JE, WAJUA? HII HAPA RATIBA YA TRENI DAR - MOR KARIBU TUKUHUDUMIE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
  • SAFARI DAR MORO ZIMEANZA KARIBU USAFIRI NASI

ความคิดเห็น • 28

  • @NelsonDavid-yp9ol
    @NelsonDavid-yp9ol หลายเดือนก่อน

    Nauli ya morogoro ni Shi ngap

  • @yogeshbangur
    @yogeshbangur 2 หลายเดือนก่อน

    Can you make a video of different classes?

  • @tomsijohni
    @tomsijohni 3 หลายเดือนก่อน

    Ongereni sana

  • @OlivaMponda
    @OlivaMponda 3 หลายเดือนก่อน

    Online Mnakata tiketi na bei ni shs ngapi?

  • @aminashenduli5997
    @aminashenduli5997 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tunakataje ticket jaman

  • @percivalmkanyia6494
    @percivalmkanyia6494 2 หลายเดือนก่อน

    Duh ulivyotaja viburudisho utadhani mnagawa bure. Kumbe mnazuia watu kuingia na maji huku mnaenda kuwauzia maji nusu lita kwa 1500. Rekebisheni hapo tu. Otherwise mko vizuri.

  • @ommymp9058
    @ommymp9058 3 หลายเดือนก่อน

    Tren ya SGR tumieni bendera ya tz

  • @husseinally6699
    @husseinally6699 3 หลายเดือนก่อน

    Hiyo safar ya saa 10 jioni
    Mnge isogeza iwe saa 11: 30 ama saa moja kamili
    Sasa saa 10 mapema hiyo jioni gani mtu bado hajamaliza mishemishe treni ishaondoka
    Ya jioni iwe na uhalisia wa jioni kweli

  • @vinny.morales
    @vinny.morales 3 หลายเดือนก่อน +1

    Haika tutaonana soon, naomba namba yako kabisa

  • @worldtechlab
    @worldtechlab 3 หลายเดือนก่อน

    I am a foreigner I can’t speak Swahili how can I understand what you are saying

    • @hassanlikwenangu8471
      @hassanlikwenangu8471 3 หลายเดือนก่อน

      Ulijuaje kama anaongea Kiswahili? Kwa nn usidhani ni Kipogoro

    • @EllyjTengeneza
      @EllyjTengeneza 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@hassanlikwenangu8471acha zako ww hii you tube inatumiwa na watu wengi na mataifa mbalimbali wengine wanaweza kuona matangazo ya kiswahili lakini hawaelewi kilichoongelewa

    • @worldtechlab
      @worldtechlab 3 หลายเดือนก่อน

      @@hassanlikwenangu8471 what’s that rubbish ?

    • @UnitedAfrica-uw9ct
      @UnitedAfrica-uw9ct 3 หลายเดือนก่อน

      @@worldtechlab Hahaha ...nadhani umeelewa...

    • @alphaxad7755
      @alphaxad7755 2 หลายเดือนก่อน

      Bado haujasema...na utasema..yaan mpka useme

  • @henrynyanswi2132
    @henrynyanswi2132 3 หลายเดือนก่อน

    Ratiba yenu sio sahihi, huo muda wa kuondoka Dar ingekuwa ni Morogoro ili wafanya biashara wapeleke bidhaa zao na wengine kuchukua mizigo/ bidhaa Dar na jioni isubiri abiria wa kutoka mikoani na Morogoro

  • @ContentSmartphone-rq6po
    @ContentSmartphone-rq6po 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kadada kavuri haka huduma mzuri big up tanzania yangu😂😂😂❤

  • @ernestsinje9700
    @ernestsinje9700 3 หลายเดือนก่อน

    Kadada Kazuki duh

  • @beaugosseadam6831
    @beaugosseadam6831 3 หลายเดือนก่อน

    Ya mchongoko ikianza ndipo nami naanza kupanda Reli

  • @allymansur8155
    @allymansur8155 3 หลายเดือนก่อน

    Mnafanya booking on line, na kama ipo tupeni namba yenu

  • @dicksonmatulile1523
    @dicksonmatulile1523 3 หลายเดือนก่อน

    Sema kwa jina na sio kwa majina

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 3 หลายเดือนก่อน

    Hongereni lkn Dar - Tabora ndio mtaonekana mmefanya jambo kidgo... morogoro hapo miaka yote hiyo eboo

    • @chumamasunga8855
      @chumamasunga8855 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mwanza kabisa Jombaa

    • @ilakozasembumende1975
      @ilakozasembumende1975 3 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂 bongo land hatupoa hatuboi kwahiyo hapo hawajafanya kitu

    • @chumamasunga8855
      @chumamasunga8855 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@ilakozasembumende1975 wamefanya kitu but lengo halijafikiwa

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 3 หลายเดือนก่อน +1

    SAF SANA SAMIA mitano TENA ❤❤❤

  • @hassshoban8206
    @hassshoban8206 3 หลายเดือนก่อน

    Ilikuwa hata Morogoro ianze wakati mmoja na ya Dar. 😊

    • @ngoshakulwa8348
      @ngoshakulwa8348 3 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli morogoro pia ilitakiwa saa 10 jioni. Tatizo nadhani ni treni hiyo hiyo inatumiks hakuna kulala