Hawa watoto watatuonyesha mambo miezi kama tatu nyuma kuna hyu mtoto wa hapa wa miaka tisa sijui ni ile nn ama ni nini ila kaliniogelesha kama vile tuko umri mmoja 🤭🤭ila nilijisahau nilikazamba kofi kama kitu kitakufa kiliwe🤭🤭lakini hakakusema juu kalijua kanakosa ila tayari nilinaswa 🤣🤣🤣.asante sana Hans ♥ ft anko
Siangemwambia baba alikuwa mwanajeshi alifia vitani Burundi au huko yukren ,urusi,. Kwanza mtoto mwenyewe mdogo mno kuhoji habari za babake, story haina uhalisia
Nice ❤❤❤❤❤
Simulizi nzuri Sana nimejifunza kuwa na subila mungu NDIE mpangaji wa yote
Asante kwa simulizi nzuri na yenye mafunzo amakweli sikuzote heri shetani umjuaye kuliko malaika usiye mjua
😂😂😂 Anko j ee nimekukubali broo, hakik unakipaji cha pekee cha usimuliaji.🔥🔥🔥
Shukraan anko jay kwa simulizi nc job 🥰🥰anko jay mwenyewe
ANKO ANKO IS BACK NO.YEASSSS🔥🔥🔥🔥
Nilikuwa na mahusiano na kijana momja miez 8 si kumjua njina mpaka tukaachana 🤣🤣🤣🤣Yaan ni my my
😂😂😂
Dah
Hawa watoto watatuonyesha mambo miezi kama tatu nyuma kuna hyu mtoto wa hapa wa miaka tisa sijui ni ile nn ama ni nini ila kaliniogelesha kama vile tuko umri mmoja 🤭🤭ila nilijisahau nilikazamba kofi kama kitu kitakufa kiliwe🤭🤭lakini hakakusema juu kalijua kanakosa ila tayari nilinaswa 🤣🤣🤣.asante sana Hans ♥ ft anko
Hahaha style popo kanyia mbingu tyeena
Anko jay your always best da hija nairobi💯❤️❤️❤️
Thanks soo much Mr.Hans kwa kazi nzur nisomo zur na tunajielimisha kwa kuburudishwa na Mr .Anko J anatuchombeza tu 🥰🥰🙏
Waooo niliimis hii saut shukran
🙏🏻san bro kwa mzigo mpya
Asante sana my brother from another mother
Shukrani
Jamila rafiki mpotoshaji sana
😂😂😂😂Anko kwani we mpemba maan hivo unavoongea hdi raha
😘😘😘
Anko bhna eti mtajijua wenyewe
Hasira hasara na pia tuwe na subira kwa kila kitu
Asante sana,wakulaumiwa ni jonson na moza
Uso wa Mbuzi 😁
Inauma jamani
Mashoga hawa siwataki kabisa
Siangemwambia baba alikuwa mwanajeshi alifia vitani Burundi au huko yukren ,urusi,. Kwanza mtoto mwenyewe mdogo mno kuhoji habari za babake, story haina uhalisia
Poa saaana thanks smix
Asante kwa simulizi nzur
Pamoja kaka
Singo madhaaa😂😂😂😂
Tutazijua wenyew
Anko j anakipaji jamani sichoki kumsikiliza
Tunakiwa tuwe na subra kwa kila jambo
To be continued
Usiwe mtu wakufwa ushauri mbaya
simulizi
nzuri sana
hngera anko j