Bora Whozu alivyoondoka akapigwe tukio na Tunda 😂😂😂wakina ndaro watamchapa Tunda kama Kawa pole Whozu😂😂Bora ubaki single Chimamy wazungu kibao ni muda wa mange kumpa connection ya mzungu
homa ya ini nayo inaweza kuambukizwa kwa zinaa na saratani ya kansa ya kizazi.Tuchunge mienendo yetu na Mungu atisaidie si VVU tu bali ni mengi zama hizi
Sasa tunamsikilizaa wema tunakusiikilizaa ww
Achana nae huyo Whozu si ajabu Mungu anataka kukufungulia mlango mwingine mzuri sana
Bora Whozu alivyoondoka akapigwe tukio na Tunda 😂😂😂wakina ndaro watamchapa Tunda kama Kawa pole Whozu😂😂Bora ubaki single Chimamy wazungu kibao ni muda wa mange kumpa connection ya mzungu
homa ya ini nayo inaweza kuambukizwa kwa zinaa na saratani ya kansa ya kizazi.Tuchunge mienendo yetu na Mungu atisaidie si VVU tu bali ni mengi zama hizi
Em kwendeni uko,nina mtoto na nimetulia na mme wangu vizuri tuu
N wazi hii stor haiendan na anavyosema mtangazaji
Umetia viuwa vya nywelee
Age go
Nitafute tukuunganishe upate dawa ili upate ujauzito upate mtoto usipuzie
Huyu wema nipeni Mimi tuu sasa nimalize nae UMRI 🤔
😂😂😂😂
@@mamzearthman9569 Ama nene 🤣🤣
@@zuberygwassa2311 yani 🤣🤣🤣🤣
Itakuwa vizuri ndugu yangu mstiri mtt wa kike muowe dada zenu wanahangaika sana 😢😢😢
Sasa hapo Wema kaongea nn....ovyoooooo
Sasa wewe ni Wema?
Acha Wema aonge yeye mwenyewe
Muache aongee wema mbona unaongea ww tena
Warembo wetu
News presenter your talking too much. Why don't you let us listen to the main interview from Wema
Nilishasema wema atapata mtoto n ndugu yangu mwambieni akuje Mombasa ,kilifi Kwa poster odero aombewe n akutane n Felix bro wangu
Shindwe.....anaepeana watoto ni Mungu sio odero