Nimeona mambo ya nmnahi ktk familia bazi kila aliefanya uchafu wanamna hii kwa mume wake ahu mke kumfanyia mumehivi tubu naugaragaze magoti mbele za Mungu hachakiburi garika hinakuja sharilako Amen Dr Eliona
WAAMBIE HAO WANAWAKE WANAONIABUDU NA KUNIFUATA MIMI YESU, WAACHE KUVAA NYELE BANDIA,KUCHA BANDIA, KOPE BANDIA NA VITU VYOTE AMBAVYO VINAPINGANA NA ASILI YA KUUMBWA KWAO, NA WANAPOKUA KANISANI KATIKA IBADA WAFUNIKE VICHWA VYAO. 1 Wakorintho 11:13
Dada msamehe nakuomba acha Mungu Akulipie kiasi usiseme mabaya Juu yake Bali mtakie Mema. Maana mabaya unayotamka sasa yatarudi kwako. Mpe Mungu nafasi kwenye Moyo wako Dada yangu kipenz Mungu Akulinde. Namaanisha kusema hivyo mm mwenyewe nimepoteza pesa nyingi sana million 7 na Familia yangu inanitegemea mimi na Mwanangu ni mgonjwa na Mama yangu ananitegemea mimi na ndugu zangu hawana Ajira Bali ni kazi tu za mtaani lkn nimemwaachia Mungu kila kitu yeye anitetee kwa upambavu nilioufanya wa kumuamini tu ambayo haniamini ila nashukuru Mungu yeye Atatulinda mimi na Ndugu zangu na Mama yangu pia ni mzee sana na Mtt wangu. Namwaamini Mungu atanirudishia vyote nilivyopoteza.
Mungu ni mwema isingeekuwa neema ya Mungu nahis na mm ningekuwa kama huyo dada, maana historia yake haipishani sana na mm, Mungu aendelee kukupa neema yake , Baba Mchungaji Mungu aendelee kukupa maisha marefu kwa kuwa unatusaidiamno na shuhuda zinatujenga mno, barikiwa sana.
Mafundisho yako yamejaa funzo kuu, ubarikiwe mtumishi. Hiyo stori imeniumiza sana lakini BINADAMU ndivyo tulivyo upo wakati tunastahili msamaha. Lakini licha ya stori yako yenye kuumiza still nimeona kuna jamaa anasinzia sidhani kama amesikia chochote huyo bwana.
Too sad. Ila binafsi nitaumia ila kamwe siwezi kuwa kichaa. Mungu wangu yu hai. Yaani watoto wangu ndo watakuwa point of motivation. Dada angeumia angelia na angechukua wanae wakarudi zao USA.
Mtu kufikia hatua ya kuwa kichaa sio hiari yake ni inatokea automatic( involuntary) hata wewe inaweza kukuta hiyo hali sio kitu unaamua kikubwa nikumuomba Mungu akuepushie na kukusaidia unapoingia kwenye majaribu magumu kama haya 😢
@@johnmapunda3474 Hapana kamwe haiwezi tokea. Ninajijua na nimepitia mazito ila nilivuka na sijawa kichaa. Unakuwa kichaa kwa sababu ya maumivu unayaruhusu yakae muda mrefu. You have to fight hasa ukiweka watoto wako mbele kuwa wanakuhitaji kuliko kitu chochote kile.
Pole sana kwa akili zako finyu unadhani ukija nchi za watu unaanzia on top?! Kama una akili lazima ufanye side hustle. Unadhani ni lele mama? Green visa doesn’t guarantee you perfect life abroad.
@@amyesanga2004 nachosema hujaelewa, nipo na mungu na sina mambo ya udanganyifu na sifanyi kitu bila kumshirikisha mungu. Siwezi kukutwa na jambo lolote baya. Acha kumtegemea mwanadamu. Ushindwe kwa jana mungu.
Ubarikiwe sana baba🙏🙏, hii inatokeaga kwa watu wengi. Walimwengu wengi hawana shukrani.
Hii nayo ilishanikutaa... tunaishi Nchi za nje Ili kuinuka ila watu walio nyuma yetu hutuponza aiseee😌😌🇰🇪🙌
Leo umenigusa mimi Baba😭😭😭 Binadamu weng wanatufanyia ubaya sana baada ya sisi kuwaonesha wema kwao
Eeeeeh mungu yamenikutaa hayaa mimi tenaa familia haswaa namshukuru mungu sijapataa kichaa
Masikini , pole Amina wangu tupo wengi.
@@happylynguya3464 it's painful my lovely sister for really
Polen jaman
Bwana Yesu asifiwe baba angu kimaro tuchape baba hadi tuelewe
Mungu wa Kwanza siku zote
Duhh imenigusaa baba barikiwa mnoo babab
Katika viumbe nawaogopa apa Duniani ni wanaume woiii 🙌
Jamaniii😢😢
😭😭😭😭😭nimeumia sana jamani binadamu sisi
Mungu akubariki baba, Mungu atutie nguvu jamani.
Mungu atuongoze sisi maan dunian hap bila Kristo ni kz bure
Nakuelewa Sana mchungaji mungu akubaliki
well said kuna kitu kikubwa sn cha kujifunza hp
I also took medication for 3.5 years. Mental illness is not a joke
Very sorry dear
Jamani jamani!; Nimeumia sana na hii story
Nimeona mambo ya nmnahi ktk familia bazi kila aliefanya uchafu wanamna hii kwa mume wake ahu mke kumfanyia mumehivi tubu naugaragaze magoti mbele za Mungu hachakiburi garika hinakuja sharilako Amen Dr Eliona
Hicho kiswahili hakieleweki.
Mungu atupe macho y rohoni
Duh
Mungu atusaidie jamani maisha ya ndoa yanahitaji uvumilivu.
I blame the family members they would have told her the truth ,why did they wait until she comes back
Yalishawagawah kunikuta haya japo story ipo tofaut kidogo nlmtendea wema mzaz mwenzang matokeo yake ctakuja kusahau hii😭😭
Pole my
Mtumishi niombee
WAAMBIE HAO WANAWAKE WANAONIABUDU NA KUNIFUATA MIMI YESU, WAACHE KUVAA NYELE BANDIA,KUCHA BANDIA, KOPE BANDIA NA VITU VYOTE AMBAVYO VINAPINGANA NA ASILI YA KUUMBWA KWAO, NA WANAPOKUA KANISANI KATIKA IBADA WAFUNIKE VICHWA VYAO.
1 Wakorintho 11:13
😭😭😭🙆
😭😭😭😭
Mie alinifanyia dada yangu watumbo moja alikula17 milioni ya kwangu
Napenda sana mahubili yako
😭😭😭😭😭😭😭😭
This was so unfortunate for her and her children
😭
Hii ni ukweliiiii kuna dada mmoja hivyo hivyo uingereza alifanyiwa hivyo hivyoooo kumbe hewaaaa
Ndugu yangu kafanyiwa hivyo nae alikuwa UK aliacha mume wake huku
Wanaume ukiaminiwa aminika kuna dhambi zinaumiza sana watoto ndoo hazina yetu ya badae jamani tuwapende
Mungu tusaidiane Bila wewe hatuwezi
Duuuu jamani inasikitisha
Mm kunamtu kala milioni moja yangu siwezi msamehe. Na Bado naendelea kupambana hajanikata mikono naamini ipo siku Mungu atamuonyesha hapahapa Duniani
Samehe Dada yangu wapo watu wameliwa million 10 nakusihi samehe maana unajizulu ww wenyewe.
@@rezegerezege691 siwezi Kila siku ntamsomea mabaya tu
Dada msamehe nakuomba acha Mungu Akulipie kiasi usiseme mabaya Juu yake Bali mtakie Mema.
Maana mabaya unayotamka sasa yatarudi kwako.
Mpe Mungu nafasi kwenye Moyo wako Dada yangu kipenz Mungu Akulinde.
Namaanisha kusema hivyo mm mwenyewe nimepoteza pesa nyingi sana million 7 na Familia yangu inanitegemea mimi na Mwanangu ni mgonjwa na Mama yangu ananitegemea mimi na ndugu zangu hawana Ajira Bali ni kazi tu za mtaani lkn nimemwaachia Mungu kila kitu yeye anitetee kwa upambavu nilioufanya wa kumuamini tu ambayo haniamini ila nashukuru Mungu yeye Atatulinda mimi na Ndugu zangu na Mama yangu pia ni mzee sana na Mtt wangu.
Namwaamini Mungu atanirudishia vyote nilivyopoteza.
Da oliva samehe kila kitu Riziki itakuijia japo itachelewa.
Nimesikia kulia😭😭😭😭
Njo hivo mchungaji. Wandugu tena hawaeleweki wamesha tuumiza sana tuna tafuta kwa jasho lakini wawo hawa oni mwishowe .unakuwa nima umivu tu
Mungu ni mwema isingeekuwa neema ya Mungu nahis na mm ningekuwa kama huyo dada, maana historia yake haipishani sana na mm,
Mungu aendelee kukupa neema yake ,
Baba Mchungaji Mungu aendelee kukupa maisha marefu kwa kuwa unatusaidiamno na shuhuda zinatujenga mno, barikiwa sana.
Poole dear
Mungu akutie nguvu kwa mahubiri mema wanaume mungu hawaone
Pole sana
story
Mafundisho yako yamejaa funzo kuu, ubarikiwe mtumishi. Hiyo stori imeniumiza sana lakini BINADAMU ndivyo tulivyo upo wakati tunastahili msamaha. Lakini licha ya stori yako yenye kuumiza still nimeona kuna jamaa anasinzia sidhani kama amesikia chochote huyo bwana.
😂😂😂😂😂watu wanastress za maisha hawajalala home
Amelaaniwa anayemtegemea mwanadamu
Mwisho wa huyo dada ilikuwaje kumalizua stori inapendeza mtumishi
😂😂😂😂 watu hatuonani barabarani
Maubiri yako yanatusaidia sana baba
Too sad. Ila binafsi nitaumia ila kamwe siwezi kuwa kichaa. Mungu wangu yu hai. Yaani watoto wangu ndo watakuwa point of motivation. Dada angeumia angelia na angechukua wanae wakarudi zao USA.
Roho ya uvumilivu wengi hawawezi.piaa inategemea labda Ni pressure imepelekea haya yt😭
Mtu kufikia hatua ya kuwa kichaa sio hiari yake ni inatokea automatic( involuntary) hata wewe inaweza kukuta hiyo hali sio kitu unaamua kikubwa nikumuomba Mungu akuepushie na kukusaidia unapoingia kwenye majaribu magumu kama haya 😢
@@johnmapunda3474 Hapana kamwe haiwezi tokea. Ninajijua na nimepitia mazito ila nilivuka na sijawa kichaa. Unakuwa kichaa kwa sababu ya maumivu unayaruhusu yakae muda mrefu. You have to fight hasa ukiweka watoto wako mbele kuwa wanakuhitaji kuliko kitu chochote kile.
Hawajawah kusoma wala hawajui kusoma na pesa nimetuma wala siangaik kujichanganya nipate kichaa namtupia Mungu na majibu atayapata tu, ndioo
Hawa ndio binadamu😭😭😭😭, mwaminifu ni Mungu peke yake..
Huyu mchungaji nampenda vile anatoa mifano ya mafundisho
Nakupenda sana
Oh dear may God punish this man,
Mafundisho mazuri na yamenijenga sana,,,,,, japo ulisema hutoitaja nchi ............😂
DUUUUUUH
Na hicho kibanda hasara kitakuja kuwehuka ogopa machozi ya wale watoto
Na yeye awe kichaa.
Hafahi huyo mwanaume
Jasho la mtu haliliwi mwenye kiburi hafikagi mbali.
Hizi story zingine, ni mifano, ukiangalia si kweli, si alipata Green visa kwanini ahangaike hivyo. Mzee wa mastori.
Green card siyo tiba ya kichaa!
Pole sana kwa akili zako finyu unadhani ukija nchi za watu unaanzia on top?! Kama una akili lazima ufanye side hustle. Unadhani ni lele mama? Green visa doesn’t guarantee you perfect life abroad.
Kwani angeenda aje akiwa mwenda wazimu? Yes,ni mzee wa story lakini elewa anacho kisema kwanza kabla ujamuhukumu.
Kuna siku yatakukuta ndo utaelewa Nini amefundisha
@@amyesanga2004 nachosema hujaelewa, nipo na mungu na sina mambo ya udanganyifu na sifanyi kitu bila kumshirikisha mungu. Siwezi kukutwa na jambo lolote baya. Acha kumtegemea mwanadamu. Ushindwe kwa jana mungu.
Laana hii
😭😭