DIDA ACHARUKA, ASHUSHA KICHAMBO WANAOMSEMA kwenye MAHUSIANO YAKE - " SIOGOPI KUACHIKA"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
- www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Dida mm Huwa nakupenda sana dadangu jiachie dada from kenya
Santaaa dida kwa raha zako much love from Kenya 🇰🇪❤🫶❤
Mr Nana ana enjoy hapo kwa dida!!!! Maana Dida ako kwenye haba zito sana!!!!!!
Tuombe mwisho mwema wallah na iyi mitandao iyi innalilah wa innailay rajuun tujifinze kitu
Allha akupe kauri thabity dida umeondoka bado tunakiotaji❤
Dida wakuachwe nipe ujasili mamy enjoy ❤nakupenda mpaka nakuhurumia
Haya sasa dida tunakuekewaaa leo 7 /2/2024
Dada didaaaaa,,, njooo chukua peps baliiiiiiiid💋💋💋💋💋💋💓💓💓💓💓
Sawa Dida tumekuelewa😂❤
Bismillah astghafirullah ya ni unajisifu zinna subhanallah Yani utakihata kuhomba Allah akupemwichomwema yaan unajisifu utahijoyi pakasiku dunia itatafuka astghafirillah😢
Future participle tense😂😂😂.....pumzika dada❤😢
😂😂😂😂😂😂 mbona perfect. Hahahahahaaaaaaaaaaaaa hii ni present bhana😂😂😂😂😂
Dida ana sema sana 😂
Present perfect
Dida masikini kifo akina Uruma
😢😢😢😢😢😢
Uliopo ni present tense😂😂😂babu Iddi
Uwiiiii future anajua Mungu😂😂😂😂😂😂
Ila dida😂😂 et past participle tense….pumzika kwa amani mama😢🙏
😢😢😢😢didaaa
Rip😢
Safi Sana dida
Nyiewenyewe wamwea wa kuingiria maisha ya watu mkome
Imeniuma 😢😢😢😢
Warereeee mwanamke kujiamini bwanaaa ,Wueehwueeh jinafas kwa raha zako ama aje
Ila wamama wa bongo wanafurai sana wakiwa kwenye mausiano na sio ndoa na pia wanafurai wakitembea na vijana
Uzinzi umewatawala ndomna
Wanadumu kwenye uzinz ndoa hazidumu😂😂😂mtihan sn 😊
@@aishahasan7722 on my
😂😂😂😂😂maisha nimafupi
Sasa km daimond kakupost huyo daimond simzinzi mwenzio km ww tuu😂😂😂ukiolewa hudumu ila kwenye uzinz mnadum Astaghafirullah mtihan
Uko na wivu
Huyu mwanaume apunguze kudakia dakia bhana
English shida kwa Watanzania
asante dida umenifuraisha sana watu kuwa sema wenzao kuwa wakubwa wanatembea nawatoto mm mwenyewe yananikita uku dida jiachie
Da sawa 👏👏🥰🥰🥰❤️❤️❤️🤣🤣🤣🤣🤣
Kumb wameludian❤❤❤
Eti perfect wakati uliopo😂😂
😂😂
Waambie dada dida
Idris eti perfect wakati uliopooo hahaha na dida nae future participle tense daa sio poa kabisa
Dada ana uso mzito!
Kwenu..Kwa wezenu mnawasema..kweli uzinzi Bora kuliko ndoa. dunia lnafika mwisho..
Dida wewe wa kawaida sana yaani unajionankeki sanaaa unajiona nzuri sanaaaaa
Punguza wivu🤣🤣
Mapenzi haya chaguwi ubri jamani ila hakikisha unapendwa kisawasawa
Present tence, past tence, and continuous tence. 😂😍 R.I P Dida....🙏
Jaman kwan masham sham mbn me kwangu aionekan king'amuzi cha antena na ailuki
Dida wewe ni kiboko! Upo sahihi
Watumishi wa wasafi vipi na kutosoma
Kun'guta jambo hahahaaaa
Nimecheka mno leo jmn 🤣🤣🤣
Wakati ni wako dida injoy
Ww jini kabuka ulipiwe ww umri huo subiri kaburi tu sura ishatangulia ahera hiyo
Daaah
😢@@JamilJamil-t2u
😢😢😮
Hao vijana unao fanya nao kazi wanakudanganya,wenyewe Bado vijana ww bibi tulia,, ,,pumzi isikudanganye.
Bibieee kwendraaa tuxhakuchoka hvyo
Kipindi wamwachie dida huyu chawa anatunyima uhondo hana pont asiongee sana apunguzw sifa
Chamba kabisa hao mbwa wananikela hata Mimi
Wacha weee!!! Dida
Ww sio mwanamke WA kitanga mwanamke WA kitanga hachiki ovyo ww ustudhalilishe as
Kuachik nisiri y watu wawili.kuwa watanga n kuachik nivitu tofaut
Km kujificha awez mbona kumbila moto alimficha
Umeonaeee hatuwah kuona hata siku moja mdomo mwingi kujitetea
Mbn nyie mnaongeleaga ya watu😮
Dida onana unafunga magoli yako watu wanachukia wew endelea kufunga
Tatizo umli ww nimtumzima. Soovizuri. Kuana. Adabu pia
Idrisa munafiki dida wanakushora😁😁😁idrisa simuamini apo
Dida tuliya zamu yako Leo lazima tujuwe yote
😂😂😂😂😂
Mbona yule muheshimiwa meya ulimficha mpaka tukaona ndoa tu
ule alikua kizeeeee😂😂😂😂
Alikua mme wa mtu na uzee pia
Muheza
Mdomo una umba didaa lakini
😂😂😂😂😂😂😂😂😂