DALILI 20 ZA KUCHUKULIWA KICHAWI [MSUKULE] PART 1
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ค. 2021
- 20 SYMPTOMS OF BEING TAKEN MAGICALLY.
In this lesson there are serious issues revealed by God's servant the Apostle Mtalemwa.
This lesson describes two types of being taken magically.
1) A person is presumed dead but is still hidden.
2) Man's existence is visible but his personality and soul are hidden. Follow the full lesson you will learn all 20 signs of being taken Magically
(Swahili)
DALILI 20 ZA KUCHUKULIWA KICHAWI(MSUKULE)
Katika somo hili kuna mambo mazito yanafunuliwa na mtumishi wa Mungu Apostle Mtalemwa.
Somo hili linaelezea aina mbili za kuchukuliwa kichawi(msukule)
1)Mtu kudhaniwa amekufa kumbe kafichwa.
2)Mtu kuwepo anaonekana ila utu wake na nafsi yake imefichwa.
Fuatilia somo kamili utajifunza dalili zote 20 za kuchukuliwa kichawi.
Ubarikiwe sana na yesu kristo Niko Congo DRC kila mara nakufuata
🙌🏽🙌🏽🙌🏽 Yaani mm hii ya kwenda sehemu ambayo niliwai kwenda kwenye ndoto uwa inanitokea sanaa Baba mlezi hili somo nimelisikiliza leo kwa makini naamini naamini Nimerudi na vitu vyangu vinerudi katika jina la yesu 🙏🙏🙏 NIMEKOMBOLEWA KWANZIA LEO
Kwa mafundisho haya watu wengi walishachezewa kichawi na kurufishwa nyuma katika mambo mengi n kusababisha kushusha maendeleo. Lakini Mungu w mbinguni atupiganue sans
Ameeen
Mimi Niko makabe ninapenda haya maubiri .nashukuru mungu Kwa ajili mafundisho Mazur.
Ameen 🙏🙏🙏 Apostle Mungu akupe maisha marefu na yenye baraka tere , uzidi kutufunulia maandiko
Yaani we baba Mungu akuweke mafundisho yako yananielewesha mambo makubwa
Nashukulu sana chief nimefunguliwa usiku wa Leo nimesikia kitu kinatoka kichwani kma moshi kwa jina la Yesu
Ameen Mtu wa MUNGU naomba MUNGU anisaidie
Asante Yesu kwa urejesho ulionipa kupitia ufunuo huu kupitia mtumishi wako apostle Mtalemwa Bushiri, be Blessed abundantly man of God.
My chief ngoja kikwambie Nakupenda Sana Sana namuomba huu Mungu aliye ziumba mbingu na inchi akutunze walau mpaka uzeheeni vile vyote ambavyo Mungu alivokupa tukiwa tumevipokea vyote God bless u ♥️♥️♥️♥️
Hoo my God mimi ni mmoja wao nasumbuliwa na ndoto mbaya jameni niombee from kenya
Hii madhabahu ya Mungu naipenda,,kwa sababu ya mafundisho ya ndani,,mtumishi anafundisha kiundani Sana,,tunaelewa Mungu ni mkuu kwa NENO lake🙏❤
what a blessing revelation, may God bless you mightly
Nakuona Q🇰🇪
This teaching though, asante Baba mlezi kwa mafunuo haya, I believe nimerudi na vitu vyangu vinarudi in Jesus name 🙏🙏
Powerful prayer. Mungu akubariki mtumishi wa mungu kwa kazi njema ambayo Kristo Yesu ameiweka ndani yako. Asante kwa kuwa saidia watu. Jina la bwana YESU libarikiwe.
Ubalikiwe.sana.mtumishi kwa.ujumbe.
Mchungaji wangu niombee .naotaga sana hizo ndoto mbaya hizo leonimejua ni mbaya
First to watch, Like and comment.
Mtumishi neno hili limekuwa la baraka sana mungu akubariki .
Nashukuru sana mchungaji huduma yako ilinikomboa kutoka baharini ...
Asante sana mchumgaji kwa kunirudisha hakika nilikuwa nimetekwa😭😭🙏🙏🙏
Ni kweli kabisa nikweli amen
Yes somo ni halisiii kabisaa
Thank you for such a revelation it's amazing
Asnt Mungu mbinu zako ni kubwa asnt kwa kumtumia mtumishi apostle kwa jibu langu asnt God
Asante sana mtumishi kwa somo hili .... Kiukweli sikuwahi kujua kuwa kuna msukule aina mbili
1. anayeishi
2. Ni ule msukule ambao unakufa na kuchukuliwa..
Nimejifunza somo kubwa sana na wakati nasikiliza kuna kakipande nilikuwa najiona hapa ila kulitia somo hili naamini nimerudishwa katika jina la Yesu....
Mungu akubariki sana apostle 🙏🙏🙏
Eee!! MUNGU tulinde sisi na uzao wetu,Asante sana Chief Apostle.
Naendelea kujifunza mengi, barikiwa
I received in the name of Jesus Christ Amen Amen Amen Haleluya
Asante sana Apostle kwa baraka hizi . May our good God keep you long. Mimi yapata muda sasa naota ndoto na spiritual husband. Naikishatokea hivyo yanatokea mafarakano kati yangu na my boy friend na pia sijisikii kuongea na mtu yeyote. Pray for me man of God
Asante Yesu nimebarikiwa na kufunuliwa jambo sijawahi lijuwa...Mungu aendelee kukutunza mtumishi wake uokoe kizazi hiki..
Barikiwa sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Asante Yesu Mimi na familia yangu natoka leo
Napokea kwa jina la Yesu Kristo Mimi na familia yangu yote
Mungu azidi kukutunza akupe wingi wa mafunuo baraka nyingi kwako baba yetu
Mungu a tusaidie sana
Asante Yesu mikono yangu imerejea!! Na kila kilichobandia kimetowekaaa kwa Jina la Yesu!! Amen! Haleluyaaaaa!!! Amen
Mungu tusaidie
This is very true! Mungu niepushe nisiwe msukule na hata kama niko msukule natoka kwa moto kwa Jina la Yesu Amen.
😭😭😭😭😭😭😭💔💔💔💔 baba yangu Mungu wangu nitalia mpaka lini mimi mwanao.
Yesu Kristo tusaidie
Asante mtumishi kwa ujumbe huu , atukuzwe mungu baba wa Bwana wetu yesu kristo kwa kutukomboa🙏
RUDISHAAAAA🔥🔥🔥RUDISHAAARUDISHAA🔥🔥🔥🔥
Amen still reviewing somo hilo lina nitoa niliko wekwa na fsi yangu inarejea .
AMEN AMEN👏👏👏,,, Nimefunguliwa Kwa Damu Ya Yesu🙏🙏🙌🙌🔥🔥
Thnk u Jesus hakika Mtume wako umempaka mafuta pia ya kiualimu
Waaa powerful Mungu kila kilichopandwa kwa mwili Wangu kitoke ktk jina la yesu
Naeza fikia mtumishi kiaje tafadhali
Nimeelewa baba natamani nifike hapo kanisani ubarikiwe
Napokeya, Mtumishi.
Mwanangu amenenepa kama siyo yeye kabisa. Naomba Maombi Baba yangu 🤝
Eee Yesu nilejesheye fahamu za watoto ata mimi pia
Power!!!! Please keep sharing !!!My family and I are being delivered day by day in Jesus name. Amen
Thank you man of God for this lesson,,,,Be blessed and more revelation from the most High God 🙏🙏🙏.
Napokea kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareth, Aminaa barikiwa sana pastor
😭Ufahamu wa kipepo nilioekewa kupitia ndotoni unatoweka kwa jina la Yesu kristo wa Nazareth aliye hai 🙏🙏
Barikiwa Mtumishi wa Mungu.
Nakuomba ombeya mume wangu, watoto/ndugu zangu
Amina mmchungaji,umekua wabaraka kwangu hakoka nime fanyika upia,na tazama toka, kenya 🇰🇪🇰🇪.
Ubarikiwe kwa somo hili mtumishi wa MUNGU,kiukweli binafsi limenitoa mahali sasa
Thank you Apostle
God bless you 🙏🏿
Amen.lazima nirudishwe nafsiyangu na kilakituchangu kurudishwa kwajina la yesu kristo wa.nazareth
Anytime I watch your preaching it changes my life be blessed
Mungu nisaidie na mm niweze kupokea ushindi kuwa mzima
Mtumishi umenigusa. Muombee kijana wangu Joseph!!
Asante , Bwana Yesu asifiwe. Amen amen Narejea halisi katika Jina laye.
Thank You man of God!
Thanks my pastor,stay blessed sir
Ubarikiwe mtumishi wakuonyeshwa maisha tuliyonayo
Rudishaaaa🔥🔥🔥UFAHAMU🔥🔥UTUUU🔥🔥Na vyote rudishaaa🙋♀️🙋♀️🙋♀️
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri ni kweli haya tunayona na kuyahisi kwenye miili yetu ila tulikuwa hatujui,sasa tumeyajua na tutayafanyia kazi sasa
Barikiwa sana na mafundisho yako mungu akubariki sana baba
Amen u kweli kabxa pst mungu akupe neema saidi ya hapo kuna mambo ya amechificha katika ulimwengu wa roo a mbayo atujui be blessed pst .
Asante Mchungaji kwa somo hili zuri. Nina imani nimerejea upya tena katika Jina la Yesu Kristo Mwana wa MUNGU aliye hai.
Chochote Kwenye Mwilini Mwangu Kwa Jina La Yesu Kristo Kitoke Leo ! Nivuke Mwaka Nikiwa Mimi Amen 🙏.
Thank you so much apostle
Thank you for revelation, I'm delivered in Jesus name it's done
AMEEN
Yes Asante kwa kuwa nimerejea Kama mumgu alivyoniumba asantee yesu
Asante chief kwa somo zuri.!
Thank you Jesus !!!Thank you HolySpirit of God !! I believe ! I receive! Healing for my family and I in Jesus name amen .
Haleluyah
Thank you Jesus Iam free,
Thank you man of God blessed you 🙏🙏🙏
Nabarikiwa sana na haya mafundisho...yesu nisikae mbali nawe
Thank you man of God for this message, the time we were praying I felt like sand in my eyes but I continued to pray and I thank God for setting me free, you are a blessing to our generation, may almighty God continue to use you more ..we really need you for our today's church. Amen amen amen
Nimebarikiwa sana Mtumishi na mafundisho mazuri
May GOD BLESS you Apostle!!!!! Am shocked ???? Powerful teachings.
Be blessed man of God watching from USA
MTUMISHI OMUKAMA AKUBELE MUNOOOO
Be blessed .siendi kwa jina la Yesu aminaa
kweli...mtumishi. Mungu atusaidie.
Nime ota ndoto hizi sana nakona watu ninao waju ya sikitisha sana lakini sijui ni fanye je!
Asante Sana kwa ufunuo mwenyezi Mungu azidi kukuhifathi
These true Pastor. May God bless your Revelation
Yesu tusaidie 😢😢😢😢tumeagamia
Thnk you Jesus..
Amen ubarikiwe man of God
Mtumishi wa MUNGU,hili somo limenitandika 😳🤔🤔hapo kwenye Sauti MUNGU nisaidieee kusahau yaani yameniuma mno YESU aniokoe mimi
Iyo tabia ya kushau ni mm kabisaaa mungu akubariki mtumishi kwa mafunuo
Ameen
Asante.eeee yesu nisaidie nishike neno lako
Mtumishi ni kweli sauti mbili hua nilikua naiskia ni mda mrefu sana nilikua namwambia mama sikujua kwanini naomba ufafanue kwahili mtumushi
I belong to JESUS ASANTE YESUU KWA MAFUNDISHO HAYA.. MIMI NA FAMILIA YANGU TUNARUDIIIIIIII KWA JINA LA YESU. 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Be blessed 🙏🏻 kwa sermon nzuri mtumishi
Pray for us Apostle. God bless you 🙏
Asant sana dady nimebarikiwa na somo la leo
Fanya maombi kwa kijana wangu mtumishi wa mungu.
Naanza kupata fahamu,ubarikiwe Sana mtumishi