BREAKING: Rais MAGUFULI Ashtukiza Ukonga 'ATUMBUA' Bodi ya TBA!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 มี.ค. 2019
- BREAKING: Rais MAGUFULI Ashtukiza Ukonga 'ATUMBUA' Bodi ya TBA!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 16 Machi, 2019 amefanya ziara ya kushtukiza katika mradi wa ujenzi wa nyumba za makazi ya Askari Magereza wa gereza la Ukonga Jijini Dar es Salaam na kuagiza mradi huo ukabidhiwe kwa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ).
Mhe. Rais Magufuli ametoa maagizo hayo baada ya kubaini kuwa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) imeshindwa kutekeleza mradi huo kwa wakati, licha ya Serikali kutoa shilingi Bilioni 10 za ujenzi.
Ametaka wataalamu wa TBA waliokuwa wakisimamia mradi huo pamoja na Askari Magereza waondoke na kuwapisha JWTZ.
“Kwa hiyo hapa nisimuone mtu wa TBA, nisimuone mtu wa Magereza kuja kusimamia, muwaache Jeshi la Wananchi wafanye kazi zao, siku watakapokuja kunikabidhi na mimi nitawakabidhi Magereza, kwa hiyo watu wa TBA kuanzia leo nimewafukuza hapa” amesema Mhe. Rais Magufuli.
Mhe. Rais Magufuli ameelezea kutoridhishwa na utendaji kazi wa TBA katika mradio huo ambao ulianza zaidi ya miaka 2 iliyopita kwa kushirikisha Jeshi la Magereza ambalo lilikuwa linaisadia TBA katika kazi za ujenzi, na ametaka TBA na Jeshi la Magereza wabadilike katika utekelezaji wa majukumu yao.
www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook:
globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Asante baba kiukweli jeshi la magereza ni wazembe sana mafundi wafungwa wapo lkn wanaishi nyumba mbaya hatari mweshimiwa nenda na mbalali askari hawana nyumba za kuishi
safi sana mh Rais ,,,,tatizo LA Tz wamejaznaa maofisin watu wanaojuana wanaoneana aibu...!!! piga kazi mh Rais..cc wananchi tunakuombea..
Jeshi oye safi sana rais oye hapa kazi tu mungu hakubariki mkuu wewe baba haki
rais ni mfano dunian kwa ukweli na uwazi mungu akulinde popote
Uzuri Mh.hufichi hisia binafsi nakuelewa sana
King magu nakukubali
Mungu akulaze pahali pema Raisi wa watanzania
Mmh!.Huyu mkuu wa inchi kweli kweeeli,hakuna kubembelezana,nahisi watu hatujamuelewa sawasawa,Mungu akupe maisha marefu mhe.Rais unajituma na naona unatamani sana na sisi wanainchi tuwe kama wewe.
shija ngussa maamuzi magumu kama haya yatatusaidia
HUYU NDIE RAIS TUNAEMTAKA MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU RAIS MAGUFULI
I love this president. From burundi
Safi mh rais
Chapakazi chapakazi tuko nyuma yako president!
Ahsante baba nakupenda cna rais wangu
Hongera mheshimiwa rais kwa maamuzi ya busara kwa ajili ya makazi ya askari wa gereza la ukonga
Safi mzee walizoeya kuongozwa kwakujuana hapa kz tu wanyooshe baba mpk mungu atakapo kuita lkn kwasas wew ndo rais wa miak 90
Mungu atakulinda unapenda haki wananchi tupo nyuma baba piga kazi
Mungu azidi kukulinda , ufanye yale Mungu aliokupangia kufanya .
Hahahahahaaa walale na wafungwa wao hahahahahaaa
Ubarikiwe,na MUNGU akulinde na wenye roho za chuki amina
Hongera sana anko wetu kanali mbuge tunakiamini tunakutegemea tunakuombea mafanikio mema afya njema ili utusaidie kujenga taifa letu.wewe ni simba MUNGU akubariki tuko pamoja katika kukuombea.ameen
Ewe mwenyez MUNGU enderea kumuongoza vyema raisi wetu
Safi mzee
Katika uongozi wako umefanikiwa 100% kwasababu hujamvumilia MTU mzembe
Kweli rais unasema
Umebadilisha Tanzania kweli mtu wa mungu
Rais usikubali watu wale pesa za wananchi waazibu vikali walaji pesa za wananchi na TBA wafunge ndani waazibu vizuri
Kanari Afande Mbuge nimeipenda Kauli yako Jeshi halishindwi Huko vizuri Mkuu wangu wa Kikosi Ruvu JKT
big up Mr.President
Pamoja mkuu
TANZANIA ipo kwenye Mikono salama sasa
kiukweli magereza ya ukonga ujenzi wake uko slow sana tunapita pale kila siku lakini hakuna chochote mpaka Leo wana choratu michoro kuanza kujenga mpaka Leo kiukweli wanao mwangusha rais wapo wengi.
Tumechelewa sana kupata kiongozi kama huyu
kwa hili rais wanchi tunakupenda hakuna urafiki kweny kaz walizoea kazi ya mwez inaisha mwakaa
Kubembelezana bongo itaisha lini bado mwendo kasi kunakubembelezana nako uko JPM
P
Myaka mili na ushee na upasta ..
mzee we nijembe fukuza wazembe hao fukuza wanakaa tu kazi kula rushwa
safi sana mh Rais ,,,,tatizo LA Tz wamejaznaa maofisin watu wanaojuana wanaoneana aibu...!!! piga kazi mh Rais..cc wananchi tunakuombea..