Inna illah waina Lilah lajoun...maandiko yanatimia kila cku kwamba cku za mwisho zikikaribia wanawake watakwenda uchi mauaji kila cku dalili zooote zipo Bado 1 tu kuja Masih dajaal
Yani watu maarafu wa Tanzania wanashindana tu utengeneza shepu daah sasa hayo ni makalio au mzigo unakuta yanamuelemea sema tu Kila mtu anataka kuonekana ana ßhepu zaid ya mwezake anyway 😂😂😂😂😂
Inna illah waina Lilah lajoun...maandiko yanatimia kila cku kwamba cku za mwisho zikikaribia wanawake watakwenda uchi mauaji kila cku dalili zooote zipo Bado 1 tu kuja Masih dajaal
Innalillah wainah ilayh rajiun, Allah amsamehe amuongoe,hapo anajihis ni malaika wa dunia astaghafirullah 😢, atulinde na sisi inshaAllah.
Kweli kabisa hahu danganyi
Amin
naogopa yani😢
Pumzi hutia kiburi ngoja upate homa ndio utamjua sir GOD.
Umependeza my dear enjoy ❤️💕🌹
Kweli Dunia inafika mwisho
Maagenti ni wengi sana duniani wanatumika sijui wanalipwa wanafanya vitu vya ajabu dunia inakuwa muozo😢😢😢😢😢😢😢
Shemeji anakuja saa 8:40 😂😂😂😂 dada kapaniki kaka kawowaaaaaa
Kwani hayo meno kayafanyaje jamani ila sio Kwa big nyash hiyo
Kukaa uchi tu mungu tuhurumie na vizazi vyetu😢😢😢
Kabisa
Msiba huu jioni aibu kwann hapana mwanamke kama huyu anavaa hivyo hajui Kesho kuna Moto kwa mungu
Mmh , kwenye ndoa aliona anapitwa na mengiiiii ya kidunia Nakuhurumia sana hata na ayo mavazi ....
Ni kama kapanic na harusi ya momo.....maintavyuu ya nini.???
Muongo ww kapanikibnn sasa
Kwenda zako na wewe mwenye matako usoni.....
Kweli
Kabisaaaa
Ndugu yetu alioa jini 😂
😂😂😂😂😂
Ricado alishindwa kumla nyuma mzungu kapiga kwa nini asipendwe 😁😁😁
Huyu kajibadilisha kila kitu anamkozoa mungu kua hajui kuumba kamkataa mume wake kisa avae uchi mungu amuhidi ampe fahamu kakhfilika sana
Reporter wa Ricky Media amesikia aibu yeye na matako sio yake!!! Yaani jamani Mimi mbona siwezi
Kumbe huyu malaika ni nyama coz ngozi zake za mwili Zimezekaa aana
Dada mzuri lakini ilo various hapaa aiseee looooh
Ajapendeza
Mdomo pia umetengezezwa? Mbona kama hawezi kuongea vizuri niambieni na mimi nipeleke mdomo wangu
Domo hilo,,
Ume chelewa😂😂😂
Shidaaa sanaa
Allah akuongoe dunia ni sehem ya kupita
Kweli
Amen
Huyo simalaika nishetani
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂nmecheka
Umependeza sana ila aliekuwekea wigi hajakutendea haki,
Hajapendeza nahajui kujibu interview pia kapanic mumewe kaoa na yy ajifanya yuko kwenye chart no malaika mzigo wa mavi nyuma huo
@@rehema0018mmmh! Cy kweli kapendeza
Ila huu mwili nikiwa kama mwanaume huu mwili na uinua jeee 😅😅😅
Mzgo huonekana hata kwny baibui
Na mm nafanya.part ya didy
Tako kubwa linanuka
Itakuwa maeneo ya bunju
Neema ya mafunza kaburini kama ninawaona vile wanavyo kwenda kufaidi hahaaaa
Kwan uwo mzgo wake kweliiii au mchinaa
Kinyokonyoko unaendauchi halafu unasifiwa unaonasifa sisifahiyo tumuogope mola azabu hatuziwezi
Huyu ndo yule malaika iliomba na chege au
Hivi ndugu yangu unakumbuka kifo nikama shoti ya umeme?
Tumbo ka la mdoli dah surgery noma😂😂😂😂
Akuna kitu
🎉🎉🎉🎉
Yani watu maarafu wa Tanzania wanashindana tu utengeneza shepu daah sasa hayo ni makalio au mzigo unakuta yanamuelemea sema tu Kila mtu anataka kuonekana ana ßhepu zaid ya mwezake anyway 😂😂😂😂😂
Wache tuuu wajisahaulishe nakujifanya wamependeza watatusumbua tuu siku za mazishi😅😅😅😅😅😅😅
Mwenzake alpunguza na ulikua natural yake😅😅😅😅 kumsanisha ni mzigo una chosha
Kiukwel wasanii wanakaz. 😂😂😂😂
Kazi ni kukaa uchi tuu chefuuu
Huyu mtangazaji akikaza anapiga.
Hao wanao muhoji wanamuona bwabwa tu anaumia mwenzio kuoa heb Tulia ww
Waandishi hawa mitihani uheke tuuu
Sasa mizigo wote you du
Caribuni😂😂
Kafeli huyu
Ovyoo mbaya
Mbaya sana
😢😢😢
Aaaaa Malaika umeniangusha hapo kwa hupendi kuexposh mambo yako ni expose😅😅😅
Msamehe tuuu c unaona uwongeaji wake anaonekana c muongeaji muongeaji sikiliza vizur kapatia ila ulimi mdomo unauzitooo so ni hofu tuuu ina msumbua😂
Hahahaha
Mbaba mzee wa kiarabu
Mzungu kasema
@@Rose-ue2ho mwenyewe asiliya kiarabu
Upo uchi alafu eti umependeza mfyuuu