Wambie TU yawaingie sema kweli uzidi kupendwa na aliekufanya uendelee kuwepo japo walipenda usiishi wayapokee ni makusudi ya Mungu siku hizi ni zamu ya mzanzibar dhidi ya mtanganyika sasahawajui kama wamasai hata iweje watasema huyu mtoto wa wazanzibari anatufukuza kwenye urisi wetu kwani yanatuhusu Nini sisi wa mikoa mingine hawa ni ndugu zetu lazima tuungane na wanao hujumiwa nilazima tukemee lushwa ni wajibu wetu na ndio wajibu wa chama chetu tutapambana na rushwa hata ikibidi kufa Mungu ametuamru kukemea rushwa
Asante mwanangu mpendwa Tundu Lissu kwa ufanafanunuzi huu wa kauli zako kuhusu muundo wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar pamoja na kukemea kwako hatari ya kuendekeza rushwa katika chaguzi za ndani ya chama chetu. Endelea kutoa elimu ya uraia kuhusu maswala haya na wenye nia njema na kuitakia mema nchi yetu na chama chetu cha Chadema tunajua kuwa huna ubaya na mtu bali unakitakia chama chetu cha Chadema mafanikio ya kisiasa chini ya uongozi imara na mahili wa Mwenyakiti wetu na mwanangu mpendwa kama wewe Freeman Mbowe. Wanao ombea chama chetu cha Chadema mafarakano yatakayokidhoofisha "washindwe na kulegea".
Sema sema baba RUSHWA imekwisha ingia CHADEMA. Bila fedha huwezi kuchaguliwa. Uhonge nfipo uchaguliwe. Kwa sasa CHADEMA iko kwenye kipindi kigumu sana. Wameachwa wazoefu wamechaguliwa viongozi ambao hawana uzoefu.
Unaeleweka kiongozi wetu shida hata siyo kusema shida kubwa ni nani kasema na unaposema wakubwa tumbo inapata joto kwa sababu watu wengi wanakusikiliza
Kkkkk kweli watanzania tumefikia kumsikiliza huyu amesema rushwa ndani ya chadema hatoi maelezo kamili ikijadiliwa na wengine NI taharuki wao kina lisu NI Sawa na watu wanamfurahia
Sikiliza vzr wewe mbuzi.ccm imeleta Hela za rushwa chadema itumike kuchagua viongozi dhafu watakaoua chadema. Sio Hela za chadema.umeelewa sasa.??na Hela waliozitoa amewataja
Mungu mkubwa akulinde daima ktk ulimwengu huuuu haramu unaofanywa na familia ya CCM, hakika IQ yako IPO juuuu Kwa kuifundisha hiiiiiiii jamiiii iliyopo mbele yetu na Dunia nzima, elimu ya kisheria unaitendea Haki 😭😭😭😭😭😭😭😭 ninatoa machozi Kwa uchungu Kwa unavyotufundisha watanganyika, lkn hakuna anakuelewa, nchi inaangamia Kwa kuwa na viongozi wasiokuwa na huruma na Taifa letu, Mungu akuongoze kwenye hili janga
Tundu Lisu is a gentleman
Keep up for your country na Mungu akubariki sana
Daaah respect man, The Beam of Africa
Wambie TU yawaingie sema kweli uzidi kupendwa na aliekufanya uendelee kuwepo japo walipenda usiishi wayapokee ni makusudi ya Mungu siku hizi ni zamu ya mzanzibar dhidi ya mtanganyika sasahawajui kama wamasai hata iweje watasema huyu mtoto wa wazanzibari anatufukuza kwenye urisi wetu kwani yanatuhusu Nini sisi wa mikoa mingine hawa ni ndugu zetu lazima tuungane na wanao hujumiwa nilazima tukemee lushwa ni wajibu wetu na ndio wajibu wa chama chetu tutapambana na rushwa hata ikibidi kufa Mungu ametuamru kukemea rushwa
Nakuelewa sana kiongozi wangu. Even Lowassa Chadema ilikuwa Rushwa.
Respect mkuuu
Asante mwanangu mpendwa Tundu Lissu kwa ufanafanunuzi huu wa kauli zako kuhusu muundo wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar pamoja na kukemea kwako hatari ya kuendekeza rushwa katika chaguzi za ndani ya chama chetu. Endelea kutoa elimu ya uraia kuhusu maswala haya na wenye nia njema na kuitakia mema nchi yetu na chama chetu cha Chadema tunajua kuwa huna ubaya na mtu bali unakitakia chama chetu cha Chadema mafanikio ya kisiasa chini ya uongozi imara na mahili wa Mwenyakiti wetu na mwanangu mpendwa kama wewe Freeman Mbowe. Wanao ombea chama chetu cha Chadema mafarakano yatakayokidhoofisha "washindwe na kulegea".
Lissu for presidency
Waizi sana wanataka tusemeje, kwanza wshaanza kuzitumia
S😮😮
Sema sema baba RUSHWA imekwisha ingia CHADEMA. Bila fedha huwezi kuchaguliwa. Uhonge nfipo uchaguliwe. Kwa sasa CHADEMA iko kwenye kipindi kigumu sana. Wameachwa wazoefu wamechaguliwa viongozi ambao hawana uzoefu.
Mungu akubariki san rais wang
Kamatakukuru wanachunguza waanzie kwa kina mdee na wenzake walipewa rushwa nanani
Ila viongozi wa Tanzania acheni kuthamini wageni kuliko wazawa Hawa maskini
Tundu tundu tundu lissu wewe ni mtu wa maana kabsa
Lisuu safii
Hivi ni kosa gani kukemea rushwa? Huwezi kukemea maovu nje,ukaacha ndani mwako yanaota mizizi.
Bingwa wa poropaganda hongera
Unaeleweka kiongozi wetu shida hata siyo kusema shida kubwa ni nani kasema na unaposema wakubwa tumbo inapata joto kwa sababu watu wengi wanakusikiliza
Hujaelewa hoja ya Lissu
Ukweli utakuweka huru.
Nimemwelewa wew ni kiongozi jasili sana
Mungu nimwema.atatupigania wewe chapa kazi lissu,watanzania wapo wanaojitambua usiofu .
Wanaokushambulia ni vibaraka wa CCM , Vibaraka hao hata wanachohongwa ni kipesa kidogo sana kulinganisha na hao wanaowagawia.
Pamoja mzee wenye akili chana tumekuelewa watanzania tumelimika sasa
We ndio mwamba ulionaki tanzania
chadema mnatakiwa kutoa na nyinyi rushwa kwa wana ccm ili ngoma iwe drooo
rushwa iligonga mwamba kwa watu wawili tu mbowe na lissu
Kkkkk kweli watanzania tumefikia kumsikiliza huyu amesema rushwa ndani ya chadema hatoi maelezo kamili ikijadiliwa na wengine NI taharuki wao kina lisu NI Sawa na watu wanamfurahia
Huon ni uchawa kama mwingine
Mbowe kahongwa na CCM
President Lissu💯🔥
Ni ndoto tahira kuja kwa Raisi wa tz 🤣🤣
Huyu chizi nani hampe nchi
Big up,Baba Mungu akutie nguvu zaidi na zaidi.
Lisu piga hapo hapo tupo pamoja na ww kamanda 😅
Nakumbenda Kwa moyo tundu lisu
SO NILIWAAMBIA?HUYU MWAMBA HAMUNG'UNYI MANENO❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂
WEWE SIO UKOHAUPO KWA AJILI YA WATANZANIA WEWE UNATAKA WATU WAMWAGE DAMU ALAFU UKIMBILIE HUKO UBELGIGI KWA MABWANA ZAKO KIMASLA
Hamza Heri tunata Tanganyika yetu kabla hatujauana
Hamna kitu hapo porojo tu,
Damu inatoka wapi nyerere aliwafukuza wanzunfu na damu haikumwagika ije leo watu weusi
Wewe hamza acha ujinga kwani kumwaga damu kwa ajili ya kutafuta haki
Waitara.
Mbona Makonda alipokelewa rushwa hadharani mlimponda
Makonda ni comedian
Mm nachukia sana muungano wa Tanganyika na Zanzibar
Mzee wa kuleta chuki tz na family yako umeificha us ati ni mzalendo wacha umbea plz
We ndo mpumbavu sana
@@George-jz3jg ukweli ndo uwo uwezi sema muafrica ni mgeni ndani ya africa kweli
Ww ni mjinga kabisa
uko timamu kweli
tulieni kama huna akili unakaa kimya wewe
Ambayaye yupo,ccmz, asiteseke, asome tu cement atazimia lissu mwamba
Hee kumbe chadema kuna rushwa nilidhani CCM peke yake 🤣🤣🤣
Sikiliza vzr wewe mbuzi.ccm imeleta Hela za rushwa chadema itumike kuchagua viongozi dhafu watakaoua chadema. Sio Hela za chadema.umeelewa sasa.??na Hela waliozitoa amewataja
Mungu mkubwa akulinde daima ktk ulimwengu huuuu haramu unaofanywa na familia ya CCM, hakika IQ yako IPO juuuu Kwa kuifundisha hiiiiiiii jamiiii iliyopo mbele yetu na Dunia nzima, elimu ya kisheria unaitendea Haki 😭😭😭😭😭😭😭😭 ninatoa machozi Kwa uchungu Kwa unavyotufundisha watanganyika, lkn hakuna anakuelewa, nchi inaangamia Kwa kuwa na viongozi wasiokuwa na huruma na Taifa letu, Mungu akuongoze kwenye hili janga
Umenchekesha 😂😂eti umelia kwa uchungu 😅😅
Bora muungano uvunjwe