EXCLUSIVE NA MREMBO ANAYEISHI NA NYOKA | HUU NDIO UKWELI WA HISTORIA YAKE YA UTAJIRI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ต.ค. 2024
  • Our mission is to bring people together,entertain and educate people that's why we create content that does exactly that
    ;Cast Latifa Mussa
    :Host JS
    : Camera 1 Charles
    : Camer 2 Kasamalu

ความคิดเห็น • 75

  • @mathiasndekimo3983
    @mathiasndekimo3983 4 หลายเดือนก่อน +5

    huyo dada nimchawi kweli na aliongea mwanzo niukweli Sema kapigwa mabiti naserikali kupotosha vijana waache kufanya kazi wafate ushenzi Yani huyu kazingua sana sana mbona mwanzoni alijiamin sana saiv imekuwaje anashindwa kuongea acheni kufanya watu watoto wadogo

    • @arafatali2796
      @arafatali2796 4 หลายเดือนก่อน

      kwaio kuwwambia vijn wafany kaz waach kuuw na tamaa na majoka ndo ushenz ama vip

    • @LiangGirle
      @LiangGirle 4 หลายเดือนก่อน

      Huyu muongo atakuwa katishiwa tu ila mchawi kwer​@@arafatali2796

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 4 หลายเดือนก่อน

      Anasafisha chanel maana walitaka kufungiwa na zile clip zote waliambiwa wafute😂😂😂

    • @aminamaulid7371
      @aminamaulid7371 3 หลายเดือนก่อน

      Pumbafu zake asingepigwa mikwara ingekuwaje? Mwanga mmoja tu huyu.

  • @GodfreyGabriel-jn8ge
    @GodfreyGabriel-jn8ge 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hamna cha ilikuwa ni story hapo bali ni uhalisia/ukweli. Ushauri wangu kwake, atubu kwa MUUMBA wetu kisha aachane na ushetani huo.

  • @channychizzo5144
    @channychizzo5144 4 หลายเดือนก่อน

    Hujyamuliza vizuri. Kama ilikuwa story mbona hukumuwuliza ile nyoka tuliwona ilitoka wapi?

  • @SahimSalim-l5f
    @SahimSalim-l5f 4 หลายเดือนก่อน +1

    Media nyingi za kibongo habr zao utaskia alikiba kajamba, diamond kahara, wema sepetu anaugua, tafteni habr za maana watu wanachangamoto kibao, za maisha acheni ujinga msitulete habr za ujinga

    • @SharonGodwill
      @SharonGodwill 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂 umeniuwa

  • @sirlimomari2633
    @sirlimomari2633 4 หลายเดือนก่อน +1

    Bongo touch mnazingua mnatufanya watoto.
    Ingependeza mtangazaji yulyule aliyemuhoji akiwa na joka amuhoji hii video,, kuna kitu kingine tungekijua

  • @VictorLyimo-so9xr
    @VictorLyimo-so9xr 4 หลายเดือนก่อน +1

    Uyo nyoka anaye mpaka Sasa anampa ela,ila amekatazwa asiongee hzo habari vijana watamaliza ndugu

  • @sirlimomari2633
    @sirlimomari2633 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ya kwanza ilikuwa ina % kubwa ya ukweli,, alaf anasema Et kuiendleza story mpk apate kibali,, kibali kutoka kwa jini au

  • @SOPHIABUNZAR
    @SOPHIABUNZAR 3 หลายเดือนก่อน

    Dada mwamin mungu yeye nitajir wamatajir

  • @LuluByams
    @LuluByams 4 หลายเดือนก่อน

    Niukweli Utaigiza vipi Na nyoka Mkubwa ka yule

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 4 หลายเดือนก่อน

    kumbe ajakoma😊😊

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 4 หลายเดือนก่อน

    Muongo sasa kama ni story na huyo nyoka wa nani na umempata wapi na

  • @NuruBakari-w7l
    @NuruBakari-w7l 4 หลายเดือนก่อน

    Mi nauliza kama ilikuwa story tu na wale wazazi wliohojiwa na ndugu je aliwapanga? Mbona mi dielewi

  • @rukiahabib3444
    @rukiahabib3444 4 หลายเดือนก่อน

    mbona nyumba ya mwanzo na hii ni tofauti ama hawa wanatutungia hadithi za abunuasi hapa alaf nguo ni ile ile ama nyoka alisema uvae nguo hio hio

  • @MwaIne
    @MwaIne 4 หลายเดือนก่อน

    Mmh

  • @HawaShaibu-dq5nr
    @HawaShaibu-dq5nr 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu dada ni muongo sana

  • @ZaituniAthumani-q8u
    @ZaituniAthumani-q8u 2 หลายเดือนก่อน

    Mh

  • @charlestryphone656
    @charlestryphone656 4 หลายเดือนก่อน

    Mwandishi wa habari unahoji kiboya huna maswali yanye maana! Unashindwa kumuuliza huyo nyoka niwananan na amewezaje kupata comfidance yakumshika!

    • @LiangGirle
      @LiangGirle 4 หลายเดือนก่อน

      Nikwer kabisa huyu dada nimchawi tu

  • @KhamisiOmar-v3h
    @KhamisiOmar-v3h 4 หลายเดือนก่อน +2

    Kusema kweli watu walitoa laana nyingi sana na maneno yasio kuwa mazuri kama ni kweli huyu dada anavo sema ni story.paa watu wajufunze kupitia hili wasitoe hukuma kabla ya mwisho wakitendo..

    • @TifaMussa
      @TifaMussa 4 หลายเดือนก่อน

      ❤hakika

    • @TifaMussa
      @TifaMussa 4 หลายเดือนก่อน

      ❤❤❤❤

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ni mkirsto baba ako amesema marina umejibadil8sha kwanini unausaliti uislam

    • @nusaebahkeis6774
      @nusaebahkeis6774 4 หลายเดือนก่อน +1

      Wanaudhalisha uislam nankuukaahif kwa manufaaa yake

  • @VivanAmasi
    @VivanAmasi 4 หลายเดือนก่อน

    Mmmh ss yule nyoka ilikuaje

  • @jamyabdul4321
    @jamyabdul4321 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ile ya kwanza inaukweli ndani yake... jamani yule mwandishi alivyokuwa anaruka nyoka asimguse😅😅 kweli leo ni mwandishi wa vitabu? Duuuhh.

    • @LiangGirle
      @LiangGirle 4 หลายเดือนก่อน

      Huyu dada nimshenzi kaamua kuzuga tu ila nimchawi kwer

    • @SwaumuRamadhanDhahabu
      @SwaumuRamadhanDhahabu 3 หลายเดือนก่อน

      Huyu ni muongo sana jaman

  • @PauloBarton
    @PauloBarton 4 หลายเดือนก่อน

    Ukweli tunaujua uchawi was nyoka tunaujua wewe nimchawi kweli Acha kutuzuga

  • @abdallahsaid4139
    @abdallahsaid4139 4 หลายเดือนก่อน

    Na kile ulichotonyesha ni nn mdoli

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa6817 4 หลายเดือนก่อน

    Uongo mtupu,
    Wala haielekei uongo wake.
    Kashabanwa asidanganye watu, lkn na hili pia anadanganya.

  • @VictoriaMsiagi
    @VictoriaMsiagi 3 หลายเดือนก่อน

    Mshenzi huyu kabadilisha eti ni story

  • @susanlikokhe4361
    @susanlikokhe4361 4 หลายเดือนก่อน

    Dress code

  • @NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM
    @NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM 4 หลายเดือนก่อน

    Ila kweli we dada Ulitumia makosa makubwa sana kutumia mtandao kupotosha jamii

  • @abdallahsaid4139
    @abdallahsaid4139 4 หลายเดือนก่อน

    huyu anaogopa mkwala wa serikali

  • @aboudijaaboudija
    @aboudijaaboudija 4 หลายเดือนก่อน

    upuuuzi

  • @salamamohamed843
    @salamamohamed843 4 หลายเดือนก่อน

    Anaficha tuu pumbafu mambo yangewageukiaaa

  • @josemselle3844
    @josemselle3844 4 หลายเดือนก่อน

    Ni muongo sana

  • @SahimSalim-l5f
    @SahimSalim-l5f 4 หลายเดือนก่อน

    Nyinyi wenye chanal mnatafuta Kiki tu na uyu Dada anatafuta Kiki, ilimradi mpate viewers TH-cam na mpate pesa ya youtube, apo mwanzo ilikuwa hamjui kama anaongea uongo kuhusu nyoka, tafteni habar za maana mtuletee acheni ujingaa

  • @magdalenaisrael3432
    @magdalenaisrael3432 4 หลายเดือนก่อน

    Alhaji do sule alisema muongo kweli🤨

  • @esterpaul5856
    @esterpaul5856 4 หลายเดือนก่อน

    Nyoka ulimpatq wap

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 4 หลายเดือนก่อน

    Na jina pia sio lako na sio msambaa

  • @hamzahamza7565
    @hamzahamza7565 4 หลายเดือนก่อน

    Nguo ni ile ile ya masharti 😂😂 na yule mzee kule pia alikuwa sehem ya script au😅

    • @TifaMussa
      @TifaMussa 4 หลายเดือนก่อน

      We fal kwel watak ukwel au watak nguo

    • @TifaMussa
      @TifaMussa 4 หลายเดือนก่อน

      😂😢

    • @TifaMussa
      @TifaMussa 4 หลายเดือนก่อน

      😅kumbe kuona huon hat kusom hujui nguo ile na hii ni moj yaaan wanaume wasiojua kuhudumia wake zao wanaish kwa kukalili haaaa😂😂😂

  • @SahimSalim-l5f
    @SahimSalim-l5f 4 หลายเดือนก่อน

    Kiufupi Dada na wenye chanal washapata Kiki zao mjini na pesa ya youtube, wabongo wingi washazoweya kuskiliza ujinga wa mtandao na habr za ujinga

    • @TifaMussa
      @TifaMussa 4 หลายเดือนก่อน

      Akiwem wewe

    • @SahimSalim-l5f
      @SahimSalim-l5f 4 หลายเดือนก่อน

      Ata ww kwenye ujinga umo

  • @VivanAmasi
    @VivanAmasi 4 หลายเดือนก่อน

    Kwaiyo uze kitabu na story ndio uwishi hayo maisha jaman mbona mnaona watu wajinga et

  • @prophetmwonajisamson2079
    @prophetmwonajisamson2079 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu anadanganya juu mganga wake alijitokeza pia mama yake mzazi na wakamsitumu. Mshirikina wewe

    • @arafatali2796
      @arafatali2796 4 หลายเดือนก่อน

      unauhaki kuq niwazaz wak kwel au nimgang kwel pngn nawao wapiingzwaj kweny ilo dili lakutft kiki z kijinga

    • @prophetmwonajisamson2079
      @prophetmwonajisamson2079 4 หลายเดือนก่อน

      @@arafatali2796 ukweli upo fuatilia hayo mambo yake vizuri utajua hata yule mganga wake alipata wateja wengi sana duniani na amechukua hera za watu wengi sana Tanzania, Kenya na nchi zingine. Hapa serikali ya Tanzania inamchukulia hatua ya kumiliki kiumbe kama yule ndani ya nyumba yake bila vibali Sasa anajaribu kuepa na kujitakaza. Kama kweli angeonyesha bahadhi ya vitabu zake ndio tujue ukweli wake

    • @TifaMussa
      @TifaMussa 4 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅

    • @TifaMussa
      @TifaMussa 4 หลายเดือนก่อน

      😂Kwenye huo upumbav akiwemo na wewe ni mpumbavu

  • @VivanAmasi
    @VivanAmasi 4 หลายเดือนก่อน +1

    Yan leo unavyo ongea nasikuile ulivyo kuwa naungea nivitu viwili tofaut sikuilee ulikuwa ata usoni ulikuwa ukionekana ķabisa ulikuwa unaongea ukweli na leo unavyo ongea unaonekana kabisa umepigwa mabiti na viongozi ndiomana unataka kutudanganya kuna watu wakikutazama2 wanajua unaongea ukweli au unadanganya

  • @Kzm-c9u
    @Kzm-c9u 4 หลายเดือนก่อน

    Wanasaikolojia wenyewe huwa tunaelewa, huyu amelazimisha kugeuza uhalisia.

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hamkomi tu wenzenu juz yamewakuta

    • @BongoEa
      @BongoEa 4 หลายเดือนก่อน

      Tazama video acha kukurupuka wewe

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 4 หลายเดือนก่อน

      @@BongoEa Ukitazama ww inatosha🤣

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 4 หลายเดือนก่อน

      @@BongoEa Bando langu bado unipangie sukununu ww🤣🤣🤣🤣

    • @BongoEa
      @BongoEa 4 หลายเดือนก่อน

      Sasa ulalamika nini kwani kuna mtu aliku force ufungue

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 4 หลายเดือนก่อน

      @@BongoEa Wapi nimelalamika hebu tuliza mshono mtt wa kiume mdomo mrefu km chuchunge laza makende hayo yalolegea km nyanya ya nyongeza

  • @HilmiHilal-g8j
    @HilmiHilal-g8j 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu dada ni mpumbavu tu, kila kitu kina mipaka yake. Mnapofanya hayo mambo yenu ya kishirikina ama kutafuta kwenu umaarufu kwanini mjinasibishe na uislamu?
    Fanya toba dada yangu usije ukaangukia kwenye ghadhabu za Allah!