Jamani amefariki kwa uzuri wake na roho nzuri ya kutaka kuwaokoa wenzake mungu amkumbuke ampe nafasi ya kuishi tena mbinguni..wa Tanzania pole kwa mkasaa huu mungu awape uvumilivu ndugu zetu
Hichi kitendo cha kufungua mafuta iwefundisho kwa wengine, inaonyesha n jinsi gan baadhi la binadamu wasivyo kua na utu ,hii n funzo na hii n hasira ya Mungu ametenda yaliyo tokea, yan badala ya kutafuta mbinu ya kuweza kuokoa waliopo kwenye gar hilo wao wanakim ilia mafuta, eeh Mungu tupe mioyo ya utu na hofu ya Mungu.
Mbele yao nyuma yetu, kwamungu sote tutaludi, Mungu ametoa mungu ametwaa jina lamungu litukuzwe. Na kwautukufu wake mungu awapunguzia maumivu ya umauti wao. Eeemen ( aamin )
That's guy is a hero i salute him ata kama hajui na haoni.. he lost his life saving other lives God i knw you're proud of him plz i pray keep his family in touch alwys
Yani mungu atunusuru kwa kweli lakini tabia ya watu wengi wanakimbilia vitu kwenye gari inapopata ajali huwa wanatokwa na utu . Wakusaidia kwanza hata Kama wanakuona unakufa huwa hawashuhuliki na wewe . Kuna mambo mengi hapo ya kujifunza mungu awasamehe mazambi Yao awalaze pema peponi Amin
Mungu atujalie Watanzania wote wenye moyo upendo na kujitoa, mtangazaji jaribu kuiliza maswali ambayo utapata majibu mazuri ya kujitosheleza. Nilitegemea angeuliza mali yako imehalibika wakati unatetea uhai wa wenzako je ni somo gani umejifunza kupitia mtu aliyefariki ukiwa hata ufahamiani nae? Ndugu Watanzania sio mbaya tukajifunza kufamiana kuna tija.
Huyo jamaa yako alikuwa na huruma msamalia mwema maskini na yeye akafariki amekufa kishujaa lazima azikwe kishujaa familia yake isaidiwe alikuwa na moyo wa kishujaa
Inna lillahi waina ilayhi raajiun Pole sana ndugu zangu ALLAH awape subra na awalipe ujira mkubwa Huyo shujaa dereva wa bodaboda tungependa amuelezee huyo mwenzie alikwenda nae yukoje au kama akiona picha yake anaweza kumkumbuka. Sisi tuna kaka yetu mpaka sasa hajapatikana na yasemekana yeye ndie aliekuwa anajaribu kumtoa dereva mwenzie kwenye hio Lori ya mafuta iliowaka moto
Kifo.ni kama maji ya baharini kubwa tuwe makin na magari yanayopinduka si maloli ya mafuta tu hata ya magari ya kawaida tuyaogope mungu walaze mahala pema peponi marehemu wote
Kweli majonz yamenidondoka huyo jamaa kaoga vizuri kaaga familia kwenda nane nane, kukuta ajal kusaidia nae ndo bye, mungu wangu kwa niaba yake naiombea roho yake safi ipate dhawabu mbele zako, eee mungu tufanyie wepesi kwa msiba huu na hekima pia jinz ya kuepuka na hili janga iwapo likitokea tena.
R IP wewe uliyejaribu kuokoa maisha ya dereva na mwenzake'sasa hawa wezi wa mafuta waloacha dereva na mwenzake wafe wafaidi mafuta mtalala mlipochagua'inasikitisha sana watu wameacha watu kwenye kibin wakadili mafuta mshahara wenu ndo huo
Yaani watu bwana walijali mafuta kuliko kuwaokoa dereva na abilia wake, aliyefariki kwa kutaka kumwokoa dereva atafutwe jamani walete picha za watu waliokufa atamjua tu.
@@ommietrendz7175 baada ya Lori kuanguka;kuna Lori lingine lilikuwa likipita. Ndipo dereva wake aliamua kwenda kumsaidia mwenzie;yakamsibu. Ndio huyu aliepo muhimbili.
Jamani kwa nini wamefunguwaa mifuniko ya tenki ya mafuta hakujali walioko ndani ya gari hawaakuwa na elimu wamekufa wengi sana jamani tujali utuu sio wizi mumeona athari zake kaka imani yako mungu atakulipa mbele ya haki
Habarini wadau.. Tunatoa mafunzo ya fursa za mtandaoni kupitia program inayodhaminiwa na shirika la Google iitwayo Google Digital Skills for Africa. Vikundi vitajifunza Mambo mengi ikiwa Ni pamoja na 1. Fursa zilizopo mtandaoni 2. Jinsi ya kuanza mtandaoni na biashara yako. 3. Kukuza soko la wateja mtandaoni. 4. Kuipa thamani biashara au jina lako mtandaoni. 5. Kujiajiri kwenye digital world. Na mengine mengi. Mafunzo haya Ni bure na yanatolewa ndani ya siku moja kwa muda wa masaa 2 tuu kwa vikundi vya watu kuanzia 30 na kuendelea. Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia namba 0714664797
Hichi kitendo cha kufungua mafuta iwefundisho kwa wengine, inaonyesha n jinsi gan baadhi la binadamu wasivyo kua na utu ,hii n funzo na hii n hasira ya Mungu ametenda yaliyo tokea, yan badala ya kutafuta mbinu ya kuweza kuokoa waliopo kwenye gar hilo wao wanakim ilia mafuta, eeh Mungu tupe mioyo ya utu na hofu ya Mungu.
Hakika huyo alie jitolea kuwasaidia na mauti kumfika ni SHUJAA WA TAIFA
Jamani amefariki kwa uzuri wake na roho nzuri ya kutaka kuwaokoa wenzake mungu amkumbuke ampe nafasi ya kuishi tena mbinguni..wa Tanzania pole kwa mkasaa huu mungu awape uvumilivu ndugu zetu
Kweli
Hichi kitendo cha kufungua mafuta iwefundisho kwa wengine, inaonyesha n jinsi gan baadhi la binadamu wasivyo kua na utu ,hii n funzo na hii n hasira ya Mungu ametenda yaliyo tokea, yan badala ya kutafuta mbinu ya kuweza kuokoa waliopo kwenye gar hilo wao wanakim ilia mafuta, eeh Mungu tupe mioyo ya utu na hofu ya Mungu.
Dah ni zaidi ya maumivu pole kweli alikua anaenda kuokoa wenzie bahati mbaya amefariki Na yeye mungu aiweke Roho yake pema pepon
PENDO CHIMAMY mngu ndo alipanga kifo hicho badara waokoe dereva wanakimbila mafta,
Huyo jamaa ni shujaa
Ameen
Japhary Kyoma oops o
Mnazareti Nemi mj
Mbele yao nyuma yetu, kwamungu sote tutaludi, Mungu ametoa mungu ametwaa jina lamungu litukuzwe. Na kwautukufu wake mungu awapunguzia maumivu ya umauti wao. Eeemen ( aamin )
That's guy is a hero i salute him ata kama hajui na haoni.. he lost his life saving other lives God i knw you're proud of him plz i pray keep his family in touch alwys
Daaah inauma sana mungu awalaze ndugu zetu mahali pema pepon amina
Ewe mola wetu tunakuomba utusamehe sisi waja wako utufanyie wepesi tutekeleze ibada na kufanya mema kwa wingi ,ya rabbi tuna kuomba uwapokee wajawako walio pata ajali mbaya ya moto tunakuomba uwapokee kwa kheri zako na utukufu wako aamin.
Poleni sana huu ni msiba wa Taifa zima, inauma sana Mungu awape faraja wafiwa, pia awaponye majeruhi wote.
Huyo kijana nahisi atakua peponi kwa ule moyo wa huruma aliouonesha
Shujaaa ameenda kusaidia naye kafa MUNGU amlaze mahari pema 😢😢
Tundu lisu
"SIO KUKWEPA MUNGU NDO ANAEWEZA KUKUEPUSHA KAMA SIKU ZAKO HAZIJAFIKA"
ALLAH AKHBALL😭😭😭😭
Wainalilah wainalajilun mbele yao nyuma yetu mungu awalaze malehem pema peponi
Ewe mwenyez mungu tupe mwisho mema ya Allah tusamee makosa yetu daa kwel siku yako ikifika imefika Alipangalo mungu binadam uwez kupangua
Swadkta kila nafx itaonj MAUT
Polenii Sana ndugu zetu mulale salama Tyutaonana Badaee 🙏🙏
inauma kajitoa kuokoa nae kapat umati Allah wapokee viumbe wko
Innalillahi wainna ilahi rajiuun
Yani mungu atunusuru kwa kweli lakini tabia ya watu wengi wanakimbilia vitu kwenye gari inapopata ajali huwa wanatokwa na utu . Wakusaidia kwanza hata Kama wanakuona unakufa huwa hawashuhuliki na wewe . Kuna mambo mengi hapo ya kujifunza mungu awasamehe mazambi Yao awalaze pema peponi Amin
Pole kaka mungu akusaidie wapumzike kwa amani
mtangazaji inabid alud shule anauliza maswal ayamake senc kabsa..anazngua
kabisa aisee... anaboa
Kweli kabisa, mimi pia kaniboa.
Mungu atujalie Watanzania wote wenye moyo upendo na kujitoa, mtangazaji jaribu kuiliza maswali ambayo utapata majibu mazuri ya kujitosheleza. Nilitegemea angeuliza mali yako imehalibika wakati unatetea uhai wa wenzako je ni somo gani umejifunza kupitia mtu aliyefariki ukiwa hata ufahamiani nae?
Ndugu Watanzania sio mbaya tukajifunza kufamiana kuna tija.
😭😭😭😭majonz kwa sot
Kwaliofarik allah awapumuzish salama kwa waliopo hospital allah awapony inshaallah🙏🙏
poleni kwa familia 😭😭😭from ke nya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Thank you we love you Kenya's!!!
Mungu atakulipa kwa wema wako,na mwenzio nae Mungu atampokea huko alikoenda. Pole sana
Mungu awalaze mahali pema peponi Ameen
Kam acku zako zmefka zmefka tuuuu on ata hawa wapita njia Basi mungu awalaze mahala pema peponiiiii
Poleni Sana
Poleni sana jaman
Du Mungu anakupenda sana mtumikie.
Huyo jamaa yako alikuwa na huruma msamalia mwema maskini na yeye akafariki amekufa kishujaa lazima azikwe kishujaa familia yake isaidiwe alikuwa na moyo wa kishujaa
Huenda alipozama kwenye cabin aliwasachi na kuchukua pesa za yule dereva na abiria wake.Huwezi jua!Tusihukumu!
Da poleni sana
Inna lillahi waina ilayhi raajiun
Pole sana ndugu zangu
ALLAH awape subra na awalipe ujira mkubwa
Huyo shujaa dereva wa bodaboda tungependa amuelezee huyo mwenzie alikwenda nae yukoje au kama akiona picha yake anaweza kumkumbuka. Sisi tuna kaka yetu mpaka sasa hajapatikana na yasemekana yeye ndie aliekuwa anajaribu kumtoa dereva mwenzie kwenye hio Lori ya mafuta iliowaka moto
Ahmed Abdallah poleni sana ndugu
Mtapata tu taarifa kwa uwezo wa mungu 🙏🏼
@@ommietrendz7175 ameen
Dah inauma ALLAH ampe kauli thabit
R.i.p Abiria wa Bodaboda 😭😭
Kifo.ni kama maji ya baharini kubwa tuwe makin na magari yanayopinduka si maloli ya mafuta tu hata ya magari ya kawaida tuyaogope mungu walaze mahala pema peponi marehemu wote
poleni jamani
Poleni jamani ni huzuni sana allah awape subra watanzania
poleni sana
Poleni sana jamani.R.I.P
Inauma sana😭😭😭wapumzike kwa amani
Duh inaima sana jamani
Wengi walio poteza maisha awakuwa wanachota mafuta ombi langu selikali imuangalie uyu kaka aliepoteza pikipiki yake ili aludi kupambana namaisha
Pole
Kweli majonz yamenidondoka huyo jamaa kaoga vizuri kaaga familia kwenda nane nane, kukuta ajal kusaidia nae ndo bye, mungu wangu kwa niaba yake naiombea roho yake safi ipate dhawabu mbele zako, eee mungu tufanyie wepesi kwa msiba huu na hekima pia jinz ya kuepuka na hili janga iwapo likitokea tena.
Ku pakua
Aisee imeniuma aliyekuwa anamsaidia, je hats amiletewa PICHA so atamkumbuka day, ktk waliokufa zingeonyeshwa PICHA zao angemkumbuka
Leo au
POLENI SANA
Police walichelewa kufika Eneo la tukio kuzuia wasiibe mafuta
Natoa pole ni pigo kwa Tz yetu
Daah inauma sana R.I.P
Ni Malaika alikuja kutukumbusha binadamu tuwe na mioyo gani...
Jamn!!!!!!
Jamani haya nimajanga
R IP wewe uliyejaribu kuokoa maisha ya dereva na mwenzake'sasa hawa wezi wa mafuta waloacha dereva na mwenzake wafe wafaidi mafuta mtalala mlipochagua'inasikitisha sana watu wameacha watu kwenye kibin wakadili mafuta mshahara wenu ndo huo
Daaaaaaa jaman
daaah inauma sana
Duhuuuu jamani 😥😥😥😥😥
Mwandishi wa habari naomba tu ufike sehemu umuache mtu aeleze story yake alafu ndio maswali yafuate..
Maswali meng bila mpangilio yn
Ooosh am talkless😱😱😱
R. I. P shujaaaa
Pole sana kijana inasikitisha sana
HAWA NTAREJEA FT BEN POL - th-cam.com/video/IBtkRa-AUr8/w-d-xo.html
Jamani gari la m’agita ni hatari watu wafudishwi
Wafundishwe mara ngapi natuaambiwa kila siku gali lenyewe tayali limeandkwa danger
Yaani watu bwana walijali mafuta kuliko kuwaokoa dereva na abilia wake, aliyefariki kwa kutaka kumwokoa dereva atafutwe jamani walete picha za watu waliokufa atamjua tu.
Atajulikana vp kwa mfano are u mad
@@hadijaabdallah5477 zikiletwa picha zao halisi wakati wa uhai wao huyo jamaa atamrecognize namaanisha hivyo Hadija very simple.
Kwahiyo kabla ya kupanda Bodaboda huko Morogoro huwa wanapigwa picha
Waltp
Sasa yule dereva wa lory na huyo mwenzie nao pia waliungua?
ndio
Sasa ndugu yangu dereva alishakatika miguu na mikono atakosa kuungua?
Jivu tupu.
Mbona wanasema kapona dereva ??
Na ktk clip za magufuri akiwa hospital alikutana nae
@@ommietrendz7175 baada ya Lori kuanguka;kuna Lori lingine lilikuwa likipita. Ndipo dereva wake aliamua kwenda kumsaidia mwenzie;yakamsibu. Ndio huyu aliepo muhimbili.
Jamani kwa nini wamefunguwaa mifuniko ya tenki ya mafuta hakujali walioko ndani ya gari hawaakuwa na elimu wamekufa wengi sana jamani tujali utuu sio wizi mumeona athari zake kaka imani yako mungu atakulipa mbele ya haki
R.I.P
mtangazaji rudi shule
POLENI WAFIWA. KARIBU HAPA th-cam.com/video/SQZ0hk5K7mI/w-d-xo.html. UTAZAME ORIJNO VIDEO CLIPS. ZOTE ZA BONGOFLAVA.
Kama una Virusi Vya Ukimwi zingatia hi
th-cam.com/video/C9WuSdcuMKs/w-d-xo.html
Habarini wadau..
Tunatoa mafunzo ya fursa za mtandaoni kupitia program inayodhaminiwa na shirika la Google iitwayo Google Digital Skills for Africa.
Vikundi vitajifunza Mambo mengi ikiwa Ni pamoja na
1. Fursa zilizopo mtandaoni
2. Jinsi ya kuanza mtandaoni na biashara yako.
3. Kukuza soko la wateja mtandaoni.
4. Kuipa thamani biashara au jina lako mtandaoni.
5. Kujiajiri kwenye digital world.
Na mengine mengi. Mafunzo haya Ni bure na yanatolewa ndani ya siku moja kwa muda wa masaa 2 tuu kwa vikundi vya watu kuanzia 30 na kuendelea. Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia namba 0714664797
Hichi kitendo cha kufungua mafuta iwefundisho kwa wengine, inaonyesha n jinsi gan baadhi la binadamu wasivyo kua na utu ,hii n funzo na hii n hasira ya Mungu ametenda yaliyo tokea, yan badala ya kutafuta mbinu ya kuweza kuokoa waliopo kwenye gar hilo wao wanakim ilia mafuta, eeh Mungu tupe mioyo ya utu na hofu ya Mungu.
Poleni sana ndugu zangu,watanzania wenzangu mungu awatie nguvu