Yaani inahuzunisha sana.Allah atupe mwisho mwema yarabii🤲🤲🤲 sisi kama vijana tujitunze na tutunze wazazi wetu sio tuende kwenye mizunguko yetu mwisho tunawarundia wazazi wetu tukiwa maiti inayo tembea.asante sana kaka mkubwa
Duuuh niheri kukataana na mapenzi yasio sahihi kama Vivian maana vishawishi hivi huwa vinasababishwa na kuwasikiliza marafiki wabaya ambao huwa hawajalishwi na kuutunza utu ila mwisho wake unakuwa mateso
SubuanaAllah Allah(s.w) atuepushe n maswahib machafu na yasiofaa yaliokinyume na Mwenyezimungu Amina lnshaAllah
Vijana wawe waelewa jamn ,, tamaaa mbaya sana,, mjizuie raha ya skumoja tu unajuta maisha yote
Mungu atupe subila pia atuepushe na tama
Mungu wangu uwiiiii,, nimetamani kumwambia boss anikatie tiketi nirudi nyumbani mie duh.
Shukran jazira Allah akuzidishie Kira lakheri tuzidi kupata raha
Hii njia sio sahil ila watu wanapendaaa sana Allah tuepushe
Inalilahi wainaillah Rajiun Allah atujaalie mwesho mwama HAKI NIMUTIHANI JUU YA MITIHANI 😢😢😢 YANI NIMAJUTO 2😭😭
Yani nimeogopa sana mungu atuongoze jamani
Yaani inahuzunisha sana.Allah atupe mwisho mwema yarabii🤲🤲🤲 sisi kama vijana tujitunze na tutunze wazazi wetu sio tuende kwenye mizunguko yetu mwisho tunawarundia wazazi wetu tukiwa maiti inayo tembea.asante sana kaka mkubwa
Asante kwa simulizi nzuri
Asante kwa simulizi nzuri na yenye mafunzo kemkem
Asante kwa simulizi tamu
Edgar mbogo mbona amepowa
❤❤❤❤❤❤
Wa nne leo 🎉🎉🎉
🙏🙏pole ka
❤
Duuuh niheri kukataana na mapenzi yasio sahihi kama Vivian maana vishawishi hivi huwa vinasababishwa na kuwasikiliza marafiki wabaya ambao huwa hawajalishwi na kuutunza utu ila mwisho wake unakuwa mateso
We Endelea Kulala 2
❤❤❤❤
Duuuh MUNGU aturehemu huku tykiachana na tania mbovu za kubishana na yale yasio ya asili
Njieee😂😂 nimecheka kwa herufi kubwa aowi mwanamke asie na malinda jamani tubaki njia kuu
Mke wa mtu smu tambua hakuna Cha kutegwa Wala kushawishiwa