Unawajali wasiojijali, wajanja wachache bado haijawatoka kichwani kuwa ‘Tanzania siyo shamba la bibi’, na hata ikiwa ni shamba la bibi, huyo bibi ni wetu wote! Mr President uko safiiii👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Muheshimiwa tukumbuke na sisi wa Saadani National Park, msimu wa mvua unakuja na barabara ya Makurunge inakuwaga mbaya sana na wakati mwingine inafungwa watu hawawezi kutoka au kuingia labda wapitie barabara ya Miono kutokea Mandera ambayo ni mbali mno. Barabara hii ya Makurunge ni nzuri sana kama ikitengenezwa kwa viwango vizuri vya lami kwasababu ndo inaelekea Mbuga ya wanyama Saadani ambayo inaleta kipato kwa Taifa. Ikifungwa miezi yote ya mvua mpaka ikauke na udongo ni mfinyazi ni mwezi wa 6 mwishoni. Tafadhali tukumbuke, msimu wa sikukuu Pasaka watanzania wakatembelee hifadhi ya taifa Saadani. Asante. Ujumbe utafika naamini.
huyu rais watanzania tumepewa na Mungu ni mtu anayejituma kufanya kazi mtenda haki anajali watu wake, Mungu mbariki rais Magufuli, Mungu ibariki Tanzania.
Kweli tumuombee Mwenyenzi Mungu Azidi Kumpa hekima Ajue jinsi ya kutoka na kuingia Mungu ibariki Tanzania na Watu wake na Zaidi Watanzania Tuwatii wanaotuongoza kwani ndio Mahandiko yasemavyo. Mungu mbariki na kumtunza Rais wetu kwani najua kila mamlaka yatoka kwako
Sipangi kukosa kumpigia Kura Huyu Baba nitajitaidi nihakikishe nimemepa kula yangu mwakani. Mungu akubariki Sana Rais Wetu Wasukuma Mungu katujalia uchapa kazi bila kujiinua. Huyu Mkuu hana makuu
Kama 2020 ntakua huko Tz kwajili ya uchaguzi naomba pimbi yeyote asije kunipigia kampeni,mwenye kura huyo hapo,sijawahi kushawishika kuacha kufanya kazi zangu eti nkapige kura,Ila uchaguzi ujao kama nitakua Tanzania mimi kura yangu ni MAGUFULI..AU kama karatasi za kupiga kura zimeshachapishwa wantumie tu mi najaza ata sasaivi.
Safi sana lazima ujiamin kama kafanya makosa aambiwe unampa kitengo kengine unatuachia dhahama huyo mzee watamwona hana nidhamu ila huyo hafi masikin💪💪
Thank you My President. kuna mambo Unatufundisha kama vijana in relation to responsibility. Speed hii kama kila Mtendaji Wa serikali atakuwa nayo, nchi hii itasonga mbele
familia za askari wanataabika sana nyumba za madebe wamezichoka wamewezeshwa wanadongila amakweli wakufa ni wakufaTu inahuzunisha saana. TUBADIRIKE AWAMU PEVU.
Mzee Magufuli wasiotaka kuamini kuwa wewe ni wa tofauti wataamini tu. Kwani walizoea na wanaendelea kudanganyana kuwa wataendela kupiga. Endelea kubadilisha uelekeo, asiyefaa akae pembeni, anaefaa akalie usukani safari iendeleee, ndiooo. Kumbe tubaki tunamsubiri akitafuta mbinu za kupiga. Ila wakati mwingine Kuna wakwamishaji, Ni vema wakaeleza kwa nini wamekwama? MUNGU akulinde na kukuongoza.
Hakuna kuwapa taalifa, ukiwapa taalifa wanajipanga ukiwapa mgongo wanakula tu, kwanza hao vibarua hawana hata kofia za kazi wala viatu vya kazi Chezea Magufuli na jeshi ww! Jeshi litajenga hapo usiku na mchana kama daraja la Kagera kipind ya vita na Id dada
yani navyokupenda mungu akupe afya njema raisi wetu
Ndo raisi
Kama umeskia JESHI HALISHINDWI bas tia like nawew usishindwe
Pv
Justin wakudat
,
Twataka nini Tena au twataka kazi na Bata?
Mzee 2020 lala tu nyumbani usizunguke kumaliza pesa za mafuta na posho za utakaokuwa nao kura unazo kwa asilimia 99%
😂😂😂😂😂kabisaaa mkuu ata atuangaiki kwnda kuumizaaa akilii
,sanaaaa
Uko
poa
mkuu
Hahahaha
Amiina barikiwa hahaha
Safi sana wewe ndo raisi makini sana ishaallah mungu akupe afya
Yes nakukubali kiongozi wangu hapakazi. Tuu kwelihii nitanzania mpya ongerasana mh. Jpm
This is the Leader we needed for a long time, live long Mr President, we Tanzanians we love you
Kweli kabisa!
Unawajali wasiojijali, wajanja wachache bado haijawatoka kichwani kuwa ‘Tanzania siyo shamba la bibi’, na hata ikiwa ni shamba la bibi, huyo bibi ni wetu wote! Mr President uko safiiii👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mweshimiwa nasubiri sanduku la kuweka kura yang basi sina kipingamizi na wewe baba Mungu akulinde usiku na mchana,.
Mmh
Linah Macha Aminaaaaa
Uko vizuri mweshimiwa tuko pamoja Saaana baba ubalikiwe
Amen
Hapo tuu ndoo napokukubali Mzee wew.... Kwakwer Mungu awabarik
Tutaelewa tu baba
Muheshimiwa tukumbuke na sisi wa Saadani National Park, msimu wa mvua unakuja na barabara ya Makurunge inakuwaga mbaya sana na wakati mwingine inafungwa watu hawawezi kutoka au kuingia labda wapitie barabara ya Miono kutokea Mandera ambayo ni mbali mno. Barabara hii ya Makurunge ni nzuri sana kama ikitengenezwa kwa viwango vizuri vya lami kwasababu ndo inaelekea Mbuga ya wanyama Saadani ambayo inaleta kipato kwa Taifa. Ikifungwa miezi yote ya mvua mpaka ikauke na udongo ni mfinyazi ni mwezi wa 6 mwishoni. Tafadhali tukumbuke, msimu wa sikukuu Pasaka watanzania wakatembelee hifadhi ya taifa Saadani. Asante. Ujumbe utafika naamini.
@
huyu rais watanzania tumepewa na Mungu ni mtu anayejituma kufanya kazi mtenda haki anajali watu wake,
Mungu mbariki rais Magufuli, Mungu ibariki Tanzania.
Safi Mr president, watu wanapewa kazi alafu wanasusua, ingawa wengine watalaumu kuwa umewatoa TBA, bila kuwaonya kwanza
kama umeckia mama akiambiwa akatafute site nyingine naomba Like zako!!!!!!!!!
Nchi hii ilipokuwa imefikia mambo ya kubembelezana yangeendelea kutunyonga tu! Nampenda sana Rais wng
john thobius uko vizuri baba was taifa
Wakomeshe mzee
Siwezi kushindwa, jeshi halishindwi,.. Kanali yupo vizuri, hongera sana,
Muheshimiwa usionekane tena hapa,neno ilo kesho rudi uone,,raisi wetu huyu kweli mtata lazima nchi inyooke dadeki
Maendeleo yanataka uwe mtata bila ivyo akuna kituu
Ewe mwenyez MUNGU ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kumuongoz vyema raisi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu
Aaamiiinaaa
O
SIO UZEMBE HUKU NI KUMHUJUMU RAIS HATARI SANA
Halafu unalisikia limtu linapiga kelele et John Dictator. Piga kazi ngosha mkuu wangu.kwapamoja tunalipenda taifa letu
Safi kaka
Kwn uongo puuuz
Godfrey Rigeli hao waende Sudan kama hawamtaki magufuli
Huu mziki LOUWASA asinge uweza, nchi ilisha oza sana, alihitajika kiongozi ambaye ni charismatic kwakweli
👏👏👍👍👍👍👍
Sana
Kwa asilimia 100%
Kweli tumuombee Mwenyenzi Mungu Azidi Kumpa hekima Ajue jinsi ya kutoka na kuingia Mungu ibariki Tanzania na Watu wake na Zaidi Watanzania Tuwatii wanaotuongoza kwani ndio Mahandiko yasemavyo. Mungu mbariki na kumtunza Rais wetu kwani najua kila mamlaka yatoka kwako
Sana kk ,jpm ameft Tz inahitajka viongoz km hawa.
Sipangi kukosa kumpigia Kura Huyu Baba nitajitaidi nihakikishe nimemepa kula yangu mwakani. Mungu akubariki Sana Rais Wetu Wasukuma Mungu katujalia uchapa kazi bila kujiinua. Huyu Mkuu hana makuu
Duuuh Mkuu wa magereza kua mwanajeshi hii kaliiiiiii muheshimiwa
Magufuli oyeeee 2020 utapata za kutosha
Miezi miwili na nusu!!! Kama umesikia gonga
Mh Rais pitia na mwendokasi mabasi ya kimala njia hyo ni majanga
Asante afande "jeshi halishindwi"
True
Mm namkubali Sana huyu Rais.
Kama 2020 ntakua huko Tz kwajili ya uchaguzi naomba pimbi yeyote asije kunipigia kampeni,mwenye kura huyo hapo,sijawahi kushawishika kuacha kufanya kazi zangu eti nkapige kura,Ila uchaguzi ujao kama nitakua Tanzania mimi kura yangu ni MAGUFULI..AU kama karatasi za kupiga kura zimeshachapishwa wantumie tu mi najaza ata sasaivi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣una vituko wewe
@@user-us9gl8jg4l 😁😁😁
Mzee magu uje na chalinze matank ya maji bado hayajaisha mpaka leo na ujenzi haueleweki
BIG UP MAGUFULI, BIG UP AFANDE ULIYEPOKEA SITE NIMEJIFUNZA KITU KIKUBWA SANA TOKA KWAKO "FLEXIBILITY "
sikukupigia kura najulahumu sanaa 2020 nipo na ww
Poleeeeeeee Mungu akupe uzima 2020
Hahahaa pole sana
Kwa huyo Mzee nimezima fegi, anamhoji rais kama anaongea na dalali wa kiwanja vile😄 he has iron balls🙌🏼
😂😂😂😂😂😂😂😂 Mzee kama anaongea na mtoto wake vile
Imma 😄😄
Safi sana lazima ujiamin kama kafanya makosa aambiwe unampa kitengo kengine unatuachia dhahama huyo mzee watamwona hana nidhamu ila huyo hafi masikin💪💪
Kwakwel
Freedom of speech.... Uhuru wa kuongea at it's best!!!
Rais wa Tanzania raha sana asee
Ungesukuma ndani pumbavu hao
Jemedali hodari nakupenda sana natamani uwe rais wangu daima penda sana rais JPMagufuli 💪🙏
2020 mh utapita kwa asilimia ambazo Hakuna rais ambaye ataweza kuja kuvunja record 😘😘😘😘 Mungu akubariki
Huwezi kumhoji Raisi kwanini umemteua! watu wawe makini wanapohojiwa mbele ya viongozi waandamizi,Mkuu ametumia hekima kukujibu .
Yaan tena kamsikiliza kwa umakini na kamjib kwa upole sana
Huyo mzee kakosa hekima yaani anamkaripia Rais kabisa
Ila nimerudiarudia sana nimegundua ni staili yake ya kuongea kwa kweli
😂😂😂
Kale ni kazee lazma akajibu Kwa busara😂😂😂😁
Iv hawa watendaji kwann hawajamuelewa adi leo huyu mzee?
Mwanaume.Rais Magufuli
Fanya Kazi mzee
Ndio mzeee tunashukuru kwaz nzuri,endelea kuwanyosha
Daaaaah Safi sana mwenyez Mungu akutie nguvu kiongozi wetu mpendwa
Mm kwa moyo wngu cna chama ila na mkubali mtani wangu sana ana maamuz hivyo ndivyo onavyo takiwa hakuna kucheka cheka
Hutu ndo raisi tuliokua tunamtaka✌💕💓🙏
What a man this guy was Greatest of all times
Mungu amepokea dua yangu AMIN,
Mungu Akulknde
Safi san kamanda, lait tungekupat mapema asaiv washanyooka hakun ujanjaujanj pumbavuu hao
rais Magufuli ni genious
Hiv wamjui rais wa sasa ama?aya sasa tonge limeondoka ilo?ilo.safi mkuu kanyaga twende💪
Thank you My President. kuna mambo Unatufundisha kama vijana in relation to responsibility.
Speed hii kama kila Mtendaji Wa serikali atakuwa nayo, nchi hii itasonga mbele
Mmh ni muda wa kazi siy kulemba magufuli umetisha
tunakuelewa sana my president😘😍😍
Hapo nakuunga mkono mweshimiwa
Magereza mda wote uo hamuoni aibu mhe katoa pesa yake
Kwanzia leo msionekane hapa 😂😂😂
Mk Classic hahahah...kibarua kimeota nyas
Ooh Rais wetu good
Sina shaka na utendaji wako wa kazi, twende kazini uncle magu
It's me forever and me ilove u
Sina neno Mkuu. Twende kazini. Big up Sir
Twende baba we n kamanda wa makamanda tutakuenzi daima rais wetu
ccm siipendi ila Huyu mzee amekiokoa chama
familia za askari wanataabika sana nyumba za madebe wamezichoka wamewezeshwa wanadongila amakweli wakufa ni wakufaTu inahuzunisha saana. TUBADIRIKE AWAMU PEVU.
Ally Futto sio tubadirike sema tubadilike
Magufull 2020 usifanye kampeni utamaliza mafuta utaendelea kuwa rais
upo vizr rais wetu nakukubali zaidi ya Sina La kusema mung akupe umri mrefu
Mzee Magufuli wasiotaka kuamini kuwa wewe ni wa tofauti wataamini tu. Kwani walizoea na wanaendelea kudanganyana kuwa wataendela kupiga. Endelea kubadilisha uelekeo, asiyefaa akae pembeni, anaefaa akalie usukani safari iendeleee, ndiooo. Kumbe tubaki tunamsubiri akitafuta mbinu za kupiga. Ila wakati mwingine Kuna wakwamishaji, Ni vema wakaeleza kwa nini wamekwama? MUNGU akulinde na kukuongoza.
Hongera mh Raid uko vzr
Mheshimiwa Rais Mungu akubariki Sana!
I love this guy with all my heart 😍😍😍
Nipe mpango kazi...(NITAFANYA KAZI USIKU NA MCHANA TUTAWASHA TAA)
TBA kwaheri mungu awabariki
Safi sana
Huyo mzee amejikakamua kumhoji rais kuwa kwanini ulimteua au alikudanganya...ikabidi rais amjibu kwa upole....!
Pius Mnanka
wakipatikana wawili kama hao kungekua kumenoga
Hahahah kajikaza c mchezo asee
Yaan Mkuu karudi chini kwa swali zito la Mzee, kamtizamaaaa halaf akajib kwa upole. Lazima kuna watu watatumbuliwa
Hahahaha mzee alitaka sjulikane
Jaman huyo mama mmmh .amaa kweli tz tumepata kiongoz
Safiiiiii magufuli juuu nchi iliendeshwa kimazoea mambo ya kipuuzi
Huu ndyo uraisi tunaoutaka safii sana Jpm maamuzi mazuri
Mungu akupe maisha marefu
Mkuu wa magereza ajiangalie hapo...mzee nimempenda amejiamini
This is the president we deserved from long time ago👌
Responsible leader
mindonapenda mambo kama aya weunazani loasa angeweza au angewakumbatia tuukuanao na ukukazi aziendi.
Uchaguzi ufanyike kwa wabunge na madiwani Ikulu wamuachie Mzee baba
Mzee chapakazi asirimaa %100
Mheshimiwa we love you so much
Mzee unabaat rais kukuacha mmkisoe leo smba kanywea 😆
😂😂😂😂
Baba miradi ya mikoani itupiwe macho barabara ya kidatu ifakara hata siielewi
Mungu akupe miaka 1000
Hakuna kuwapa taalifa, ukiwapa taalifa wanajipanga ukiwapa mgongo wanakula tu, kwanza hao vibarua hawana hata kofia za kazi wala viatu vya kazi
Chezea Magufuli na jeshi ww! Jeshi litajenga hapo usiku na mchana kama daraja la Kagera kipind ya vita na Id dada
confidence ni silaha mahsusi...keep kamanda
Mheshiwa raisi uje na Ponde Tuangoma kuna shida kwelikweli..serikali ya mtaa inafanya madudu mno
Nakukubali saba Raising Wetu
Kama umesikia Rais anamuta huyo wambele mzee wangu gonga like
kwakweli rais tunae
Mungu MKubwa sana kwako Rais wetu mpendwa Uwe na Afya Njema Mzee Magufuli!!
Mzee magufuli chapa kazi nchi ilikuwa imeoza.
Manabii wa mwanzo walikuwa wanatumwa na mungu mf Amosi
Hahahaaa,,,,,,yajayo yanafurahisha!!
Mtetez Wa wanyonge mtenda haki tunakupenda sana raisi wetu
yaan weee baba wewe mimi sijui hata nikupendeje maana nakupenda mpaka najikia raha mungu akupe miaka mingi sana baba angu
TANZANIA ipo kwenye Mikono salama sasa
Mzee baba hatari
asante kwaungozi huu waawammu yatano
Waendereye kucunga wafungwa wao hahhh mpaka wazirekebishe wenyewe hohhh
Hahahaha, ngonga like kama umesikia alivyomjibu huyo mama et msionekane hapa na mungu awabariki
Mweny namba ya magufuli naomb anitumie nina shida nae
Zile pushup ulizokua ukiwapigia saiv ndio wanaona nn umuhim wke kaz kaz