RECAP: NI KWELI DIAMOND AMEMLIPA CHRIS BROWN?? MISO MISONDO WALIPOSTIWA?? WASANII TZ WANAFIKI SANA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 180

  • @JejemingaMinga
    @JejemingaMinga 7 หลายเดือนก่อน +25

    Ukweli ntupu Kaká commant ça va imenda iyo ngoma Duniani 🙌🔥🔥🔥🇹🇿🇺🇸🇻🇳🇸🇦🇵🇹🇿🇦

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 7 หลายเดือนก่อน +10

    Yani wewe uko mbali ungechukuwa mkumbwa wao Pepsi ya baridi ukashushiya kaka, nakupenda Sana kwa sababu wewe nimsema kweli, Allah azidi kukubariki umri murefu kaka nakupenda sana❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 7 หลายเดือนก่อน +13

    Uko sawa bro wanafki wakae kando na Simba wetu hatupendani sisi ni wanafki walisema jamaa amefulia ila Sasa ni wanafki tungekua kama Nigiria tungewaacha mbali sana Nigeria

  • @spaganiceboy
    @spaganiceboy 7 หลายเดือนก่อน +18

    Nikweli Kaka sema Kweli 🎉🎉🎉

  • @YohanaKanyerere
    @YohanaKanyerere 7 หลายเดือนก่อน +11

    Wa kwanza guys, NAOMBEN likes
    Every time unaspeak fact bro I appreciate you so much

  • @ramayonline2281
    @ramayonline2281 7 หลายเดือนก่อน +7

    Broh EL MANDO your the best 👏🙌🏽👑 you have always been spoken the truth now I’m waiting for your RECAP about the trip of Diamond Platnumz in Paris fashion show plus his collaboration with Jason Derurlo

  • @JersonEliyasi
    @JersonEliyasi 7 หลายเดือนก่อน +1

    DAMOND PRATNNAMZ 🦁 simba wa AFRIKA saruti sana kwake

  • @SaidJuma-ru7vm
    @SaidJuma-ru7vm 7 หลายเดือนก่อน +4

    Well said bro

  • @HazardHbcomEmmanuelprodduseign
    @HazardHbcomEmmanuelprodduseign 7 หลายเดือนก่อน +3

    Vraiment Dieu aie bon courage Grand frère tu est Sage tu parles ce qui est réel dépuis le Congo RDC 🇨🇩 précisément à Kinshasa.

    • @EmmanuelMurula
      @EmmanuelMurula 7 หลายเดือนก่อน

      Un kinois qui ne sait pad écrire le français

  • @hansdedes1903
    @hansdedes1903 7 หลายเดือนก่อน

    Asante sana nilikuwa sijuwi kama mdogo wake harmonise anafakazi kwa Diamond, Shukrani Sana kwa news much love's from Thailand 💓💓💞🇹🇿!!**

  • @AminaAbdullah-ws3wy
    @AminaAbdullah-ws3wy 7 หลายเดือนก่อน

    Don't worry about those hurt's. Bongos tatizo Roho mbaya. I agree with you

  • @MatiShabby
    @MatiShabby 7 หลายเดือนก่อน +1

    True

  • @KonvictIbra
    @KonvictIbra 7 หลายเดือนก่อน

    Big up tz & much respect to diamond platinumz east African to the worldwide much love❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @magrethmagonza186
    @magrethmagonza186 7 หลายเดือนก่อน +14

    Diamond hana pesa ya kumlipa Chris brown ili acheze wimbo wake. People.acheni wivu

  • @marthaanton6967
    @marthaanton6967 7 หลายเดือนก่อน +1

    Umeongea point kubwa sn watu niwanafiki watanzania Mungu atusaidie tupende vyakwetu

  • @BazozMasudi
    @BazozMasudi 7 หลายเดือนก่อน +2

    Bro mimi kwa upande wangu Big amesha support saaana mpaka na wale aliwo wa support doo wana msema vibaya tena naku shindana nae big ana roo ya kipekee this is from DRCongo a big fan

  • @volontemuvunja6260
    @volontemuvunja6260 7 หลายเดือนก่อน +2

    Unaongeya ukweli siku zote big up bro🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @michaeljuma254
    @michaeljuma254 7 หลายเดือนก่อน +3

    Kweli kabisa🎉🎉

  • @JumaSaidi-xq7ui
    @JumaSaidi-xq7ui 7 หลายเดือนก่อน +2

    Nakubali brooo❤

  • @AmaniNangerembe
    @AmaniNangerembe 7 หลายเดือนก่อน +2

    Ndomana na kukubali sn kk mkubwa namando nice one job brother 🎉🎉🎉

  • @rashidkibavu1863
    @rashidkibavu1863 7 หลายเดือนก่อน +4

    Nakubali sana uchambuzi wako broo

  • @Gervas-gv4gt
    @Gervas-gv4gt 7 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali kak ukwelii 4rever❤❤❤

  • @theonekulwa
    @theonekulwa 7 หลายเดือนก่อน

    Umetisha leo wasanii wa bongo ni wanaaa.

  • @AlmasEassy-ek9et
    @AlmasEassy-ek9et 5 หลายเดือนก่อน

    Kka nakubali yana na unacho sema🎉

  • @RojaPeter-oo7ru
    @RojaPeter-oo7ru 7 หลายเดือนก่อน +1

    Wambie bro 💥💥

  • @AcksunBonifas-mj2sw
    @AcksunBonifas-mj2sw 7 หลายเดือนก่อน +2

    yan watu hawataki kubali sijui wapo aje ..kubalini ban ❤

  • @titoamani-e8b
    @titoamani-e8b 7 หลายเดือนก่อน +1

    ujumbe kwa Harmonize.... Diamond harogwi😂😂😂😂

  • @lowkey-davontae
    @lowkey-davontae 7 หลายเดือนก่อน +4

    Big fact

  • @RonaldoSwagala
    @RonaldoSwagala 7 หลายเดือนก่อน

    Uko sahihi bro 🤜🤜🤜🤜

  • @paizinhosaide-cv9pm
    @paizinhosaide-cv9pm 7 หลายเดือนก่อน +1

    Komassava🙌🙌🙌🙌

  • @hancebariki
    @hancebariki 7 หลายเดือนก่อน +2

    Kweli kabix kaka

  • @DaudiMazengoMasterDTEM
    @DaudiMazengoMasterDTEM 7 หลายเดือนก่อน

    You are right , wasanii hawapeani umoja. Nigeria watazidi kutuzidi kama hatuungani.

  • @GiftMwakifuka
    @GiftMwakifuka 7 หลายเดือนก่อน +1

    Simba mutu mukubwa muache 2 ❤❤❤❤❤❤

  • @JersonEliyasi
    @JersonEliyasi 7 หลายเดือนก่อน +3

    DAMOND PRATNNAMZ 🦁 simba wa AFRIKA saruti sana kwake acha ukweli usemwr

  • @LeganNtambi
    @LeganNtambi 7 หลายเดือนก่อน +2

    ❤❤

  • @michaelcheyo4072
    @michaelcheyo4072 7 หลายเดือนก่อน +2

    uko sawa saaana!!

  • @flinchclassic1531
    @flinchclassic1531 7 หลายเดือนก่อน +1

    Umeongea ukweli brother

  • @batilibatilizy5323
    @batilibatilizy5323 7 หลายเดือนก่อน +3

    Ukweli usemwe diamond ni babá 💯🇲🇿🔥

  • @NgabireyimanaJophrai
    @NgabireyimanaJophrai 7 หลายเดือนก่อน +6

    Wew nakubali waelimishe wafunz wanajifanya mtaila tanzania mumepewa kitu chasamani lakini hamukitambuwi

  • @BabeRymz
    @BabeRymz 7 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉🎉

  • @pascaljr.5439
    @pascaljr.5439 7 หลายเดือนก่อน

    Umeongea vizuri

  • @ramamabrok2523
    @ramamabrok2523 7 หลายเดือนก่อน +3

    Simba 🙌🙌🙌🙌🙌

  • @badeuxGerard
    @badeuxGerard 7 หลายเดือนก่อน +1

    Tuko pamoja, umesema ukweli mtupu 👍

  • @MohamedAhmed-ns5mi
    @MohamedAhmed-ns5mi 7 หลายเดือนก่อน +2

    Wambie ukweli bro

  • @EdmondNyirenda
    @EdmondNyirenda 7 หลายเดือนก่อน +2

    People can be hypocritical

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 7 หลายเดือนก่อน +2

    Yaani kiukweli industry imebebwa na Mondi akisema anapumzika industry itapumzika😂

  • @babalao3250
    @babalao3250 7 หลายเดือนก่อน +3

    Mando we mnoma sana

  • @MussaSaidi-nw2xs
    @MussaSaidi-nw2xs 7 หลายเดือนก่อน

    Nakubaliana nawewe

  • @kenjaboy8070
    @kenjaboy8070 7 หลายเดือนก่อน

    Wambie hawo wabishi simba nisimba tu ❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @Swaggerboyog695
    @Swaggerboyog695 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kama wanaweza walipie na wenyewe afanyiwe challenge na ngoma Yao sensema🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ISSACKRICHARD
    @ISSACKRICHARD 7 หลายเดือนก่อน +4

    Siyo wamechaguwa njia kuchukiana wanachuk ya kwelii😂

  • @BakariJulius
    @BakariJulius 6 หลายเดือนก่อน

    Kaka chukua heshima yako umeongea sahihi nimeipenda

  • @davkoofficial4179
    @davkoofficial4179 7 หลายเดือนก่อน +2

    🙌🙌📢📢📢📢

  • @SalhaKhamis-n4j
    @SalhaKhamis-n4j 7 หลายเดือนก่อน

    Aseee umesema ukweli mtu yani kuna vijitu vingine jamani et anapambana kumkashifu simba😂😂😂 inachekesha sana

  • @EdwinJohn-vo8uf
    @EdwinJohn-vo8uf 7 หลายเดือนก่อน

    Comasava would wide 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🌍🌍🌍🌍

  • @ipyanamwasaga7333
    @ipyanamwasaga7333 7 หลายเดือนก่อน +2

    Kaka ww ni wamoto sana unajua sana anae kupinga uyo ni mchawi

  • @ImaniMsafi
    @ImaniMsafi 7 หลายเดือนก่อน

    Diamond pratinamz is the best artist of Africa

  • @suleimanfadhil-bg4wg
    @suleimanfadhil-bg4wg 5 หลายเดือนก่อน

    Chris Brown hana njaa na hakuna mxaani wa bongo kumlipa Breezy mbn kacheza ngoma ya twashalabam kwenye 11:11 Tour kwenye show kwenye majiji mengi

  • @verbalverbal2019
    @verbalverbal2019 7 หลายเดือนก่อน +28

    Hiyo ya kusema wasanii ni wanafiki kwa sababu hawakusapoti komasava wakati inatoka, wakasapoti baada ya Chris Brown kushiriki challenge, hapo you are being negative aisee, wakati komasava inatoka na wao walikuwa na project zao, yaani haiwezekani wasanii wawe kazi yao ni kusapoti nyimbo za diamond tu wakati wao pia wana project zao, hili la Chris Brown ni kubwa kuliko, ndio maana industry ikasimama wasanii wakaacha mambo yao for a minute to celebrate the milestone... Wasanii wetu wana upuuzi kuvimbiana, lakini hawa wachache waliosapoti kwa kupost tusiwavunje nguvu, haikuwa unafki bwana, ni appreciation ya kweli, tuwazungumzie hao kina Harmonize wanaoleta mambo ya Misomisondo mara sijui Chris Brown kalipwa, hao sasa ndio wadwanzi, ila hawa waliopost tusiwavunje nguvu ya kuonyesha love siku nyingine

    • @Khalidniya380
      @Khalidniya380 7 หลายเดือนก่อน +6

      Nakuelewa ila hao ambao wamempost Diamond baada ya kuona Chris Brown amempost ni unafki kwani saa hii bado hawana projet zao za kupush wakiamua kukaa kimya waache waendelee wasifosi issues

    • @verbalverbal2019
      @verbalverbal2019 7 หลายเดือนก่อน

      @@Khalidniya380 Ukisikia mtu anajisikia kama ana homa homa hivi, unaweza ukamuombea tu kwa mungu ukaendelea na mambo yako, ila ukisikia kazidiwa amelazwa unalazimika kusimamisha shughuli zako uende ukamuone... Kwa hiyo kuacha mambo yako inategemea na uzito wa kinachoendelea... Wakati komasava inatoka, zilitoka nyimbo ngapi? Yeye Diamond aliachana na Komasava akaanza kuzisapoti? Si aliendelea Kui-push komasava yake !? Au kabla Rayvanny hajafanya show na Maluma, alikuwa ashafanya show ngapi akiwa Next Level? Diamond alikuwa anazipost? Mbona ile show na Maluma Mtv Music Diamond alipost na kusifia kuwa haijawahi kutokea akashauri na vijana waache bangi watafanikiwa Harmonize akamind... Diamond alifanya unafki kwa kuwa show zingine hakuwa akizipost? Watu hawawezi kuja kwenye kipaimara cha mtoto wako, ukawatimua ukawaambia eti wanafki mbona siku zingine huwa hamji, yaani unataka nyumba yako iwe inajaa watu kila siku, watu wanakuja kukutembelea tu wewe kwa kuwa wao hawana makwao au? Watu watakuja kwa jambo maalumu, sio ukiamka unafagia watu waje, ukikaanga mayai watu waje, haiwezekani, watu wataacha shughuli zako ukiwa na jambo la msingi... WABONGO AKILI ZETU ZIMEZOEA UHASAMA, KWA HIYO HATA LIKITOKEA JEMA TUNAONA BAYA, Kwanza wasanii karibu wote waliompongeza ni washkaji zake Barnaba, Jay melody, Baba levo, Zuchu....

    • @DadiezRec
      @DadiezRec 7 หลายเดือนก่อน +2

      Uyo anajua Ila anajinafkisha tu

    • @verbalverbal2019
      @verbalverbal2019 7 หลายเดือนก่อน +2

      Duh

    • @mustafamsati9599
      @mustafamsati9599 7 หลายเดือนก่อน +2

      Ila je yeye chibu anapost kazi za wasanii wenzake ?

  • @bonirodi6301
    @bonirodi6301 7 หลายเดือนก่อน

    Watanzania wanavifu kweli diamond ndio Habari ya Dunia

  • @jabirshomar8247
    @jabirshomar8247 7 หลายเดือนก่อน

    Washamba hao Wachane bro Mwenzao anachanja Mbuga kwenye Mafanikio wao wana Piga ngenga tu na Umbea.

  • @suleimanfadhil-bg4wg
    @suleimanfadhil-bg4wg 5 หลายเดือนก่อน

    Chris anapenda kuwasupport wasanii wa Africa, kwani Diamond alishawai msupport msaani mdogo at kupost insta story acha kuwa na upande at mondi hasupport wengne UBAYA UBWELA 😁😂😁

  • @GodfreyCharles-zf2cw
    @GodfreyCharles-zf2cw 7 หลายเดือนก่อน

    Pongez
    Kwavitend

  • @nasraalmasy
    @nasraalmasy 7 หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa wasanii wabadilike na mashabiki maandazi Pia.

  • @sulleymernmannarah7930
    @sulleymernmannarah7930 7 หลายเดือนก่อน +2

    Kweli kabxaa broh waeleweshe maboya wa mji wsiojielewa

  • @AshaKibige-u5h
    @AshaKibige-u5h 7 หลายเดือนก่อน

    Kaka uko fact kabisa,waambie ukwel

  • @AlfroLyd
    @AlfroLyd 7 หลายเดือนก่อน

    Na hizo collabo zote ulizo zitaja Chris Brown anazijuwa, sababu Hao wasanii Ni wakubwa mno, Na wako close Na Chris Brown, niku sema Chris Brown anamjua vizuri DIAMOND PLATINUMZ, Na ana fahamu kuwa DIAMOND PLATINUMZ he's from Tanzania

  • @RayAntone-qu9nf
    @RayAntone-qu9nf 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani yeye anahabali kuwa mnamzungumzia hivi 😹😹😹😹

    • @Rehemamakuka
      @Rehemamakuka 7 หลายเดือนก่อน

      Hana ndo nataka nimpelekee hii habari

  • @soundmale
    @soundmale 7 หลายเดือนก่อน

    Watanzania wenzangu tunapenda kuona mtu akifeli😢

  • @muyongahassan2188
    @muyongahassan2188 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mondi ninyingin niveaux mungu kamfunguria wamuache kumchukia waache rohombaya uwo niuchawi

  • @KingMoses-i2v
    @KingMoses-i2v 7 หลายเดือนก่อน +1

    Huruma sana Tanzania Ila I Love Diamond

  • @kombomuhidin4608
    @kombomuhidin4608 7 หลายเดือนก่อน

    kweli nimekuelewa huwo ni uhakika

  • @graceti9390
    @graceti9390 7 หลายเดือนก่อน

    hamo hajaseme amecheza alisema alisha wai post misomisondo kaka pengine haukusikiya vizuri

  • @kenjaboy8070
    @kenjaboy8070 7 หลายเดือนก่อน

    Nasema tena waambie 😮😮😮😮😮😅😅😅😅😅😅😅

  • @nyapambasango7606
    @nyapambasango7606 7 หลายเดือนก่อน

    Broo we ni genius

  • @sheilacruz6458
    @sheilacruz6458 7 หลายเดือนก่อน

    We usiseme kila mtu mbona harmonize na rayvanny na marioo hawakupost diamond kafanya kazi nzuri sana lakini usijumuishe wenye hawakupost

  • @ngangaamisi4790
    @ngangaamisi4790 5 หลายเดือนก่อน

    Aise Wachane mwanangu…..Unyama kweli

  • @patriciamwamakula6849
    @patriciamwamakula6849 7 หลายเดือนก่อน

    Zamani nilikuwaga sikuelewagi kabisa,,ila sasa unaeleweka

  • @shabankassim823
    @shabankassim823 7 หลายเดือนก่อน

    sawa ilikua nyimbo yake je.maneno aliyo yaandika alisemaje kuhusu misi misondo kina maneno kayaandika pale

  • @dullahabdallah-nu1py
    @dullahabdallah-nu1py 7 หลายเดือนก่อน

    Muziki na vigisu,hata usemeje bongo ndivyo tulivyo.Unafiki ndo umetawala bongo

  • @thomaswilbert6431
    @thomaswilbert6431 7 หลายเดือนก่อน

    Ndio wanapotushinda Wana Nigeria

  • @mustafamsati9599
    @mustafamsati9599 7 หลายเดือนก่อน

    Kwaiyo kumbe miso misondo hakuwapost mlitudanganya? Vp na yule msauzi? Kapostiwa au uongo?

  • @davidnyerere2474
    @davidnyerere2474 7 หลายเดือนก่อน

    Hapo kwa Rick Ross unatundanya ju Kuna wimbo unaitwa millioner by mista'rii ft Rick ross

    • @Xuxu-f7j
      @Xuxu-f7j 7 หลายเดือนก่อน

      We nawe em tuache cm yenyew umemiliki juzi tena ni infinix sisi huku tunatumia kupigia mahesabu yan ni kama calculator

  • @kassimabussa6583
    @kassimabussa6583 7 หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa dolla elfu mbili hawezi pesa ndogo sanaaa amecgeza kwamapenzi TU

  • @hassankhamis7380
    @hassankhamis7380 7 หลายเดือนก่อน

    Yani sijaona country km tz ambayo ina muona ghost singer km msani wa kawaida wkt inchi zingine zina muheshimu yani tz uswahili ni mwingi sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wa tz mjifunze

  • @thierrybisimwa3312
    @thierrybisimwa3312 7 หลายเดือนก่อน

    Wa TZ mtabaki down kimziki, sasa Chris kucheza ngoma nimiugiza kweli, wanigeria mbona wange chukuliya fresh tu mnadogosha simba mbele ya wanigeria kwaku pampana na kondeboy

  • @djjosie7283
    @djjosie7283 7 หลายเดือนก่อน +3

    Nikweli wanafiki wanapost na kumtag Chris brown iliwaonekane kwa Chris kuwa na wao ni wasanii walioukaribu na dai😂😂😂 akili mbovu hata sikupenda

    • @ibrahimfarha3853
      @ibrahimfarha3853 7 หลายเดือนก่อน

      Diamond ni njia ya wengiii kutaftia ugali

  • @ISSACKRICHARD
    @ISSACKRICHARD 7 หลายเดือนก่อน +2

    Tz Muna shida gan sapotini diamond😂😂

  • @vyaduoj
    @vyaduoj 7 หลายเดือนก่อน

    Wa tanzania ni washamba sana Chris brown anafanya business hiyo ni kawaida sana , yani tanzania yote amna wasani ndomana mmestuka hivo

  • @jaystrongmagaboy1633
    @jaystrongmagaboy1633 7 หลายเดือนก่อน

    Tupe Collabo acheni uongo

  • @kasereka-vy3mw
    @kasereka-vy3mw 7 หลายเดือนก่อน

    Sasa kama diamond amichaka fa kolabo na neyo kwanini challenge tu kufanyiwa na chris inawa changaza namuna muchucha pia mond kuya ongeleya sanaa

  • @danctheyoung
    @danctheyoung 7 หลายเดือนก่อน

    Who is Chris brown?

  • @AliDulla
    @AliDulla 7 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂

  • @abdimakame7929
    @abdimakame7929 7 หลายเดือนก่อน

    Apo Sasa nimekuelewa Diamond kumbe kashindikana%

  • @PaulHaule-zd7tl
    @PaulHaule-zd7tl 7 หลายเดือนก่อน

    Endelea kuwaelimisha wenyechuk

  • @dausonpeter5052
    @dausonpeter5052 7 หลายเดือนก่อน

    Kwahiyo tukusaidiaje

  • @RAJABUShaibu-mx2iy
    @RAJABUShaibu-mx2iy 7 หลายเดือนก่อน

    Jux ndo kapost sio mnafki yule broo

  • @furahachuma9039
    @furahachuma9039 7 หลายเดือนก่อน

    Hata Ray C yuko Paris😂😂

  • @ankalmzito254
    @ankalmzito254 7 หลายเดือนก่อน

    broo hapa kuna mashabiki na wanafiki sasa tutapiga kelee ila ukweli utabaki tuu....

  • @KhamisLilos
    @KhamisLilos 7 หลายเดือนก่อน

    Huyo jam alinikela sana mfupimfupi kama chula anajiita pimbi