Safi sana kamanda wangu
Kweli mchangokwa SATIVA ni sehemu ndogo mno katika ulimwengu wa haki na amani. Agizo la Rais kwa IGP kuhusu utekaji lingekuwa suluhisho kwa hayo yanayoendelea. Kama tulivyosema kuhusu uhuru wa vyombo vya habari kwamba kauli tu bila kubadirisha sheria ni bure, kubadirisha jina la Tume ya uchaguzi bila kubadirisha sheria yenyewe ni bure na ndivyo tunaunga mkono wazo la Mhe Lema kwamba kauli ya Rais kwa IGP itakuwa na faida zaidi kuliko mchango.
Mhe Lema Huu Mkoa ulikuwa unamilikiwa na CUF lakini baada ya kusambalatika wengi hawakuwa na mahali pa kwenda , hivyo CCM wakajipatia kiota sasa tunaamini kwamba baada ya CDM kukumbuka Mkoa huu mambo yatabadirika
mh Lema akili kubwa sana nakukubali kiongozi unapont kiukweli
CHAMA IMARA KABISA SINA SHAKA NA CHADEMA
Lema tusaidie kuwakamata baba
Nchiii yanguuuuuu Tanzanian
Lema ni kichwa kikubwa Sana chenye akili
Kamanda uwachane ukweli wao