RECAP: KOMASA NAMBA 1 DUNIANI?? CHRIS BROWN KUCHEZA ITASHINDA GARMMY?? KWANINI HAINA NAMBA SPOTIFY??

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 126

  • @ShamanyekisimbaTravail
    @ShamanyekisimbaTravail 7 หลายเดือนก่อน +2

    Nakubali 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪

  • @King_186
    @King_186 7 หลายเดือนก่อน +16

    Kiukweli Diamond umejua kutuheshimisha Watanzania,,,huu ni wimbo wa dunia kwa sasa ❤❤

  • @NoName-pp4lo
    @NoName-pp4lo 7 หลายเดือนก่อน +16

    Nilikua nangoja ww uongee brother El-Mando👏

  • @elizabethchabluma-zw5qz
    @elizabethchabluma-zw5qz 7 หลายเดือนก่อน +3

    Kaka unaongea ukweli big up diamond❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @TeamJONGOO
    @TeamJONGOO 7 หลายเดือนก่อน +11

    Hahahahahahahahababa kakak nilikusubil kwa HAMU SANA

  • @MagomaPato
    @MagomaPato 6 หลายเดือนก่อน +2

    Uchawi wa harmonize umeharibu views za nyimbo za Diamond TH-cam 😊😊😊😊😊😊

  • @bensonkiponda5147
    @bensonkiponda5147 7 หลายเดือนก่อน +10

    Benson kiponda from Kenya 🇰🇪 you are true bro

  • @Akili820
    @Akili820 7 หลายเดือนก่อน +3

    Leo umeongea kama mtu 🇨🇩🇨🇩☝️

  • @Frank1301-y4t
    @Frank1301-y4t 7 หลายเดือนก่อน +24

    Uko sawa brother, Sema nazani comasava ingetoka around mwezi wa 9 hivi ingekuwa vizuri ili Grammy pale mwezi wa 12 awe nominated

    • @AlslayRyson
      @AlslayRyson 7 หลายเดือนก่อน +11

      Sema kaka diamond atakuja na moto mkubwa kuliko komasava. Na atachukua Grammy tu

    • @LatifaOmari-iw8uq
      @LatifaOmari-iw8uq 7 หลายเดือนก่อน +6

      Ila bado hajachelewa

    • @simbaedouardo8499
      @simbaedouardo8499 7 หลายเดือนก่อน +3

      Uko sahihi ila nazani grammy wanachukuwaga data za mwaka soo itapita mule vile vile

    • @Mohaa4309
      @Mohaa4309 7 หลายเดือนก่อน +3

      Yuaeza kua nominated ivo ivo kwasababu nyimbo ya mwaka

    • @pilimwanza8117
      @pilimwanza8117 7 หลายเดือนก่อน +1

      We naeee😂😂😂

  • @ramayonline2281
    @ramayonline2281 7 หลายเดือนก่อน +4

    I was waiting for you Broh for your RECAP ✊✊✊✊✊✊✊✊✊✊💪💪💪💪💪💪🎧

  • @MuddyKazuba-en4mz
    @MuddyKazuba-en4mz 7 หลายเดือนก่อน +11

    Nakupenda sana kaka

  • @Kalala.ABEDI24
    @Kalala.ABEDI24 7 หลายเดือนก่อน +1

    Unasemakwelibkaka nimependa san kaka 🎉🎉🎉🎉

  • @EdmondNyirenda
    @EdmondNyirenda 7 หลายเดือนก่อน +4

    Hadi raha 🦁🔥

  • @lucksonrupa3618
    @lucksonrupa3618 7 หลายเดือนก่อน +5

    Sana sana kaka

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 7 หลายเดือนก่อน +8

    The World wide 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏🔥🔥

  • @TeamJONGOO
    @TeamJONGOO 7 หลายเดือนก่อน +6

    Hahahahababababababababaabbaa hahahahaha kaka LECTURER nilikusubil sana kaka

  • @MaliaLazaro
    @MaliaLazaro 7 หลายเดือนก่อน +4

    Nakuelewaga sana bongo 5

  • @NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM
    @NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM 7 หลายเดือนก่อน +5

    Nilikuwa nakusubiri kaka ,utuchambulie broo ❤❤❤

  • @kalistuschaula
    @kalistuschaula 7 หลายเดือนก่อน +5

    hii imeshalipa❤❤bila video

  • @VexMaizoOfficial
    @VexMaizoOfficial 7 หลายเดือนก่อน +11

    🧭🤳 habari na viji habari kubwa duniani.
    Like zangu jamani kutoka Msumbiji 🇲🇿 Mozambique PEMBA MOZAMBIQUE carioca ✨✨✨✨

  • @AmaniNangerembe
    @AmaniNangerembe 7 หลายเดือนก่อน +5

    Good nice one story brother namando 🎉🎉🎉🎉

  • @BabeRymz
    @BabeRymz 7 หลายเดือนก่อน +5

    Diamond platnumz is always the best but I wonder why some Tanzanians hate him nimnoma sana huyo Mama I love u 💕💕💕💕💕

    • @kalebuenosh7694
      @kalebuenosh7694 7 หลายเดือนก่อน +1

      Video inatakiwa aitoe kuanzia mwez wa 9 au 10

  • @sosom14
    @sosom14 7 หลายเดือนก่อน +3

    Bongo5 we love in 🇬🇧

  • @islamiscopromax
    @islamiscopromax 7 หลายเดือนก่อน +17

    Na very soon Jason derulo Ata rukiya komasava 😅😅mtanikumbuka simba ndo msani wa Tanzania na Africa 🦁🦁🦁🦁🦁

    • @chizashungu8364
      @chizashungu8364 7 หลายเดือนก่อน

      Nice one.Hakuna Msanii yoyote mkubwa hapa Africa zaidi ya DIAMOND PLATNUMZ KWA SASA.KOMASAVA TO THE WORLD.

  • @kizibotv9661
    @kizibotv9661 7 หลายเดือนก่อน +8

    Kaka ata we una mchango mkubwa katika gemu ya bongo fleva

  • @edwinnyataya3223
    @edwinnyataya3223 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka nilisubiri reaction yako kwa ham sana

  • @shabanipande5379
    @shabanipande5379 7 หลายเดือนก่อน

    Well said mzee❤

  • @hawamoshi5139
    @hawamoshi5139 7 หลายเดือนก่อน +2

    KaKa unasema kweli😂😂

  • @johnnchora3215
    @johnnchora3215 7 หลายเดือนก่อน +4

    Waoo

  • @ThomsSafari
    @ThomsSafari 7 หลายเดือนก่อน +9

    Ndugu wewe unajuwa sana lakini watanzaniya wanaroho mbaya

  • @OmarOmar-yq7il
    @OmarOmar-yq7il 7 หลายเดือนก่อน +3

    Bro samir nilikuwa nataka kushangaa leo upo zz kwa hili umechelewa ulikuwa wp bro samir

  • @MuddyKazuba-en4mz
    @MuddyKazuba-en4mz 7 หลายเดือนก่อน +5

    Umeongea point broo

  • @DavidMatiku-e9o
    @DavidMatiku-e9o 5 หลายเดือนก่อน

    This is Truth bro

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 7 หลายเดือนก่อน +9

    Almando nilikuwa nakusubilia Sana broo useme kitu kuhusu kris's brown na komansava

  • @EdwinJohn-vo8uf
    @EdwinJohn-vo8uf 7 หลายเดือนก่อน

    Uko sawa kabisa my brother 🙏🫶

  • @fortuneplata2294
    @fortuneplata2294 7 หลายเดือนก่อน +1

    Oky umeongea yote lakin Kaka nawey Auna number kwenye vipindi vyako nawewe nakushaur bro jitazame 😂😂

  • @goodluckandrea3421
    @goodluckandrea3421 7 หลายเดือนก่อน +1

    Diamond platnumz respect ✌️🪂🪂

  • @MohammedGharib-pe6se
    @MohammedGharib-pe6se 7 หลายเดือนก่อน

    Waache waongee, kwani kuna shido. Hakuna anaekufa kwa maneno, maneno sio mkuki bro, Never give up for Diamond

  • @EduPaulo-n9j
    @EduPaulo-n9j 4 หลายเดือนก่อน

    Diamond no baba wa Tanzânia, inabidi tukubari ❤

  • @bonirodi6301
    @bonirodi6301 7 หลายเดือนก่อน

    Diamond is the King ❤

  • @samsonmatwiga6098
    @samsonmatwiga6098 7 หลายเดือนก่อน +2

    Daimod of the king

  • @CROWNMEDIAKE
    @CROWNMEDIAKE 7 หลายเดือนก่อน +4

    Wakenya tumefika hizo levels banaaa

  • @malianonicass7029
    @malianonicass7029 7 หลายเดือนก่อน +3

    Na tetema mbona husemi diamond alihusika na umesema tuwe vizuri kwenye kuweka reference

  • @StivemarleyBaruswage-sx6gd
    @StivemarleyBaruswage-sx6gd 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mbona umekawiya kutupostia brother nimekuwa nataka wew ndio uongelee hio story

  • @GugulethuKhanyase
    @GugulethuKhanyase 7 หลายเดือนก่อน

    Tayarisha BT❤

  • @KipampeMedia
    @KipampeMedia 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nakuelewa sana kk ila unavyo sema ni heshima kwa bongo Flava Kwani comasava ni bongo fleva

  • @Frank1301-y4t
    @Frank1301-y4t 7 หลายเดือนก่อน +4

    Kombe la dunia 2026 mbali sana kutakuwa na hit song nyingi mpaka hiyo 2026

    • @AlslayRyson
      @AlslayRyson 7 หลายเดือนก่อน +1

      Hii ngoma itachukuliwa ichapwe 2026 Kwa kombe la Dunia jamani. Kisa ni kuwa salamu yawaonganisha wengi.

  • @HeriRamadan-qx2hk
    @HeriRamadan-qx2hk 7 หลายเดือนก่อน +3

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ellykaka2360
    @ellykaka2360 7 หลายเดือนก่อน

    Mondi heshima tunàkupa kweli. 254📌

  • @rashidingole1588
    @rashidingole1588 7 หลายเดือนก่อน +4

    Bro upo sahihi lkn kuhusu numbers kwa Kommasava muda bado utapata tu numbers

    • @AlslayRyson
      @AlslayRyson 7 หลายเดือนก่อน +1

      Tena huu mziki ni mkubwa kinoma. Utapata numbers soon. Mwamba anajua kucheza na numbers

  • @ShukruMakoko
    @ShukruMakoko 7 หลายเดือนก่อน +2

    ❤❤❤❤❤❤

  • @mohamedshabani9485
    @mohamedshabani9485 7 หลายเดือนก่อน +4

    Simba wcb

  • @kuki1476
    @kuki1476 7 หลายเดือนก่อน +1

    Akitaka Numbers afanye Remx na Drake😂

  • @orikodesign8422
    @orikodesign8422 7 หลายเดือนก่อน

    Kutoka +254 Huwa nakuelewa sana

  • @Nemboyamta
    @Nemboyamta 7 หลายเดือนก่อน +3

    Brother wambie watazania sijui wanatatizo lipi na @diamond platnumz kazi yao mtu akifa ndowataona faida yake

  • @NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM
    @NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM 7 หลายเดือนก่อน +3

    Lakini Leo hii habari imetrend TZ ,nimefurahi sana

  • @MosesMzungu-v9j
    @MosesMzungu-v9j 7 หลายเดือนก่อน +1

    Safff brooo kaɓsa

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 7 หลายเดือนก่อน +2

    Hii ni Kali...roho mbaya imechosha huko tz

  • @G_M22
    @G_M22 7 หลายเดือนก่อน

    Ucjmalze elmando kamnunua huyo🤣🤣🤣

  • @aselemiekalist4355
    @aselemiekalist4355 7 หลายเดือนก่อน +4

    Semeni sasa diamond kamripa pesa ..chris.brown..tanzania acheni wivu

    • @ISSACKRICHARD
      @ISSACKRICHARD 7 หลายเดือนก่อน +2

      Majinga yale😂

  • @CheloDangote
    @CheloDangote 7 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤🇨🇩🙏🔥🔥🔥

  • @bonirodi6301
    @bonirodi6301 7 หลายเดือนก่อน

    Harmonize na Rayvanny wako na wivu Sana na diamond

  • @ShelayWamapozi
    @ShelayWamapozi 7 หลายเดือนก่อน +3

    Wabongo wanalaana diamond nidhahabu tunayoichafua kila siku

  • @KingMoses-i2v
    @KingMoses-i2v 7 หลายเดือนก่อน +1

    Bado kazi iko

  • @ShadreckDreck
    @ShadreckDreck 7 หลายเดือนก่อน

    Nakubali 💪🫡

  • @Assamu_Officiel
    @Assamu_Officiel 7 หลายเดือนก่อน +1

    😮😮

  • @paizinhosaide-cv9pm
    @paizinhosaide-cv9pm 7 หลายเดือนก่อน

    Simbaaaa

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 7 หลายเดือนก่อน +4

    Ila criss brown pia kaenda mjini Sana Kwasababu ya daimond..nimemuona criss brown kaenda mjini..ila Criss brown nae anachukua tu upepo wa Africa amshukuru Sana Daimond mana nimefurahia Sana izo habar mpaka Yan mpaka Sina chakuongea..unajuwa wakati comasava niliiyona yakawaida lakin sio bwana

    • @ISSACKRICHARD
      @ISSACKRICHARD 7 หลายเดือนก่อน +1

      Upo sahihi SEMA ma boflo awaezii elewa😂

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mana iyo nyimbo niyetu sote nyimbo ya tanzania iyo inabidi sisi mashabiki wake tuchangie Sam idia ya video..

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 7 หลายเดือนก่อน

    Lakin kaka kama nikupostiwa mbona hata miso misondo washapostiwa tayari na Chris brown na bado hawajaota mapembe kama nyinyi..!!! 🙄🙄

  • @NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM
    @NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM 7 หลายเดือนก่อน +2

    Naam kizuri kinajiuza , fact

  • @KhadijaJuma-jm6do
    @KhadijaJuma-jm6do 7 หลายเดือนก่อน

    Mwaga fact mtumzima

  • @babalao3250
    @babalao3250 7 หลายเดือนก่อน +2

    Bila kuangalia kando unajua ufafanuzi

  • @ElishamaMulokozi-pi8nm
    @ElishamaMulokozi-pi8nm 7 หลายเดือนก่อน +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @thehustlerafrica
    @thehustlerafrica 7 หลายเดือนก่อน +6

    El Mando mchambuzi no 1 wa music Tz

  • @eleven-in5qw
    @eleven-in5qw 7 หลายเดือนก่อน +4

    Hivi tu karibuni uskie million mia sita kwa show

  • @MichaelMavoko
    @MichaelMavoko 7 หลายเดือนก่อน +3

    Simba ka maliza

  • @silasila3111
    @silasila3111 7 หลายเดือนก่อน

    Ata mimi nakumbuka uli sema komasava ni wimbo wa 3 duniani watu wali bicha 🎉

  • @MamboSuper
    @MamboSuper 7 หลายเดือนก่อน

    bro yani uliwongeya ukweli kusu kusu number

  • @sagatv4306
    @sagatv4306 7 หลายเดือนก่อน

    Kuiceza haimanoshi kuwa ya kwanza

  • @malitozzy3538
    @malitozzy3538 7 หลายเดือนก่อน

    Waambie wote wenye wivu na mafanikio ya wenzao jamaniiii mtu akifanya vinzuri mpatie hongera zake ata asipo kuwa simbaaa ata wewee freshiiii😂😂😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @HabibaRamadhani-v5c
    @HabibaRamadhani-v5c 7 หลายเดือนก่อน +1

    Lakini kaka ulitwambia sensema itafunika komasava

  • @joesplatnumz
    @joesplatnumz 7 หลายเดือนก่อน +1

    Chris brown anapenda amapiano cku hizi 😂😂😂😂sio bongo flavor

  • @kennyplatnumz
    @kennyplatnumz 7 หลายเดือนก่อน +2

    Wew ni mtu mzima kabs najua unachoobgea

  • @TanzaniteInAmerica
    @TanzaniteInAmerica 7 หลายเดือนก่อน

    I always comment on your recaps and say you are extremely smart una akili sana ambaye Hana akili hawezi kukuelewa kabisa MTV EMA ya juzi tuu ulisema Daimond ana vigezo vya kuchukua Zaidi ya Burna boy na aka Julia wewe una ni remind me of sway

  • @Wapoletz13
    @Wapoletz13 7 หลายเดือนก่อน

    Asa Kama unataka kumshauri diamond be his manager

  • @byamukamainnocent5473
    @byamukamainnocent5473 7 หลายเดือนก่อน +3

    Ninoma

  • @alexshabani2012
    @alexshabani2012 7 หลายเดือนก่อน

    Nisawa ila sasa El mando wewe kwanini hukutabiri before Chris brown hajafanya challenge

  • @LyonWalker_
    @LyonWalker_ 7 หลายเดือนก่อน +1

    spotfy hamnaga views kuna streams sasa spotfy watu wanaview nini

    • @cbegram6161
      @cbegram6161 7 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 wabongo 😂😂😂

  • @hawamoshi5139
    @hawamoshi5139 7 หลายเดือนก่อน

    wanamuonea wivu kabisa

  • @SwaleheSaad
    @SwaleheSaad 7 หลายเดือนก่อน

    Kuna kijamaa kimoja kutoka kundi genge kinakubaki huku kinatoa unafki ety chriss aliwaigi kupost miso misondo sasa ndio nini??

  • @Wapoletz13
    @Wapoletz13 7 หลายเดือนก่อน +1

    Acha uwongo

  • @vincentgeorge178
    @vincentgeorge178 7 หลายเดือนก่อน

    Shuuu ilmupa mtv

  • @simaonasoliverpool6492
    @simaonasoliverpool6492 7 หลายเดือนก่อน +1

    Missa misondo mbona alicheza?

    • @jut1161
      @jut1161 7 หลายเดือนก่อน +3

      Hakucheza alipost

    • @AlslayRyson
      @AlslayRyson 7 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂❤

    • @NoName-pp4lo
      @NoName-pp4lo 7 หลายเดือนก่อน +4

      Elewa kupostiwa na kuchezwa mbn unajitoa fahamu...🤣🤣🤣

    • @chrispinmkanda6097
      @chrispinmkanda6097 7 หลายเดือนก่อน +5

      🤣🤣🤣🤣 shida Nini si mnyamaze tu, ona sasa yan mbaka mnajikuta mnalopoka tu kwa loho mbaya sasa lini kacheza NGOMA ya misondo tutajie NGOMA Gani alicheza, tunachojua kuwa alipostiwa tu

    • @babalao3250
      @babalao3250 7 หลายเดือนก่อน +4

      Misso misondo kapostiwa kulingana na makoti yake😢😢 ila hata hivyo Mondi style za kucheza zinachangia
      Ukweli jamaa anajua

  • @tausikiyabo6302
    @tausikiyabo6302 7 หลายเดือนก่อน +2

    Tatizo la wivu na roho mbaya aliyeanzisha nani???

  • @VitusEmmanuel-pe3yi
    @VitusEmmanuel-pe3yi 7 หลายเดือนก่อน

    Ww kichaa tena Hauna Nature kwanyimbo gan had haiwez kupata Views weng Kwa xababu haielewek km nibongo freva atafanya rimex Nan waniger ndo hao hawamtak

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 7 หลายเดือนก่อน

      Wewe choko kajifunze kwanza kuandika ndio uje ku koment umu apa mwendo ni komasava

    • @pilimwanza8117
      @pilimwanza8117 7 หลายเดือนก่อน +1

      ​@albertkadyanduh halafu hata wewe hujui kuandika😅😅😅ji9722

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 7 หลายเดือนก่อน

      @@pilimwanza8117 sawa sawa dada pili iyo inaitwa hand writing Comasava

  • @CROWNMEDIAKE
    @CROWNMEDIAKE 7 หลายเดือนก่อน

    Afike grammy ndo nimamini mziki wa tanzania umefika mbali

  • @tausikiyabo6302
    @tausikiyabo6302 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona misomisondo hamkuifagilia hivyo Jamani mnaonyesha ubaguzi wa hali ya juu.

    • @chrispinmkanda6097
      @chrispinmkanda6097 7 หลายเดือนก่อน +3

      Ukimfagilia ww inatosha bingwa

    • @malianonicass7029
      @malianonicass7029 7 หลายเดือนก่อน +3

      Miso walicheza wimbo wa Chris kuku wewe

    • @tausikiyabo6302
      @tausikiyabo6302 7 หลายเดือนก่อน

      @@malianonicass7029 huna akili wewe misomisondo watu wa mitaani wala hawana ma promo yakuhonga mahela ili wimbo wao uchezwe na amewarusha na kuwasifia wanacheza bila jasho utafananisha na mtu anayeenda mpk paris kufanyia wimbo promo acha mlitakiwa muwasifie halafu nyie ndio mnawagawa wasanii badala kuwapenda wote na luna siku watapatana wote mtapata aibu Halafu kuniita kuku sawa Mwenyezi Mungu aliniumba kuku heri yako wewe uliyeumbwa mtu.

  • @achawanunetv1167
    @achawanunetv1167 7 หลายเดือนก่อน +1

    Aende sasa akaijaze o2 Arena ya London 🤣🤣 mbona misomisodo kapostiwa na CB. nina wasi wasi na wewe mtangazaji

    • @ramayonline2281
      @ramayonline2281 7 หลายเดือนก่อน +1

      Kwan Diamond Platnumz amepostiwa na CB…?????😂😂😂😂😂

  • @christianniyokwizera6148
    @christianniyokwizera6148 7 หลายเดือนก่อน

    @mr pimbi