🙌🏽🙌🏽🙌🏽 Yaani mm hii ya kwenda sehemu ambayo niliwai kwenda kwenye ndoto uwa inanitokea sanaa Baba mlezi hili somo nimelisikiliza leo kwa makini naamini naamini Nimerudi na vitu vyangu vinerudi katika jina la yesu 🙏🙏🙏 NIMEKOMBOLEWA KWANZIA LEO
Kwa mafundisho haya watu wengi walishachezewa kichawi na kurufishwa nyuma katika mambo mengi n kusababisha kushusha maendeleo. Lakini Mungu w mbinguni atupiganue sans
My chief ngoja kikwambie Nakupenda Sana Sana namuomba huu Mungu aliye ziumba mbingu na inchi akutunze walau mpaka uzeheeni vile vyote ambavyo Mungu alivokupa tukiwa tumevipokea vyote God bless u ♥️♥️♥️♥️
Powerful prayer. Mungu akubariki mtumishi wa mungu kwa kazi njema ambayo Kristo Yesu ameiweka ndani yako. Asante kwa kuwa saidia watu. Jina la bwana YESU libarikiwe.
Asante sana mtumishi kwa somo hili .... Kiukweli sikuwahi kujua kuwa kuna msukule aina mbili 1. anayeishi 2. Ni ule msukule ambao unakufa na kuchukuliwa.. Nimejifunza somo kubwa sana na wakati nasikiliza kuna kakipande nilikuwa najiona hapa ila kulitia somo hili naamini nimerudishwa katika jina la Yesu.... Mungu akubariki sana apostle 🙏🙏🙏
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri ni kweli haya tunayona na kuyahisi kwenye miili yetu ila tulikuwa hatujui,sasa tumeyajua na tutayafanyia kazi sasa
Asante sana Apostle kwa baraka hizi . May our good God keep you long. Mimi yapata muda sasa naota ndoto na spiritual husband. Naikishatokea hivyo yanatokea mafarakano kati yangu na my boy friend na pia sijisikii kuongea na mtu yeyote. Pray for me man of God
🙌🏽🙌🏽🙌🏽 Yaani mm hii ya kwenda sehemu ambayo niliwai kwenda kwenye ndoto uwa inanitokea sanaa Baba mlezi hili somo nimelisikiliza leo kwa makini naamini naamini Nimerudi na vitu vyangu vinerudi katika jina la yesu 🙏🙏🙏 NIMEKOMBOLEWA KWANZIA LEO
Kwa mafundisho haya watu wengi walishachezewa kichawi na kurufishwa nyuma katika mambo mengi n kusababisha kushusha maendeleo. Lakini Mungu w mbinguni atupiganue sans
Ameeen
Yaani we baba Mungu akuweke mafundisho yako yananielewesha mambo makubwa
Barikiwa sana mtumishi wa mungu kwa huduma yako
Hii madhabahu ya Mungu naipenda,,kwa sababu ya mafundisho ya ndani,,mtumishi anafundisha kiundani Sana,,tunaelewa Mungu ni mkuu kwa NENO lake🙏❤
what a blessing revelation, may God bless you mightly
Nakuona Q🇰🇪
😭😭😭😭😭😭😭💔💔💔💔 baba yangu Mungu wangu nitalia mpaka lini mimi mwanao.
Mimi Niko makabe ninapenda haya maubiri .nashukuru mungu Kwa ajili mafundisho Mazur.
Ubalikiwe.sana.mtumishi kwa.ujumbe.
Narejeshewa utu wangu na kila kitu changu kwa jina la Yesu. Mungu akubariki Apostle kwa maono na kuyafanyia kazi. Nimepokea.
😭Ufahamu wa kipepo nilioekewa kupitia ndotoni unatoweka kwa jina la Yesu kristo wa Nazareth aliye hai 🙏🙏
Ubarikiwe sana na yesu kristo Niko Congo DRC kila mara nakufuata
Hoo my God mimi ni mmoja wao nasumbuliwa na ndoto mbaya jameni niombee from kenya
Barikiwa umefundisha kweli
Ameen 🙏🙏🙏 Apostle Mungu akupe maisha marefu na yenye baraka tere , uzidi kutufunulia maandiko
👏👏👏👏👏 Asante Mungu kwa kunionyesha Mtumishi wako👏👏
Rudisha kwa Jina la Yesu Kristo
Yesu Kristo tusaidie
Ubarikiwe sana kwa somo zuri NAOMBA MUOMBEE MUME WANGU
Asante Yesu kwa urejesho ulionipa kupitia ufunuo huu kupitia mtumishi wako apostle Mtalemwa Bushiri, be Blessed abundantly man of God.
Mchungaji wangu niombee .naotaga sana hizo ndoto mbaya hizo leonimejua ni mbaya
Nimeelewa baba natamani nifike hapo kanisani ubarikiwe
Asante Yesu Mimi na familia yangu natoka leo
Nashukulu sana chief nimefunguliwa usiku wa Leo nimesikia kitu kinatoka kichwani kma moshi kwa jina la Yesu
Naeza fikia mtumishi kiaje tafadhali
Yesu tusaidie 😢😢😢😢tumeagamia
Ameen Mtu wa MUNGU naomba MUNGU anisaidie
Eee Yesu nilejesheye fahamu za watoto ata mimi pia
Mungu nisaidie na mm niweze kupokea ushindi kuwa mzima
My chief ngoja kikwambie Nakupenda Sana Sana namuomba huu Mungu aliye ziumba mbingu na inchi akutunze walau mpaka uzeheeni vile vyote ambavyo Mungu alivokupa tukiwa tumevipokea vyote God bless u ♥️♥️♥️♥️
Asante sana mchumgaji kwa kunirudisha hakika nilikuwa nimetekwa😭😭🙏🙏🙏
Eee!! MUNGU tulinde sisi na uzao wetu,Asante sana Chief Apostle.
Napokea kwa jina la Yesu Kristo Mimi na familia yangu yote
Mungu azidi kukutunza akupe wingi wa mafunuo baraka nyingi kwako baba yetu
Barikiwa sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Mtumishi neno hili limekuwa la baraka sana mungu akubariki .
First to watch, Like and comment.
Asante Mtumishi wa Mungu, mtu wa ndani yangu amerejea kwa Jina la Yesu! Naamini!
Mungu tusaidie
Mungu a tusaidie sana
MTUMISHI OMUKAMA AKUBELE MUNOOOO
Ni kweli kabisa nikweli amen
Nashukuru sana mchungaji huduma yako ilinikomboa kutoka baharini ...
Powerful prayer. Mungu akubariki mtumishi wa mungu kwa kazi njema ambayo Kristo Yesu ameiweka ndani yako. Asante kwa kuwa saidia watu. Jina la bwana YESU libarikiwe.
Congo 🇨🇩 RDC n'a kusikia baba
Yes somo ni halisiii kabisaa
Amina baba
Asante sana mtumishi kwa somo hili .... Kiukweli sikuwahi kujua kuwa kuna msukule aina mbili
1. anayeishi
2. Ni ule msukule ambao unakufa na kuchukuliwa..
Nimejifunza somo kubwa sana na wakati nasikiliza kuna kakipande nilikuwa najiona hapa ila kulitia somo hili naamini nimerudishwa katika jina la Yesu....
Mungu akubariki sana apostle 🙏🙏🙏
Asante Yesu mikono yangu imerejea!! Na kila kilichobandia kimetowekaaa kwa Jina la Yesu!! Amen! Haleluyaaaaa!!! Amen
AMEN AMEN👏👏👏,,, Nimefunguliwa Kwa Damu Ya Yesu🙏🙏🙌🙌🔥🔥
Ubarikiwe mtumishi wakuonyeshwa maisha tuliyonayo
Haleluyah
I received in the name of Jesus Christ Amen Amen Amen Haleluya
Mtumishi umenigusa. Muombee kijana wangu Joseph!!
Asante Yesu nimebarikiwa na kufunuliwa jambo sijawahi lijuwa...Mungu aendelee kukutunza mtumishi wake uokoe kizazi hiki..
Asnt Mungu mbinu zako ni kubwa asnt kwa kumtumia mtumishi apostle kwa jibu langu asnt God
Amen.lazima nirudishwe nafsiyangu na kilakituchangu kurudishwa kwajina la yesu kristo wa.nazareth
AMEEN
Amen still reviewing somo hilo lina nitoa niliko wekwa na fsi yangu inarejea .
RUDISHAAAAA🔥🔥🔥RUDISHAAARUDISHAA🔥🔥🔥🔥
Nimebarikiwa sana Mtumishi na mafundisho mazuri
Barikiwa Mtumishi wa Mungu.
Nakuomba ombeya mume wangu, watoto/ndugu zangu
Napokea kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareth, Aminaa barikiwa sana pastor
Naendelea kujifunza mengi, barikiwa
This teaching though, asante Baba mlezi kwa mafunuo haya, I believe nimerudi na vitu vyangu vinarudi in Jesus name 🙏🙏
This is very true! Mungu niepushe nisiwe msukule na hata kama niko msukule natoka kwa moto kwa Jina la Yesu Amen.
Waaa powerful Mungu kila kilichopandwa kwa mwili Wangu kitoke ktk jina la yesu
Iyo tabia ya kushau ni mm kabisaaa mungu akubariki mtumishi kwa mafunuo
I belong to JESUS ASANTE YESUU KWA MAFUNDISHO HAYA.. MIMI NA FAMILIA YANGU TUNARUDIIIIIIII KWA JINA LA YESU. 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Asante.eeee yesu nisaidie nishike neno lako
Be blessed .siendi kwa jina la Yesu aminaa
Thnk u Jesus hakika Mtume wako umempaka mafuta pia ya kiualimu
Mungu Hakubaliki Sana Mchungaji
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri ni kweli haya tunayona na kuyahisi kwenye miili yetu ila tulikuwa hatujui,sasa tumeyajua na tutayafanyia kazi sasa
Barikiwa sana na mafundisho yako mungu akubariki sana baba
Mtumishi wa MUNGU,hili somo limenitandika 😳🤔🤔hapo kwenye Sauti MUNGU nisaidieee kusahau yaani yameniuma mno YESU aniokoe mimi
Rudishaaaa🔥🔥🔥UFAHAMU🔥🔥UTUUU🔥🔥Na vyote rudishaaa🙋♀️🙋♀️🙋♀️
Asante mtumishi kwa ujumbe huu , atukuzwe mungu baba wa Bwana wetu yesu kristo kwa kutukomboa🙏
Yes Asante kwa kuwa nimerejea Kama mumgu alivyoniumba asantee yesu
Thank you so much apostle
Napokeya, Mtumishi.
Mwanangu amenenepa kama siyo yeye kabisa. Naomba Maombi Baba yangu 🤝
Asante sana Apostle kwa baraka hizi . May our good God keep you long. Mimi yapata muda sasa naota ndoto na spiritual husband. Naikishatokea hivyo yanatokea mafarakano kati yangu na my boy friend na pia sijisikii kuongea na mtu yeyote. Pray for me man of God
Eeh baba unirehemu sawasawa na fadhili zako
Jesus Christ 🙏🙏
Nabarikiwa sana na haya mafundisho...yesu nisikae mbali nawe
Thank you Jesus !!!Thank you HolySpirit of God !! I believe ! I receive! Healing for my family and I in Jesus name amen .
Pray for us Apostle. God bless you 🙏
Naanza kupata fahamu,ubarikiwe Sana mtumishi
Fanya maombi kwa kijana wangu mtumishi wa mungu.
❤
Amina mtumishi wa MUNGU
Amina mmchungaji,umekua wabaraka kwangu hakoka nime fanyika upia,na tazama toka, kenya 🇰🇪🇰🇪.
Asante Mchungaji kwa somo hili zuri. Nina imani nimerejea upya tena katika Jina la Yesu Kristo Mwana wa MUNGU aliye hai.
Chochote Kwenye Mwilini Mwangu Kwa Jina La Yesu Kristo Kitoke Leo ! Nivuke Mwaka Nikiwa Mimi Amen 🙏.
Ee yesu naomba unitoe mimi na familia yangu kwenyevifungo
Ubarikiwe kwa somo hili mtumishi wa MUNGU,kiukweli binafsi limenitoa mahali sasa
Niiiipoooooo🙋♀️🙋♀️🙋♀️🙋♀️🔥
Asante Sana kwa ufunuo mwenyezi Mungu azidi kukuhifathi
Amen u kweli kabxa pst mungu akupe neema saidi ya hapo kuna mambo ya amechificha katika ulimwengu wa roo a mbayo atujui be blessed pst .
Amen am free in Jesus name.
Asante , Bwana Yesu asifiwe. Amen amen Narejea halisi katika Jina laye.
Mwenyezi Mungu wa Mbinguni azidi kuku Bariki Mtumishi wa Mungu. 🙏🏼
ASANTE kwa kutufundisha man of God 🙏
Amen Amen🙏🙏🙏
kweli...mtumishi. Mungu atusaidie.
Nime ota ndoto hizi sana nakona watu ninao waju ya sikitisha sana lakini sijui ni fanye je!
Powerful