Uponyaji majeraha - Mkemwema choir (official video )
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 มี.ค. 2022
- #mkemwema #gospelsongs #liveperformance #uponyajimajeraha
Karibu usikie na kutazama wimbo UPONYAJI MAJERAHA wenye kumsifu MUNGU na kukujenga kiroho kutoka kwao MKEMWEMA CHOIR.
KARIBU SANA TUMSIFU MUNGU
Usisahau ku LIKE, COMMENT na SUBSCRIBE
Phone No.:0624405955
Email:vijanachoirmkemwemakasulu@gmail.com - เพลง
Kwakeli wimbo huu unatakiwa uwe wimbo bora wa kwanza wa mwaka, ukisikiliza historia ya wimbo, sound, voice, style ya kuimba, uingizaji sauti na uimbaj, vimeboreshwa kwa umakini. Mungu abariki mtunzi, waimbaji, studio na wahudumu wote walio wezesha wimbo huu kuwa hivi yaani audio song ni nzuri zaidi Mungu awazidishie huduma njema.
Kweli kabisa
Amen .Mungu akubariki pia Kwa kututia moyo mtumishi wa Mungu
Wimbo umenibariki sana mungu aendelee kuwatumia
Mungu akubariki wimbo nzuri sana
👍 Safi sana waimbaji wenzangu MUNGU we2 azidishe kuwafunulia nyimbo za uwepo walimu wetu mzidi kubarikiwa
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 AMINA KAZI NZURI
Mungu azidi kuwatumia jamani watumishi wa Mungu nawapenda
😭😭🙏
Mungu awabariki kwa mwimbo wa kuktia moyo pale ambapo yunakuwa tupo tunapitia maribu Mungu wa mbinguni awabariki awajaze vilivyo vyake baba
Amen 🙏
Mung awap nguv ya kwenderesha uduma zake
Mbarikiwe sana kazi nzuriiii 🙏🙏🙏🙏
Wimbo bora wa karne yote ya 21
Yesu awaguse wote wanaopitia NYAKATI ngumu aponye majeraha Yao ya moyo Kwa jina la Yesu amen
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️👏👏mwalimu aliye tunga mwimbo huu Mungu amkumbuke hata siku ya mwisho amimine baraka juu yake ambariki aingiapo na atokapo mjin na vijijin neema ya bwana iwafunike 🙏
Amen 🙏
Hongereni wimbo umegusa nafsi zetu
Mbarikiwe sana
Amen
Nakulilia bwana uniponye
Yesu sikia kilio Cha ndugu huyu umponye ameni
Nmewapendaaa
Hongeren ❤❤❤moyo
Mbarikiwe San wapendwa
Nakuombaa bwana yesu ukagusee kwa jinsi ya barakaa kila aliyeshirikii ktk wimbo huu, wasije ona shida wala kupataa jaribuu ktk maishaa yao , siku zote wajazwee hadi vimwajikee vyote wakuombavyoo, kikwelii wameimbaa mnoo tokaa rohoni, naimani kila aliyeuskilzaa kaguswaa kwa aina yake !Amina
Asante sana mtu wa Mungu kutuombea natamani kila siku uwatumie wimbo huu watu wengine zaidi yumkini akawa ndo majibu yao ya mda mrefu
Amina sana🙏
Mbarkweee more
Barikiwa sana Mkemwema choir. Karibu Australia tunawapenda sana.
Powerful
Nawashukuru watu wa Mungu. Mbarikiwe sana kwa kazi njema. Mimi ni balozi wenu wa hiyari. Nawapenda sana. Naamini wimbo huu utawagusa wengi. Hakika ni maombi tosha kabisa
Ameen
Amen
Mponyaji ni mmoja tuu, hakuna kama Yehova, tunakushukuru eee Mungu kwa kutuponya majeraha ya moyo... MKC nawapenda sanaaa
Mungu awabariki nyimbo ni nzuri sana
Nyenyekeeni chini ya mono wa Bwana iliawakweze Zaid katika huduma hii.
Mungu awabariki sana kwa wimbo mzuri wa faraja sana.
Ameni mungu awabariki sana kwa Huduma yenu nzuri mungu awakumbuke
Mungu awabariki Sana na awazidishe, nawapenda
Hallelujah
Mungu awabariki sana wimbo mzur sana unatia Moyo
Daima ninabarikiwa nanyi. Mungu awatunze.
Mungu azidi kuwabariki sana
Mungu awabariki, mnanibariki saana missing my Mchungaji yohana Msimba.
Ebwana niponye nikutumikiye 🙏🙏🙏Sina mwingine niwewe baba🙏🙏🙏
Faraja yañgu niwewe yesu nisaidie ... MUNGU AWABALIK MK
Barikiwa sana karibu manyara (babati)
Mungu ndiye atakae walipa na kuwainua zaidi
Good song, hongera mkemwema
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu
Mungu awabariki na awainue zaidi
Mungu awabariki Sana,wimbo mzuri sana
Line the voices of Angels So sweet 🥲
Praise God .
Am blessed so much be blessed too Mkemwema choir...
Mungu awabariki katika safari yenu👏👏👏
Stay blessed
What an improvement I miss this
❤somuch
Niponye Bwana.....touching song...🙏🙏
Awesome song,,Nipo DODOMA Ila i enjoy the homeland singers
Naomba muweke lyrics kwa hii video ndio wakristo waweze kufurahia hii nyimbo zaidi.
Mungu awabariki sanaaa MKC
Barikiwa saana watumishi wa Jehovah
Mungu ndiye atakae walipa Kwa kazi nzuri
😭😭🙏
🙏
Amen
🔥🔥🔥🔥
Mm
We need more of this please
Coming soon, StayTuned.
We can't wait.
Nn
Barikiwa tunaomba sana utusaidie Ku #share hii kwa wengine na Mungu akubariki sana
Mungu awatunze mzidi kutumika kwa kazi yake
Mbarikiwe sana