As long hujapewa talaka dida bado ni mke wa mtu labda ujitoe ufahamu tu lkn kama kweli unaijua dini huwezi subutu na kusema umeachika wakt bado hujapewa talaka ni mke wake halali kabisa
Dida kwani wewe ukiwa wa tatu tatizo liko wapi, kama upo wa pili akiwq wq Tatu tofauti yako nini.ACHA UJINGA DIDA WEWE MTOTO WA KIISLAM.MDOMO UNAKUSUMBUA SHOGA.SIO KUJISIFU ACHA USHAMBA LEO KINACHOKUPA KICHWA NI KUFANYA KAZI WASAFI AU?
Mtihani kweli kweli yaani kama hata ndoa za mwanzo hakupewa talaka sijui kama ndoa ya muheshimiwa ni halali jambo muhimu waume muwe mnatakiwa kuiyona talaka kwa mtarajaliwa wako kama alishawahi kuolewa
Yaaani harusi ilivyotangazwa kipindi watu wakatoa michango mikuuubwa harusi kuuuubwa afu ukaa ndani ya ndoa miezi 2... yaani wanajuuuta na michango yao kabisaaaaa
Ila dida ukiwa Kama kioo Cha jamii hutakiwi kuolewa na kuachika ukafurahi. Angalia watu wengi wapo nyuma yako wanatakiwa wajifunze kupiria kwako. Kuolewa na kuachika mara 4 sio ufahari kabisa. Muombe MUNGU Hilo Pepo litoke uvumilie kwenye ndoa alafu wadogo wako huku chini tukajifunza kupiria kwako
Ukiwa unachwaachwa jiulize una kasoro gan shida yawewe Uwezi kukaa na mwanaume eshima una Domo limekizd yan wewe ni km oteli 2 watu wanalala wakiamka wanasepa jichunguze alafu chukua atua
Dida umeckia vzr kwenye mitandao na miwani yako km mchomelea mageti 🤣🤣usituzeveze hp 🤣🤣nadhn dida ndoa ilimshinda kwa 7bu ya kumbi la moto kuoa mke wa 3 🤣🤣🤣sawa Huna mume tumekuckia na sio single lady ni single mother ww bhn lady itokepi🤣🤣🤣
Kwani dida una kitu gani special na kikojoleo kama cha wenzako
Dida kama sio wewe vile,,,lingekua na mwingine ungecheza atareee🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
As long hujapewa talaka dida bado ni mke wa mtu labda ujitoe ufahamu tu lkn kama kweli unaijua dini huwezi subutu na kusema umeachika wakt bado hujapewa talaka ni mke wake halali kabisa
Dida nakupenda sana yani mungu akupe maisha marefu my dear
Nimecheka mpaka nimesaau shida zote za dunia,endeleeni kutufurahisha,
Dida mbona umekuwa mkariii😅😅
Kwanini mnachangishaga watu michango lakini hasara tu
Dida bado wewe ni fiwi. Subir talaka ukae eda
Wewe dida Rudi Kwa mmeo Acha ujinga umeshakuwa MTU mzima
Sio kua huna ndoa,ni imeachwa sababu Una domo kubwa na linanuka,na nilikuambia waniacha mm Kwa sababu Una kazi Ila nilikuvumilia na domo la kunuka
Dida kwani wewe ukiwa wa tatu tatizo liko wapi, kama upo wa pili akiwq wq Tatu tofauti yako nini.ACHA UJINGA DIDA WEWE MTOTO WA KIISLAM.MDOMO UNAKUSUMBUA SHOGA.SIO KUJISIFU ACHA USHAMBA LEO KINACHOKUPA KICHWA NI KUFANYA KAZI WASAFI AU?
🤔👀
😂😂😂😂watu wanaona dunian wamefika hakuna kwingine
😂😂😂😂😂naceka miye pole dida
Dada dida Huwa nakupenda sana nimuwazi sana huwa upendi kukaa nakitu moyoni mungu akujaalie
Mtihani kweli kweli yaani kama hata ndoa za mwanzo hakupewa talaka sijui kama ndoa ya muheshimiwa ni halali jambo muhimu waume muwe mnatakiwa kuiyona talaka kwa mtarajaliwa wako kama alishawahi kuolewa
Kabisa tena mtoto wa kislamu anaongea maneno kama hayo kweli yani hana hata hofu na muumba wake nasfi inamuhadaa
Wasafi tupopamoja
Yaaani harusi ilivyotangazwa kipindi watu wakatoa michango mikuuubwa harusi kuuuubwa afu ukaa ndani ya ndoa miezi 2... yaani wanajuuuta na michango yao kabisaaaaa
Yaan ni hatari sana
🤣🤣🤣🤣
dida una pua kubwa sana limekaa kama LA kiume loh, ucwe unawasema wenzio
HaCker wa video za WASANII ANASWA Kenya
th-cam.com/video/iPYLzGpU5pE/w-d-xo.html
Hahahaha
😅😅
🤣🤣🤣daaah mungu akusamehe bure
Dida co mzuri ni wakawaida Sana sema ni hela Zina mbeba anajipendezesha ndio mana anaonekana hivyo na umaarufu pia unambeba.
Juma kwa umbea jamani afalio tuzo🤣🤣🤣
Si kwa uvaaji huo dida umeshakua mtumzima ujiheshimu uvae vizuri my
Sasa huyo dida gume gume alioshindikana aolewe na nani labda mwanaume ambae hajitaki
@@fadhilaongezaongeza226 mwanamke mcharuko kama huyo wa nini huyo ni msumbe sugu haoleki hata Kwa nini
Ila dida ukiwa Kama kioo Cha jamii hutakiwi kuolewa na kuachika ukafurahi. Angalia watu wengi wapo nyuma yako wanatakiwa wajifunze kupiria kwako. Kuolewa na kuachika mara 4 sio ufahari kabisa. Muombe MUNGU Hilo Pepo litoke uvumilie kwenye ndoa alafu wadogo wako huku chini tukajifunza kupiria kwako
🤣🤣🤣🤣 Dida anakuwa mkali 🤣🤣🤣🤣
sanaaaa amevurugwa
Dida kama dida ilanawapenda tu mnapo washushua pia mnajishushua love sana didaaaa mke halali muheshimiwa kimbilamoto
Mdigo wengi dida yamekukuta 😂😂 unawatizama na kucheka Mpka rahe nimejikuta nacheka nikitazama lokole na baby ali
Shida ni i
Ukiwa unachwaachwa jiulize una kasoro gan shida yawewe Uwezi kukaa na mwanaume eshima una Domo limekizd yan wewe ni km oteli 2 watu wanalala wakiamka wanasepa jichunguze alafu chukua atua
😂😂😂😂😂
Pua kama tunguja unajishebedua tuu eti mimii adija mpuaa .ulipoolewa hukujua yule kumbilamoto hana mke acha wehu
Mh Yani ungwkikua wa maana nungesema ila unavyojipaisha nakuona hovyo sanaaaa ww dada
😂😂😂,,,
Dida umeckia vzr kwenye mitandao na miwani yako km mchomelea mageti 🤣🤣usituzeveze hp 🤣🤣nadhn dida ndoa ilimshinda kwa 7bu ya kumbi la moto kuoa mke wa 3 🤣🤣🤣sawa Huna mume tumekuckia na sio single lady ni single mother ww bhn lady itokepi🤣🤣🤣
Dida❤
Dida alijitapa kumbi lamoto yupo nae miaka2 hakuna asichokijua kuhusu mh sasa kiko wap ndoa miez 3 😁😁
alisema miaka saba
Alisema miaka saba😂
@@Assam8885 ndoa miezi tatu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@heyumi2340 😂😂😂😂
@@salmahabdallah7203 hatariiiiiiiiiiii
Kwa uzuri ngan ukatae kuolewa mke wa 3 sura km nyani looooooh!!!
Kwani kajiumba yeye unamkosea Mungu unamtusi Mungu , MUOMBE MSAMAHA Mungu!
Dida leo kapatikana😂😂😂😂😂😂yupo out in 7 months 🙌🙌🙌😂😂😂😂😂mdomo komoooo😂😂
Sanaa hidari wa kusema ya wenzake
Yn dada libaya xn ili sjuw huko chini kupoje mana ilo domo nahuko chini ndo kupo pwaaaaa km ilo domo mfyuu
Dida kacharuka huyooo😁😁😁
Mzee wa kitaa hajui kucheza anarukaruka tu kama wazungu, ila Jumma lokole. Kiboko yupo vizuri sanaaa
Yani siwezi kosa hiki kipindi chenu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwani una kipi mpaka usiolewe mke wa tatu
Naili uwachike lazima uwe nataraka
Kelele tupu hamna nidhamu hovyo kabisa.
Dida nakupenda sana mungu akupe maisha marefu
Namunukuhu didy. I'm single lady lol 😜
Dida jaman nakupenda buru 😂😂😂😂😂😂😂
Leo,leo ni yako Dada kila siku ya wenzio leo Yakooo
Una shepu gani dida bhana!!
ATI kwa shepu, ipi hyo anaongelelea 😂😂
Dida kama makaka umepata SEMA lingine
Jameni dida haezi rudi uzito wakaburi Ajuwae nimaiti dida siyo mnafik nakama dida Amerudi hege ficha
Dida bado hajaachika ni mke WA MTU izo mbwembwe za TV Tu dida ni mke halisi WA MTU ni kweli Hana achika
Ndoa yako ipo kwangu
Hahaha Dida jmn🤣🤣🤣
Lokole bana
Wa pili watatu yote nimamoja wembe ni ulele tu ukiwa ume rudi heri inshallah
Dida Jimbo liko waziiii eeeeeee
hahahahahah
Dadaangu usibabaishwe muambie akiachwa achike
Nilijua tu akuna ndoa zilikuwa sinatafutwa hela wachangiwe wapige pesa duuuuuu
Nawapenda sana nyie watu jamani, zandaaani chiboko yao
WADADA TUHESHIMU NDOA KUZINI TUNAMUUDHI MUNGU ALLAH ATUSIMAMIE
Did katulia kama.maji ya mvua
WEWE HIDARI YA KUSEMA YA WENZAKO LAKINI LIKIJA LAKO UNAKUWA KAMA UMETIWA PILIPILI KICHAA HUKO CHINI KWA BIBI
Ina lillah waina ilah rajiun msibaa huu
Swadakta
Dida km umerudi kwa mume sio vibaya! Kwani kuna ubaya gani! Umekuwa mkali! 😅
Ikija posa hatupokeii unatusumbuaa
Mnanikosha sanaaaa nyie vijana yaaani naipenda sana Mashamsham 😢 yaaani ukiwa na mawszo. SIKILIZA MASHAMSHAM
Jimbo hiloooo
JIMBO LIPO WAZI
Lovely 🌹 Da dida
Hee kumbe hao ni gays amewaita dida
Nakupenda sna my sista
Nakupenda Ddida hahhaha WAP michambo..hahahah nakula nashiba km mnavoshiba nyie
ACHIKEE NINIII JICHOOO LA YULEE BABA NI TAMU MNOOO
Nakupenda sana Dida kwa msimamo wako
Ndoa nikujamiana kma hakuna hilo hakuna ndoa hp
Dida Mimi nakupenda sana
Dida nakupnda bure nataka kuongea na ww
Kwani lazima utoe hadi makohozii 🤣
Dida leo😂😂😂
Dida maneno unayatupa ayo mwanaume anao akiamua ata mke uweje so chunga maneno
Jamani mke huyo hamtaki kuowa hapo😶
Dida pole dada ake ndio kazi
Wewe .uislam usiwe mkali
Wote weu
Dida amerud kweli
Mdomo huo km birika ya kahawa
Mtihan
Ndoa ni kher
Acha ujinga dida
Did. Bona mkali
akili za Dida nazipendaaaaa😂
Saaana
Kumbe dida aliolewa mke wa4
HACKER WA VIDEO ZA WASANII ANASWA
th-cam.com/video/iPYLzGpU5pE/w-d-xo.html
Dida kapendez
Dida weee
Hivi juma umevaa nini kipepensi au macho yangu
Juma lokole unapendaaa
Huwa mnanifulahisha sana nyie🤣🤣
I just love Dida wallah.😅😅
Dida una viboko vyko kumbe umerudi kwa muadhama🤣🤣🤣🤣