Kabila la Wairaq - Kaskazini mwa Tanzania
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 เม.ย. 2022
- Tanzania ni nchi yenye makabila mengi. Tofauti ya makabila haya yanaifanya Tanzania kuwa ichi ya kipekee na iliyiyojaa utajiri wa utamaduni. Fuatilia makala hii kufahamu mila na desturi za kabila moja wapo nchini Tanzania
Hii historia/simulizi ina mapungufu mengi, siyo sawa kabisa, wairaqw hawakuanza kuishi mama Isara, walianzia mahali panaitwa guser maàngwatay halafu guser tiwalay, maeneo ya kondoa irangi, na pembezoni mwa mlima hanang giting' na ndipo waligawanyika gortoo akafuata bonde la dareda, irqutu akapanda dabil kwenda irqwar daâw.
Alipoongelea kulima tu nimejua hajui anachosimulia! Waarabu na ukulima wapi na wapi?
Wairaq wapo!
Wenye kujua ukweli waandike historia sahihi kuliko kuandika kupinga kilichoelezwa na mhusika.
Kama hutoi ukweli hakuna haja ya kupinga
Agaaxwes hhiya
Wataogeaje kialabu wakati wametoka miaka milioni iliyopita
Safi tumewaskia ❤️❤️ yy
Sisi wote ni watoto wa mungu Amen Amen
Hili swala la kusema wa Iraq wametokea Iraq ni ujinga ambao sijawahi elewa mpaka leo nani aliwaeleza ujinga huo!, kama mmetokea Iraq vip lugha mbona tofauti?, vip kuhusu dini mbona wengi wakristo?, vip mbona sura zenu na waarabu zipo tofauti?, tzameni wapemba walivo, hakuna mwarabu mwenye kisogo, kuwa weupe na nywele singa siyo sababu!.
Na hautaelewa achana nayo
Ni upuuzi ambao hauna mantiki hata kidogo chimbuko ni Ethiopia na southSudan
Kifupi tu wa Iraq original yao sio Iraq ila ni Ethiopia sababu hata majina na baadhi ya maneno ni kama wa Ethiopia hata vile wanavyo pronounce maneno
Ni vizuri kuacha kuliko kuelezea uongo ...huyu natamani nimfate nimpe makavu yake
Hapa ndio nilikuzwa na ugali wa kusagwa namna hii.ahsante Mungu uwatunze wazazi hawa
Waooo😅
Huyu muongo mkubwa kabisa, historia halisi ya wairaq haijui huyu.
Safi
Asante
Tokaaa hapa acha kundanganya jamiii km huwez kujieleza kale ugali na maziwa kalale
Mzee huo uwongo usiidanganye jammii
Tsuwaa loo waay.aidoosing'.
Huyu anauetoa histori hajalamilika nadhani hajui atafutwe wazee
Hiyo sketi nitaipata wapi
Mwongo wewe hujui kabisa
Wairaq mbona hawaongei Kiarabu
Waameanzia ethopia
Saita
Sayu aidoma
Tz nchi yangu sihami🤣🤣🤣
Sayu
Acha uongo bhana wewe ni mwiraghw wa wp unaongea uongo?
1:35 wairaq hawapendi vita Sasa huko Iraq wanalima wapi majabali? Nyie wambulu bana mi nakujuweni nyie Arusha huku
Iraq haitawaliwi na majabali ktk sehemu kubwa, ni nchi ya kilimo pia, naifahamu vzr nimeishi miaka 7 kule Basrah
Mbona weusi???🤓
:) Iraq wanalima wapi majabali?
Ulijuahe
Because some clans are more mixed with Bantus, Nilotics and Hunter-Gatherer communities