Kama unakubalianaa na mm Kuwa hikii kipindi Cha hivi ni kwel ni bongeee mojaaaa la kipindi na ulikimic sanà gongaa likeee twendeee sawa na mwanetu mo town sanyaaa!!!
Ndugu kipindi kizuri sana ila mnapokosea pale mnapomzingua mpita njia alafu hammalizii kumtoa hofu kwa kumwambia bhana yule ndo mkali wao bhana kamera imekubamba iyo mfano tu sasa mnamuacha mtu adi anaondo anaondoka na hasira jazba itamfanya uko anapoelekea asiwe sawa lekebisheni kipindi kwenye icho kipengele
Kama unakubalianaa na mm Kuwa hikii kipindi Cha hivi ni kwel ni bongeee mojaaaa la kipindi na ulikimic sanà gongaa likeee twendeee sawa na mwanetu mo town sanyaaa!!!
Kinaonyeshwa ln
Kilaaa jumatanoo
👊👊👊
Finally 💃💃💃💃💃 my favorite kipindi on Wasafi Tv. #IVINIKWELI🔥🔥🔥🔥🔥❤❤❤. Imenoga
Hi
Bora ata mmerudisha bonge la kipind💪💪💪🔥🔥🔥💪💪💪
Kimerejea Tena🤣,
Big up sanaaa,
Ila Mkali wenu umezingua, Ubaharia kibao kumbe unanyonya Kidole😂😂..
Mdomo koma🤭
Awo awoteeee 🏆🏆🏆🏆🏆🏆ushindi mwingi kizazi Sana hivi ni kweli mkaliwenu Kama kazingua kimtindo ama mhmh hivi ni kweli
Fanya uje na Mkojani mo town Sanya 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Atatisha
Lazima ikamate 1# on trending
Mo town sany Hiv ni kweli Back Again like kwake
Mkali wenu mbona ananyonya kidole🤣🤣🤣
@@bigboss1192 sio rizik uyo
Sheria adabu
Leo ndy wa kwanz naomb like zen
nikweli kaka
Pindi letu bora kutokea Wasafi limeludi 💪👏👏
Mo town sanya nembo za mtaa 😄Hivi ni kweli bado hujapewa zawadi ya gari aina ya FJ na Boss Naseeb kwa ufanyakazi bora?
😄
Tatizo star
Napenda azam..😀😀😀😂😂😂iiiih mwanangu una moyo.. ila mkali wenu amezingua ameharibu kipindi kizuri...
Dah saf sana sema gigy katupotezea vimatangazo vyetu vya tecno
Masha allah Mo town Sanya nilimis mno kipindi chako kaja yng ahsante sana leo umenifurahisha mno allah akulindeeeee
🤣🤣🤣🤣wa bongo lakini love from bujumbura
Karibu sana bongo utainjoy
Naomba mtuletee mkojani ama mkude hapa tafrahi sana all love from kenya
Mkali wenu kweli nomaaa
🔥🔥🔥🔥kama unamkubali mkali wenu
Dah sanya nilimiss kinoma iki kipindi. I'm happy sanya ipo in now👋🇹🇿.
We missed you tannyaa thanks for coming back #254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nimekua nime ki miss hiki kipindi😗😗😗from🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Karibu tz
Bt aisha
Raha sanaa, mwnangu unajuaaa Sana, #Nembo ya mtaaaa
Tuli ku miss moo😍😍😍 hasa gonga beat
Hiii ya leo mbona kama kali sana 🤣🤣🤣🤞
Mwanzo nilihisi kama naboreka kulingana na ujaji wa @mkaliwenu
Asee leo nmecheka mpaka Basi, hiki kipindi kibaki hewani tu😂😂😂😂
Bado the story book, I hope mmeiongezea manjonjo pia.
Da huyo jamaa anajiamini halaf yuko serious sana na kazi japo hamjui mkal wenu
Imerudi tena! 💪
Yani na Mimi nilikuwa nakimiss sana
Wasafi hii industry wameiteka vibaya sana
Yeeeeeessssss mo town sanya is back good job boy 👏👏🙏
Hivi ni kwel n show tunaikubl sn tunaomb ifike hadi uku Zanzibar
Sanya nakukubali sana
nakukubali mwanangu
Noma sana mkali wenu
Show kaliiiiiiiiiiii ila mkali wenu kidogo kazingua kwa watu !!!!!!
Nilikumis sana mwanangu Sanyaaaa
Et kama unavoona 😂😂 unaona nini !? nipe nauli niondoke
Sema Sanya unazungua sana kwetu ufiki yani munasemu zenu kwetu ufiki wakati tuna Mambo mengi sana uku
Sanya nakubali mwanangu umerudi
Mnatisha sana
Daah tulikimisi kishenzi 💪💪💪 pindi na moja atal sna 💣💣💣💥
Safi saana kwakurudi hikikipindi nilikimisi saana sema alivofanya mkaliwenu kuwafanyia mashabiki sijapenda kabisa .naitwa kassim kinondoni studio apa
Mtaan kwetu studio
@@edigergabriel3711 Bora sanya angekuja peke yake
Hivi Ni Kweli
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
pindi letu limerudi axee #nakubali
Mo unazingua eti mungu akuweke
Da kali sna
Very creative motownsanya
Nimecheka mbaya mzeeyaa uko juu
Mo nilikumic ile kinoma yani karibu tena kitaani √√
Joti mkaliwenu😀😀😀😀😀😀
Sanyaaaa bhana we Noma sana
Naipenda San ichi kipendii unipa furah San atakam Nina stress #mo town sanya gud boy
Kazi mnzuri Sana nilimiss kipindi
Heheheheee mjomba umechukua rushwa
Gonga beat mbavu zangu heheee
Mo town sanya nembo ya mtaaa, Nakubali damu yangu
Ila kipindi cha leo sijakipenda uyo mkali wenu anamakelele kibao kwanza watu wote hawakujui unaumaalufu wa mtandao tu kwendraaaaaa
Kiukweli hichi kipindi nilikimis sana mlivofungiwa nilikuwa nakiwaza sana nitakiona wapi hichi kipindi
🤣🤣🤣🤣🤣 at umekula or umechukua lushwa😂😂😂😂😂 you people are to funny
Welcome again bro mo town sanya
Niliimisi sanaaa HIVI NI KWELI Daaaah
nembo ya mtaa 🎷🎷🎷🎷
Like za mo sanya
Awootee imerudi tena 🚦
Sanya njoo na shinyanga
Aisee mkali wenu
Ningelikutia ngumi hilo
Msenge wew,,,,MUSIWE MUNA WABOA
WATU AMBAO KIIVYO MUTAKUJA KUCHEZEE VITU mkali wenu umezingua sana fala wew
Tumekumisi bro welcome back
Kwa mfano yuko vizuri
Aliomwona mkaliwenu ananyonya kidole like apoo
Kiki
Mmetisha Sana
😂😂 Brazaa angu uyuuu shikamoo kakaa!!
Motownsanya nomaaaaa
Nilimis sana hii kitu Jmn daah
Ebana leo mmetisha kinoma bidada kacheka mpka kajisaidia
Uuuwiiiiiii' jamani yani kuna watu duniani wapo kama hawapo
Noma sana
Mo Town Sanya Fanya Mpango Aje MKOJANI🕌🕪🕪🕪 kumbe ng'oombe ww hunijuiiii....!
Gud aidia
Mkali wenu miyeyusho sana 😄😂😂 kanogesha kipindi
Bwana mdogo kwa jpti ni parefu sana kujifananisha nae labda marehemu kinyambi!!sema umefanya ubunifu
😂😂😂 wabongo kwa uongo et joti kabadilika
Hili pindi nalikubali kinomaaaa
Anazigua sana
Eti family yako njo serikali yako😀🇨🇩🇺🇬
Oya uyo mxhkaji mwenye xhati nyekundu anavuma t😄😄
Wa tz nawakubali kinyama 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Dah mdau kajichangany mkali wenu kua JoTi
Mkariii karoho kanamuuma hawamjui 😂,Alijua watamshobekea
🔥🔥
Ndugu kipindi kizuri sana ila mnapokosea pale mnapomzingua mpita njia alafu hammalizii kumtoa hofu kwa kumwambia bhana yule ndo mkali wao bhana kamera imekubamba iyo mfano tu sasa mnamuacha mtu adi anaondo anaondoka na hasira jazba itamfanya uko anapoelekea asiwe sawa lekebisheni kipindi kwenye icho kipengele
Show kali
Daaah nimechelewa wap pindi lataifa limerudi
Hehehehe mkali wenu khaaaa 😂😂😂😂😂😂Joti wa mchongo
Wabongo namujua joti 😂😂
Pindi bomba mtangazi nae yuko bomba
Kwani huo mdole vp Mkaliwenu😂😂😂😂
Mungu na ntume brother umechukua hongo😂😂
Imerudiiiiiiii tena jmn
Ila Mkaliwenu hajulikan jmn
😂😂😂😂😂kaniacha hoi anaemsifia mkaliwenu alijua joti
More creative
Atariiiiii sana