Kwani nyie serkal away watu huwa mna wachukuliaje mbona Kama iincha washa fanya Shamba la Kila mtu kutumia imani na mazabau vibaya kwanini lakin selkal tuna waomben jamani shugulikien Aya mambo kabra watu hawajaanza kufanywa Kama Kenya kufunga mpaka kufa tafazaln sana
Hamna nabii uhuni tu
Fukuza wakongo wote😭😭😭wanakuja kujifanya watumishi
Ok huyu ni mkora
Mwenye kusikia na asikie haya, ambayo roho wa bwana anena kwa mataifa!" Akiri za kuambiwa changanya na zako, shida ni hapa🧏🧏
Wakongo wanajua wa Tz, ni mbumbumbu, kwahio wanakuja wamejipanga
Baada ya mda kunawatu watalizwa apo.
Kiboko ya wachawi mwingine huyoo😂😂😂😂😂
Fukuzeni na hili likongo
Serikali muyafunge haya makanisa uchwara
Hawa wakongo ni watu wa kufukuza kabisa wengi ni matapeli awafundishindi Neno la MUNGU 😢😢😢😢wanawaibia Wajinga furani
Kwani nyie serkal away watu huwa mna wachukuliaje mbona Kama iincha washa fanya Shamba la Kila mtu kutumia imani na mazabau vibaya kwanini lakin selkal tuna waomben jamani shugulikien Aya mambo kabra watu hawajaanza kufanywa Kama Kenya kufunga mpaka kufa tafazaln sana
hahaha hahaha 🤣🤣🤣