YOUNG LUNYA NA WAKAZI KIMEUMANA LIVE TIMES FM
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 มิ.ย. 2024
- All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
hiki kizazi hakina talent, case closed
They not like us team mbuzi
That's true, hauezi kua km wao na wao hawawezi kua km wewe.
Mwambieni Lunya apige kazi wakimkataa hao wasanii wenzake sisi tulio waajili ndio tunamtaka Lunya na sio hao wasanii wenzake piga kazi mwamba mimi nakukubali sana na uku mtaani una fan base yakutosha❤🎉🎉
Akuna rapper apa
Mbuz humuwezi bebelu sababu kumbuka msingi ambazo umekufanya uonekan Leo Hapo kunamabroo ambao hutakiw kuwa diss lespect mfano kama nyigi danyik Uuuunju mexcortizy fresh like unh kamusi mbwa mzee mbeya boy chuma lugombo kadigo kwaiyo angalia unachokiongea unapo stay on media
nakubali young lunya✌
Mi kwangu si kutarajiya kama the got of all time anashindwa ku free style in punch line
Kiukweli mimi sio shabiki wa hip hop nyimbo za Lunya nazifahamu lakin huyo wakazi siijui ata nyimbo yake moja
Shout out to country wiz🎉
Kwa wakazi namtetea Lunya wakazi hata kuimba hajui
Mbona lunya mkali asee wakazii maneno tuu mengii
Kuna rapa anamashavu kama chura...😂 sema umezingua ku-freestyle huwezi ila kutoa mistari kwenye ngoma yoyote imekushinda 😂 GOAT rudi bandani
Mbora wa mda ote kwenye kizazi cha lunya ni Dizasta
Motoo sana
You are best Lunya, be you as you men...
Kwa iyo story yako tu nimekukubal my boy
Kuna watu wanaitwa KICHWA KUMZIDI that's WABIRO WAKAZI , time ya mwenzio haijalishi anaimba nini wewe inakujaa CHUKI inakutesa,, even wewe hujui kuchana niwakawaida sana kujificha kwenye kimvuli cha wachanaji wa TAMADUNI MUSIC na mwamvuli wote wa ukanda ule sijui kikosi kazi an all dat, ndio inakurembeshea wewe kujiita mcee,, ila mwenyewe mwenyewe na kingereza chako na majigambo yako WAKAZI WEWE SIO MCEE MKALI WA KUMDISS DOGO HATA KIDOGO,, Chuki inakutesa,, nimda wake, haijalishi anaimba nini,,, Ana hit JAIVA na sauti lake baya akiimba matusi eti MTOTO KAUTAKA utafwananisha na anachoimba LUNYA..? ushamba flan kutaka kujiona unaijua sana RAP, Cake ya taifa ni kubwa sana changamka Ukate kipande chako,, time unayotumia kusema lunya anakata kubwa unatushangaza..!wakati na wewe ni mcee fanya nawewe KAMA WASEMAVYO KIKOSI KAZI
LUNYA NDIYO KING WA RAP KWA SASA, HATE NDIYO INAWASUMBUA WATU.😂
Lunha mbuzi