Mnapoongelea maandiko msitumie maneno yenu binafsi kufafanua and ikon, siasi hiyo. PIA NAOMBENI KIPINDI CHENGINE NIITWE NIPEWE NAFASI KUHUSIANA NA MADA YA ISRAEL.
Swali langu, from Moses we have 10 commandments and bibles they are holy and Jesus fulfil them and also Jesus has 2 commandments on which if they are done fulfils the 10 commandments, to avoid confusion when the teacher here said love your God with all your heart this means is fulfilment of 10 commandments and including those two Jesus mentioned. You can’t say you love God with all your heart and break 10 commandments. I just wanted clarify this
😂😂😂😂, ujinga? Unakifahamu kitabu chako vzr? Nenda kasome ukiondoa hadithi za mtume ni copy and paste biblia ndg yangu. Llugha ya kiarabu inawanyima ukweli tafuta tafrisi yake ukasome vzr uelewi ni agano la kale copy and paste. And thats a fact 👏🏼
Yesu hakuwa mkristo wala muislam yeye alikuwa masihi dini yake ilikuwa ya kiyahudi ambayo ipo mpaka leo kutokana huyo yesu masihi yani kwa kigiliki kristo imani ya ukristo imeanzia kwake, watu wa kristo watu wa masiha yani wakristo
Mwalimu Kuna kiongoz I mkuu wa ile dini nylingine anafundisha kuwa waizrael walipo sasa ni zile kabira 2 zilizopelekwa Babel na zile 10 Bado hazikurudi hadi Sasa.Tufafanulie hapo.
KWANZA MGEJUA HIYO BIBLIA ILITOKA NCHI GANI ? NA KWNN AKUNA ANAYEJUA BIBLIA ILITOKA WAPI ?.HILO KWANZA.. KWSSB HIYO BIBLIA BW YESU AKUICHA HATA KUIONA HAKUWA KUIONA...UNAKUTA ETI KAMA HUYU ANAITAFSILI BIBLIA LAKINA AJUI LOLOTE...YESU HUO UKRISTO AKUUACHA WALA AUJUI MNATUNGA UONGO ALAFU BILA HAYA...
Wewe ndio hujuo biblia imetoka wapi, tukuelimishe tu, bibloa ni andiko takatifu la mungu nq imetoka kwa mungu. Mungu alotumia wanadamu kuiandika wakiongozwa na roho yake takatifu. Wanadami hao hawakuandika maoni yao au mambo ao bali waliamdika kile ambacho Mungu alikisufia kiandikwe na kiwafikie wanadamu wote katika ulimwengu hui bila kujali lugha wala kabila, ndio maana leo bibloa ndio kitabu pekee kinachopafikana kwa urahisi dunoa nzima, na kwa lugha zote mpaka za makabila madogo Mungu alikusudia watu wa mataifa yote ukiondoa wayahudi nao wapate lkumjua Mungu. Na ndio maana hata ukienda uharabubi biblia unaikuta kwa kiarabu na ukija tz unaikita kiswahili na hata kilugha ukiyaka unapata. Hiyo ndio biblia kaka.
Vipi kuhusu wale waliomwambia Pilato kwamba Yesu asulibiwe, na damu yake iwe juu yetu na watoto wetu…” hawakuwa Wayahudi? Au walikuwa ni Wayahudi wamchongo!!
@@BarnabaBuhoma wale walikuwa wayahudi wa asili. Hawa wayahudi wakizayuni ni waturuki kabila la khazar walioamua kufuata dini ya Ibrahim (ya kiyahudi). Wakafurushwa Uturuki na kuhamia ukaya hasa Poland, Ukraine na nchi zingine ulaya mashariki wachache Uingereza na Ufaransa. Mfano Netanyahu ni mpolish. Jina lake halisi la kipolish ni Mileikowsky. Na huko waliuawa na kufukuzwa. Ndipo walipotafutiwa eneo Palestina 1948 kwa nguvu au vita iliyodhaminiwa na Uingerezs na Marekani. Wayahudi wa asili hawajawahi kuhana Palestina. Wanaishi kwa maelewano na warabu.
@@MsafiriMbwana Utafiti wenu unakosa ushahidi wa kihistoria… hata Mimi ni mtafiti. Nimekuwa nikitafiti suala hili kwa mda mrefu, Ila sasa nimeshajua u kweli uko wapi. Hata utafiti wa Ngonyani, siutulii mashaka hata chembe. Hapa si suala la ushabiki..
@@MsafiriMbwana kuna wale wanaosema eti kina Paulo walikuwa weusi!! Sijui Yakobo na Ibrahimu. Wakati Ibrahimu alitoka Iraq 🇮🇶.. na Kabila alilotoka la Kikudhi lipo mpaka leo hii. Sasa unasema eti Ibrahimu alikuwa mweusi? Vipi kuhusu Ishameli mtoto wa Ibrahimu aliyemzaa na Yule kijakazi wa Kimsiri? Mbona Ishameli kizazi chake, yaani Waarabu, mbona sio weusi? Hapa ndipo ninapopingana na watu wanaosema eti wa Misri wa Zamani walikuwa weusi. Hawakuwa weusi. Wangekuwa weusi, Waarabu wangekuwa Weusi. Maana mama yake Ishameli alikuwa Mu Misri.
Naijua dhiki yako na umaskini wako lakini u tajiri, najua na matukano ya hao wasemao ni wayahudi nao sio, bali ni sinagogi la shetani UFUNUO 2:9
Usiwadanganye watu Waisrael was Sasa sio wale was biblia Soma ufunuo 2:9 hawa ni wale wa sinagogi la Shetani wananao kumbatia ushoga
Jua kwanza sinagogi ni Nini ,ninyi si m asemaga sinagogi ni msikiti? Sasa hapo ujaze wewe nani ni washetani .
Mnapoongelea maandiko msitumie maneno yenu binafsi kufafanua and ikon, siasi hiyo. PIA NAOMBENI KIPINDI CHENGINE NIITWE NIPEWE NAFASI KUHUSIANA NA MADA YA ISRAEL.
Swali langu, from Moses we have 10 commandments and bibles they are holy and Jesus fulfil them and also Jesus has 2 commandments on which if they are done fulfils the 10 commandments, to avoid confusion when the teacher here said love your God with all your heart this means is fulfilment of 10 commandments and including those two Jesus mentioned. You can’t say you love God with all your heart and break 10 commandments. I just wanted clarify this
God of Israel, is the only God! nobody like him halleluyah❤By David Kalama from Tanzania/ in Arusha region.
Yaani ukweli upo Kwenye Quran ya ALLAH tu Hawa wamelishwa ujinga kichwani hawajui
😂😂😂😂, ujinga? Unakifahamu kitabu chako vzr? Nenda kasome ukiondoa hadithi za mtume ni copy and paste biblia ndg yangu. Llugha ya kiarabu inawanyima ukweli tafuta tafrisi yake ukasome vzr uelewi ni agano la kale copy and paste. And thats a fact 👏🏼
Wayahudi ni kabila moja kati ya makabila 12 ya Israeli, sio kila mwisraeli ni myahudi, kuna walawi wagadi, wanaftali, N.K. fikra zikombolewe.
Vitabu 4 tu ..tora injili zaburi qur ani ....bibilia imetoka wapi nA hawo mnawo watetea mazAyuni ukiristo wanaupinga ..
Hoja zako ni mbovu ww umemuona wapi mtu kasoma vitabu vya uganga na freemason toa oja zeje mashiko
Amri za mussA na yesu ni hizo hizo kumtAmbua mungu mmoja tu ..na wote ni mitume
Dini yA yesu ni ipi ..kristo ni jina ..dini yake ipi
Unachelewa Kwa kukosa maalifa jamani Hadi huluma!!!
Yesu hakuwa mkristo wala muislam yeye alikuwa masihi dini yake ilikuwa ya kiyahudi ambayo ipo mpaka leo kutokana huyo yesu masihi yani kwa kigiliki kristo imani ya ukristo imeanzia kwake, watu wa kristo watu wa masiha yani wakristo
Mwalimu Kuna kiongoz I mkuu wa ile dini nylingine anafundisha kuwa waizrael walipo sasa ni zile kabira 2 zilizopelekwa Babel na zile 10 Bado hazikurudi hadi Sasa.Tufafanulie hapo.
Acha uvivu soma histolia chunguza maandiko utajua waliludije kutoka huko babeli ambayo NI Iraq ya sasa
Dini ya uyuda ni ipi ..na huyo iziraili dini yake ipi
Amazing teachings
KWANZA MGEJUA HIYO BIBLIA ILITOKA NCHI GANI ? NA KWNN AKUNA ANAYEJUA BIBLIA ILITOKA WAPI ?.HILO KWANZA.. KWSSB HIYO BIBLIA BW YESU AKUICHA HATA KUIONA HAKUWA KUIONA...UNAKUTA ETI KAMA HUYU ANAITAFSILI BIBLIA LAKINA AJUI LOLOTE...YESU HUO UKRISTO AKUUACHA WALA AUJUI MNATUNGA UONGO ALAFU BILA HAYA...
Wewe ndio hujuo biblia imetoka wapi, tukuelimishe tu, bibloa ni andiko takatifu la mungu nq imetoka kwa mungu. Mungu alotumia wanadamu kuiandika wakiongozwa na roho yake takatifu. Wanadami hao hawakuandika maoni yao au mambo ao bali waliamdika kile ambacho Mungu alikisufia kiandikwe na kiwafikie wanadamu wote katika ulimwengu hui bila kujali lugha wala kabila, ndio maana leo bibloa ndio kitabu pekee kinachopafikana kwa urahisi dunoa nzima, na kwa lugha zote mpaka za makabila madogo Mungu alikusudia watu wa mataifa yote ukiondoa wayahudi nao wapate lkumjua Mungu. Na ndio maana hata ukienda uharabubi biblia unaikuta kwa kiarabu na ukija tz unaikita kiswahili na hata kilugha ukiyaka unapata. Hiyo ndio biblia kaka.
Ubalikiwe mtumishi wa mungu amen 🙏
Ubalikiwe mtumishi wa mungu
Sheria ya Nchini ISRAEL Hairuhusu kufanya ANCESTRAL DNA!.
Kinachofanywa ni DNA Ya kawaida ambayo huwa haikuambii UASILIA WAKO.
Mm nawaelewa sana ila Sasa watu wanaishi bila kujua tuko kwenyeee nyakati za mwishoo
Wayahudi sio wakiristo Wala hawamkubali YEDJ
Wazayuni si damu ya Yakobo na hawamtambui Yesu. Wayahudi wa Yakobo wanamkiri Yesu
Vipi kuhusu wale waliomwambia Pilato kwamba Yesu asulibiwe, na damu yake iwe juu yetu na watoto wetu…” hawakuwa Wayahudi? Au walikuwa ni Wayahudi wamchongo!!
@@BarnabaBuhoma wale walikuwa wayahudi wa asili. Hawa wayahudi wakizayuni ni waturuki kabila la khazar walioamua kufuata dini ya Ibrahim (ya kiyahudi). Wakafurushwa Uturuki na kuhamia ukaya hasa Poland, Ukraine na nchi zingine ulaya mashariki wachache Uingereza na Ufaransa.
Mfano Netanyahu ni mpolish. Jina lake halisi la kipolish ni Mileikowsky. Na huko waliuawa na kufukuzwa. Ndipo walipotafutiwa eneo Palestina 1948 kwa nguvu au vita iliyodhaminiwa na Uingerezs na Marekani. Wayahudi wa asili hawajawahi kuhana Palestina. Wanaishi kwa maelewano na warabu.
@@MsafiriMbwana Utafiti wenu unakosa ushahidi wa kihistoria… hata Mimi ni mtafiti. Nimekuwa nikitafiti suala hili kwa mda mrefu, Ila sasa nimeshajua u kweli uko wapi. Hata utafiti wa Ngonyani, siutulii mashaka hata chembe. Hapa si suala la ushabiki..
@@MsafiriMbwana kuna wale wanaosema eti kina Paulo walikuwa weusi!! Sijui Yakobo na Ibrahimu. Wakati Ibrahimu alitoka Iraq 🇮🇶.. na Kabila alilotoka la Kikudhi lipo mpaka leo hii. Sasa unasema eti Ibrahimu alikuwa mweusi? Vipi kuhusu Ishameli mtoto wa Ibrahimu aliyemzaa na Yule kijakazi wa Kimsiri? Mbona Ishameli kizazi chake, yaani Waarabu, mbona sio weusi? Hapa ndipo ninapopingana na watu wanaosema eti wa Misri wa Zamani walikuwa weusi. Hawakuwa weusi. Wangekuwa weusi, Waarabu wangekuwa Weusi. Maana mama yake Ishameli alikuwa Mu Misri.
tofauti ya wayahudi wa yakobo wanaomkiri YESU na wayahudi wa asili ambao ndio walitaka YESU asulubiwe ni ipi?,