ZIARA YA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI RUANGWA MKOA WA LINDI.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli ambaye ameongozana na Mkewe Mama Janeth Magufuli tarehe 15 Oktoba, 2019 anaendelea na ziara yake Mkoani Lindi ambapo atazindua barabara za Mji wa Ruangwa, ataweka jiwe la msingi la ujenzi wa ghala la mazao la Kijiji cha Lipande Wilayani Ruangwa na atahutubia mkutano wa hadhara Mjini Ruangwa Mkoani Lindi
Nape hoyeeeeeeeeee, Baba Magufuli hoyeeeeeeeeee.. Jmn mniunge mkono kwa kuweka like zenu hapaaaaa.
Safiii sana
Mtama halmashauri oyeeeeee Magufuli Oyeeeeee jengeni mtama yenu kwa maendeleo
Nape jifunze kitu hapo.
Mr President good job ❤️🇹🇿🌍🔥💯🇹🇿👏
Kwahiyo kiwalala inawakazi wengi kuliko mtama nape mnafiki Sana au kiwalala nikubwa kuliko mtama daah Wana siasa bhana
Mnafiki! Bora alitubu.
Saaafiii rais jpm