu na kwa sura yangu.
2. Kumbukumbu la torati 6:4 Mungu ni moja.
3. Mwanzo 3. 9,10 Mungu anatembea, haoni alipojificha Adam na anamtafuta. Hii tunaita anthropomorphic language. Yaani, Mungu aliye Roho (Mwanzo 1:2b, Yohana 4:24) anawezaje kutembea kwa miguu? Anawezaje kuto muona Adam Kwenye bustani aliyoiumba mwenyewe? Hiyo lugha ni pedagogical.
4. Mungu ni mmoja ana pedagogical trinitarian existence.
MUNGU ni BABA ili tuwe na government. Yesu ni Mungu mwana ili tupate Haki ya Mungu. Roho Mtakatifu ni Mungu ili kuwe nguvu za Mungu kuitawala dunia.
🙏🙏🙏 ubarikiwe
Hakika Hekima za wanadamu mbele za Mungu ni upuuzi Anthony lusekelo rudi miguuni pa Yesu ukatubu nafasi bado ingalipo😥
YESU LEO YUKO KWETU KAMA ROHO MTAKATIFU...NDIYE YESU LEO.....NDIYE ANAYEKAA NDANI YETU TUMUAMINIO LEO....
Waeleweshe, ipo Siku tu Wengi/Wote Wataelewa tu, Tuombeane Heri Wakati Wote, Aamina.
Yesu ni MUNGU kwa wakirsto,sisi waislam tuna MUNGU Moja tu,hakuna MUNGINE Tena.
Hapo umechemsha mzee
Umejichora ulikuja na mafuta ya upako mbingu zimekukataa watoto wa machifu dunian ni machifu sembuse yeye aliye jitoa uhai umepoteana mzee wa upako Yesu Ni Mungu mwana waumini wako wameingiliwa
Kweli yesu ni mtume kama mtume,
Sio mungu ndugu zetu wakristo
Mbona hujakubali kama Yesu ni Mwana wa Mungu kama mwalimu alivyoeleza hapo
YOHANA 20:28" Thomaso akamwambia(Yesu), Bwana wangu na Mungu wangu, Yesu akamwambia, wewe kwakuwa umeniona umesadiki, heri wanaoamini bila kuona"......je, kama Yesu si Mungu kwanini alikubali kuitwa na Thomaso kuwa ni Bwana na Mungu?..tena alimpongeza Thomaso Kwa kumtambua yeye kuwa ni Bwana na ni Mungu?
Tito 2:13 Tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa kristo Yesu MUNGU MKUU na mwokozi wetu.
Hivi haya maandiko hamuyaoni au mkifika ukurasa huo mnaruka??!!
Bora umesema ukweli ,allah akuafikishe uwe muislamu
MUNGU YUKO NDANI YA YESU NA YESU YUKO NDANI YA MUNGU NA SISI TUNAOMWAMINI YESU KRISTO KAMA BWANA NA MWOKOZI WETU TUKO NDANI YA YESU NA YEYE YUKO NDANI YETU. ......
Kama una roho mtakatifu utaweza kujua kuwa jina la Yesu ni (Kristo Yesu or YESU KRISTO) Hivi ndivyo ukamilifu wa jina Hilo ikimaanisha kuwa Jina Yesu = ni mwili alioupata kutoka kwa Mariamu ambao ndio ulimpa kristo uwezo na uwalali wakufanya kazi duniani na ndio uliotumika kumshinda Dunia na mambo dhambi zake.
Kristo ni roho iliyotoka kwa BABA NA YANI NAFSI YA MWANA. Ambapo hii nafsi inayoitwa Kristo sasa ndio iliyokuwa ikitenda kazi ndani ya mwili unaoitwa Yesu. Sasa.
NB: kwakuwa ni nafsi ya MUNGU (Kristo) iliyokuwa inatenda KAZI ndani ya mwili unaoitwa (Yesu) sasa YESU KRISTO NI MUNGU.
UKISOMA BIBLE NAYO INASEMA WAZI HAPA
13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;
Tito 2:13
Allah akupe mwisho mwema kwa ukweli unaoutoa usiogope binadam mungu Yuko pamoja na wewe
Mzee wa upako tunashukuru kwa mafunzo yako yakumjuwa Mungu mmoja tu
Allahuakbar
Yesu sio mungu wala sio mwana wa mungu wala si utatu katika utatu ila ni mtume wa Allah kapewa injili kazaliwa kwa miujiza wa neno liliyotoka kwa Allah na Maryam bikira
Neno la Mungu lilikuwa kwa Yesu.Tulizungumza na Mungu aslimia100 kupitia kinnywa cha Yesu.aliye muona yesu alimuonaMungu kwa NENO sio kwa kwa umbo.na ukweli huu haupingiki.Lusekelo yuko sawa.
Napenda sana kukusikliza
Multiplication ya mungu inawachanganya sana wanadamu. Maana wanadamu wanaichambua kimwili.