Jaman tusikae tunaomba like nilikuwa naombi mnaonaje sisi washabiki wa chado master tuunge group au chado aunge group ili akiwa ana post tunaipata chapu ni wazo tu au nyie mnasemaje ❤
chado master mwanangu naifatilia sana hii kazi sema Kuna vitu siku izi vime punguza mkali wangu kwaliti imepungua sijajua shida nn lakini Kuna mwamba mmoja namkosa Kila nikiangalia hii kazi nikiangalia akili za yule mwamba na akili zako Kuna kitu nakitengeneza supati picha namzungumzia BAGA MTEMA aise itakua atali mzee
Mm kero yangu ni wanaoba leki wanufaik na nn anaye stahili kuoba laki ni chado na group lake so ss wadau kinachotakia nikuagalia makos ya move na kuwaelez ili warekebishe jamaan team chado tupooo
Kaka chado napenda kazi Yako Kuna kitu nimekiona hapo hakija kaa sawa hapo ngwengwe alipo kamatwa na mama yake maiki ime onekana kaka Mimi shabiki Yako wakweli nafuatilia kila kitu
Anaesoma comment hii mwenyezi mungu amtimizie hitaji la moyo wake
Amninaaa
Aminaaa🙏
Amiin
Amina
Amiiiin
Movie tamu hii jamani,nawapenda buree chado n group yko ❤❤ mungu awazdshie kipaji chenu inshaAllah
Naipenda sana hii movie mungu hawaongoze inshaa Allah am from kenya
Najma kaliwa dah roho imeniuma sana😂
Mhh mpaka nywele zimefumuka jaman chado balaa😅😅😅
Jaman tusikae tunaomba like nilikuwa naombi mnaonaje sisi washabiki wa chado master tuunge group au chado aunge group ili akiwa ana post tunaipata chapu ni wazo tu au nyie mnasemaje ❤
Kabisa yan
Nakuunga mkono kama vile house girl
Kweli kak
Itakua vzr
Chado atengeneza group atuunge
Unyama unyamani,,,big up Chado Film🎉🎉Much love from Kenya💜💜💜💜
Hii movies imeifanya sijalala usiku mzima yani siyo poa movies tamu hatari 🎉😊❤❤❤❤
Cheusi ame'improve dogo ngwengwe ameimprove na kwa umri wa ngwengwe namuona mbali sana kazi iendelee
Chado jaman leo umetubania dakika zetu...😭😭😭😭 Ila sio mbaya ombi letu ni lile lile la episode mbili kwa siku jamani tafadhali chadoo.....🙏🙏🙏
Nakubali sana master chado
By Leonard silungwe from sumbawanga kijiji cha tunko
Wangapi wamelikubali Penzi la muhuni
Episode ya leo kila kitu l like kwanza leo Najma hajazimia 😂😂😂😂
Oya Kaka chado hiy Ngoma umetisha music 🎵🎶 Unaweza Bro
Duh😊😊😊 movie za chado ni kukimbizana tyu kama kuchikuchi hotae Hadi raha❤❤❤❤❤❤
Naipend san hii movie kwakwl ❤
Nampenda sana uyu mtoto ngwengwe❤❤🎉
Alafu kadhuri
Juntos somos fortes 💪🔥 From Mozambique 🇲🇿❤💞
Hahahahahahaha chado ni noma hadi nywele zimefumuka 😂😂😂
Chezea show ya muhuni ww😅😅😅
@@Ubahalpha😹😹
Banaee mpaka nywele daa
Chado ujui nyele zimefungukaje kweli😅😅😅😅
Izo ni atua tu za ukuajiii😅😅
Jamani chado umempasua mtot wa watu.❤😢
Ak chado masta unaweza kabisa Alf episode 26 tunaingojea baya ....... isikawiye saaana ak mm Kim from kitui county ukabani
Naipenda hii muvi mpaka basi kutoka congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Sema Cheusi nimpe maua yake anatisha sana.😂😂😂
Tenaaaa 😂😂😂 iyo ndo l like mimi 😂😂❤
Ninashida na ilo song chado ambalo una froo nimelielewa sanah ase
❤❤❤
Wow I love this 😂😂😂
Mim najim anawez na Chad wanaendn❤❤❤ wananifurahish
Chado mi namtaka mtoe selo mwanang Baga mtemi by Eddy sam. Naqbal San mnafany pouw zaid ya pouw
Sasa huyu cheusi sikajileta mwenyewe kwa daddy 🤔🤔🤔 et nilwafungia mim kwandan ukipigwa misumar utalaum nan 🤣🤣🤣
Mwanangu cheus😅😅😅😅
Miyeyusho sana
Sema namkubali sana
Ila kinafurahisha😂
@@MwanswidaSwida nouma sana
Better late than never 🇶🇦🇰🇪🇶🇦🇰🇪🇶🇦🇰🇪🇶🇦🇰🇪🇶🇦🇰🇪km kawa following from Doha Qatar
Afu chado bana eti sijui nywele zimefumuka vipi kwani hujui au😂😂
Ngwengwe mkojo umekupana ee😂😂hiyo akili duni wewe anyways congratulations 👏 bwana chado Na company yako
chado master mwanangu naifatilia sana hii kazi sema Kuna vitu siku izi vime punguza mkali wangu kwaliti imepungua sijajua shida nn lakini Kuna mwamba mmoja namkosa Kila nikiangalia hii kazi nikiangalia akili za yule mwamba na akili zako Kuna kitu nakitengeneza supati picha namzungumzia BAGA MTEMA aise itakua atali mzee
Mama ngwengwe nakupenda bure😂😂😂😂 TWENDe
Mm kero yangu ni wanaoba leki wanufaik na nn anaye stahili kuoba laki ni chado na group lake so ss wadau kinachotakia nikuagalia makos ya move na kuwaelez ili warekebishe jamaan team chado tupooo
Umbea WA mwanaume hata hafai Kwakweli cku zote ulikuwa wapi kusema ATA haya huna utaoewa dela uzunguke nalo kutangaza umbea 😂😂😂
Leo mm wa nne naomb like zang jmn
Ila chado master i like tu leo
Mwenyezi mungu tafadhari anaesoma SMS hii Kesho afe maana amesema amechoka kuishi
Chado❤😂😂😂❤
Huu mchezo nimejikuta naukubali kinoma big up broo chado❤❤
Kaka chado napenda kazi Yako Kuna kitu nimekiona hapo hakija kaa sawa hapo ngwengwe alipo kamatwa na mama yake maiki ime onekana kaka Mimi shabiki Yako wakweli nafuatilia kila kitu
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai iko sawa chado💀😂
Anifaa nakupenda san ww na mwanae 😂😂😂😂
Preshaa kupanda kushukaaa weeeeeeeeeh chadoooo😢😢😢🎉🎉❤❤❤
Sijapenda chado kumfanyia najma hvyo 😢 kaka daddy wapitia yote wafanya juu ya kumuelekeza dadako 😢 afande n mke ngwengwe hamumuezi ngwengwe 😂😂😂😂😂😂😂kanifurahisha 😂😂
Kwani Askari hawezi kutembea yeye mda wote anakimbia tyu 😂😂😂
Chado kazi nzuri sana ❤️❤️❤️ nakukubali Master 🎉
Mtoto anasweti sio poa 😂😂😂😂
Jaman ata Mii nimewah nipen like zangu
Nami piya sijacelewa 😊
Hongera kwa kazi nzuri Chado Master!! Ila hiyo sound Track ya mapenzi" aniue basi aniue". Naiomba nikiipata nishafurahi sana.
Hjb wazo zuri kw mm lakini kunga hilo grp chado nakubali www mungu akuzidishie
Kwahy najma leo kaliwa mzigo😅
Hahaha😂😂😂😂 nakubali mzee wa misumari 😂😂😂😂
mwanangu cheusi nakubali kazi ❤❤
Chado hyo ngoma itoe bonge la nyimbo kaka
Mambo yanazidi kua motoo hongera boss chado🎉
WA kwanza Leo from Mozambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Pole Sana kidem jau ndo hatua za ukuaji😂😂❤❤😂😂
Kutoka Kenya 🇰🇪 man chando
Jamani chado next ❤❤❤❤❤😅😅😅😅😅ndo kasha maliza kazi
Hhhhhhhh😅😅 et uyo askari dogo moto nakubali ngwengwe hakuna kukamatwa kizembe
Naipenda sana hii movie Kali sana
Natamani movie hii isifike.mwisho jaman naipenda sana❤❤
Jamani mm napenda tuu chado akisema tenaaaa❤
Ananifrahisha mama ngwengwe😅😅😅 anavituko sana
Naipenda sana hii muv imeniingia kichwan
Chado mbona hutoi hio nyimba ❤❤ big up sana from 🇧🇮🇧🇮
Chado achia iyo ngoma bhan sio poa 🙌🙌🔥🔥🔥
Chado mzuri jamani nami nime wai from congo
Mi mwenzenu naipenda hii❤❤❤❤❤🎉 wote nawapenda humu
Jmn chado mkali Yani mpka nywele zafumuka 😂😂😂😂😂❤
😂😂😂😂😂😂
Chad mbon mda sana hujalekebesha huluma sio malez unamlea kama yai kuna washamba wanamkaanga
Damn! But Chado Is An Amazing Rapper.💪🏽🇰🇪
😂😂 Aaaah yaani Chado kafanya kweli jamani
Jmnn mbn Mimi cion mwendelezo au nd mwisho episode ya 27?
Jamani me leo nataka niishie hapa wote 👋 👋
Brother chado umeua kinomaa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Jaman mama ngwe ngwe nakupnda kwa mazungumzo Yako 😂😂😂😂
Aman mm nina swali chado kamtoa had nyele kufumuka aiseeee😅😅😅
Kidemu jau kimemramba 😂😂😂😂uyo ndiyo msela bhana
Bwana chado nini mbaya umeshindwa kabisa, umeshindwa kabisa kuvulia kwa kidem jaw..
Chenga jamani kwa kukimbia😂😂😂😂Khanifa afande kikofia atakuoa😂😂😂
Ngwengweee jamani anajuwaa😂😂😂❤❤❤🎉🎉
Mapema leo😊😊😊ila saiv siwez ku comment niatakuja ku comment nikimaliza kuangalia 😅😅😅
iiii movie mpaka final niimalize❤❤❤❤ sema chado ile ngoma yako inaitwa je
Ila cheusi umbea utakuponza Mbwa wewe Sema Ngwengwe nae kwa kutoroka hodari much love from 🇰🇪
Sijapenda huyo polisi anavyokimbia kimbia hahaaa au ndio kazi ya ilivyo
❤❤❤ chando nawasanii wote walio shiriki msalimie ngwengwe😂😂😂😂❤❤
Sema mwanang cheus unezingua sana sjapenda😢😂
naipenda sana hii movie ❤❤😊
oya chado e yashanikutaga mbona nilishangaa naambiw nachukiwa bila sababu kk
Duuh 😂😂😂😂😂wangapi wameshuhudia afande Jenga akideleza
Umu ndan nyote mumefit vzl kinomaaaa
🇰🇪 Kenyans we love this❤
Tusimamie vipaji huyu ngwengwe namuona kabsa kawa baga au nagwa wa baadae 😂
Ngadaya sikupngi ninja💪💪💪