Eh!!! This man of God is addictive!!! I have to listen to his preachings every day!!!! En i dont regret!!! I should start praying for Him Mungu aendelee kumpa neno la kutulisha!!!!♥♥♥
asante mchungaji kwa somo zuri sana , mimi sio msabato lakini nafwatilia sana mafundisho yako leo yamenitoa kwenye mzigo mkubwa sana ambao umenisumbua kwa muda mrefu sana MUNGU wa mbinguni akuinue zaidi
Bwana Yesu nami naungana na Mtumishi wako huyu Mbaga, kwa Neno uliloliweka ndani yake, namuombea Afya ya Roho na mwili, mtunze mkirimu na umpe tele Neema yako, asimame katika kweli yote, muondolee dhambi ya kujikinai ili adumu katika kweli, siku zote. Ninaponywa na kuimarishwa kila siku ninapomsikiliza kupitia channel hii ya Mahubiri TV. Asante kwa somo hili, nami Bwana ninavua viatu vyangu na niko tayari Bwana kukusikiliza, nisaidie Bwana, nifanye nini katika kuujenga mwili wa Kristo
Aminiamini nawaambia mtu yoyote akitaka kunifuata na ajikanye mwenyewe,nitakufuata daima e Mungu wangu niongoze niufukie uflume wako,Mchungaji unatubari kwa mahubiri yako
yaan hata kama nikiwa namawazo mengi ila pindi nisikilizapo mahubiri yako mm napona nasonga mbele na naamini huu mwaka lazm nitavuka mahali nilipo kwama kwa mda mrefu mm na familia yangu
Bwana asifiwe...........Asanteni sana muhubiri TV kwa kutuletea NENO hili zuri linalo hubiriwa na mchungaji Mmbaga,,, niko Kenya na ningeomba kuzungumza na mchungaji,, je nifanyeje ili niweze kuongea na mchungaji?
Eh!!! This man of God is addictive!!! I have to listen to his preachings every day!!!! En i dont regret!!! I should start praying for Him Mungu aendelee kumpa neno la kutulisha!!!!♥♥♥
Amen
I agree with you. Idea of praying for him seconded
Barikiwa sana mtumishi uko vizur
Nabarikiwa sana namafundisho yako mch Mmbaga Mungu akutie nguvu
Napenda na ninafuatilia mafundisho yako pastor. Mungu aendelee kukulinda na kukujaza Roho Mtakatifu ili uendelee kutuelimisha elimu ya kiroho
Ahimidiwe Mungu wa miungu kwa ujumbe huu madhubuti. Katika jina lake Yesu Kristo, amina.
Opuoyo Odhis Amen
Assnte Mungu kwa ufunuo huu. Ni kweli ni kwa neema tu ya Yesu. Pastor kweli viatu tumeshindwa kuvivua. Mungu atusaidie. Ubarikiwe Pastor
Mbinu zote zimenishindikana nimejaribu ila bado. Eeh yesu naikabidhi kwako kuanzia leo
Navua viatu kama musa na yeshua. Amen from Qatar.
Amen and amen,hakika unanibariki neno hili limenipa faraja na funzo kwa changamoto ninazopitia,niombee mungu anisaidie kumwelewa
Amina na Amina, Mungu akubariki, ila maombi yako kwakweli nazidi kukumbea sana sana na familia yako. Amina
asante mchungaji kwa somo zuri sana , mimi sio msabato lakini nafwatilia sana mafundisho yako leo yamenitoa kwenye mzigo mkubwa sana ambao umenisumbua kwa muda mrefu sana MUNGU wa mbinguni akuinue zaidi
Amen
I love the way God has used you pastor, may God's blessing be with you always, hope to meet at jesus's feet.
Amen Amen pastor mungu akubariki ansante kwakuniondolea. Kujitwika mizingo mwenye we.
let us give God a chance when we are empty, will fill us, change us and give direction.Thanks for a promising sermon .May the Lord bless you.
Mungu akubariki sana pastor, Akutangulie sana. Naamini watu wengi watabarikiwa sana kupitia masomo na mahubiri haya.
Bwana Yesu nami naungana na Mtumishi wako huyu Mbaga, kwa Neno uliloliweka ndani yake, namuombea Afya ya Roho na mwili, mtunze mkirimu na umpe tele Neema yako, asimame katika kweli yote, muondolee dhambi ya kujikinai ili adumu katika kweli, siku zote.
Ninaponywa na kuimarishwa kila siku ninapomsikiliza kupitia channel hii ya Mahubiri TV. Asante kwa somo hili, nami Bwana ninavua viatu vyangu na niko tayari Bwana kukusikiliza, nisaidie Bwana, nifanye nini katika kuujenga mwili wa Kristo
Ubarikiwe kunitia moyo mtumishi wa mungu Kwa hakika ulitumwa kutuokoa sisi ili tuwe na imani Kwa yesu
I am blessed all the time I listen to your presentation. God is using you in a powerful way.
Amina mtumishi unanisaidia sana Mungu akuzidishie
Heri tumbo lililokuzaa na ziwa ulilo nyonya,,, mahubiri na mafundisho yako hakika yamebadili maisha yangu ya kiroho,, Barikiwa
Mungu atukuzwe sana
Heri wale walisikialo neno la Mungu na kutenda Yesu alisema
Muchungaji una maneno ya makali ya kumuchomo shatani ndani ya maisha yetu. Ubarikiwa muchungaji
Wewe ndo mwalim wangu hakika yesu anakutumia vema ubarikiwe
Asante sana mutumishi wa Mungu umenigusa sana kwa maisha yangu balikiwa sana nakutasama kutoka Saudi Arabia ❤❤❤❤🎉
Asante baba nasikia amani moyoni mwangu kusikiliza mafundisho yako.Mungu azidi kukubariki baba tunapona
Amen,Mungu ni Mkuu
Amen barikiwa sana mchungaji nimebarikiwa sana na hili neno
Amen!Mungu akubariki mch.David Mmbaga na familia yako.
Mahubiri imenigusa sana sana God bless you Pastor
nimejifunza mengi ubarikiwe Pr
AMINA🙏.nimecheka,nikabarikiwa na nitaishia kisema asante sana kwa mahubiri yako mchungaji mmbaga;.mungu akubariki sana🙏
namshukuru Mungu aliye juu toka nimekufaham nimekuwa najifunza mapya kila siku
Mungu akubariki ww na familia yako aifunulie neno kla wakati baraka zishuke juu yako na familia yako
Amen ubarikiwe sana PR mmbanga kwa mafuso masuri sana 🙏🙏🙌
Aminiamini nawaambia mtu yoyote akitaka kunifuata na ajikanye mwenyewe,nitakufuata daima e Mungu wangu niongoze niufukie uflume wako,Mchungaji unatubari kwa mahubiri yako
Hallelujah!
I love the sermon
Asante sana Pastor 🙏
Ameeen Barikiwa mtumishi wa Mungu
Congratulations Man of God
Kabisaa mungu akusaidie umeongea kweli mkundi yameuwankanisaa
Haki mtumishi mungu akulinde sikuzote cz ni kweli kabsa kama tutakua tunauliza kila kuchao tufanye nini wengi tungekua mbali sana
Mary Cheupe Amen
@@habaritv6364 thanks
Tuliambiwa tutawatambua kwa matendo hakika wewe ni mtumishi wa Mungu umenifunza vingi sana wewe ndio unatumia 90% ya bundle langu
Amina sana ubarikiwe
Mimi sio msabato lakini tangu nimekufahamu haiwezi kupita siku bila kusikiliza Mungu anataka kunifundisha kitu gani kupitia wewe
Amen...
Amen
Mungu Wangu niurumie Mimi mwenye kiso baba
Pr.Mungu akubariki kwa mafundisho yenye kuleta hisia za kutuinua kiroho tunaoelemewa na matatizo .
Amen 🙏🙏
Balikiwa
yaan hata kama nikiwa namawazo mengi ila pindi nisikilizapo mahubiri yako mm napona nasonga mbele na naamini huu mwaka lazm nitavuka mahali nilipo kwama kwa mda mrefu mm na familia yangu
Jane Joseph Mungu ni mwema sana
Amen
Kweli unanibariki kwa maombi yako yananifariji nnapokuwa na matatizo bwana akubariki uzidi kudumu katika neno hakika bwana ni mwema tumshangilie daima
Amina, Amina,Amina.
Nimebarikiwa ajabu
Barikiwa sana pastor mmbaga, mengi kwenye biblia nimeyajua kupitia wewe
barikiwa sana pr kwa ujumbe huu
ASANTE nimefurahi na nimepona na kupokea maarifa
yani we pasta umebarikiwa zaidi na zaidi kwenye ufundishaji wa neno la MUNGU
Ahsante mungu kwamahubiri haya. Yamenijenga
AMINAA!!
Bwana asifiwe...........Asanteni sana muhubiri TV kwa kutuletea NENO hili zuri linalo hubiriwa na mchungaji Mmbaga,,, niko Kenya na ningeomba kuzungumza na mchungaji,, je nifanyeje ili niweze kuongea na mchungaji?
Amen Amen
Nimebarikiwa sana
Napenda sana kutazama mahubir yako
Mchungaji unazidi kunielimishaaa sana mungu akuongozeeee
NIONGOZE EE YESU
Ee MUNGU endelea kumtunza huyu pastor maana amenijenga mm kukujua ww
amina
Jane Joseph Ameeeeen
Amina
Pastor kwakwel leo ndo Yesu kajifunua kwangu
Amen
Amen and Amen 🙏🏾 Mungu akubariki mchungaji. Mrungu ni wedi🙏🏾
Unasema kweri Muke akasilika chochotte hakiendeki
Naomba kuwasilia tafazari
TV
Pray for me nipone
Naomba link ya group lenu la telegram
Kuvua viatu ni utakatifu tu usipindishe kabisa
Sio viatu vya miguuni ndugu kuwa makini
@@tonnsimbasportsclub7168 unamaanisha roho inavaa viatu tafsri aliotoa ni ya uwongo tu basi
@@wazainakigomaboy2724 elewa hivo unavoelewa
WAZAINA tv maana halisi io ni ipi
WAZAINA tv maana halisi io ni ipi
Amen
Nimebarikiwa sana
Amen
Mimi sio msabato lakini tangu nimekufahamu haiwezi kupita siku bila kusikiliza Mungu anataka kunifundisha kitu gani kupitia wewe
Mungu akutie nguvu uendelee kujifunza na kumfahamu yeye.