Duh ulivyotaja viburudisho utadhani mnagawa bure. Kumbe mnazuia watu kuingia na maji huku mnaenda kuwauzia maji nusu lita kwa 1500. Rekebisheni hapo tu. Otherwise mko vizuri.
Hiyo safar ya saa 10 jioni Mnge isogeza iwe saa 11: 30 ama saa moja kamili Sasa saa 10 mapema hiyo jioni gani mtu bado hajamaliza mishemishe treni ishaondoka Ya jioni iwe na uhalisia wa jioni kweli
@@hassanlikwenangu8471acha zako ww hii you tube inatumiwa na watu wengi na mataifa mbalimbali wengine wanaweza kuona matangazo ya kiswahili lakini hawaelewi kilichoongelewa
Ratiba yenu sio sahihi, huo muda wa kuondoka Dar ingekuwa ni Morogoro ili wafanya biashara wapeleke bidhaa zao na wengine kuchukua mizigo/ bidhaa Dar na jioni isubiri abiria wa kutoka mikoani na Morogoro
Nauli ya morogoro ni Shi ngap
Can you make a video of different classes?
Ongereni sana
Online Mnakata tiketi na bei ni shs ngapi?
Tunakataje ticket jaman
Duh ulivyotaja viburudisho utadhani mnagawa bure. Kumbe mnazuia watu kuingia na maji huku mnaenda kuwauzia maji nusu lita kwa 1500. Rekebisheni hapo tu. Otherwise mko vizuri.
Tren ya SGR tumieni bendera ya tz
Hiyo safar ya saa 10 jioni
Mnge isogeza iwe saa 11: 30 ama saa moja kamili
Sasa saa 10 mapema hiyo jioni gani mtu bado hajamaliza mishemishe treni ishaondoka
Ya jioni iwe na uhalisia wa jioni kweli
Haika tutaonana soon, naomba namba yako kabisa
I am a foreigner I can’t speak Swahili how can I understand what you are saying
Ulijuaje kama anaongea Kiswahili? Kwa nn usidhani ni Kipogoro
@@hassanlikwenangu8471acha zako ww hii you tube inatumiwa na watu wengi na mataifa mbalimbali wengine wanaweza kuona matangazo ya kiswahili lakini hawaelewi kilichoongelewa
@@hassanlikwenangu8471 what’s that rubbish ?
@@worldtechlab Hahaha ...nadhani umeelewa...
Bado haujasema...na utasema..yaan mpka useme
Ratiba yenu sio sahihi, huo muda wa kuondoka Dar ingekuwa ni Morogoro ili wafanya biashara wapeleke bidhaa zao na wengine kuchukua mizigo/ bidhaa Dar na jioni isubiri abiria wa kutoka mikoani na Morogoro
Kadada kavuri haka huduma mzuri big up tanzania yangu😂😂😂❤
Kadada Kazuki duh
Ya mchongoko ikianza ndipo nami naanza kupanda Reli
Mnafanya booking on line, na kama ipo tupeni namba yenu
Sema kwa jina na sio kwa majina
Hongereni lkn Dar - Tabora ndio mtaonekana mmefanya jambo kidgo... morogoro hapo miaka yote hiyo eboo
Mwanza kabisa Jombaa
😂😂😂😂 bongo land hatupoa hatuboi kwahiyo hapo hawajafanya kitu
@@ilakozasembumende1975 wamefanya kitu but lengo halijafikiwa
SAF SANA SAMIA mitano TENA ❤❤❤
Ilikuwa hata Morogoro ianze wakati mmoja na ya Dar. 😊
Ni kweli morogoro pia ilitakiwa saa 10 jioni. Tatizo nadhani ni treni hiyo hiyo inatumiks hakuna kulala