KULEA MTOTO UJERUMANI| KUKOSA COMMON SENSE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
- Atugonza ametuelezea experience yake katika suala zima la ulezi wa watoto, maisha ya utofauti wa kitamaduni
Mahusiano na utumizi wa mtandao wa kimahusiano.
Thank you Atugonza for allowing it to be online
WWW.ODA.INTERNATIONAL
Atugonza Hongera sana kwa kupata Mtoto. Uko na rangi nzuri, nimefurahi kwa kujiacha kama ulivyo. Hongera sana.
Yuko na rangi nzuri sana
Nampendaga Atu hajuagi kuringa❤❤❤interview imenyooka
She is amazing 😍
Hongera nifurah kusikiai analysis yako ni ya mtu aliyeenda shule nzuri,
Nice interview, Dada Mrembo na smart
Sana, she is amazing na ananondo za kutosha
Ana rangi nzuri san
Sana
Mungu wabarki
Mim nakufatilia sana ila mmi nataka kazi uko nafanyeje
Kaongea vzr sana
Sana
SHENA MIMI NATAKA MZUNGU SIJUI JINSI YA KUMPATA NIKO TZ
Good work guys bt my opinion t you Shena if you are a Muslim bc jarbu kujictr uckae ivo nywele waz afu leo nd ivyo apo karbu wwngn wanaon
Just advice
Sisi ambao hatujui kingeleza wazungu tutawapataje 😂😂
Mimi nadhani wanaoogopa Online Dating ni uzito mdogo wa profiles. Kama mtu hana cha kunyanyua profile yake, ni lazima asite kwanza kwa kuwa labda anakuwa hana hakika kama atakubaliwa kwa urahisi! Nashauri vijana wajiongeze kusomasoma. Ili hata wakiwapata wenza wao waweze nao kuchangia kipato. Hakuna anayependa kuwa na mwenza asiyebebeka!
Ahsante kwa comment
Uwe unatuwekea hizo webisite mwisho wa interview..kama ikikupendeza i beg.
Mhhhhhh!!
Nimecheka sana kwenye hii interview yani mme wangu hua ajiongezi kwanza anaogopa moto, na vitu vikali kama kisu 😂😂😂😂 yani wanavisa
🤣🤣🤣 huyu katisha dah
Mimi ni mtanzania lakini kama naongea na mtu asinitazame usoni naona:
1. Kama dharau au
2. Anaficha jambo.
Ila naona desturi na tamaduni za kitanzania wanafundisha watu eti akiongea na mtu mzima uangalie chini kwa maana eti ukimuangalia face to face unaonekana huna haya au chakaramu. Huwa sielewi hapo.
Tamaduni zetu zilikua zinajenga watu kua waoga 😁
Unaweza ukalipia tinder m pesa
❤❤❤
Watoto wa mwisho tuna bidii ya kazi bhana na sio wavivu labda wewe tu
😁
Mm ni wakwanza lakini mvuvi😅
hahahahahahahaaah jamaani mnafurahisha saana MUNGU awabariki.
Ahsante sana 🙏
😂😂😂😂
🤣
Wazungu wote Baba Yao mmoja 🤣🤣🤣
Hahahaa Kweli kabisa
❤❤❤❤
❤❤