UFAFANUZI WA KISHERIA SAKATA LA YANGA MAHAKAMANI, "KUFOJI SAINI UNAWEZA KUFUNGWA MAISHA,WAKILI DEDAN

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 106

  • @wilsonlevayoni2361
    @wilsonlevayoni2361 3 หลายเดือนก่อน +7

    Magomaaaaa weeee pole sana mzee

  • @collectionline6055
    @collectionline6055 3 หลายเดือนก่อน +5

    Huyo Mzee kayatimba

  • @ulicydickson6816
    @ulicydickson6816 3 หลายเดือนก่อน +12

    Wamefanya udanganyifu, magoma na wenzake wawajibike

  • @luqmanomary3558
    @luqmanomary3558 2 หลายเดือนก่อน

    Unatudanganya hujui sheria wew ,magom atashinda leo

  • @SantinaChale
    @SantinaChale หลายเดือนก่อน

    Jamani wengi hatujuwi sheria.hatujasomea sheria.tuacha waliosomea sheria wafanye kazi zao.Huyo.mzee na wenzake wanajidanganya sana .sheria inawabana .wache hizo njaa zao.mi nimemueliwa sana mwanasheria yupo.sahii kabisa.tungoje tu matokeo.ila tuombe sana Mungu atunusuru na haya majanga ya kulawiti watoto nakuwateka.tusikae tu kushabikia magoma.huyo ni njaa tu inamsumbua.

  • @MbeziAmos
    @MbeziAmos 3 หลายเดือนก่อน +5

    Mambo ya Simmba na yanga huwa ya kisenge saana

  • @BrighterStore
    @BrighterStore 3 หลายเดือนก่อน +5

    unatumikia miaka saba then unatumikia kifungo cha maisha🤣🤣🤣

    • @mesuitozil1527
      @mesuitozil1527 3 หลายเดือนก่อน +1

      Miaka 7 ukiwa umeghushi kawaida lakin ikiwa umeghushi nyaraka za mahakama, ndio kifungo Cha maisha

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 3 หลายเดือนก่อน

    Mzee Kashajitevyenga huyo enheeh Samaki ukiwakaanga wengi sana lazima iwaunguze mikia😂😂😂

  • @isaacsimon3580
    @isaacsimon3580 3 หลายเดือนก่อน +3

    Wafungwe hao mbwa

  • @LucasKazimoto
    @LucasKazimoto 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mzee kayakanyaga

  • @MohdAli-cx7bc
    @MohdAli-cx7bc 3 หลายเดือนก่อน +1

    Waliokutuma wamekuponza😂😂

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 3 หลายเดือนก่อน +3

    Huyo mzee ametafuta matatizo aisee

  • @AsmaKapaya
    @AsmaKapaya 2 หลายเดือนก่อน

    Dedani kapingo kidato kimoja nakubali sana yanga oyeeeeeeeee

  • @salehegiza3305
    @salehegiza3305 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee magoma cc watu simba tunasema upo sahihi na tupo pamoja na ww jino kwa jino😅😅😂

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂Mzee kayakanyaga,walokudanya wamekuponza,utamkumbuka Mandojo na Domokaya,imekula kwako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @elizabetty-rt7py
    @elizabetty-rt7py 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu mzeee amesema anapiga alubadili😮😮 sasa analoga mpaka mahakama

  • @Mwitamkunyimarwa
    @Mwitamkunyimarwa 3 หลายเดือนก่อน

    Sawa

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 3 หลายเดือนก่อน

    Yan we Mzee magoma umeyatimba ikigunduliwa umefoji cjui yanga watakufanyeje Yan we unabishaba na wa2 weng Tena wananch heeee nakuonea huruma!😂😂😂

  • @johnsonjuliusmassaka5519
    @johnsonjuliusmassaka5519 3 หลายเดือนก่อน

    Miaka saba then maisha.au vyote kwa pamoja 😅

  • @LucianaJoachim
    @LucianaJoachim 3 หลายเดือนก่อน +1

    Sisi waziima ila nyinyi ndiyo wasenge maji sisi simba tunaendelea mambo yetu

  • @simsotv2261
    @simsotv2261 3 หลายเดือนก่อน

    yanga inatakiwa imuajiri Peter madeleka wakili tulie nae hajawahi shinda kesi

  • @MomadeMudimoz70-cs2ud
    @MomadeMudimoz70-cs2ud 3 หลายเดือนก่อน

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @maxmiliangunze8931
    @maxmiliangunze8931 3 หลายเดือนก่อน +2

    Taasisi kubwa mno hii unaishitaki huku Ina viongozi weledi aaaa sahau yule mzee

    • @zuhurajabiri3900
      @zuhurajabiri3900 3 หลายเดือนก่อน

      Mbona wamehukumiwa na kupata ushindi

    • @MohamedMpeneka-og6sq
      @MohamedMpeneka-og6sq 3 หลายเดือนก่อน

      We unaelewa lakin? Au kichwa Chako ni ​ pambo la kupendezesha mwili? Kamsikilize mwanasheria wa yanga alafu urudi hapa@@zuhurajabiri3900

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 3 หลายเดือนก่อน +2

    Uyo mzee ni njaa tu

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 3 หลายเดือนก่อน +2

    Simba acheni ujinga hebu pambanieni timu yenu mnaonekana wasenge tu

  • @hamisrahul6067
    @hamisrahul6067 3 หลายเดือนก่อน +4

    mzee magoma ana hali gan kwasasa

  • @AbelKidungu
    @AbelKidungu 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kuna watu wanna umia na huu ufafanuzi kwani vp😂

  • @deoselcom9701
    @deoselcom9701 3 หลายเดือนก่อน

    Hii kesi viongozi wayanga naona dhahiri wanaenda kuferi lahasha wapite mlango wa pili 😢

  • @mwangasonimwanga5850
    @mwangasonimwanga5850 3 หลายเดือนก่อน

    Magoma jela ileeeee

  • @mazaramatucha
    @mazaramatucha 3 หลายเดือนก่อน

    Yaani kwa jirani msiba,halafu uitishe disco lazima ndugu tunune

  • @rafikiyako6697
    @rafikiyako6697 3 หลายเดือนก่อน

    Nimatumaini sheria zikichukuliwa kama inavyotakiwa na kubainisha vyote hivi sio kweli hii ndio itakuwa mwisho kwa watu wenye njaa zao kuvuruga hizi timu ..imagine timu kama Yanga hiko hatua 20 mbele anatokea mtu anajaribu kurudisha nyuma tena kisa kwa njaa zake binafsi its insane

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 3 หลายเดือนก่อน

    Wanasema Kujua kwingi kulimponza nani !!?😂

  • @SaidiYahya-t1c
    @SaidiYahya-t1c 2 หลายเดือนก่อน

    Magoma kajishenyenta

  • @jacksonelphas7256
    @jacksonelphas7256 3 หลายเดือนก่อน +1

    basiiiiii

  • @AronAnselemi
    @AronAnselemi 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu ajui kitu😂

    • @gregory6165
      @gregory6165 3 หลายเดือนก่อน

      we unaejuwa tueleze basi amekosea wapi

  • @tezuramziray8700
    @tezuramziray8700 3 หลายเดือนก่อน

    Na mama kashawakana huko sasa chupi lazima ziwabane

  • @maxmiliangunze8931
    @maxmiliangunze8931 3 หลายเดือนก่อน +2

    Aisee yule mzee atazimia akisikia hii taarifa

    • @badymedia9648
      @badymedia9648 3 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂

    • @saidimgina8299
      @saidimgina8299 3 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @delphinatemba1736
      @delphinatemba1736 3 หลายเดือนก่อน +1

      Na iwe funzooooooo😂

    • @abdulmelele7322
      @abdulmelele7322 3 หลายเดือนก่อน

      Aanze kuandika urithi wa wtt wake kabisaa 😅

  • @Mrmakavu
    @Mrmakavu 3 หลายเดือนก่อน +2

    Yanga apewe hakizake💚💚💚💚💚💚💚💚💚

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 3 หลายเดือนก่อน

      Eti Yanga ipewe haki yake. Sema GSM aendelee kutupiga wewe.

    • @kanyeshahigirimana5686
      @kanyeshahigirimana5686 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@GibsonNtamamilounataka na wewe upewe mshahara kama wachezaji
      PERIOD!!!

    • @FirdausyAbubakary-bl2wo
      @FirdausyAbubakary-bl2wo 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@GibsonNtamamilowewe so yanga bwanaa😂😂😂

  • @saidimwanyiro5147
    @saidimwanyiro5147 3 หลายเดือนก่อน

    Hakuna cha kufoji magoma sheria alikuwa nayo msituzuge kukanusha tunaakili zetu timamu hapo magoma mmemtuliza tu

  • @stewartsylvester2353
    @stewartsylvester2353 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nasikiliza nacheka 😂😂😂😂😂😂 haki matatizo mengine ni ya kujitakia

    • @bakarithegeoinformatician7406
      @bakarithegeoinformatician7406 3 หลายเดือนก่อน

      Ukweli unaujua? Aja mapenzi ya kijinga

    • @stewartsylvester2353
      @stewartsylvester2353 3 หลายเดือนก่อน

      @@bakarithegeoinformatician7406 dunduka aka kolo
      Pole kijana 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @LucianaJoachim
    @LucianaJoachim 3 หลายเดือนก่อน

    Waacheni wajitekenye wajitie vidole wenyewe magoma anawasibilia mtoe makalatasi yenu mumpe ofisi

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 3 หลายเดือนก่อน +2

    dah mbona sasa mambo yanataka kuwa magu

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ni magumu halafu yatachukuwa Muda aise😢,sasa Sijuwi wakati wanafanya mambo YOTE hayo,Hawa wanaotakiwa kuondoka kwenye nafasi zao,watakuwa wanaendelea na kazi au laa?

    • @robertzamani5612
      @robertzamani5612 3 หลายเดือนก่อน

      Msikilize Magoma vizuri ndio utamwelewa aliowashitaki ni akina nani,utajua uongozi bado upo madarakani au la

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 3 หลายเดือนก่อน

      @@robertzamani5612 nimeona HAWATAKIWI KUWA MADARAKANI WITH IMMEDIATE EFFECTS

    • @FirdausyAbubakary-bl2wo
      @FirdausyAbubakary-bl2wo 3 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@israelkisaila8401Hamna mtu anaondoka hapoo we tulia tubebe makombe kama tulivozoea

  • @NeemaAkyoo-s4s
    @NeemaAkyoo-s4s 3 หลายเดือนก่อน

    Na cha ajabu zaid yey mwenyewe anakir kuwa hajawapatia yanga hiyo karatasi ya hukum tangu ameshinda kesi mwaka jana labda yey mwenyew kwa kugundua kuwa hakuwashirkisha yanga badala yake almuweka mtu na akajifanya anaiwakilisha yanga magoma mwenyew imekuwa vigum kwake kuwasilisha hyo hukum kwa yanga maan anajua alipita mlango wa nyuma hakufata sheria

    • @luqmanomary3558
      @luqmanomary3558 2 หลายเดือนก่อน

      Sio jukum lake kuwap nakal ya hukum ,

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 3 หลายเดือนก่อน

    yanga Mnatakiwa muwe na mwanasheria kama huyu anafafanua hoja taratibu kabisa mpaka unaelewa.

  • @mussakilo4916
    @mussakilo4916 3 หลายเดือนก่อน +2

    🙊🙊 dah magoma wee kama kweli ume gushi 😢😢mhh

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 3 หลายเดือนก่อน

    MAGOMA ANASEMA KM WANASEMA SAHIHI WAMEIBUSHI BASI WAENDE MAHAKAMANI SASA KWANN MSIENDE MAHAKAMANI?

  • @ChefasNganda-pl5yj
    @ChefasNganda-pl5yj 3 หลายเดือนก่อน

    Magoma umeyabananga

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa kutolea maelezo ya Kila siku nn walikuwa wanafanya ndani ya mwaka mzima, itakuwa muujiza kuvuka kiunzi hicho hasa ukizingatia upana wa mawasiliano ya timu husika. Pili. Sijajua kama mahakama hutoa hukumu za kesi kwa ajili ya mitandao ya kijamii. Hivyo tuwe wapole tujifunze kwenye hili

    • @NeemaAkyoo-s4s
      @NeemaAkyoo-s4s 3 หลายเดือนก่อน

      Umeambiwa yanga hawakushirikishwa na pia magoma mwenyew ameshasema mara nyingi kuwa hajawapa yanga hayo makarasi ya hukum mpka leo tena yey magoma anasema ana shangaa kuona mtandaoni na wakati yeye nakala zote za hukum anazo hajazitoa sas nikuulize wew kama yanga magoma hakuwapa hiyo nakala ya hukum na mpka leo anasema hajawapa yanga wangeota kama kuna hukum imetoka??

    • @Shafikimanga7
      @Shafikimanga7 3 หลายเดือนก่อน

      @@NeemaAkyoo-s4s soma vizuri na elewa nichoandika. Kama hujaelewa ni hivi, upande unaokataa hukumu ndio watakuwa na wakati mgumu kuishawishi mahakama kuwasikiliza.

    • @NeemaAkyoo-s4s
      @NeemaAkyoo-s4s 3 หลายเดือนก่อน

      @@Shafikimanga7 hapo sawa nilifikir unasema yanga watapata wakati mgum et na wakati magoma mwenyew anajinadi kuwa hakuwapatia hyo hukum mpaka leo🙏🙏🙏🙏

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 3 หลายเดือนก่อน +5

    Ikimbukwe mambo ya kimpira hayahukumiwi na Mahakama yoyote zaidi ya Mahakama kuu

    • @SadickHusein
      @SadickHusein 3 หลายเดือนก่อน +1

      Wee umesoma wapi

    • @Fred-Ma
      @Fred-Ma 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hii sio kesi ya Kimpira ni ya Kikatiba😅😅

    • @Dopa7MC
      @Dopa7MC 3 หลายเดือนก่อน +1

      We nae amnazo sasa km mahakama kuu yeye kaenda kushitaki wapi fifa au mahakama kuu?

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 3 หลายเดือนก่อน +2

      @@Dopa7MC ww ndo mpuuzi mkubwa.Hiyo kesi ameifungua mahakama ya hakimu mkazi,siyo mahakama kuu.Unakurupuka tu na ukolo wako.Mtazidi kujianika tu msiotumia akili ipasavyo

  • @salwasuleiman8943
    @salwasuleiman8943 3 หลายเดือนก่อน

    Kidomodomo huwa sio kizuri sasa litamkuta jambo kidomo magoma

  • @AllySalum-j9y
    @AllySalum-j9y 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ikiiiii Simbaaa kinaonekanaaaaa

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 3 หลายเดือนก่อน

    Nyny wanasheria mnashndwa kufafanua vfungu vya vya sheria kwa mafisadi mnahangaika na upuuz

    • @iddkessy
      @iddkessy 3 หลายเดือนก่อน

      Yaan acha tuu

  • @bbanyikwa
    @bbanyikwa 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ni kwa nini Kesi inayohusu mipira imepelekwa kwenye mahakama ya kiraia badala ya kushughulikiwa na vyombo vya vinavyohusika na mpira?
    Hili nalo sio kosa kweli kwa mpira wa tanzania kama FIFA wakilinasa?

    • @EligiaMligo
      @EligiaMligo 3 หลายเดือนก่อน +3

      Umeambia sio kes ya mpira ni ya katiba ko mamlaka za inch znahusika na sio tff wala fifa jana ulimwelewa yule wakil tena mahakama ya kisutu tu

  • @MRJ1308
    @MRJ1308 3 หลายเดือนก่อน +1

    Injinia tuchukulie huyu mwanasheria asaidiane na Simin Patrick

  • @AmisiAloisi
    @AmisiAloisi 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe muongo sana mumekula pesa

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 3 หลายเดือนก่อน

    Je waliposhitakiwa, mahakama iliwapa barua yanga African? Na je Kuna ushahidi wa dispatch inayoonyesha walipelekewa? Pia hyo document iliyompa huyo muwakilishi WA yanga awawakilishe wengine je ilihakikiwa kivipi? Mahakama ilikuwa na uwezo wa kuamua hyo kesi? Kwann mahakama haikujua kuwa Kuna mwanasheria wa club?

    • @efraimjohn4956
      @efraimjohn4956 3 หลายเดือนก่อน +1

      Pia, ilipofungukiwa kesi . Mahakama ilipeleka barua wapi ya kuwajulisha waliofunguliwa kesi?

    • @mesuitozil1527
      @mesuitozil1527 3 หลายเดือนก่อน +1

      Na ndo maana inaitwa ni kesi ya upande mmoja watu walijigawa

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 3 หลายเดือนก่อน +2

    Je, wakati hizo kesi zikiendelea Viongozi wa yanga watakuwa bado ni Viongozi au watakuwa nje ya ofisi? Mawakili hawajafafanua.

    • @ErastoOmari-ij1zs
      @ErastoOmari-ij1zs 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kwenye Shtaka Hilo Hakuna Kiongozi Aliyepo Yanga Katajwa Ktk Kesi Hiyo

    • @swedywamba5535
      @swedywamba5535 3 หลายเดือนก่อน +1

      Shida yako wawe nje ya office???? Vip umetumwa???

  • @IvanChrisantus-hz4cv
    @IvanChrisantus-hz4cv 3 หลายเดือนก่อน

    Political cheat code , kupoteza attention ya wananchi kuhoji meli ya kijeshi ya china !!! think big , amkeni !

    • @UrassaPaschal
      @UrassaPaschal 3 หลายเดือนก่อน

      Inawezekana😢

    • @FirdausyAbubakary-bl2wo
      @FirdausyAbubakary-bl2wo 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mambo ni mengi ase😂😂😂 mara kupotezea attention ya taharuki ya kenya mara meli khaaaa kwaajili ya yanga tyuu duuh maashaAllah very funny😂😂

  • @Mwafrika2021
    @Mwafrika2021 3 หลายเดือนก่อน +1

    Magoma sio mjinga, pale Simba Kigwangala alikuwa anakosoa zile bilioni 20 za Mo lakini alipuuzwa kwasababu Simba ilikuwa inafanya vizuri lakini ikaja kuaminika baada ya simba kupoteana, Yanga nao watakuja kuamini wakianza kufanya vibaya, nyie mtukaneni tu huyo mzee lakini ipo siku mtakuja kumshukuru, tunzeni hii

    • @totolanyakiwope8817
      @totolanyakiwope8817 3 หลายเดือนก่อน +2

      Yanga isifananishwe na vitu vya kijinga

  • @alhajjsimba8833
    @alhajjsimba8833 3 หลายเดือนก่อน +1

    Umeombwa na nani ufafanuzi huu

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @Asamtz360
      @Asamtz360 3 หลายเดือนก่อน

      Babaako ekumama zako

    • @ErastoOmari-ij1zs
      @ErastoOmari-ij1zs 3 หลายเดือนก่อน

      Mo

  • @fadhiliabasi6585
    @fadhiliabasi6585 3 หลายเดือนก่อน

    MAGOMA hawezi Kuwa na akili mbovu kiasi HICHO cha kugushi saini

    • @consorathajames2693
      @consorathajames2693 3 หลายเดือนก่อน

      Magoma wamemtoa chambo nyuma yake kuna mtu