ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Shishi kujieleza huwezi shoga angu😀
Utajiri na mwili mkubwa haviendani shishi, tajiri ili uinjoy utajir wako lazima uwe na mwili wenye afya au bado hujajua kama ww ni rich ❤
Aisee huyu ni hoples kweli mtungi wakilo 30 nakitu umalize kwa siku moja daaah 😂😂😂
Shishi hajui kujieleza wala kutangaza biashara kabisa.
ORYX walitakuwa wamuandae nini aongee juu ya gas yao.
@@nurungalisoni26Hapo wamejitahidi kumuandaa ila sasa kisomo hamna. Kuna ukomo wa uwezo
Shishi umepentesaa mno 👌😄🔥🔥🔥
Sasa unaelezea kitu hutaki kutaja bei hiyo ni akili ya hovyo zaidi
Dada shishi nakupenda sana mpambanaji,,ila tumbo rimekuwa kama kichugu nn shida jitaid kufanya mazoezi rimekuaribu shooo?
Unapo fanya advertising jaribu wakuexplenie bei kuliko unavo aibika kitu una kuitumia hujui bei yake 😅 halafu uongo wazi kabisa hata kama una pika aje huwezi kummaliza mtungi mzima na ni saizi kubwa 😢 badala kusifia ameiponda umeisifia kiuongo 😂
Shishi kakwepa swali la ndoa yake 😂😂
Umefanya poa, wakuandikie vya kusema bidhaa si zao bwana,
Shishi kichwa maji.. Interview imekuaibisha sanaaa bora ungevunga
Shilole hawezi tangaza biashara. Ameharibu
😅😅
Shilole hawezi kuelezea moto wa blue😅
Unajifukuzishia wateja kwa utanutani wa hovyo
Understand shilole😅😅😅
Kaka vido ananenepa Sana jaman
Waanzishe tuu mpk gas ya kupima mpk kilo moja kama India. gas kilo moja inatumika siku 4 Kwa matumizi ya familia.
Ata Zimbabwe
Watu wapewe herimu na matumizi ya gesi kwani watu wataungua wengi na kupoteza maisha herimu itorewe gesi ni fasta lkn herimu muimu
Ww pia unatakiwa upate elimu kwa sababu hujui kuandika
Saba saba
Kamkataa wapu tena jmn?? Dah
Shishi kujieleza huwezi shoga angu😀
Utajiri na mwili mkubwa haviendani shishi, tajiri ili uinjoy utajir wako lazima uwe na mwili wenye afya au bado hujajua kama ww ni rich ❤
Aisee huyu ni hoples kweli mtungi wakilo 30 nakitu umalize kwa siku moja daaah 😂😂😂
Shishi hajui kujieleza wala kutangaza biashara kabisa.
ORYX walitakuwa wamuandae nini aongee juu ya gas yao.
@@nurungalisoni26Hapo wamejitahidi kumuandaa ila sasa kisomo hamna. Kuna ukomo wa uwezo
Shishi umepentesaa mno 👌😄🔥🔥🔥
Sasa unaelezea kitu hutaki kutaja bei hiyo ni akili ya hovyo zaidi
Dada shishi nakupenda sana mpambanaji,,ila tumbo rimekuwa kama kichugu nn shida jitaid kufanya mazoezi rimekuaribu shooo?
Unapo fanya advertising jaribu wakuexplenie bei kuliko unavo aibika kitu una kuitumia hujui bei yake 😅 halafu uongo wazi kabisa hata kama una pika aje huwezi kummaliza mtungi mzima na ni saizi kubwa 😢 badala kusifia ameiponda umeisifia kiuongo 😂
Shishi kakwepa swali la ndoa yake 😂😂
Umefanya poa, wakuandikie vya kusema bidhaa si zao bwana,
Shishi kichwa maji.. Interview imekuaibisha sanaaa bora ungevunga
Shilole hawezi tangaza biashara. Ameharibu
😅😅
Shilole hawezi kuelezea moto wa blue😅
Unajifukuzishia wateja kwa utanutani wa hovyo
Understand shilole😅😅😅
Kaka vido ananenepa Sana jaman
Waanzishe tuu mpk gas ya kupima mpk kilo moja kama India. gas kilo moja inatumika siku 4 Kwa matumizi ya familia.
Ata Zimbabwe
Watu wapewe herimu na matumizi ya gesi kwani watu wataungua wengi na kupoteza maisha herimu itorewe gesi ni fasta lkn herimu muimu
Ww pia unatakiwa upate elimu kwa sababu hujui kuandika
Saba saba
Kamkataa wapu tena jmn?? Dah