Cha kwanza sijui niseme unisamehe au vipi maan sikujua kabisa kuwa hii movie ni nzur kiasi hiki tena ina mafunzo makubwaaa sana ila nimesema unisameh maan nilikuwa naidharau sana na kuipita. Ila nimekubali kazi mzuri sana unajua mpaka unajua tena. Siku zote mimi ni shabiki yako ila leo nimekuwa shabiki yako rasmi 🎉🎉🎉🎉
@@OfficialDubu_tzkak Naomba Namba zako Kuna Ishu Nataka Tuongee Mana mimi Ni msanii Kwasasaiv Nashut Kwenye Acount ya Zizzo punch SNAKE GIRL Sasaiv Stumii Acount yangu Lakini Acount yangu Ndo hii SAM BIGMondy
@@OfficialDubu_tz oyaaa kaka nilikua nauliza vep Kuna maandalizi gani ya movie mpya tume m.mc nyni ngwengwe dadeq 😂😂🖐️ na kazee kafupi e mdomo komaaa @dubu tafuta kikali kaka mkubwa
Jamaanii mkiwa mnaigiza msiwakose awa madogo maana wana chekesha sana ndo wanafanya movie. Iwe super hatalimno alafu kumbe hajira nawe jupo kwenye movie nilizani unaigiza nasteven + Ndarotuuu. Okey no problem God Bless You All
Film zuri sana I am giving you 99.09% But huyo mtoto asingejiuwa angelikuwa muwazi nakuomba radhi lakini huwenda kuna mafunzo fulani ambayo mulitaka kutufundisha na je! Film hii ina mafunzo gani ?
Mim hata sija itazama acha nseme tu hivi Dubu huaga Hana kazi mbovu jaman, maana natoka kutazama Maiti yangu Movie Nzuri sn tena sn,acha sasa ni tazame REVENGE.
Naomba usije ukawa kama diamond...chapa kazi yako vizuri baba..maana wapendwa na wengi
Wueh napenda sana hii filamu,kila wkt lzma niiangalie, mungu awabariki sana, nawapenda bure❤❤❤❤❤❤❤
❤️
Nimeishi nikicheka mwisho mumeniliza asanten sana wapenz❤leo ndio nimeangalia kwaumakin
🙏❤️
Filamu Safi sana hongereni na wapenda nyote ❤❤❤❤❤❤❤
Tunashukuru sana
Hongera sana kaka dubu mungu azidi kukupa nguvu kwenye kazi yako nakupenda sana ❤❤
🙏❤️❤️
😂😂😂😂😂😂mwachekesha Nyan ngwengwe na mtumishi moto
nimeinjoy sana kiukwli mungu awabriki sana kwa kazi nzuri
🙏🙏
Safi saana Yani ivi njo naelewa kazi nzuri kweli mnatisha ❤
🥰
Dubu muna fanya vizuri kabisa ❤❤
🙏❤️
Oya mi nakukubali sana nko msumbiji🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Kwa kweli filam nzuri sana hadi inatoa machozi ya furaha ❤
❤️
Nimeielewa kiukweli hiimuvi nikali kinoma
Sio kali tuu ni noma
Ongera sana@@OfficialDubu_tz
❤❤❤ safi bro🎉🎉
Huyu dubu me nampenda sana tangia nimtazame kw maiti yangu na chifu good job my dear dubu
Hii kitu ilikua taaam sana jama, hongereni sanaaa wahusika🤞👏👏👏❤❤
Shukrani sana
😂😂😂ak hii Khali Kwa kweli inachekesha kinoma
Cha kwanza sijui niseme unisamehe au vipi maan sikujua kabisa kuwa hii movie ni nzur kiasi hiki tena ina mafunzo makubwaaa sana ila nimesema unisameh maan nilikuwa naidharau sana na kuipita. Ila nimekubali kazi mzuri sana unajua mpaka unajua tena. Siku zote mimi ni shabiki yako ila leo nimekuwa shabiki yako rasmi 🎉🎉🎉🎉
🙏🙏🙏🙏
Filam nzuri sana yenye funzo kubwa
🙏🙏
Kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉
Hongereni ❤🎉😢😮😅😊😂😂😂😂
Kazi safi ❤❤❤salute mumeweza sana.
🙏🙏
Unakataa mimba na ulikuwa unaenjoy😂
halafu ww udugu😅😅
Flamu nzuri sana bro dubu endelea na kazi yako pongezi sana kwa wana daresalam mimi natoka kenya 🇰🇪
🙏
Movie nzuri dubu ,dube ,diba.wmecheza vzr pmoja na mamayao hongereni
❤️
Mzee anaroho mbaya sana
Huyu Diba and Diba huwa yuko vizuri kwenye kazi yake❤
❤️
Nikweli ni Suri sana maana inamafudisho mazuri😅😅😅😅🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mmmmmmh mmenifurahisha ila spendi mtu yeyote jamani mko poa ilie kinoma apo kibonge mwezangu unafanya vitu so poa hatare
Nawafatiliaa❤❤❤❤
Ongelen mko vizur big up🎉❤😂
😂😂😂😂😂 ety Humu tuu
Pamoja sana tz apa
🙏🙏
Ongelen mko vizur big up
Team diba kz nzr San aky hii nimeipenda ❤❤❤❤
🍎
Ao watoto wameuwa ❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂watoto mwachekeshasana
Hiyo safi san nimeinjoi
❤️
Nice 👍
Waaaa..dubu i love your content
Keep it up bro
🙏🥰
watching from 🇺🇲🇺🇲 keep pushing 🔥
🙏🥰
Kuna watu wananifurahisha humu ni NYANI NGWENGWE NA KIBONGE 😂😂😂😂 dah mbavu zangu
🙏
Naipenda Sana guys please like me
Good job
🙏🙏
Awesome brother.... apo kwa kutokezea watatu❤❤ salute🫡🫡
🙏❤️
It was lit🔥🔥🎉 keep it burning bro🔥🔥💪💪letea sisi ingine waiting 🤲❤️
Soon Inshaallah 🙏
@@OfficialDubu_tzkak Naomba Namba zako Kuna Ishu Nataka Tuongee Mana mimi Ni msanii Kwasasaiv Nashut Kwenye Acount ya Zizzo punch SNAKE GIRL Sasaiv Stumii Acount yangu Lakini Acount yangu Ndo hii SAM BIGMondy
Jamani move tamu sana mm nilikua sio mpenzi na hizi move ongera sana
🙏❤️
Ila bonge😂😂😂😂😂😂
Oya mi nakukubali sana nko msumbiji
Shukrani sana
Good job keep going❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
keep it up mumeweza sanaa
Shukrani sana 🙏
@@OfficialDubu_tz oyaaa kaka nilikua nauliza vep Kuna maandalizi gani ya movie mpya tume m.mc nyni ngwengwe dadeq 😂😂🖐️ na kazee kafupi e mdomo komaaa @dubu tafuta kikali kaka mkubwa
Jamanii nimependezwa sana na hao mapacha 3❤🤓
❤️
Nakubali
Nimependa sana
Alafu wewe 😂😂😂😂
Kazi nzuri pokeen maua yenu🎉🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
🙏🙏🙏
Kazi sana hii
🙏🙏🙏
Tumezoe uchawi bana❤❤❤❤
Hawa madgo wawili waokota makopo nmewaelewa sana,wanatembea na biti vzr sana
🙏🙏
Nime wakubali sana
Wako vizuri sanaa❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
KAZI nzuri naikubali ❤❤
🙏🥰
Kazi safi👏👏👏👏
🙏🙏
Ni chukueni hizi ndo napenda kuacrt movie nifunze kuiingiza
Nikishaitazama nitarejea Hapa na comments zangu, acha ni download kwanza
Hii ni damu ama tomato paste,,, otherwise keep it up bro
Wonderful 😅😅😅
Wanatisha sana njamaa
❤️
Oyaa dubu namba nyingine kiukweli dubu n mwamba
🙏🙏🙏
Aisee nyani ngwengwe yupo vizur binafs mm na Familia yangu tuna enjoy uhusika wake unafurahisha
❤️
Daaah jaman mbona kama iyo movie Ina endelea aiwezi kuishia apoo bhanaaa me Cja pendaaaaa❤😂😂❤
❤️
Ivii location ni morogoroo au???
Jamaanii mkiwa mnaigiza msiwakose awa madogo maana wana chekesha sana ndo wanafanya movie. Iwe super hatalimno alafu kumbe hajira nawe jupo kwenye movie nilizani unaigiza nasteven + Ndarotuuu. Okey no problem God Bless You All
Film zuri sana I am giving you 99.09% But huyo mtoto asingejiuwa angelikuwa muwazi nakuomba radhi lakini huwenda kuna mafunzo fulani ambayo mulitaka kutufundisha na je! Film hii ina mafunzo gani ?
Mim hata sija itazama acha nseme tu hivi Dubu huaga Hana kazi mbovu jaman, maana natoka kutazama Maiti yangu Movie Nzuri sn tena sn,acha sasa ni tazame REVENGE.
❤️
Good job dubu
🙏🙏
Iyo kali movie 🇯🇲 🇯🇲 🇯🇲
🙏🙏
Ongera sana kazi yako nzuri❤❤❤
Asanteni madogo
🙏🙏
Hii movie n kali❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥
🙏🥰🥰
Interested🎉🎉🎉
Ipo vizuri sana
🙏
Nimekaa njee
Filamu tamu sana nimeipenda👍👍👍😅
🙏
Next plz
Kwani dubu n mapacha watatu ama
@@user-sx2uj4xi2s 🤣hapana
@@OfficialDubu_tz 🤣🤣🤣sawa
Kuna dogo anaweka mdomo wa clam vevo
Hahahah
Mafundisho mazuri
Alafu wewe😂😂 upload nyingine
Ipo🤝
❤❤❤❤
🙏❤️
Duhh
😢😢😢😢😢
😅😢🎉❤😂
😅😅
Saw
Nzuri wakuuuth-cam.com/video/pxZAXq2V0mM/w-d-xo.htmlsi=qLVQm-SzYMHadDmh