Kk Joel nanauka umekuwa msaada mkubwa sana kwetu na tunajivunia kwa uwepo wako. Mungu akuongoze vyema na akupe afya njema ili tuendelee kujifunza zaidi na kufaidika juu ya wito wako.
Hakika kwa haya maarifa yako nimejifunza kitu kikubwa sana kwenye maisha tangu nianze kukufuatilia nimebadilisha maisha yangu mungu azid kukubariki zaid ❤❤
Asante sana kaka Joel mungu azidi kukubariki sana...nitachoma meli zangu zote ili nitimize malengo yngu... asante....sana..acha niendelee kushare kwa ndugu n..marafiki🙏🙏
Kk Joel nanauka umekuwa msaada mkubwa sana kwetu na tunajivunia kwa uwepo wako. Mungu akuongoze vyema na akupe afya njema ili tuendelee kujifunza zaidi na kufaidika juu ya wito wako.
Kweli kabisa
God increase you brother joel
Tunakufuatilia kaka yetu.
Hakika kwa haya maarifa yako nimejifunza kitu kikubwa sana kwenye maisha tangu nianze kukufuatilia nimebadilisha maisha yangu mungu azid kukubariki zaid ❤❤
Daaaah nakubaliana na wewe kiongozi
Pamoja sana kaka Joel kwa hekima hizi namimi nachoma. Meli zangu zote ili nisimame kwenye Malengo yangu
Nakufuatilia bro
Ubarikiwe kaka
Top Teamers 🏆
Joel 🎉🎉❤
Kamanda alikua mkali aise maamuzi yakikomando hayo nimependa kilak2 ni maamuzi❤❤
Ushauri mzuri
Mungu aendelee kuwa nawe kla hatua
Good morning top team
Ukweli mtupu Asante kutupa mbinu yakupambana nao
Bro Joel, asanaaa
Nachoma now Kaka asante Sana ishi saaana
Shukrani kaka ❤❤
Barikiwa Sana👏
umekuwa baraka kwangu,nachoma meli zangu zote kwenye mahusiano ambaye sielewi malengo yake ni yapi yanipa maswali mengi mengi
Shukran Sana kaka Joel insha'Allah nitalitekeleza hili biidhin Allah
Asante bro Jo
Naitwa Emmanuel from Bujumbura nakufuatilia sana na nafaidika sana kutoka mafundisho yako ubalikiwe sana
Nimejifunza kitu
Asante sana kaka Joel mungu azidi kukubariki sana...nitachoma meli zangu zote ili nitimize malengo yngu... asante....sana..acha niendelee kushare kwa ndugu n..marafiki🙏🙏
Asante Sana
Uwiiii kaka Joel ,hili somo linanilizaaa .
Asante
Kwel kaka
Mungu akubariki na kukuinua zaid viwango vya juu
Lazima tuchome meli zote ✊🏆✈️
Tupo pamoja sana mbaka tufanikiwe
Ngoja nichome meli zote kuanzia sasa
I'm following from Germany
Nisipofuatilia kipindi hiki huwa sijisikii fisuri . Kutoka nairobi kenya
🎉🎉🎉
Hii lazima nitoboe
❤
Bro ili somo limenilenga moja kwamoja umeniongezea kitu kikubwa.....
❤❤❤
That's true
Hicho kisa ni historia ya kiongozi wa kiislamu
Aitwaye twariq ibnu Ziyad.
Wakati akiivamia Hispania.
Asante Mwalim Joel