Nakukubali sana 20% fanya urudi kwenye ramani Kwani unakipaji unique kumbuka matuzooo yakooo Tz kipaji kama chako hamna!! Just chill andika mizigo onana producer wako man water man maji mtafanya Wonders , _ kitaa fans wako tupo ✓ 🎉❤️. Work on this plz!!
Mm sio mnyaturu ni mzanzibar ila napenda sana watu wanaothamin tamaduni za kikwao na kujivunia na kwao, hii song nzur san ilitakiwa ifanyiwe video wapatikane wadada wakinyaturu warembo halafu waicheze kimila zaidi itapendwa sana na kupata views wengi sana, Zanzibar Ukhaya😊
Wewe ndoo msani original wengine, wasirikina, wamejiunga na ulliminati ili bajulikane ila wanefeli, mpaka wemekana wazazi ili batobowe kimuziki ila bado
kaka wakunyumba tunajivunia tukiwa miji ya watu tukiulizwa "wapi ulikozaliwa " ivyo hatuoni dhambi kujibu Kimanzichana kijiji na Vitongoji vyake, kong'olo,mkamba, nyamla, manze, matanzi, na mkelezange, ni kwasababu alikozaliwa Teacher famous 20%par
Watu wanaimb vzr baad muwapongeze nyiny mnatak like sjui mkoje
inapendeza sana ebl dracula
Mwamba 20% huzuiliki kwenye music 🔥🔥🤟
Wanauwana, Jirani zetu wanaulizana. Wenzi wengi ni vijana, mbona wale wanaimba sana.
Mbona wale washirikina wanafanya ma kafara? Wasitufungie riziki wazikuze bishara za kwao.
Wapili mimi like Zangu jamani
20 naikubali asilimia chache zenye maana cyo mm no 1 alafu mziki tee baba m ni twenty pekee na wengine marejendar
Nakukubali sana 20% fanya urudi kwenye ramani Kwani unakipaji unique kumbuka matuzooo yakooo Tz kipaji kama chako hamna!! Just chill andika mizigo onana producer wako man water man maji mtafanya Wonders , _ kitaa fans wako tupo ✓ 🎉❤️. Work on this plz!!
Drucula bado sana, Collabo zako na Nas B ndo zilikuwa zinabamba.
Achia wimbo wa Magufuli YASIYOWEZEKANA KUMBE YANAWEZEKANA ni mzuri sana.
Wewe n'a alikiba muko walimu tena muna kipadji nandimi bino 🇨🇩
Wimbo mazuri sana ndugu,kutoka Kenya tumeupenda sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
20 pacent like hapa
Yes mwamba huyu hapa
Nyie ndugu c mrudi kwenye gem 2namic voice na maneno matamu
Kweli twenty wewe niwakuigwa mana naona vinaja wako umewakomaza vizuri
Burundi unatuburudisha vya kutosha 20%
safi kaka nakubali unachofnya reggae nzuri,inaujumbe,mziki wakuish,namimi nafnya reggae nataman kufnya naww kaka
Ww ndio msanii wangu katka maisha yangu yote bro mungu akusimamie kwa kila hatua unayo Piga ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Bro wewe siyo 20% bali 100%
Saut yangu nimeipenda endelea kutupa magoma tusikusahau bro mi ni shabiki yako
Motomoto usingoje uzime utakosa moto
Yungwa
Chozi limelengalenga sauti hii mwalimu wangu
Naamini kabisa Tanzania tuna vipaji vingi vya Reggae ni vile tu hakuna ma meneger wanaoamini katika reggae! A bless young bro!
🔥🔥🔥🔥🔥
uyu mama ni noma mazeeee
Good sana , mi hua nacoment kabla sijasikiliza cos najua unajua 20
Mungu azidi kukuinua kakangu
Tunataka mziki mzuri kama hyo
Vipi wezangu mii 80% nawatafuta tuungane tuwe 100% tuulemishe ulimwengu plz
Unajuasana
nakubal kaka kimanz1
Nanisauti kweli
We appreciate all the best you do
This is from the United States
Keep it up
Always God knows our lives
Goma Kali
Always you are the best to me 20 percent 🔥🔥
Big up sana 20%
HAPA, NI KUTOKA MONZAMBINQE, NIMEIPENDA IKAZI, 🎹🎙🔥🔥🔥
Namkubali 20 power sana kuliko msanii yeyote ❤️❤️
hatar
Izi ndo nyimbo zinatakiwa kiwa na pigwa😂sehemu zote nmaana hata kanisani inaenda iyi, maadili mema, ushauri, mafunzo
Ungekuwa unajua jinsi gani watu tunavyo umia Kwa ajili yako maana kukaa bila kusikia sauti yako ya garama na mafunzo tunaumia sana
Bro you can sing 🎤 just keep it up and you never disappoint 😭🙈🙏
You never Disappoint me my dear friend
Jaman na mkubali kinoma 20 asee❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Asilimia ishirini nakukubali sana Brother 💪👏👏👏
Cyo mia
20% baba mi shabiki wako toka kitambo sana nakukubali sana aisee MUNGU Akurinde sana WEWE NI NEMBO YA TAIFA LETU 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿📖📖📖📖🙏🙏🙏🙏
Ili song angeshilikishwa best naso ingeua Sana fanya kitu na best naso itakua pw zaid
🔥🔥🔥🦅🦅
Kama media zikimpa nafasi huyu mwamba, atasumbua sana Kwa soko la East Afrika
Good 👍
wood song
That's great music and vibe 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Usiachane naye bro anajuwa tchana vizuri munaendana
Sina comment likes Kwa 20power
20% please post MAMA Neema tena pleaseeee ‼️‼️
Aukoseagi 20 power we are togethe👊
We kamanda hongera Sana
Maile mbishi, ebl drucula mmeua Sana ngoma ni Kali balaa
nyimbo kalii👏👏
Bgap %20 njooooobaba tunakupali
Kaka badilisha upepo wa hii gemu ulidishe eshima
Kenya tuko lock kimoma collaboration na 20% akina Dracula kaboooom
I was really missing you from Burundi 🇧🇮
Good song, naenjoy sana hyo combination
This good music for brother is super dong
Tuli kumiss sana bro 🔥❤️🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Nmefurah kk kukuona umerud kwenye game
Jaman mupo vizuri from congo
God bless you 20 %
Namkubali Sana huyu kaka
Safi sana 🙏🙏🙏👍👏👏🙏🇨🇩
Yani hinyimbo ninzuli kweli
Kakavrudia uandishi wako wa zaman naamin utakaa kaa
20 unatisha ngoja tuone Yamm naww
MAISHA YA BONGO - 20% hii hapa >>>> th-cam.com/video/-km9MVDLzB0/w-d-xo.html
Good music,alimond from congo
Mm sio mnyaturu ni mzanzibar ila napenda sana watu wanaothamin tamaduni za kikwao na kujivunia na kwao, hii song nzur san ilitakiwa ifanyiwe video wapatikane wadada wakinyaturu warembo halafu waicheze kimila zaidi itapendwa sana na kupata views wengi sana, Zanzibar Ukhaya😊
Jah bless Asilimaile
Safi sana 20kutoka ifakara
Twent usimtupe EBL D
Nice song ...wengine wamebaki kutoboa mapua
20% your 100%
Wewe ndoo msani original wengine, wasirikina, wamejiunga na ulliminati ili bajulikane ila wanefeli, mpaka wemekana wazazi ili batobowe kimuziki ila bado
Mwalimu wa mziki yaani wewe ndo mwenyewe....
Boom hii..moto sana 100%
Nakubali iyo
💥💥💥 noma sana ngoma kali
🔥🔥💥🔥💥🔥🔥🔥
Wimbo mjuli sana
Much love percent👐👐👐
From Congo Drc 🥰🥰🥰
Noma sana 🔥
Karibu tena kwenye game
th-cam.com/video/5b4a4QCsMKo/w-d-xo.html
Big up
You are always there bro 20% wewe ni wajuu japo media kama vile hazikuoni kwa harakati zako
Ngoma imepangwa ikapangika ❤❤❤❤❤ one love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🇧🇮🇧🇮🇧🇮
good song brother 20
Nakubali 🔥🔥🔥🇹🇿✍️
Always you are the best to me 20 percent 🔥🔥
Kazi nzuri should kwenda mbele
Respect Mzee parcent.
Since day one im your supporter . Thank you God for giving 20% this kind of song that advices.. your song never get old always pure n new
umerudi kaka
kaka wakunyumba tunajivunia tukiwa miji ya watu tukiulizwa "wapi ulikozaliwa " ivyo hatuoni dhambi kujibu Kimanzichana kijiji na Vitongoji vyake, kong'olo,mkamba, nyamla, manze, matanzi, na mkelezange, ni kwasababu alikozaliwa Teacher famous 20%par
Poa sana