CCM ACHENI UKIRITIMBA , WANANCHI TUNACHOHITAJI, NI TUME HURU YA UCHAGUZI NA KATIBA MPYA. WATANZANIA TUNATAKA MABADILIKO AMBAYO YATALETA UWAJIBIKAJI. KUIBIWA FEDHA ZA UMMA NA KULINDANA TUMECHOKA.
Wakati wowote ukifika wakati wa mabadiriko wewe mtawala, au mwenye mamlaka, huwezi kupingana na wakati huo, hapo Jambo la musingi nikukubaliana na upepo, au, uvumi unao vuma. Nikiwa na maana kuwa huu ndiyo wakati sahihi, wa mabadiriko ya katiba, na kuwepo tume huru ya uchaguzi, ili nchi na raia wake viweze kustawi.
Huyu anazungumza kilichopo na uhalisia na anaongea yakweli kabsa japo sisi watanzania wengi ni watu wakufata mkumbo na kuto kujitambua hawa ccm siyo chama cha kifalme lakin watanzania walio wengi wenye kukosoa chama cha chadema huwa hatuna akili zautambuzi juu ya siasa kiukweli
Yaani mwenyekiti wangu mbowe Kama ulivyosema wasaini waandikishaji ni walewale watendaji wa CCM walioharibu uchaguzi mwanangu akiomba nafasi ya kuandikisha kijijini kwetu Wanajua Mimi ni kiongozi wa CHADEMA walikua na kigugumizi ya kusajili mwanangu ,, hawa wasanii wa CCM wanaiharibu nchi
Pana jambo moja ambalo Chadema hamulioni, Mwalimu alisema siku CCM ikigawanyika kutatokea upinzani wa kweli. Lowasa alipotoka CCM aliwapa umaarufu kwa kiasi kikubwa. 2015 msingechukua kama yard stick yenu. Jengeni chama chenu, you have room to grow, Wananchi wasiporidhika Wala hawana haja ya kusubiria katiba, wataikataa serikali tu.
Ila ninyi vyama vya siasa kwa miaka 30 bado hamjifunzi tu? Bado mnatumia njia hizo hizo ambazo zimekuwa zinawakandamiza. Mmekuwa ombaomba miaka yote ndio maana mnadarauliwa kwa sababu hamna madhara ya kelele zenu! Hamjifuzi hata kwa majirani hasa Kenya?
Mbowe wewe unaleta polojo tu hapo wamuzi ni wapiga kura tu hata wazimamizi wa kura wawe wapya ni vile vile tu wapiga kura wanafata huja na utendaji wa chama au Serikali na neno kusema kupigwa sio Chadema tu hata CCM wamepigwa
Ni kawaida yenu hata jina la baba take mbowe kusema alishiriki kwenye uhuru wa hii nchi uliona wap wakt yy ndo alikua mwezeshaji wa safar za mwalimu nyerere
Mh Mbowe ni Kichwa very detailed presentatiob
Asante sana Mh Mbowe📌📌📌📌
Action speak louder than words,,CCM NI SAWA NA MBURU KENGE WANA MACHO HAWAONI WANA MASIKIO LAKINI HAWASIKII ILA KWA KIGONGO.
Ni kweli. Kwa sababu sisi ni waoga Sana.
SAHIHI KABISA MBOWE.
CCM ACHENI UKIRITIMBA , WANANCHI TUNACHOHITAJI, NI TUME HURU YA UCHAGUZI NA KATIBA MPYA. WATANZANIA TUNATAKA MABADILIKO AMBAYO YATALETA UWAJIBIKAJI. KUIBIWA FEDHA ZA UMMA NA KULINDANA TUMECHOKA.
Kwa kweli
Wakati wowote ukifika wakati wa mabadiriko wewe mtawala, au mwenye mamlaka, huwezi kupingana na wakati huo, hapo Jambo la musingi nikukubaliana na upepo, au, uvumi unao vuma. Nikiwa na maana kuwa huu ndiyo wakati sahihi, wa mabadiriko ya katiba, na kuwepo tume huru ya uchaguzi, ili nchi na raia wake viweze kustawi.
Huyu anazungumza kilichopo na uhalisia na anaongea yakweli kabsa japo sisi watanzania wengi ni watu wakufata mkumbo na kuto kujitambua hawa ccm siyo chama cha kifalme lakin watanzania walio wengi wenye kukosoa chama cha chadema huwa hatuna akili zautambuzi juu ya siasa kiukweli
Yaani mwenyekiti wangu mbowe Kama ulivyosema wasaini waandikishaji ni walewale watendaji wa CCM walioharibu uchaguzi mwanangu akiomba nafasi ya kuandikisha kijijini kwetu Wanajua Mimi ni kiongozi wa CHADEMA walikua na kigugumizi ya kusajili mwanangu ,, hawa wasanii wa CCM wanaiharibu nchi
Pana jambo moja ambalo Chadema hamulioni, Mwalimu alisema siku CCM ikigawanyika kutatokea upinzani wa kweli. Lowasa alipotoka CCM aliwapa umaarufu kwa kiasi kikubwa. 2015 msingechukua kama yard stick yenu. Jengeni chama chenu, you have room to grow, Wananchi wasiporidhika Wala hawana haja ya kusubiria katiba, wataikataa serikali tu.
Ccm 2025 mtajua maana ya Siasa huru mjipange kwakweli
Mbowe kazana,,,Endelea kushauliana nao mpaka tutakapokuwa tunakaribia mahara pake!!!
Mfumo bora na demokrasia imara na tume huru ya uchaguzi itakayotenda HaKI ndio msingi mkuu wa utu wetu na ubinadamu wetu katika nchi hii.
Wasomi Chenge,wasira na the whole group of akina prof Mkumbo ,Kabudi na wenzao.ni wachumia tumbo tu.... hawataki reforms za kweli.
CCM NI MISUKULE ISIYOJITAMBUA KAZI MAMA, MAMA MAMA MIJITU MIZIMA NA AKILI ZAO ZINAMTUKUZA MWANAADAMU MWENZAO!
Tupo pmj chadema
Watu wapumbavu na wajinga watadharau maneno ya Mboe , huyu kaongea kwa hoja muhimu za kitaifa
Mpumbavu ni wewe unayedhani kuwa mbowe hakosei
Yani dawayao nikuamua yani munawaomba tripuhii kitukitaonekana
Hivi ni lazima kuwatusi watu ili kutoa maoni?
Nani kamtusi nani?
Mburukenge
I hoe ccm wameipata msg hii
Ila ninyi vyama vya siasa kwa miaka 30 bado hamjifunzi tu? Bado mnatumia njia hizo hizo ambazo zimekuwa zinawakandamiza. Mmekuwa ombaomba miaka yote ndio maana mnadarauliwa kwa sababu hamna madhara ya kelele zenu! Hamjifuzi hata kwa majirani hasa Kenya?
Unataka wafanyaje sasa
@@elinamilyatuu7337 wajiuzulu hawo wala RUZUKU tu kazi yao MATUSI na UDINI
Wewe uliyecomment uko upande UPI? Au ww sio mtanzania?
@@dionismutayoba3542 NDIO NYIE MKIAMBIWA NA MCHUNGAJI KULENI NYASI MNAKULA HATA BILA KUHOJI 🤧🤧🤧🤧🤧
Wape solution wafanyeje acha kejeli
Katika comments hizi utaona mgawanyiko wa uchawa wa udini comments imekaa kidini hebu amgalieni mwone
Mbowe Hai uliifanyia nn mpaka muda huu
Kizmkaz Kuna nn?
Tanzania jee
Acha upumbavu rudi nao nyumbani kwenu.
Miaka 60
Mbowe ni mbaguz san mwishoe utasema kwann wachaga hawajapata urais hata siku moja
Huo ndo ubaguzi,unataka kuniambia Kila kabila lilishatoa mtu wa kuwa rais, ?
Abuu ni mbaguzi sana.
Mbaguzi nambari moja ni wewe! Achana na mh mbowe!
Endeleeni kukaa na maisha magumu.
Hamtaki mabadiliko...
Shida ya kununuliwa bando na shemejiyo
CHADEMA HATA tume itoke mbinguni hamtoboi sababu HAMNA sera bali ni UBAGUZI NA MATUSI NA KUSUBIRI MATUKIO 😢😢😢😢
Brain za peanut hua mpo active sana kujidhalilisha
Sera wanayo ila tunahitaji kuwa na mfumo bora na demokrasia imara nchini na tume huru ya uchaguzi itakayotenda Haki.
Wewe ni CCM kindakindaki hayo ndiyo maneno tunayoyategemea kutoka kwako
@@ezekielkiduge8730 SIASA HAZINA RAFIKI WALA ADUI 🥳🥳🥳🥳🥳NIMEANGALIA NCHI HII HAINA UPINZANI IKO NA WAHUNI 🥳🥳🥳🥳🥳
Sasa wewee jamaangu unaelewa kweli siasa?
Mbowe wewe unaleta polojo tu hapo wamuzi ni wapiga kura tu hata wazimamizi wa kura wawe wapya ni vile vile tu wapiga kura wanafata huja na utendaji wa chama au Serikali na neno kusema kupigwa sio Chadema tu hata CCM wamepigwa
Ww mohamed nichawatu
Ya uyo Mohamed sio chawa uyo ni kichupi 👙
Ni kunguni
Mmmh watu wengine basi tu
Mbowe huna lolote ulikaa miaka 15 kama mbunge wa Hai ulifanya nini jimboni.Maendeleo yaawamu tano yalikuwa safi safi .Mbowe wewe ndiye unayalalamika
Wewe una manufaa na mfumo kwa hiyo lazima umwone Mbowe ni adui wenu. Ila usifikiri hana mwisho!
Ulitaka akuletee chakula nyumbani kwako ama
Mbunge wa upinzani hawajibiki kufanya lolote kwa sababu inayofanyakazi ni Ilani ya uchaguzi ambayo kwa Mbunge wa upinzani haipo kazini.
Ni kawaida yenu hata jina la baba take mbowe kusema alishiriki kwenye uhuru wa hii nchi uliona wap wakt yy ndo alikua mwezeshaji wa safar za mwalimu nyerere
Ww klemency ww sio wahai una washwa nilisha kuambia ww nichawa