VIJANA WA KIISLAMU NI WAAMINIFU KULIKO VIJANA WA KIKRISTO: MCHUNGAJI ELIONA KIMARO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 119

  • @davidremson2964
    @davidremson2964 ปีที่แล้ว +9

    Nibaaadhi siyo kila kijana jamniiiiii Mungu atusaidie tumefananishwa na samaki sasa

  • @patrickmathiasnsalanga3401
    @patrickmathiasnsalanga3401 ปีที่แล้ว +3

    Pastor you are the hero, I love you, and I need to preach like you. May the lord our God protect you. Ameeen

    • @hosianabuuta3624
      @hosianabuuta3624 ปีที่แล้ว +1

      Mcgj sema sema tupone Ukweli huwa unauma usiache kusema kweli thawabu yako ipo kwa Mungu❤

  • @zebedayodiganyeck2046
    @zebedayodiganyeck2046 ปีที่แล้ว +7

    Yupo sahihi kama haupo kweny kundi alilosema haun Cha kuumia

  • @jeromemwenda2702
    @jeromemwenda2702 ปีที่แล้ว +15

    Nimeshuhudia hii hata kwa wafanyabiashara wakubwa hasa waarabu. Ni waadilifu katika makubaliano ya thamani yoyote mliyofanya. Lipa pesa ondoka safiri, mzigo wako utaupokea vile vile....

    • @expert5898
      @expert5898 ปีที่แล้ว +1

      Ni kweli sana

  • @mmbando
    @mmbando ปีที่แล้ว +7

    Huu ni ukweli, duniani kote waslam dhuluma kwao kwenye imani, imewaingia zaidi kuliko wakristo.. mnafundishwa mbadilike.. mnakasirika

    • @Esthermushi5804
      @Esthermushi5804 ปีที่แล้ว +1

      Kbs huwezi fanya biashara na mkristo ikaja sawa bila conflict tuache vitu vidogo vidogo vya hapa na pale tunaongea real deals business tupoje sijui mafundisho ya hekima busara na uaminifu hayapo kbs in Christians homes khaa

  • @mwankuga
    @mwankuga ปีที่แล้ว

    wisest one, real Islamic youth are kinder than.

  • @pastorymasanja8838
    @pastorymasanja8838 ปีที่แล้ว +15

    Huo ndo ukweli waislamu waaminifu kuliko sisi wakristo wenzetu wana hofu sana na wepesi kuridhika hata kwa kidogo,hata wake zao hawana mbwembwe sn

    • @rajabuchumbi6098
      @rajabuchumbi6098 ปีที่แล้ว

      Inaonekana umefanya reseach rakini uwo ndiyo ukweli

    • @ahmadbadawi9664
      @ahmadbadawi9664 ปีที่แล้ว

      Pastory masanja nimeipenda comment yako shukran sana

    • @fadhilimartin-o3h
      @fadhilimartin-o3h 10 หลายเดือนก่อน

      Yaaani hatawake zao hawana mbwembwe kama wawa kristo nikweli kabisa

  • @eliasifelixnyenyembe1325
    @eliasifelixnyenyembe1325 ปีที่แล้ว +3

    Nawaasa KKKT K/nyama wawaache Viongozi wafanye kazi zao. Mchungaji si wa sehemu moja. Mchungaji anaweza kupelekwa popote kuhubiri Injili. Na wanayomamlaka hata kumvua uchungaji. Mmetukanwa halafu mnamtetea. Her ninyi ni sehemu ya hao Wakristo wasio waaminifu. Wenzenu

  • @raymondprosper7790
    @raymondprosper7790 ปีที่แล้ว +3

    Mchungaji kaongea ukweli ila najua Kuna watu bado wataendelea kumkosoa tu, ndo nature ya binadamu tu

  • @ussiussi3413
    @ussiussi3413 ปีที่แล้ว +1

    Wise knowledge.

  • @mwassamwassa7264
    @mwassamwassa7264 ปีที่แล้ว +5

    Umesema kweli mchungaji,haiwezekani wapagani ndiyo wawe waaminifu kuliko watoto wa Mungu

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 ปีที่แล้ว

      😂😂😂 mkristo na muislam nani mpagani. Unahuzunisha kwa kua hujitambui ww ni nani

  • @walawioutreach4055
    @walawioutreach4055 ปีที่แล้ว +3

    kweli itatawala dunia,mkishaifahamu hiyo kweli itawaweka huru.AMEN.huo ndio ukweli.thats real and true.TUNAIBA HELA HALAFU TUNAENDA KUTOA KANISANI,tena kwa masifa,kumbuka mjane wa sarepta na alichotoa yule mjane,

  • @happybenjamin7520
    @happybenjamin7520 ปีที่แล้ว +2

    Uko sana baba watch wakuchukie ila mungu atawajibu hapa hapa coz sioni kosa lako wewe ni mchungaji lazima uwe muwazi ukemee mabaya,,

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas4356 ปีที่แล้ว +1

    Wakristo ni wengi kuliko Waislam,Hivyo kwa wingi wao na wasio waaminifu uonekana ni wengi na Uchache wa waislamu hufanya uonekana wasio waminigu ni wachache.Basi yaishe tu haya mambo jamani sisi ni wamoja.Kama nikweli Wakristo tujitekebishe kama sio kweli tumuache Mungu mwenyewe aseme.

  • @abdulbari5573
    @abdulbari5573 ปีที่แล้ว

    MashaALLAH

  • @Esthermushi5804
    @Esthermushi5804 ปีที่แล้ว +4

    Kuna kitu Mungu atafamya tu kwa huyu mchungaji plz let's pray for him and pray for church of Christ in ths nation 🙏

    • @jerusalempceachoir5444
      @jerusalempceachoir5444 ปีที่แล้ว

      Nikweli lkn mm naamini kila aliekoka bs ana history kubwa huko nyuma iliyembadirisha, kwahyo nivema pia tukasngalia kauli, Yesu mwenyw alikili hakuna binaadamu mkamilifu isipokuwa Mungu tu, na yy akajiweka katika hali hiyo.

    • @alhadajjmohammedsmith9042
      @alhadajjmohammedsmith9042 ปีที่แล้ว +1

      Ni vema kumuombea Dua njema na si Dua baya ('Dua la Kuku halimpaati Mwewe"), msema Ukweli ni Mpenzi wa Mungu na Mungu anahimiza tuihubiri Kweli na Haki na tutende Haki/' Mpende Jirani Yako kama unavyoipenda Nafsi Yako" ukiona jema pongeza/sifu na ukiona Ovu ondosha Kwa Mkono wako, kemea, chukia na kuichukia ni lmaan dhaifu. Hivyo Mchungaji anakemea Uovu.

    • @alhadajjmohammedsmith9042
      @alhadajjmohammedsmith9042 ปีที่แล้ว

      @@jerusalempceachoir5444 lnshaallah Allah am'badilishe afuwate Dini ya Kweli na Haki (Uislamu) asilimu awe Muumini wa Kiislamu, anyenyekee Kwa Muumba asinyenyekee Kwa Viumbe.
      Wapo wengi mashaallah wanaoukubali Uislamu👇
      https:/th-cam.com/video/L03cUZ5SsY/w-d-xo.html

  • @omarmakame3027
    @omarmakame3027 ปีที่แล้ว

    Karibuni KATIKA UISLAM Kwa amani kabisa ili mupate mafunzo mazuri na kujifunza uaminifu na kuridhika na kukinai Mungu alichokupa

  • @seiflugendo7141
    @seiflugendo7141 ปีที่แล้ว

    Wakristo hawapendi sana kuambiwa ukweli huyu mchungaji wamempa msukosuko sana baada ya kutamka haya.

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter6650 ปีที่แล้ว +3

    Kweli

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu ปีที่แล้ว

    Hata Serikali za kikoloni waliajiri sana vijana wa kiislam umenena kweli mtumishi

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 ปีที่แล้ว +1

    Kinywa

  • @ErickChrispin
    @ErickChrispin ปีที่แล้ว +3

    Kumbe alizingua ndiyo maana

  • @richardsilvanus8927
    @richardsilvanus8927 ปีที่แล้ว +3

    Napenda watumishi mama wewe ukweli mtupu ndio maana leo Hamna makofi neno Ni nyundo,Ni Moto ulao ,Ni upanga mkali Tena linasafisha mchungaji hata watu wakikutupa nje bwana YESU yu nawe

  • @zubedarichard2311
    @zubedarichard2311 ปีที่แล้ว

    hatA sisi mabinti wa kiislamu wengi Wetu tunaridhika na kusema maashallah hatA harusi Zetu hazina gharama kubwa huku Arusha mabinti wa kikristo wanashindana kweny weeding Zao Htr mwishoe madeni turidhike

  • @jonathanmnyone4003
    @jonathanmnyone4003 ปีที่แล้ว +2

    Mimi nilitarajia ufanyike mjadala kuhusu haya matamshi ambayo Kwa kiasi kikubwa yana ukweli ili kujua nini kinasababisha. Mimi naamini Biblia ambalo ni neno la Mungu haina mapungufu yeyote bali mafundisho yanayofundishwa Kwa jamii ya kikristo toka utotoni Yawezekana kabisa kukawa na udhaifu katika mafundisho yetu. Tunafanya mkazo kwenye Jambo gani. Mimi naamini hata jumuia ya wapagani ikiwa na mafundisho ya aina fulani + na adhabu kwa wakosaji inaweza kuwa na uadilifu. Kuna nchi zimefanikiwa kukomesha Kwa kiasi kikubwa rushwa na zingine haziamini katika Mungu aliye hai.

    • @issamaduka1066
      @issamaduka1066 ปีที่แล้ว

      Nikweli Kaka katika ufundishaji wa biblia ni Yanamakosa sana,unasema mafundisho lakini kitabu hausomi unakuja kusomewa Tena ukiwa mtu mzima,na Tena unapangiwa Kwa kusoma mwezi huu SoMo la Tano mathayo 2 adi mstari wa 6mwezi unao kuja Marko ivyo ivyo,mkisomewa unahanzia kuhubiriwa,ndio maana Leo hili ukuti muislamu akisema nafungus msikiti wangu Mimi hapa ni mtume au na bii,,karibu ktk uislamu,kweri itabaki kuwa kweri,Mzee wa upako alisema yesu ajaingia kanisa I na kipindi Cha yesu akukuwa na kanisa,ipo sku makanisa yatakuwa misikiti takbirii

    • @humbemusa3480
      @humbemusa3480 ปีที่แล้ว

      @@issamaduka1066 hapo hata kwa dawa siku makanisa yawe msikiti,

  • @hakieliya7507
    @hakieliya7507 ปีที่แล้ว +3

    Hamia uisilamu liache kanisa na vijana wa kikiristo waache, wewe mwenyewe unakula sadaka wanazoto ungeenda kupewa na waisilamu. Udhalilisha ukiristo.

  • @getuswai8109
    @getuswai8109 ปีที่แล้ว

    Sema baba ukweli vijana tupone na usisite kusema ukweli popote ulipo baba Mungu akubariki sana

  • @ahmadsalim4417
    @ahmadsalim4417 ปีที่แล้ว

    Siku zote haki itachelewa tuyh lkn lazima itafika

  • @longinusbankyanule191
    @longinusbankyanule191 ปีที่แล้ว +5

    Binadamu wooote Duniani tukiwa waaminifu kwa kila jambo . Dunia itakuwa mahali pazuri mno .

  • @musokedios8162
    @musokedios8162 ปีที่แล้ว +1

    Ukweli mchungu

  • @samsonmwaipaja5231
    @samsonmwaipaja5231 ปีที่แล้ว +2

    Nawapenda viongoz w kkkt wana maamuzi ya kiroho hawamwamudu mtu kwa umaarufu wake

  • @jackobgalish5742
    @jackobgalish5742 ปีที่แล้ว +6

    Ukimsikiliza Huyu Mchungaji Ni Kama Kuna vijana wahuni flani wa mlengo anaouzungumzia walimwibia kwenye miradi yake. Akaondoa Kbs Imani na upande husika, na ndio maana anaongea kwa hasira Sana. Kwa hili alisemalo Kuna Kaukweli kidogo japo kwa mbali, Ila ametumia hitimisho jumuishi na lenye ukakasi Sana.

    • @josephezekielmasolwa8283
      @josephezekielmasolwa8283 ปีที่แล้ว

      Umebaini vyema, Jambo analozungumzia Lina uhalisia Ila amelisema akiwa na Uchungu wa kibinadamu ambao kwa Mujibu wa Biblia huwa hauleti matokeo mazuri.

    • @josephezekielmasolwa8283
      @josephezekielmasolwa8283 ปีที่แล้ว

      Warumi 12:8
      [8]mwenye kuonya, katika kuonya kwake; mwenye kukirimu, kwa moyo mweupe; mwenye kusimamia kwa bidii mwenye kurehemu, kwa furaha.

    • @saralusinde53
      @saralusinde53 ปีที่แล้ว

      kama kweli vile

  • @zachariamakamillo1965
    @zachariamakamillo1965 ปีที่แล้ว +2

    Sijaona alichokikosea mchungaji kimaro.

  • @Esthermushi5804
    @Esthermushi5804 ปีที่แล้ว +5

    Mchungaji anajitahidi kuweka msg ieleweke kwamba any Christian must do better to reflect Christ Holliness ila imekuwa opposite sijui kama watu wanajua ukristo ni nini ??huwezi kuwa mkristo alafu unaishi maisha tofauti ndio maana anasema waislam wengi wapo waaminifu especially kwenye dhamana ya Mali na vitu sijui wapi haeleweki hapa jamani xx any bad influence for a good Christian shouldn't b seen be4 society we must b examples to the public lkn haipo hivyo xx

  • @gapserminja5215
    @gapserminja5215 ปีที่แล้ว +1

    Ukweli mtupu🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @anithamlay7327
    @anithamlay7327 ปีที่แล้ว +1

    Vibaka na wapigaji watawaka,ila ndio maana akasema wajitunze ubinafsi wa mioyo yao,na wanaosimama madhabahuni ina maana wanaoimba kwaya na wengine,hakumaanisha wainjilisti au wachungaji,au maaskofu,na wakuu wa majimbo,kama kuna lililomuuma sana ana sababu yake

  • @davidremson2964
    @davidremson2964 ปีที่แล้ว +4

    Siyo wote watapele hapana

  • @mkanulamajid500
    @mkanulamajid500 ปีที่แล้ว +1

    Ukiwa na upeo mfupi unaweza ukachukia ila Mara nyingi ukweli unakujaga hivyo moja kwa moja msema kweli mpenzi wa mungu ila co mpenz wa wanaadamu kikubwa hapo ni kushika neno Anza kuwa muaminifu mungu bariki Sana

  • @adventsumari5776
    @adventsumari5776 ปีที่แล้ว +2

    Siyo wakrsto wote mchungaji. hapo umekosea. Hata hawo waislam wapo ambao siyo waminifu. Mimi ni mkristo mbona ni mwaminifu

  • @shungumwaisanila7193
    @shungumwaisanila7193 ปีที่แล้ว +1

    Ee Mungu muone huyu mtumishi wako na kumlinda, Amen

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 ปีที่แล้ว

    Sio kweli vijana ni vijana tu awe muislam.awe bahaula.awe nani kaangalie ripoti ya wahalifu kituo Cha kati.pia tafuta wachawi vijana uhesabu kila mmoja na dini yake uone wapi zaidi.tena wewe ndio unabagua vijana hakuna kijiwe Cha wahuni wa dini Moja Wala danguro la watu wa dini Moja .uaminifu unaanzia ktk kumhofu Mungu si kuogopa watu

  • @miltonjohn9779
    @miltonjohn9779 ปีที่แล้ว +2

    Ndio sbb umetumbuliwa

  • @omarmakame3027
    @omarmakame3027 ปีที่แล้ว

    Ukweli sikuzote haujifichi
    Na haki lazima ije juu

  • @luganojimmymwakalinga5392
    @luganojimmymwakalinga5392 ปีที่แล้ว

    Neno la Mungu li hai tena lina nguvu tena lina ukali kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili,tena lijepesi kuzigawanya nafsi na roho tena lijepesi kuyatambua makusudi ya moyo

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 ปีที่แล้ว +1

    Mara unawaamini waroman ko ulikuwa Kwa papa huko nje ya nchi ndo kakulisha tindikali Ooooh nawaamini Islamic si uhamie Sasa kahudumu huko nenda wewe usifanye uchafuzi tuachie Imani yetu usichafue utajichafua halafu utashindwa kujipangusa baada ya hayo Bado kunamaisha mengine tubu please tubu

  • @martinsimon7689
    @martinsimon7689 ปีที่แล้ว

    Aibu aibu kwako Mch na hao wanaokusapoti,hivi al kaida,al shaabab nk ni vijana wa kikristo.Una elimu ya dunia finyu sana.Panua wigo wako utajua mengi.

  • @getuswai8109
    @getuswai8109 ปีที่แล้ว

    Nilichogundua sisi wa kristo tunapenda tusifiwe hata Kwa vitu tusivyo navyo tukipata mkombozi wa kutufumbua macho tuone atutaki tunataka tuliite giza nuru tukiambiwa hili ni giza na ndio kweli atutaki tunakasirika Hata Yesu alipoona nyumba ya baba yake imegeuka kua pango la wanyanganyi alipita na kumwanga mwaga vile vilivyokua vikiuzwa mule Kwan kusema ukweli inakua tatiz

  • @samwelimwanja4105
    @samwelimwanja4105 ปีที่แล้ว +3

    Huyu mchungaji atakuwa alikuwa amelewa

  • @juliethnnko3700
    @juliethnnko3700 ปีที่แล้ว

    Jamanii wachungaji embu wekeni akiba ya maneno khaaaa

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi ปีที่แล้ว +3

    Nenda tanga ukaone hao vijana unaosema jinsi walivyo wezi,vibaka hadi ndala.

  • @ramadhanmambo7300
    @ramadhanmambo7300 ปีที่แล้ว

    Utafika muda watu wataingia ktk uislam makundi kwa makundi

  • @oneswilliam4954
    @oneswilliam4954 ปีที่แล้ว

    Simba s club

  • @mathayopapiasi8872
    @mathayopapiasi8872 ปีที่แล้ว +2

    Siyo wote wapigaji acha uongo kwahiyo na wewe ni mpigaji?

  • @gracebrenda1199
    @gracebrenda1199 ปีที่แล้ว

    Baba ungeongelea hili kqenye semina ya vijana.

  • @elibarikmafie7490
    @elibarikmafie7490 ปีที่แล้ว +2

    Mchungaji unawaita watu majangili kweli,Mimi nakataaa hata wakristo Kuna waliofundishwa pia maadali mema na pia hao waislam una uhakika gani kwamba ni waamifu wote,Ina maana hata wachungaji wenzako unawaita matapeli

  • @happinessmwanguo8200
    @happinessmwanguo8200 ปีที่แล้ว +2

    Umefanya nini kuwasaidia vijana wa kiktisto wawe waaminifu?kutangaza hivyo ndio kuwasaidia,wewe kama mchungaji ulitakiwa uwe na mzigo wa kuliombea hilo na sio kuwasimanga madhabahuni

  • @raymondmunis3553
    @raymondmunis3553 ปีที่แล้ว

    Baba umerudishwa lakini ukweli ndio huo

  • @YoungQasaf-rw8my
    @YoungQasaf-rw8my ปีที่แล้ว

    U Kovizuri

  • @ibnayub2374
    @ibnayub2374 ปีที่แล้ว

    Awamu hii tutaona mengi, Allah ajaalie muingie kwenye DINI ya kweli uaminifu na uadilifu ndio msingi wa DINI yetu, na ndio maana Allah akawaita waislam: Enye mlio amini, kwa kumuamini Allah n lazima tuamini aliye tukataza.

    • @jackfruit409
      @jackfruit409 ปีที่แล้ว

      waingie makundi kwa makundi..suratu nasr

  • @editrudesmbonde9051
    @editrudesmbonde9051 ปีที่แล้ว

    Vijana wa kiislam hawana lolote,usijichanganye.
    Wakristo ni waaminifu sana kuliko waislam.

  • @musokedios8162
    @musokedios8162 ปีที่แล้ว +1

    Limewachoma kwani linaukweli,

  • @AdatusMashalla
    @AdatusMashalla 7 วันที่ผ่านมา

    Mchungaji sawa ni maoni yako, ila waulize kwa nini mwezi wa ramadhani matukio yanapungua kwa kiasi KIKUBWA

  • @eliasifelixnyenyembe1325
    @eliasifelixnyenyembe1325 ปีที่แล้ว +2

    Huyu Mchungaji ni hatari sana bora alivyotumbuliwa. Alistahili. Kuiba au kutokuwa mwaminifu si Dini ni tabia ya mtu.

  • @SaidSaid-rb3jw
    @SaidSaid-rb3jw ปีที่แล้ว

    Hilo liko 50kwa 50 ila kinacho tuogopesha cc waislam ni Dua ya mtu aliyedhulumiwa .... Wandugu ukiiba mali ya mtu ni umemdhulumu na akinyanyua mikono akaomba
    Dua yake Huwa Haina pazia inakwenda direct ndomana tunaogopa sana wizi na dhulma

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns2646 ปีที่แล้ว +2

    JE MCHUNGAJI KIMARO KAKURUPUKA?!
    AMANI IWE NAWE,
    KWA AKILI YA KAWAIDA KAMA WEWE UMENUSURIKA NA MAMBO HAYA YALIYOZUNGUMZWA NA MCHUNGAJI KIMARO NI NGUMU KUAMINI HIKI ANACHOKISEMA, LAKINI UKITULIZA AKILI KIDOGO TU UTAUONA UHALISIA. NENDA KWENYE MAOFISI MENGI WALIOPEWA AJIRA KAMA DHAMANA YA KUITUMIKIA JAMII JE WALIO WENGI NI VIJANA GANI? WANAOWABANIA WENZAO WASIPATE AJIRA KWA ROHO MBAYA TU HATA KAMA WOTE NI WA IMANI MOJA NI KINA NANI?! TENA UKANDA UKABILA VIMETAMALAKI KWENYE ROHO ZAO, LEO IMEFIKIA MAHALA SI AJABU KUKUTA KTK OFISI FULANI ALIYEKUWA JUU KAMA ANATOKA BUKOBA BASI WOTE WA CHINI WATAKUWA KWA IDADI KUBWA NI WA BUKOBA, NA KAMA AKIWA WA KASKAZINI WALIOCHINI KWA KIASI KIKUBWA WATAKUWA WA KASKAZINI, SIKUWALENGA HAWA NILIYOWATAJA ILA HII NI MIFANO TU YENYE KUONESHA HALI ILIVYO KWA WATU WA AINA MBALIMBALI NAMNA WANAVYOBANIANA KTK AJIRA WAO KWA WAO KISA UKANDA NA USHIKAJI.
    WANAFANYA HIVI KWA UBINAFSI TU HUKU WAKIWAACHA NJE YA AJIRA WENYE TAALUMA ISIYOKUWA NA MAGUMASHI WALA MAKANDOKANDO NA KUWAPENYEZA JAMAA NA WASHIKAJI ZAO KISA TU SIO WATU WAO WA KARIBU, JE HAWA WANAOFANYA HIVI NI KINA NANI?! UTAKUTA KIJANA KATOKA KIJIJINI KAFIKIA KWA BRO WAKE, KAMPELEKA CHUO LAKINI BAADA YA KUMALIZA TU DEGREE TAYARI KASHAMFANYIA CONNECTION NA YEYE KAPATA AJIRA HUKU AKIWAACHA WENZIE WAKISOTA, VIJANA JIRANI ALIOWAKUTA MAHALA ALIPOFIKIA AU WASHIKAJI ZAKE WA ZAMANI AU HATA ALIOKUWA NAO CHUONI TAYARI ANAANZA KUWADHARAU HUKU AKIWAITA MAJINA YA HOVYO KWA KUYAHARIBU MAJINA MAZURI, MARA WANAUME WA DAR HAO, MARA UTASIKIA ANASEMA “ACHA USUKUMA”, “ACHA USWAHILISWAHILI” AU “WE MNYASA NINI?!, NA WEWE MZARAMO NINI?!” YANI WANADHALILISHA MAKABILA YA WENZAO BILA YA HATA SABABU.
    MBAYA ZAIDI KTK AJIRA HIZO ZA KIPIGAJI SIKU MBILI TAYARI ANA GARI, ANA NYUMBA KIGAMBONI, MADEM KIBAO TENA BAA ZOTE ZAKE, VIWANJA NDIYO USISEME, UKITATHMINI MSHAHARA WAKE NA YOTE HAYO ANAYOYAFANYA NI VITU VIWILI TOFAUTI YANI MSHAHARA MDOGO MATUMIZI MAKUBWA, UKIJIULIZA AU KUNA BIASHARA NYENGINE ANAYOFANYA KINYUME NA KAZI YAKE JIBU HAKUNA!! HAPO NDIPO KWENYE UKAKASI, HAKOSOLEWI HUYO AKIAMBIWA KIDOGO TU "ULICHOFANYA SIO SAHIHI AU NDUGU MBONA UMENIKOSEA" UTASIKIA ANASEMA "UNANIJUA MIMI NI NANI?!
    TUKIRUDI NYUMA WAKATI WA AWAMU YA TUMBUA TUMBUA, HIVI TULISHAWAHI KUFANYA TATHMINI YA WALE WALIOKUWA WAKITUMBULIWA KWA UFISADI HATARI HASA KWA IDADI KUBWA WALIKUWA NI KINA NANI?! ANGALIA KWENYE MAJI PALE NA PALE PENYE MSHIKO WALIOJAZANA WAKAWA WANATUMBUKA HOVYO NA HAWAKOMI KWA KIASI KIKUBWA WALIKUWA KINA NANI?! TUKIANGAZIA KWENYE MAADILI WANAOONGOZA KUVAA NGUO ZA HOVYO (NUSU UCHI) WANAOUTAKA UZUNGU WAKIUKATAA UAFARIKA NA MAADAILI YA DINI, TENA WANAOBADILISHA BADILISHA NYUMBA ZA KUABUDU KWA KUUDHIKA BAADA YA KUAMBIWA UKWELI NA VIONGOZI WAO WA KIROHO WAACHE TABIA HIZO JE ULISHAWAHI KUJIULIZA NA HAWA PIA NAO NI KINA NANI?!
    KINACHONISIKITISHA HATA KWENYE MISIBA WADADA HAWA KANGA WANAZIKUJA NA KUZIVAA VIMINI NUSU MAPAJA NJE HUKUWAKIJIPITISHA PITISHA MBELE YA WANAUME BILA YA HAYA WALA UONGA, HIVI ULISHAWAHI KUJIULIZA HAWA NAO NI KINA NANI?!, WALE WANAOVIZIA MADEMU KWENYE NYUMBA ZA IBADA HASA WAKATI WA MIKESHA ULISHAWAHI KUJIULIZA PIA NI KINA NANI?! VIPI UPANDE WA PILI KWENYE NYUMBA ZAO ZA IBADA ULISHAWAHI KUSIKIA VIJANA WAO WANAPOENDA KWENYE NYUMBA HIZO WANAVIZIA MADEMU?! TENA HILI LA MAADILI SIKWAMBII WAMAMA WATU WAZIMA WALE WENYE VIJISENTI KIDOGO NAMNA WANAVYOVAA VIBUKTA NA VISKINTAITI VINAZOWABANA KWENYE VINENA HUKU MAPAJA NJE MBELE ZA WATOTO WAO WA KIUME, JE HAWA NAO NI KINA NANI?! WAMAMA WA UPANDE WA PILI ULISHAWAHI KUONA WANAVAA HIVYO ZAIDI YA KUJITANDA KAKA MBILI HATA KAMA WANA VIJISENTI?!
    KWARESMA INAWEZA KUINGIA BILA YA HATA KUJUA KAMA HUU NI MWEZI WA KWARESMA UMEINGIA, TENA IKAISHA BILA YA KUONA ATHARI ZOZOTE ZA KIROHO KUTOKA KWA VIJANA. BADALA YA KUTUBU NA KUWA KARIBU NA MUNGU YALE YOTE YALIOKATAZWA WAO NDIYO KWANZA WANAYAFANYA. BAA ZINAJAA KAMA KAWA, MADADA POA USISEME NA MAJANGA KIBAO VIJANA WANAFANYA. LAKINI TUANGALIE UPANDE WA PILI KWENYE MFUNGO WAO UKIINGIA TU JAMII NZIMA INAJUA, VIMINI VINAPOTEA, MACHANGU WANAONA NOMA KWENDA KUUZA, WALEVI WOTE WANABAKI MAJUMBANI MWAO WAKIJISIKIA AIBU KULEWA HADHARANI, BAA NA BENDI ZA MUZIKI ZINASIMAMISHA HUDUMA KWA MUDA MPAKA MFUNGO UISHE KWA KUKOSA WATEJA. VIJANA HAWA HAWA TUNAOWASEMA KWENYE KWARESMA HAWAJALI CHOCHOTE, MADHAMBI KAMA KAWA LAKINI KWENYE ULE MFUNGO WA WENZAO UTAKUTA WANAJIDHIBITI KUFANYA UPUUZI HADHARANI, KILA BINTI UNAYEMUONA MTAANI AU AKIENDA OFISINI KAVAA KIMAADILI KAMA MFUNGO HUO UNAMUHUSU LAKINI KWENYE KWARESMA VIMINI KAMA KAWAIDA, HAWAHESHIMU NA WALA HAWAONEKANI KUHOFU CHOCHOTE KAMA VILE KWARESMA HAIWAHUSU, JE HILI NALO INAMAANA HATULIONI?!
    CHA KUSIKITISHAZAIDI WANAOVAA NGUO ZENYE KUONESHA SEHEMU ZA MIILI YAO ZISIZO RASMI KUONEKANA HADAHARANI HUKU WAKIWA WAMESHIKA KITABU KITAKATIFU NA KWENDA KUABUDU NI KINA NANI?! HIVI ULISHAWAHI KUONA BINTI KAVAA KIMINI KAINGIA KWENYE NYUMBA ZA IBADA ZA ULE UPANDE WA PILI AU KAVAA NUSU UCHI HALAFU KASHIKA KTABU CHAO KITAKATIFU?! JE WANAONING’INIZA MISALABA YA ROZALI ZAO HUKU WAKICHEZA NUSU UCHI KTK MIZIKI YAO YA KIDUNIA NI KINA NANI?! JE ULISHAWAHI KUYAONA HAYA KWA VIJANA WA UPANDE WA PILI WAKIZIFANYIA UPUUZI HUU TASBIHI ZAO?! WATU KAMA KINA ZUMARIDI NA WENGINEO AMBAO WANAOONGOZA KUANZISHA NYUMBA FEKI ZA IBADA ZILIZOKUWA ZA KIPIGAJI TENA KTK MADHABAHU ZAO WAKINENA KINYUME KABISA NA MAANDIKO HUKU WAKIKUSANYA MAMILIONI YA SADAKA KWA MIUJIZA YA KUMAGUMASHI HU WAKIJITAJIRISHA, JE HAWA NI KINANI?!
    NDUGU ZANGU KIUKWELI HALI NI MBAYA SANA, TENA HAPO HATUJAGUSA KUONA NI KINA NANI WANAOONGOZA KWA KUMILIKI MABIASHARA MACHAFU MACHAFU YA MABAA NA MAGESTI YANAYOTUMIAKA KUMOMONYOA IMANI KADHALIKA NA MAADILI YA JAMII, HATUJAMULIKA USHETANI WA UFUNGISHWAJI WA NDOA ZA JINSIA MOJA NA MENGI MENGINEYO. KWA MAZINGIRA HAYA LAZIMA ZIFANYIKE JITIHADA ZA MAKUSUDI KUDHIBITI HALI HII KWA MASLAHI MAPANA YA KIROHO NA KIJAMII, NDUGU KWA MIFANO HII TULIZA AKILI JIULIZE NA JIFIKIRISHE WEWE MWENYEWE BINAFSI KWA KUIREJEA MIFANO HAI HII NA UKIPATA JIBU NAAMINI UTAKUJA KUJUA MCHUNGAJI KIMARO ANACHOSEMA YUPO SAHIHI AU LA!!
    Timotheo 3:16-17
    Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki; ili mtu wa Mungu awe kamili, amekamilishwa apate kutenda kila tendo jema.

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 ปีที่แล้ว +4

    Sema baadh bwana.kwani ww uko upande gani mch?

    • @adventsumari5776
      @adventsumari5776 ปีที่แล้ว +1

      Na yeye atakua cyo mwaminifu. Apo angetakiwa kufudisha watu waepukane na wizi

  • @masanjaek6719
    @masanjaek6719 ปีที่แล้ว

    Amekose mno yeye angesema wauumini wa kanisa hilo ndio wezi na sio wakristo wote.kama ameona hilo si awe mwislam

  • @wilsonsikahanga1761
    @wilsonsikahanga1761 ปีที่แล้ว +4

    🤔🤔 tupime kwanza uzalendo na kazi za Marais waislamu na wakristo walio wahi kuongoza nchi yetu

    • @adventsumari5776
      @adventsumari5776 ปีที่แล้ว

      Kaka umemaliza. Wa din gani aliyekua na hofu ya mungu

    • @abdulabdul6370
      @abdulabdul6370 ปีที่แล้ว

      @@adventsumari5776 hofu ya Mungu sio matangazo, hauhitaji kuonyesha watu kuwa una hofu ya Mungu. its between you and your God. huwezi kukuta watu wametupwa kwenye magunia kipindi cha uongozi wa hao unaowaona hawana hofu ya MUNGU. TAKE IT EASY, PRACTICE WHAT HE PREACH.

    • @magwaza8904
      @magwaza8904 ปีที่แล้ว

      Nenda kawachunge Waislamu kumbe na wewe ni tapeli maana unasimama Madhabahuni pia

  • @calvinkapinga8341
    @calvinkapinga8341 ปีที่แล้ว

    Alichokiongea n ukweli mtupu na ndio mafundisho yatufaayo ili tuwe na hofu ya Mungu

  • @gideongerald2846
    @gideongerald2846 ปีที่แล้ว

    Hapo pastor umekosea mbona tunafanya kazi na waislamu na ni wapigaji wakubwa sana hizo takwimu zako ni kwa mazingira uliyopo nenda kwa mazingira mengine wanapiga vibaya mno

  • @kennedyngusa8890
    @kennedyngusa8890 ปีที่แล้ว

    Sijakuelewa kabisa

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 ปีที่แล้ว

    We ni mkweli hta wakisema nn ww ni mkwel

  • @loycenicolao7488
    @loycenicolao7488 ปีที่แล้ว +1

    ongea baba,watu wabadilike tu!!!!!

    • @adventsumari5776
      @adventsumari5776 ปีที่แล้ว

      Awongee nn wewe kama ni mkrsto na umeskia alicho kisema utakuwa ujitambui.

    • @happybenjamin7520
      @happybenjamin7520 ปีที่แล้ว

      Kabisaaaa

  • @c-4839
    @c-4839 ปีที่แล้ว

    JATU, ...

  • @sulemanmadahatv1691
    @sulemanmadahatv1691 ปีที่แล้ว +2

    Suala la wizi halihusiani na dini ni roho chafu ya shetani

  • @agnessgoodluck
    @agnessgoodluck ปีที่แล้ว

    Kwenye hili umepuyanga mtumishi tena umekurupuka uaminifu sio dini bali ni tabia ya mtu
    Pia unaonyesha udhaifu kwa Kristo unaye muhubiri huku ukitukuza wengine Mungu akusaidie upone

    • @adventsumari5776
      @adventsumari5776 ปีที่แล้ว

      Agnesi nakuunga mkono kwa ilo. Ajui pale mazabauni kasimama kwa ajili ya haohao wakristo

  • @kundakornel7707
    @kundakornel7707 ปีที่แล้ว +3

    Hapa nahisi kuna mahali theolojia imewekwa pembeni, mchungaji anajua jamii anayoishi nayo, yeye ndio kazi yake kuiombea ibadilike sasa akiwa wa kwanza kulaumu ameweka pembeni uchungaji wake.

    • @rehemamkamba9027
      @rehemamkamba9027 ปีที่แล้ว +1

      Kuombea pekee Bila malezi majumbani kwao ni bure. Mlee mtoto njia impasayo nae hata iacha hata atakapokuwa mzee

    • @mathossecuritycompanyltd6306
      @mathossecuritycompanyltd6306 ปีที่แล้ว

      mch hapo umeteleza huwezi kuwaambia wote no wezi

  • @albertmtui2480
    @albertmtui2480 ปีที่แล้ว +4

    hii shida ya uaminifu sio kwa vijana wkristo tuu ni vijana wote wa dunia ya leo ni tatizo la kimaadili na mfumo wa maisha

    • @analeynsangalufu2399
      @analeynsangalufu2399 ปีที่แล้ว +2

      Mchungaji hapa kapuyanga, labda kama alikua na kitu moyoni kuhusu vijana wa kanisa lake.

    • @ahmedmpimbi9684
      @ahmedmpimbi9684 ปีที่แล้ว +1

      Nafikiri mfuatilie vzr kuna kaukweli ndani yake, kwenye uislamu kuna maonyo mengi sana juu ya kuiba mfano mdg ni hv ukiiba wastahili kukatwa mkono, sasa ukichukua hii na maonyo mengine inatengeneza hofu moyoni na kupunguza speed ya wizi

    • @expert5898
      @expert5898 ปีที่แล้ว +1

      @@ahmedmpimbi9684 mimi ni mkristo, nakukubalia unachosema ahmed... japo sio wote waaminifu ila waislam wanajitahidi sana kuliko wakristo... mkristo anakutapeli waziwazi kabisa kweupeee

    • @easthall
      @easthall ปีที่แล้ว

      @@analeynsangalufu2399 Mchungaji kakosa ni zamu. Haihaibisha kanisa lake. Eti hata humu...

    • @easthall
      @easthall ปีที่แล้ว

      @@ahmedmpimbi9684 Uwizi hauendani na dini bali ni tabia ya mtu. Mchungaji kavuka mipaka kwamba vijana wa kristo sio waminifu....Hii kahuli imeni kwanza saaana. Lazima asimamiswe kazi huyu akapewe nizamu.

  • @hamissnjumba302
    @hamissnjumba302 ปีที่แล้ว

    Enhee hewalla umesema kweli na mtindo wa kuibiana nyie umeanzaa kwa wachungaji sikuzote kuwadanganya waumini wao miujiza ya uronho kwa kudimandi pesa na ilihali waumini wanaona matumizi ya pesa hizo NA hata wewe hapo ulipo ni shauri ya pesa tu laasivyo come to Islam tunyenyekee tumuabudu Allah

  • @amosmwita323
    @amosmwita323 ปีที่แล้ว +1

    Kumbe mwafatilia

  • @issacklyandala7023
    @issacklyandala7023 ปีที่แล้ว +1

    HUYU NIMTUMISHI WA MUNGU KWELIKWELI

  • @zachariasamweli175
    @zachariasamweli175 ปีที่แล้ว

    Niwe mwisiram nini?

  • @dannypeter4951
    @dannypeter4951 ปีที่แล้ว +1

    Popote utakapokuwa ntakufata