Yani wewe uko mbali ungechukuwa mkumbwa wao Pepsi ya baridi ukashushiya kaka, nakupenda Sana kwa sababu wewe nimsema kweli, Allah azidi kukubariki umri murefu kaka nakupenda sana❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Uko sawa bro wanafki wakae kando na Simba wetu hatupendani sisi ni wanafki walisema jamaa amefulia ila Sasa ni wanafki tungekua kama Nigiria tungewaacha mbali sana Nigeria
Broh EL MANDO your the best 👏🙌🏽👑 you have always been spoken the truth now I’m waiting for your RECAP about the trip of Diamond Platnumz in Paris fashion show plus his collaboration with Jason Derurlo
Bro mimi kwa upande wangu Big amesha support saaana mpaka na wale aliwo wa support doo wana msema vibaya tena naku shindana nae big ana roo ya kipekee this is from DRCongo a big fan
Hiyo ya kusema wasanii ni wanafiki kwa sababu hawakusapoti komasava wakati inatoka, wakasapoti baada ya Chris Brown kushiriki challenge, hapo you are being negative aisee, wakati komasava inatoka na wao walikuwa na project zao, yaani haiwezekani wasanii wawe kazi yao ni kusapoti nyimbo za diamond tu wakati wao pia wana project zao, hili la Chris Brown ni kubwa kuliko, ndio maana industry ikasimama wasanii wakaacha mambo yao for a minute to celebrate the milestone... Wasanii wetu wana upuuzi kuvimbiana, lakini hawa wachache waliosapoti kwa kupost tusiwavunje nguvu, haikuwa unafki bwana, ni appreciation ya kweli, tuwazungumzie hao kina Harmonize wanaoleta mambo ya Misomisondo mara sijui Chris Brown kalipwa, hao sasa ndio wadwanzi, ila hawa waliopost tusiwavunje nguvu ya kuonyesha love siku nyingine
Nakuelewa ila hao ambao wamempost Diamond baada ya kuona Chris Brown amempost ni unafki kwani saa hii bado hawana projet zao za kupush wakiamua kukaa kimya waache waendelee wasifosi issues
@@Khalidniya380 Ukisikia mtu anajisikia kama ana homa homa hivi, unaweza ukamuombea tu kwa mungu ukaendelea na mambo yako, ila ukisikia kazidiwa amelazwa unalazimika kusimamisha shughuli zako uende ukamuone... Kwa hiyo kuacha mambo yako inategemea na uzito wa kinachoendelea... Wakati komasava inatoka, zilitoka nyimbo ngapi? Yeye Diamond aliachana na Komasava akaanza kuzisapoti? Si aliendelea Kui-push komasava yake !? Au kabla Rayvanny hajafanya show na Maluma, alikuwa ashafanya show ngapi akiwa Next Level? Diamond alikuwa anazipost? Mbona ile show na Maluma Mtv Music Diamond alipost na kusifia kuwa haijawahi kutokea akashauri na vijana waache bangi watafanikiwa Harmonize akamind... Diamond alifanya unafki kwa kuwa show zingine hakuwa akizipost? Watu hawawezi kuja kwenye kipaimara cha mtoto wako, ukawatimua ukawaambia eti wanafki mbona siku zingine huwa hamji, yaani unataka nyumba yako iwe inajaa watu kila siku, watu wanakuja kukutembelea tu wewe kwa kuwa wao hawana makwao au? Watu watakuja kwa jambo maalumu, sio ukiamka unafagia watu waje, ukikaanga mayai watu waje, haiwezekani, watu wataacha shughuli zako ukiwa na jambo la msingi... WABONGO AKILI ZETU ZIMEZOEA UHASAMA, KWA HIYO HATA LIKITOKEA JEMA TUNAONA BAYA, Kwanza wasanii karibu wote waliompongeza ni washkaji zake Barnaba, Jay melody, Baba levo, Zuchu....
Chris anapenda kuwasupport wasanii wa Africa, kwani Diamond alishawai msupport msaani mdogo at kupost insta story acha kuwa na upande at mondi hasupport wengne UBAYA UBWELA 😁😂😁
Na hizo collabo zote ulizo zitaja Chris Brown anazijuwa, sababu Hao wasanii Ni wakubwa mno, Na wako close Na Chris Brown, niku sema Chris Brown anamjua vizuri DIAMOND PLATINUMZ, Na ana fahamu kuwa DIAMOND PLATINUMZ he's from Tanzania
Yani sijaona country km tz ambayo ina muona ghost singer km msani wa kawaida wkt inchi zingine zina muheshimu yani tz uswahili ni mwingi sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wa tz mjifunze
Wa TZ mtabaki down kimziki, sasa Chris kucheza ngoma nimiugiza kweli, wanigeria mbona wange chukuliya fresh tu mnadogosha simba mbele ya wanigeria kwaku pampana na kondeboy
Ukweli ntupu Kaká commant ça va imenda iyo ngoma Duniani 🙌🔥🔥🔥🇹🇿🇺🇸🇻🇳🇸🇦🇵🇹🇿🇦
Yani wewe uko mbali ungechukuwa mkumbwa wao Pepsi ya baridi ukashushiya kaka, nakupenda Sana kwa sababu wewe nimsema kweli, Allah azidi kukubariki umri murefu kaka nakupenda sana❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Uko sawa bro wanafki wakae kando na Simba wetu hatupendani sisi ni wanafki walisema jamaa amefulia ila Sasa ni wanafki tungekua kama Nigiria tungewaacha mbali sana Nigeria
Nikweli Kaka sema Kweli 🎉🎉🎉
Wa kwanza guys, NAOMBEN likes
Every time unaspeak fact bro I appreciate you so much
Broh EL MANDO your the best 👏🙌🏽👑 you have always been spoken the truth now I’m waiting for your RECAP about the trip of Diamond Platnumz in Paris fashion show plus his collaboration with Jason Derurlo
DAMOND PRATNNAMZ 🦁 simba wa AFRIKA saruti sana kwake
Well said bro
Vraiment Dieu aie bon courage Grand frère tu est Sage tu parles ce qui est réel dépuis le Congo RDC 🇨🇩 précisément à Kinshasa.
Un kinois qui ne sait pad écrire le français
Asante sana nilikuwa sijuwi kama mdogo wake harmonise anafakazi kwa Diamond, Shukrani Sana kwa news much love's from Thailand 💓💓💞🇹🇿!!**
Don't worry about those hurt's. Bongos tatizo Roho mbaya. I agree with you
True
Big up tz & much respect to diamond platinumz east African to the worldwide much love❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Diamond hana pesa ya kumlipa Chris brown ili acheze wimbo wake. People.acheni wivu
Umeongea point kubwa sn watu niwanafiki watanzania Mungu atusaidie tupende vyakwetu
Bro mimi kwa upande wangu Big amesha support saaana mpaka na wale aliwo wa support doo wana msema vibaya tena naku shindana nae big ana roo ya kipekee this is from DRCongo a big fan
Unaongeya ukweli siku zote big up bro🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kweli kabisa🎉🎉
Nakubali brooo❤
Ndomana na kukubali sn kk mkubwa namando nice one job brother 🎉🎉🎉
Nakubali sana uchambuzi wako broo
Nakukubali kak ukwelii 4rever❤❤❤
Umetisha leo wasanii wa bongo ni wanaaa.
Kka nakubali yana na unacho sema🎉
Wambie bro 💥💥
yan watu hawataki kubali sijui wapo aje ..kubalini ban ❤
ujumbe kwa Harmonize.... Diamond harogwi😂😂😂😂
Big fact
Uko sahihi bro 🤜🤜🤜🤜
Komassava🙌🙌🙌🙌
Kweli kabix kaka
You are right , wasanii hawapeani umoja. Nigeria watazidi kutuzidi kama hatuungani.
Simba mutu mukubwa muache 2 ❤❤❤❤❤❤
DAMOND PRATNNAMZ 🦁 simba wa AFRIKA saruti sana kwake acha ukweli usemwr
❤❤
uko sawa saaana!!
Umeongea ukweli brother
Ukweli usemwe diamond ni babá 💯🇲🇿🔥
Wew nakubali waelimishe wafunz wanajifanya mtaila tanzania mumepewa kitu chasamani lakini hamukitambuwi
🎉🎉🎉🎉
Umeongea vizuri
Simba 🙌🙌🙌🙌🙌
Tuko pamoja, umesema ukweli mtupu 👍
Wambie ukweli bro
People can be hypocritical
Yaani kiukweli industry imebebwa na Mondi akisema anapumzika industry itapumzika😂
Mando we mnoma sana
Nakubaliana nawewe
Wambie hawo wabishi simba nisimba tu ❤❤❤❤🎉🎉🎉
Kama wanaweza walipie na wenyewe afanyiwe challenge na ngoma Yao sensema🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Siyo wamechaguwa njia kuchukiana wanachuk ya kwelii😂
Kaka chukua heshima yako umeongea sahihi nimeipenda
🙌🙌📢📢📢📢
Aseee umesema ukweli mtu yani kuna vijitu vingine jamani et anapambana kumkashifu simba😂😂😂 inachekesha sana
Comasava would wide 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🌍🌍🌍🌍
Kaka ww ni wamoto sana unajua sana anae kupinga uyo ni mchawi
Diamond pratinamz is the best artist of Africa
Chris Brown hana njaa na hakuna mxaani wa bongo kumlipa Breezy mbn kacheza ngoma ya twashalabam kwenye 11:11 Tour kwenye show kwenye majiji mengi
Hiyo ya kusema wasanii ni wanafiki kwa sababu hawakusapoti komasava wakati inatoka, wakasapoti baada ya Chris Brown kushiriki challenge, hapo you are being negative aisee, wakati komasava inatoka na wao walikuwa na project zao, yaani haiwezekani wasanii wawe kazi yao ni kusapoti nyimbo za diamond tu wakati wao pia wana project zao, hili la Chris Brown ni kubwa kuliko, ndio maana industry ikasimama wasanii wakaacha mambo yao for a minute to celebrate the milestone... Wasanii wetu wana upuuzi kuvimbiana, lakini hawa wachache waliosapoti kwa kupost tusiwavunje nguvu, haikuwa unafki bwana, ni appreciation ya kweli, tuwazungumzie hao kina Harmonize wanaoleta mambo ya Misomisondo mara sijui Chris Brown kalipwa, hao sasa ndio wadwanzi, ila hawa waliopost tusiwavunje nguvu ya kuonyesha love siku nyingine
Nakuelewa ila hao ambao wamempost Diamond baada ya kuona Chris Brown amempost ni unafki kwani saa hii bado hawana projet zao za kupush wakiamua kukaa kimya waache waendelee wasifosi issues
@@Khalidniya380 Ukisikia mtu anajisikia kama ana homa homa hivi, unaweza ukamuombea tu kwa mungu ukaendelea na mambo yako, ila ukisikia kazidiwa amelazwa unalazimika kusimamisha shughuli zako uende ukamuone... Kwa hiyo kuacha mambo yako inategemea na uzito wa kinachoendelea... Wakati komasava inatoka, zilitoka nyimbo ngapi? Yeye Diamond aliachana na Komasava akaanza kuzisapoti? Si aliendelea Kui-push komasava yake !? Au kabla Rayvanny hajafanya show na Maluma, alikuwa ashafanya show ngapi akiwa Next Level? Diamond alikuwa anazipost? Mbona ile show na Maluma Mtv Music Diamond alipost na kusifia kuwa haijawahi kutokea akashauri na vijana waache bangi watafanikiwa Harmonize akamind... Diamond alifanya unafki kwa kuwa show zingine hakuwa akizipost? Watu hawawezi kuja kwenye kipaimara cha mtoto wako, ukawatimua ukawaambia eti wanafki mbona siku zingine huwa hamji, yaani unataka nyumba yako iwe inajaa watu kila siku, watu wanakuja kukutembelea tu wewe kwa kuwa wao hawana makwao au? Watu watakuja kwa jambo maalumu, sio ukiamka unafagia watu waje, ukikaanga mayai watu waje, haiwezekani, watu wataacha shughuli zako ukiwa na jambo la msingi... WABONGO AKILI ZETU ZIMEZOEA UHASAMA, KWA HIYO HATA LIKITOKEA JEMA TUNAONA BAYA, Kwanza wasanii karibu wote waliompongeza ni washkaji zake Barnaba, Jay melody, Baba levo, Zuchu....
Uyo anajua Ila anajinafkisha tu
Duh
Ila je yeye chibu anapost kazi za wasanii wenzake ?
Watanzania wanavifu kweli diamond ndio Habari ya Dunia
Washamba hao Wachane bro Mwenzao anachanja Mbuga kwenye Mafanikio wao wana Piga ngenga tu na Umbea.
Chris anapenda kuwasupport wasanii wa Africa, kwani Diamond alishawai msupport msaani mdogo at kupost insta story acha kuwa na upande at mondi hasupport wengne UBAYA UBWELA 😁😂😁
Pongez
Kwavitend
Kweli kabisa wasanii wabadilike na mashabiki maandazi Pia.
Kweli kabxaa broh waeleweshe maboya wa mji wsiojielewa
Kaka uko fact kabisa,waambie ukwel
Na hizo collabo zote ulizo zitaja Chris Brown anazijuwa, sababu Hao wasanii Ni wakubwa mno, Na wako close Na Chris Brown, niku sema Chris Brown anamjua vizuri DIAMOND PLATINUMZ, Na ana fahamu kuwa DIAMOND PLATINUMZ he's from Tanzania
Kwani yeye anahabali kuwa mnamzungumzia hivi 😹😹😹😹
Hana ndo nataka nimpelekee hii habari
Watanzania wenzangu tunapenda kuona mtu akifeli😢
Mondi ninyingin niveaux mungu kamfunguria wamuache kumchukia waache rohombaya uwo niuchawi
Huruma sana Tanzania Ila I Love Diamond
kweli nimekuelewa huwo ni uhakika
hamo hajaseme amecheza alisema alisha wai post misomisondo kaka pengine haukusikiya vizuri
Nasema tena waambie 😮😮😮😮😮😅😅😅😅😅😅😅
Broo we ni genius
We usiseme kila mtu mbona harmonize na rayvanny na marioo hawakupost diamond kafanya kazi nzuri sana lakini usijumuishe wenye hawakupost
Aise Wachane mwanangu…..Unyama kweli
Zamani nilikuwaga sikuelewagi kabisa,,ila sasa unaeleweka
sawa ilikua nyimbo yake je.maneno aliyo yaandika alisemaje kuhusu misi misondo kina maneno kayaandika pale
Muziki na vigisu,hata usemeje bongo ndivyo tulivyo.Unafiki ndo umetawala bongo
Ndio wanapotushinda Wana Nigeria
Kwaiyo kumbe miso misondo hakuwapost mlitudanganya? Vp na yule msauzi? Kapostiwa au uongo?
Hapo kwa Rick Ross unatundanya ju Kuna wimbo unaitwa millioner by mista'rii ft Rick ross
We nawe em tuache cm yenyew umemiliki juzi tena ni infinix sisi huku tunatumia kupigia mahesabu yan ni kama calculator
Kweli kabisa dolla elfu mbili hawezi pesa ndogo sanaaa amecgeza kwamapenzi TU
Yani sijaona country km tz ambayo ina muona ghost singer km msani wa kawaida wkt inchi zingine zina muheshimu yani tz uswahili ni mwingi sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wa tz mjifunze
Wa TZ mtabaki down kimziki, sasa Chris kucheza ngoma nimiugiza kweli, wanigeria mbona wange chukuliya fresh tu mnadogosha simba mbele ya wanigeria kwaku pampana na kondeboy
Nikweli wanafiki wanapost na kumtag Chris brown iliwaonekane kwa Chris kuwa na wao ni wasanii walioukaribu na dai😂😂😂 akili mbovu hata sikupenda
Diamond ni njia ya wengiii kutaftia ugali
Tz Muna shida gan sapotini diamond😂😂
Wa tanzania ni washamba sana Chris brown anafanya business hiyo ni kawaida sana , yani tanzania yote amna wasani ndomana mmestuka hivo
Tupe Collabo acheni uongo
Sasa kama diamond amichaka fa kolabo na neyo kwanini challenge tu kufanyiwa na chris inawa changaza namuna muchucha pia mond kuya ongeleya sanaa
Who is Chris brown?
😂😂😂
Apo Sasa nimekuelewa Diamond kumbe kashindikana%
Endelea kuwaelimisha wenyechuk
Kwahiyo tukusaidiaje
Jux ndo kapost sio mnafki yule broo
Hata Ray C yuko Paris😂😂
Diamond yuko kikazi
broo hapa kuna mashabiki na wanafiki sasa tutapiga kelee ila ukweli utabaki tuu....
Huyo jam alinikela sana mfupimfupi kama chula anajiita pimbi