HIZI NDIZO SABABU BAADHI YA WAKRISTO HAWAFANIKIWI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ส.ค. 2024
  • SIKILIZA SOMO HILI HADI MWISHO. FUNGUKA UELEWE

ความคิดเห็น • 127

  • @cecilialucas7655
    @cecilialucas7655 4 ปีที่แล้ว +5

    Mwenyezi Mungu nisaidie niwatunze wazazi wangu kwa kile unachonipatia katika maisha Yangu.

  • @nsajigwakipembe2763
    @nsajigwakipembe2763 2 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe PR Mmbaga kwa somo zuri Mungu Baba akuongezee neema ya mafunuo makuu kama ilivo kwa masomo ufundisyayo

  • @addammkweta93
    @addammkweta93 3 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akubariki pastor mbaga,naamini nitapata badiliko la kweli kutoka kwa mungu kupitia mafundisho haya

  • @anetivicent6176
    @anetivicent6176 4 ปีที่แล้ว +4

    Pastor Yatoshaaaaa,,,,Bwana akuinue juu kuliko dunia ,,,hata mwisho naomba tukutane mbinguni,,,,

  • @angel-y
    @angel-y 4 ปีที่แล้ว +10

    Ahsante kwa somo nzuri Pastor. Nimegundua mahali nilipotea na kuanzia sasa hivi nimeanza marekebisho. Mungu akubariki.

    • @marykayombo9076
      @marykayombo9076 3 ปีที่แล้ว

      AMINA, BARIKIWA

    • @tumainingimba6829
      @tumainingimba6829 ปีที่แล้ว +1

      Yani mbaga ubarikiwe sana kwa mafundusho mazuri unayotufundisha

  • @selfaakinyi512
    @selfaakinyi512 4 ปีที่แล้ว +2

    Amen. Amen kwakeli nimekuswa sana. Eeh mungu nisaidie kufata na kushika kanuni zako, nitaweza yote kwakuwa wewe ndio unae nipa neema. Thanks pastor from qatar

  • @alfrednamai2877
    @alfrednamai2877 ปีที่แล้ว +1

    Amen 🙏 umenigusa asanti kwa kuniamsha nilipokua nime lala

  • @maureenjovial6083
    @maureenjovial6083 4 ปีที่แล้ว +1

    Amen asante sana mchungaji nimepata kuchua mengi na pia kujirekebisha kupitia kwa roho mtakatifu anitiaye nguvu. Ubarikiwe sana na Mungu akuinue kila kujao amina

  • @marymwatsuma6704
    @marymwatsuma6704 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akulinde akutenganishe na wanao panga mipango mibaya juu yako nainuliwa sana namahubir nainuliwa

  • @PeterCharles-yc7tn
    @PeterCharles-yc7tn 26 วันที่ผ่านมา

    Mchungaji nashukuru kwa somo zuri kila ninapokusikia unanipa moyo sana naomba mungu anisaidie nilivyonavyo viwe vyetu

  • @ukweliwaleoministry6560
    @ukweliwaleoministry6560 4 ปีที่แล้ว +2

    Ubarikiwe sana my pastor, neema iwe nawe na uendelee kuwa mhubiri uliye jaa neema, mkeo abarikiwe na watoto wako wabarikiwe, na mimi pia nibarikiwe.

  • @ireneorina3560
    @ireneorina3560 4 ปีที่แล้ว +1

    Nashukuru Sana, nimegundua hivi juzi tu mahubiri yako pastor, kusema ukweli sijafaidika pekee yangu, nasikiza nikiamka na kabla ya kulala kila siku. Ubarikiwe pastor. Naomba siku moja uje kenya kwa makambi yetu Mungu akikutufungulia njia

  • @kabalizasekanabomarko6063
    @kabalizasekanabomarko6063 9 หลายเดือนก่อน

    Amen, weye kabisa ni chema cha Mungu,
    Mungu akupe nguvu zaidi na zaidi.

  • @anetivicent6176
    @anetivicent6176 4 ปีที่แล้ว +1

    Yaaniiii,,,,,pastor wangu hapo kwa wazazi sina swali,,,,hata wapinge Mimi nimekubali,,,,Yesu niokoe katika hili la wazazi,,,,,,

  • @rosemutinda3076
    @rosemutinda3076 4 ปีที่แล้ว +2

    Mahubiri yako Mtumishi wa Mungu hunipendeza kwa kuwa hata hautimii nguvu na jasho kuhubiri lakini yananiingia handi moyoni 🤗🤗🤗

  • @angelamarlow510
    @angelamarlow510 4 ปีที่แล้ว +2

    Amina pastor Ubarikiwe kwa kila jambo ulitendalo utende Sawa na mapenz ya MUNGU

  • @barakajoseph1816
    @barakajoseph1816 4 ปีที่แล้ว +2

    Ubarikiwee sanaa Pr..Mungu azidi kukutumia

  • @user-ns1jw3rl3g
    @user-ns1jw3rl3g ปีที่แล้ว

    I hope we're all blessed by the word of God.we pray God to bless aboundently our pastor

  • @mtallmedia7499
    @mtallmedia7499 ปีที่แล้ว

    Ninahisi badiliko maishani mwangu,,,, Asante mahubir tv. Aki Asante mchungaji. Lets God will be done.

  • @huldakirururu8950
    @huldakirururu8950 4 ปีที่แล้ว +2

    Amina mch barikiwa kwa somo nzuri lenye dozi yakueleweka

  • @cosmasotienoodongo2248
    @cosmasotienoodongo2248 4 ปีที่แล้ว +2

    Praises be to God may this message that comes from God Himself reach many as possible amen pastor ubarikiwe pia

  • @danielselestine4729
    @danielselestine4729 4 ปีที่แล้ว +14

    Ni baraka tele kusikia sauti ya Mungu kwa namna ya mwanadamu ahsante sana mahubiri tv Bwana awe nanyi natumaini ipo siku mimi nitakuwa Mhubiri Mkubwa kwa Neema ya Mungu aliye juu Mbinguni

  • @kingjosse4781
    @kingjosse4781 4 ปีที่แล้ว +1

    Naona MUNGU WA MBINGUNI anavonibariki kupitiaa mafundisho yako pastor Mbaga.. barikiwaa sanaaa🙏

  • @beverlyseko965
    @beverlyseko965 2 ปีที่แล้ว +1

    Mafunzo yako yananibariki sana uzidi kubarikiwa pr

  • @everinekabakilwa7336
    @everinekabakilwa7336 4 ปีที่แล้ว +1

    Amen ubarikiwe na utukufu kwa Mungu wetu kwajina la yesu kristo amen

  • @pendohumphrey7588
    @pendohumphrey7588 4 ปีที่แล้ว +3

    Mahubiri yako yananipa nguvu mpya, asante Mungu kwa kukuchagua kutupa habari njema.

  • @lindaogada8760
    @lindaogada8760 4 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sana paster kwa mafundisho mazuri....🙏🙏🙏

  • @shilungumoshi3732
    @shilungumoshi3732 3 ปีที่แล้ว +1

    Aisee Barikiwa Pastor

  • @janepherpaul6248
    @janepherpaul6248 3 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe mchungaji maana unayonena ni ya kweli

  • @suzanajohn7530
    @suzanajohn7530 ปีที่แล้ว

    Muujiza wa pili kupitia mahubiri tv niliamini Kwa niaba ya rafiki alikaa kwenye ndoa Kwa muda wa miaka7 bila mtoto na Mungu akamtendea pia Kwa niaba ya kaka yangu Bwana akajibu na Kwa mdogo wangu vivyo hivyo lakini muujiza ninaoungojea n kuhusu mume wangu kupata kazi huu umechelewa sana niombee baraka juu ya hili PR

  • @estherlndahi2834
    @estherlndahi2834 4 ปีที่แล้ว +1

    Amen Amen Amen Glory to God

  • @azizaaziza468
    @azizaaziza468 3 ปีที่แล้ว +1

    Umenisaindi sana babangu maisha marefu 🖤🖤🖤🙏🙏

  • @shimwekagwiza3731
    @shimwekagwiza3731 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante Mungu kwa Baraka zako, ubarikiwe pastor maana unatufumbua akili kila kukicha

  • @abednegoaman7861
    @abednegoaman7861 4 ปีที่แล้ว +2

    Thanks Pr Mbagga , God makes you high to the top

  • @emanuelmussa5755
    @emanuelmussa5755 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @everlyneiminza5722
    @everlyneiminza5722 4 ปีที่แล้ว +1

    Mimi hapa nimeanza kuona bundles zangu zikifanya kazi maana niko chuoni naelimika hapa maubiri TV mmbarikiwe Sanaa

  • @wanjirualowa5520
    @wanjirualowa5520 4 ปีที่แล้ว +2

    Amen Amen barikiwa Pastor hakika somo hili ni baraka kubwa sana kutoka Saudi

  • @beatricendikumana315
    @beatricendikumana315 3 ปีที่แล้ว +1

    Yani mahubiri yako mazuri sana 🙏👏👏👏

  • @elizabethmambai2072
    @elizabethmambai2072 3 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante mtumishi

  • @jamesmboga7325
    @jamesmboga7325 4 ปีที่แล้ว +1

    I'm being blessed with your educative sermons which are new every day. May the Lord God bless as you continue serving Him.

  • @t7zkc5tpxgim28
    @t7zkc5tpxgim28 4 ปีที่แล้ว +3

    AMEN, Mungu akubariki sana pastor

  • @jeremielulo8330
    @jeremielulo8330 4 ปีที่แล้ว +1

    mchungaji yule mumbu wambinguni akubari, akupe afia, nakuzidichiye imani, akutumikiche zaidi,...

  • @violetkadenyi8504
    @violetkadenyi8504 4 ปีที่แล้ว +1

    Man of God 🙏 thanks for your teaching & true Gospel.

    • @janetmasasi703
      @janetmasasi703 3 ปีที่แล้ว

      Asante mchungaji kwa neno la uzima.Tunahitaji kuomba toba maana tumefanya kinyume.Mungu akubariki.

  • @yusuph1547
    @yusuph1547 4 ปีที่แล้ว +2

    Mchungaji moyo wangu unaniuma nimepungua sana,Naomba Mungu anisamehe asiniache

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  4 ปีที่แล้ว

      starlike tv tz vidz Mungu ni wa huruma na neema,atakusamehe na kukupa uwezo wa kushinda

    • @yusuph1547
      @yusuph1547 4 ปีที่แล้ว

      @@MahubiriPrMmbaga nashukuru

  • @jeremiahzacharia7655
    @jeremiahzacharia7655 4 ปีที่แล้ว +4

    Sikupata fursa ya kuja shirati ila nilijipa moyo kuwa nitaangali TH-cam asante pastor mbaga. Nabarikiwa.

  • @sirilimichaelpamojasana2033
    @sirilimichaelpamojasana2033 4 ปีที่แล้ว +1

    We jamaaa nakukubalisana ahse mungu akubariki a!

  • @daveondiek9926
    @daveondiek9926 2 ปีที่แล้ว +1

    Thank You Jesus

  • @annaemidi5965
    @annaemidi5965 4 ปีที่แล้ว +1

    Wow napenda sana mahubiri yako mungu akubariki sana

  • @GODisable7573
    @GODisable7573 4 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana kwa neno🙏🏾, barikiwa sana Pastor

  • @SigwaLusaja
    @SigwaLusaja 25 วันที่ผ่านมา

    Nabarikiwa sana

  • @user-os3vo4sm2n
    @user-os3vo4sm2n 9 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe zaidi

  • @enosayuka905
    @enosayuka905 4 ปีที่แล้ว +2

    Amina pastor

  • @marycheupe8613
    @marycheupe8613 4 ปีที่แล้ว +2

    Yani mungu acha aitwe mungu tu. Cz mafundisho makuu mno

  • @gracemuvunyi3475
    @gracemuvunyi3475 4 ปีที่แล้ว +2

    UMENENA SAWA PASTOR. UBARIKIWE SANA

  • @caleboloo489
    @caleboloo489 4 ปีที่แล้ว +1

    Mafundisho mazuri, ila hapo kwa mahari ni kweli waafrika wengi wanauza wasichana wao. Mimi sitawai lipa zaidi ya ng'ombe watatu kama mahari. Ni heri ninyimwe msichana

  • @magdalenajuma6229
    @magdalenajuma6229 3 ปีที่แล้ว +1

    Hahahah nimecheka mtumishi mtu anaemtumikia Mungu analima huku anahasira Yaan Yesu atusaidie Sana ufahamu na maarifa

  • @nipaelmsuya5261
    @nipaelmsuya5261 4 ปีที่แล้ว +1

    Duuuuuuuu........kweli mchungaji ubarikiwe sana ......nimejifunza

  • @elizabethmambai2072
    @elizabethmambai2072 3 ปีที่แล้ว +1

    Niukweli pastor

  • @agneskadzo6105
    @agneskadzo6105 4 ปีที่แล้ว +1

    Hahaha wazungu hawana mahari.... Very true mali yatoka kwa Mungu Baba mbingun

  • @josephineogise4485
    @josephineogise4485 4 ปีที่แล้ว +4

    AAmen wish i can get the English version of it

  • @PhebiElias-rw9ns
    @PhebiElias-rw9ns ปีที่แล้ว +1

    Niombee muchugaji nipate kujua mambo yakiloho nakumtumikia mung

  • @wemamuss
    @wemamuss 4 ปีที่แล้ว +2

    Msaada! Mtumishi anatumia jina gan Instagram

  • @janethdeus2127
    @janethdeus2127 4 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa pastor

  • @estherkabote371
    @estherkabote371 4 ปีที่แล้ว +1

    Unazungunziaje idala ya wanawakike pasta

  • @japhetmkumbwa7914
    @japhetmkumbwa7914 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante Mchungaji mbaga

  • @esaumpulule8887
    @esaumpulule8887 4 ปีที่แล้ว +1

    Amina

  • @halasarockbreaker9087
    @halasarockbreaker9087 4 ปีที่แล้ว +1

    ha!p!ngw! & ha!kat! kona unaeleweka sana mchungaj!

  • @matthewsathanas2267
    @matthewsathanas2267 4 ปีที่แล้ว +1

    Pastor hapo nmepona.

  • @jansidorkas2749
    @jansidorkas2749 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante lakini apana mimi nafatilia sana hii mubiri tivi juu uyu mchungaji uwa ananielimisha sana kwa sasa nina miaka miwili kukiangalia mafundi haya niko saudi arebia ni juzi tu ndio sauti imeanza kupotea but hii ya leo sauti yaja mwisho kama ako karibu na kumaliza maubiri

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 ปีที่แล้ว +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @richardcastromzena5136
    @richardcastromzena5136 ปีที่แล้ว

    44:50 ushuhuda wa kweli walio anguka wengi wa kwao walikua hawakumbuki

  • @felysytersonduso8064
    @felysytersonduso8064 4 ปีที่แล้ว +1

    Aminaaaa

  • @hellenimmaculate5953
    @hellenimmaculate5953 4 ปีที่แล้ว +2

    Somo zuri hili❤❤❤

    • @jonsonsylve7285
      @jonsonsylve7285 4 ปีที่แล้ว

      Mchungaji mahubiri yako mazuri sana unafundisha kabisa kwa kipawa cha roho mtakatifu ubarikiwe pasta

    • @washingtoneodhiambo2022
      @washingtoneodhiambo2022 4 ปีที่แล้ว

      Hapo sawa pastor

  • @ovidiokibuga1086
    @ovidiokibuga1086 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki sana,Ila hapo kwenye mahari hapo huwa naona pana utata kabsa kwa upande wangu huwa hainiingii kichwani. Kwanini wazazi wa pande mbili wasiwazawadie vijana wao wanaoenda kuanza maisha?

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  4 ปีที่แล้ว

      Ovidio Kibuga HILO NI WAZO LAKO,TENA ZURI! KIBIBLIA NA KIMILA ZA AFRICA A MAN IS A PROVIDER,LAZIMA AONESHE USHAHIDI KUWA ANAWEZA KUWA PROVIDER

  • @bobog9732
    @bobog9732 4 ปีที่แล้ว +1

    😁😁😁😃😁 zowezi la mwaka ni kuka kimya nakuwa kiziwi ili tufik tunapokwnda

  • @christinasenga4412
    @christinasenga4412 4 ปีที่แล้ว +1

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @jansidorkas2749
    @jansidorkas2749 4 ปีที่แล้ว +3

    Akuna sauti jamani

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  4 ปีที่แล้ว

      Angalia comments za wenzako ndipo utajua sauti ipo. inawezekana kuna shida kwenye kifaa chako

    • @jeniferjohn6083
      @jeniferjohn6083 4 ปีที่แล้ว +1

      Nikweli

    • @jansidorkas2749
      @jansidorkas2749 4 ปีที่แล้ว

      @@jeniferjohn6083 ata wewe umesikia kama mimi akuna sauti ama

  • @billionairetz256
    @billionairetz256 4 ปีที่แล้ว +2

    👏👏👏👏

  • @mahindiumakinisa4732
    @mahindiumakinisa4732 2 หลายเดือนก่อน

    Hii imepenya

  • @mariamngumbaokiponda552
    @mariamngumbaokiponda552 4 ปีที่แล้ว +1

    Kweli kabisa

  • @adamumjomba82
    @adamumjomba82 4 ปีที่แล้ว +1

    Dr '' Mmbaga mtumishi wa Mungu upo sawa Ktk mafundisho ya Mungu Nina kufuatilia sana kwa njia ya ''Mtandao kupitia simu ya smartphone au tab au laptop vote hi yo vinatumia bando (intranet )sasa Tusipo nunua bando na smartphone tutakupata vipi ? Ubarikiwe mtumishi

  • @kingnyamoma5696
    @kingnyamoma5696 4 ปีที่แล้ว +3

    Najivunia kuwa msabato

    • @gracemsukwa5321
      @gracemsukwa5321 4 ปีที่แล้ว

      Mungu akubariki pr ni kweli Mungu anabariki kazi ya mikono yetu kwani alitwambia tufanye kazi siku sita,na akasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa,hubiri zuri,AMINA

  • @masanjaadam3908
    @masanjaadam3908 4 ปีที่แล้ว +1

    🙏🙏🙏

  • @jansidorkas2749
    @jansidorkas2749 4 ปีที่แล้ว +3

    Mwanzo akuna sauti mwisho ndio sauti yasikia please

  • @ovidiokibuga1086
    @ovidiokibuga1086 4 ปีที่แล้ว +2

    Pr unaongea vitu makini sana

  • @margaretamasa7799
    @margaretamasa7799 ปีที่แล้ว

    nikuli

  • @rihannabellion5636
    @rihannabellion5636 4 ปีที่แล้ว +1

    Ameeeeeen mchungaji mim frida israel tupo insta nakuona kila siku..mim.nimeacha kujinunulia hata sidiria lakin wazaz wangu wawe na nyumba nzur naomba uniombee baraka ili niweze kumaliza....

  • @suzanajohn7530
    @suzanajohn7530 ปีที่แล้ว

    Pr Mimi muujiza wangu wakwanza ni cm yangu kutokuzima hata kama Haina Chaji nikifungua mahubiri tv Bali Chaji hujaa ghafra Hadi 90

  • @clemencelubango1776
    @clemencelubango1776 4 ปีที่แล้ว +1

    Nahitaji muendelezo wa haya masomo kama kuna uwezekanao

    • @clemencelubango1776
      @clemencelubango1776 4 ปีที่แล้ว

      Maana nimeliotea tu kama zari mtandaoni. Nataka nifuatilie hadi mwisho

  • @geofreyakedi7597
    @geofreyakedi7597 ปีที่แล้ว

    Mtu yeyote asiesoma anawesa kuwa mhubiri. pastor plz

  • @sindabahabwoyaanacret660
    @sindabahabwoyaanacret660 4 ปีที่แล้ว +1

    Kwahiyo kipimo cha kumtunza mke ni kutoa Mahali? sio kweli bro embu tujifunze kwa watakatifu walio tutangulia Issac wakati anaenda kuoa alipeleka zawadi kwa binti na sio mahali

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  4 ปีที่แล้ว +1

      sindabaha bwoya anacret Nadhani hujaelewa!! Hapo anaongelea mtazamo wa wa Africa,ila ukija kwa hoja ya Wayahudi ndo utachoka,ngoja nikupe chache!! DAUDI ALILIPA MAHARI 1 Samweli 18:25 Naye Sauli akasema, Mwambieni Daudi hivi, Mfalme hataki mahari yo yote, ila anataka govi mia za Wafilisti, ili ajilipize kisasi adui za mfalme. Basi Sauli alidhani kumwangamiza Daudi kwa mkono wa Wafilisti.
      Biblia ilitambua mahari kama njia ya kuhalalisha ndoa
      Kutoka 22:16 Mtu akimshawishi mwanamwali, aliyeposwa na mume, na kulala naye, lazima atatoa mahari kwa ajili yake ili awe mkewe.
      NIMEKUPA HAYO KWA LEO

    • @trophainamagogwa7966
      @trophainamagogwa7966 4 ปีที่แล้ว

      Mahari ni muhimu maana inafanya ajione yuko na wewe kiuharali

  • @frankphilemon9333
    @frankphilemon9333 4 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante Pr. Nahitaji email yako au ya tv.

  • @miriamcharles9260
    @miriamcharles9260 3 ปีที่แล้ว +1

    Hiyo biblia inauzwa sh. ngapi?

  • @deboraheliakimu4005
    @deboraheliakimu4005 4 ปีที่แล้ว +2

    Amina

  • @edithalyimo6817
    @edithalyimo6817 4 ปีที่แล้ว +1

    Amina

  • @zamdasalumu9740
    @zamdasalumu9740 4 ปีที่แล้ว +2

    Amina

    • @malyamasanja9080
      @malyamasanja9080 4 ปีที่แล้ว +2

      Nakuelewa pr Mbaga

    • @brunokamuzora9563
      @brunokamuzora9563 4 ปีที่แล้ว +2

      @@malyamasanja9080 barikiwa mtumishi wa Mungu

    • @hamisamohamed3559
      @hamisamohamed3559 4 ปีที่แล้ว +1

      Nabarikiwa sana na mafundisho yako MUNGU akubariki sana

    • @alfrednamai2877
      @alfrednamai2877 ปีที่แล้ว

      Asanate sana pasta ni namai kutoka Kenya nauliza habari za kubarikiwa na wazazi kwa kazi yako na je kama hauna wazazi ufanyeje?