Salamu ni upendo. Salamu ni heshima. Assalamu Alaykum Nina ushauri tu hicho kitabu cha dini ya Kiislamu ( Quran ) kikaguliwe kabla ya hio Shughuli kwa sababu kuna baadhi ya watu huharibu na kubadili maneno katika hicho kitabu. Eee Mungu ibariki nchi yetu. Love & peace 😍
Kuna umuhimu wa Katiba Mpya ikamilike na Wananchi wapate Elimu ili ianze kutenda kutumika. Mheshimiwa Rais Dokta Samia kuna Mambo yanawashinda Viongozi wako sababu hakuna Katiba Mpya inayowabana katika Uwajibikaji. Jamhuri ya Muungano Tanzania Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿
Mheshimiwa Rais Dokta Samia Serikali yako umeweka Vipaombele kwenye ununuzi wa Magari ya Kifahari pekee kuliko Miradi mikubwa ya Maendeleo. Mimi binafsi sijaona umuhimu wa ununuzi wa Toyota Land Cruiser 300 series GXR Model of 2023 ya Milioni 400. Kwanini msitumie Toyota Land Cruiser Prado za Milioni 120m pia inakula Mafuta kidogo. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿
Mheshimiwa Rais Dokta Samia kipindi cha Awamu ya 5 ya Hayati Rais Magufuli Umeme haukuwahi kukatika ikaleta maana ya Uchumi wa Viwanda. Sisi WajasiriaMali tunategemea Nishati ya Umeme. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee.🇹🇿🇹🇿
Salamu ni upendo.
Salamu ni heshima.
Assalamu Alaykum
Nina ushauri tu hicho kitabu cha dini ya Kiislamu ( Quran ) kikaguliwe kabla ya hio Shughuli kwa sababu kuna baadhi ya watu huharibu na kubadili maneno katika hicho kitabu.
Eee Mungu ibariki nchi yetu.
Love & peace 😍
Hongera kwa Wateuliwa wote. Hongera Balozi John Ulanga kwa kuaminiwa kwenye nafasi kubwa.
MAMA ANAWEKA GEAR YA MATOPE MPAKA 2030 ❤❤❤❤❤❤❤
😄 🤣 four-wheel drive mpera mpera hyo
Ee Mungu ibariki chini yetu
Mama anaupiga mwingi sana
Mukweee nimemuona😊😊
Ataapisha sana
*...au kwa izini ya rais.*
Kuna umuhimu wa Katiba Mpya ikamilike na Wananchi wapate Elimu ili ianze kutenda kutumika. Mheshimiwa Rais Dokta Samia kuna Mambo yanawashinda Viongozi wako sababu hakuna Katiba Mpya inayowabana katika Uwajibikaji. Jamhuri ya Muungano Tanzania Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿
Mheshimiwa Rais Dokta Samia Serikali yako umeweka Vipaombele kwenye ununuzi wa Magari ya Kifahari pekee kuliko Miradi mikubwa ya Maendeleo. Mimi binafsi sijaona umuhimu wa ununuzi wa Toyota Land Cruiser 300 series GXR Model of 2023 ya Milioni 400. Kwanini msitumie Toyota Land Cruiser Prado za Milioni 120m pia inakula Mafuta kidogo. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿
Mheshimiwa Rais Dokta Samia kipindi cha Awamu ya 5 ya Hayati Rais Magufuli Umeme haukuwahi kukatika ikaleta maana ya Uchumi wa Viwanda. Sisi WajasiriaMali tunategemea Nishati ya Umeme. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee.🇹🇿🇹🇿
TUNAKUPENDA SANA RAIS WETU MUNGU AKUJALIE MAISHA MAREFU NA YENYE AFYA TELE UENDELEE KULITUMIKIA TAIFA LETU
Wanateuliwa lakini hawamsaidii Raisi wakishapata basi
Ndyo kazi iriyo kuwa nayo raisi
Mwisho wenu waja kitambo kidogo tu naiona ng'ambo ya bahari kwa upuuzi wenu huo
Gombati mtu na nusu.
Yani mnatukera sana kukata umeme ovyo kama tanesco wameshindwa kazi iteni makampuni binafsi ya nje yaje Yanazalisha umeme 😠😠😠
Ww tumia akili usiwe nakili matope,hakuna mtu anaekata umeme,uwez kukata mkono unaokurisha ,tatizo vifaa zakutosha bado,ila umeme ukatike kwahio Raisi apate NN mana yake?
@@amosiabdulallh7965 😏😏eti akili matope je hiyo akili yako ndogo kama ya panya itakufikisha wapi wewe mganga njaa