RECAP: WCB WALIFANYA MAPINDUZI YA MUZIKI TANZANIA, WAMEONGOZA KILA KITU, AMAPIANO VS BONGO FLEVA??
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ก.ค. 2024
- Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny - บันเทิง
Congo ni baba kila siku 🇨🇩🇨🇩💪💪
Courage les tanzaniens même nous aussi les congolais 🇨🇩 nous sommes prêts de vous espéré.
We bro unaongea fact big up
Hata naija Bado hawajafikia kiwango chamuziki WA congo
Nakubali kaka 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💪🇨🇩🇨🇩💪🇨🇩💪🇨🇩 wcb for life
Daaa Jamaa unanikosha WCB ndo habàri ya mziki chuo kikuuuuu❤❤❤
Jaman bongo 5 hamjaona Hennessy by young lunya,sarkodie, khalighaph jons,ladipoe+++ tuleteeni na muichambue
Bila daimond mziki wetu mmmh!! Mashakani, daimond anatisha bhana.
Guys before uhongeye abari zako ebu fanya utafiti vizuri congo we the best for all the time
yes WCB leble is second leble in Africa is true 100%
Shida ni hamjui kutofautisha between MZIKI NA BURUDANI 😅😂😂
Kaka yangu mimi ni @sugar Igaufe msani kutoka Congo 🇨🇩 lakini katamani kazi zangu zije Tanzania 🇹🇿 nasababu yaku kuandia napenda sana unakio kifanya pia una jua vitu vingi naomba uwe manager wangu nakuomba sana Asante
Ndio ilivyo mku 🦁🔥
Bro kikweli unaongeaga ukweli
Shida wa congo Hawa wekezi nguvu kwenye digito naku shindana kwenye ma tuzo
Lakini radios na tv Ndo soko zabo
Ndomana wao wakifanya shows hata inje ya nchi wanajazaga tuu
Kaka Congo kuna wa star wa kubwa maitre gims , dadju wa view wengi
Gims wako Ku France wewe
Achakusema mambo ya namba
Bro tz niya kwanza kimziki afrika , kinachoifelisha ni rugha wanaotumiya kwa uimbaji.laa sivyo hata wanaija hawana na fasi mbele ya tz music. Love 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
hata mondi ajawai pata views 150 bila kumshirikisha mtn so all is same bro
Wapo machokochoko watakaopinga mi najua
Acha bangi bro Muziki wa Congo ukoju mbali sana
Tatizo ni kupoteza identity ya mziki, Congo wana style ya muziki wao Rhumba/afro congo ila tz Mara Amapiano akitakaimba kingereza mnaenda naigeria
Mondi ndio msanii buster
Harmonize anaimba na kutunga mziki mzuri ili awe mkubwa zaidi ya Mondi,
Rayvany anaimba ngoma nzuri kutokana na sehemu aliyotoka,
Ally kiba anajitahidi kuimba mziki mzuri ili ushindani wake naa mondi uendelee kuwepo,
Marioo anaimba mziki mzuri kutokana na hasira zake Kwa mondi kumchukulia Mimi mars so ana hasira sana nae awe mkubwa kuliko mondi😂😂😂
Niko pamoja nawewe kaka.
kweli unachosema ila ndo wasanii wa tz wameanza kujitafuta kwenda international usiwai kuwalinganisha na wasanii kutoka congo wale na wa nigeria niwachawi sana wana sumbua sana international
Apo njo Ume aribu usiweke Tanzania Mbele ya Congo 🇨🇩 ndugu yangu
El Mando hajuwi ku tafautisha ndomaana ana sema hivo hahuwi kama Congo 🇨🇩 sio watu wa mitandao nawala Hawajali digital
Kwani rayvanny io tetema kaimba na nani? Mbona unajisahaulisha?
Bro,Don’t compare Fally is the best , is the best musician in Africa
South Africa 🇿🇦 Aina views nyingi TH-cam wewe mouuzi
Léo nikutukane Kwanza kuhusu kusema DRC.
Wcb ni lebo saiiiiii
Kwahiyo tanzania Kuna msanii mkubwa zaidi ya Fally ipupa
Wewe wame kuambiya mtowe fally Ipupa ule ni mzee weka wengine
Kwa ufaransa wa congo watajaza sna kwani wanaongea kifaransa
trend siyo cho chote tuangaliye vile kwenye show zakimatayifa
Asa io namba 3 na. 4
Sipingi hata kidogo
Sasa awo ma views mbona atuwaona kwenye concerts?
Ferre Gola uwa ajibez na ayo mambo ya views ila akifanya concert bala yake ni ayo.
Mziki ulikuwa epo tena mkali tatizo mahendeleo hayakuwepo mitandao jaukuwepo mambo mengi hayakuwepo nandiomana unasema wasafi ina change muziki
Kwend uko mwanahabar gn ww Kila siku nkusifia diamond ww nshabiki take sema t ukwel usiogopag watu Kila siku ambaye amepelek mziki n mondy Yani huoni hao wengine waliofany makubwa kushinda huyoo mtu wako mnafiki sana wwe hunachocht
@@user-qz8gn6bn6r kama inakuuma kunyw sim
Wewe nae Ni kama WCB wanakutomba kila mara kuwasifia tu🖕🖕
Wasani wazamani sho zawo ikuwa pesa mdogo pia Nigeria 🇳🇬kipindi kile waliwa bado why because technology haikuwepo so inabidi uwelewe bro almando
Afro Congo ni genre? Najua soukous
Nah innossb sio this generation go check his background
Brother ww mnafiki sana leo unaongea ili kesho lie ndio mahana w2 wala.awakuzingatiii mshamba ww
Mbona hujamtaja rayvanny wakati tupo ulaya tokea leo nakuama
Bila kuwa saabu Gims dadju Youssoupha ninho ao ote niwa Congo 🇨🇩
Kuna tofauti ya utaifa na asili
Mfatilie mohombi wa congo 🇨🇩bro usicho kifaamu uliza
Uyu jamaa ni mropokaji sana WW una juwa wasani WA congo vizuri mbwaaa kabisa, generation hii una mjuwa Maître gims sawa ww
🤣🤣🤣
Bro tueshimiyane basi ata kidogo, kumlinganisha Diamond na fally, koffi, Gola,... Nikama kumlinganisha harmonize na diamond, kama diamond anavimbiya wa Nigeria leo nikwasababu from the beginning Congo tulimubeba kama mtoto wetu, papa wenba, fally, koffi, innos, wote wali beba msanii wenu, leo mnataka tulingalisha na mtoto mdogo tuliyemkuza. Ivi ukitowa diamond mkowapi kimziki afu yeye mwenyewe bado hawezi jaza show tunazo zijaza youtube sio kipimo cha ukubwa wa msanii jifunze mziki before talking nonsense.
Tu ne peux pas comparer les chansons congolaises🇨🇩🇨🇩🇨🇩 avec ceux de la Tanzanie là tu fais une erreur
Bro Congo hawapo kwenye Numbers za TH-cam hao wanajaza Arena watanzania ndo maana hamuwezi fika mbali fatilia wasani wenye wanaishi ulaya wa Africa utachoka tanzania mnakua mnaomba Collabo kama mna numbers kwa nini wasani wakimataifa awawaombi Collabo
Huyu jama hajielewi
Uko naongea vitu Aujuwi uyo daimondi Auwezi kujaza ata apa arena ya Belg ao niwa sani wa apo Tanzania uki taja fally uwe nae shima
Huyu jama hajielewi
Uta shindana na watu wanao jaza arena 😂😂😂😂😂😂wewe ata wa nijeria wenywe