MAMA ALISEMA AMENIOKOTA / SIKUPATA MAPENZI YAKE / SIMJUI BABA YANGU KABISA - ESHA BUHETI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 203

  • @Bethsheba-mw2ri
    @Bethsheba-mw2ri หลายเดือนก่อน +2

    Pole esha mama ni mwalimu kuliko mwalimu yoyote hapa duniani hakuna wa kumwekezea shida zako tofauti na mama nimekukumbuka mama yangu pumzika kwa amani mama,😭😭😭😭

  • @lydiaremigius7474
    @lydiaremigius7474 2 ปีที่แล้ว +24

    Buuheti nakupenda sana pia wewe ni mwamke shujaa sana umesubutu kusema hadithi ya maisha Yako na uliyo yapitia Mungu aendelee kukutia Nguvu 🙏🥰, Hadithi Yako nitamsikilizisha mtoto wangu ili ajifunze kupitia wewe , pia Mungu akiendelea kutuweka dunian nitakutafua nimekupenda sana , Pia tuendelee kumuombea mama Ako apumzike kwa Amani alikua anakupenda ndio maaana alikwambia ukweli , pia alikua anakufunza mengi.💕

  • @msuyaothman9591
    @msuyaothman9591 2 ปีที่แล้ว +24

    Rudi kwa Allah ... Fanya yanayomrifhisha Allah... Duniani tunapita... Magumu ulopitia jua kua hakuna wa kukupatia faraja ispokua ni Allah pekee... Rudi kwa Allah fanya ibada ... Coz dunia hii hata ukaipewa yote Kama hufuati alivyoamridha muunga kuacha makatazo yake huwezi kamwe kua na maisha Raha duniani kaburini na kesho Akheerah...
    Nakupenda kwaajili ya Allah .. Nakuomba urudi kwa Allah kikamilifu...

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 ปีที่แล้ว

      Naam ujumbe mzuri.

  • @user-br3sc8bm4t
    @user-br3sc8bm4t 2 ปีที่แล้ว +3

    Pole sana da Esha hayo maisha wengi tumepitia nililelewa na bb nikiwa shule bibi upika na kuniwekea mama akija uchukua na kusema msiniharibie mtoto ALHAMDULILLAH amenipa uthubutu leo hii nipo nje ya inchi nafait maisha yangu

  • @sharonyasin7521
    @sharonyasin7521 2 ปีที่แล้ว +13

    Usilalamike amekufundisha maisha ya kuchapa kazi.pole mwaya tupo wengi,

  • @emmanuelmchomvu2676
    @emmanuelmchomvu2676 2 ปีที่แล้ว +31

    Yaan usilalamike kutomjua baba cz wengne tuliwajua ila hawakuwa msaada wowote Ad nw nimekuwa mtu mzm Niko n maisha yngu...

  • @salmamlapakolo4783
    @salmamlapakolo4783 2 ปีที่แล้ว +8

    Umeniliza Esha. Pole sana. Mungu azidi kukupambania InshaAllah

  • @hildahtemu9060
    @hildahtemu9060 2 ปีที่แล้ว +27

    😢Daaah kumbe bila baba naweza nami😢kuanzia leo ckuwazi baba💪

  • @evilynbetha2350
    @evilynbetha2350 2 ปีที่แล้ว +15

    Waaaa your story is like my story only God knows

  • @bakarykijazi293
    @bakarykijazi293 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu azidi kumjalia zaidi yahapo alipo huyu dada amepitia magumu mapema sana Esha mungu akubariki sana

  • @NadyaShadrack
    @NadyaShadrack 2 หลายเดือนก่อน +1

    Unanikumbusha mbali sana.nilipitia baadhi japo mm nilikua na baba na mama.daa Leo nami nimejua maana ya hayo maisha .r I p mamangu .Pole eshe nakuelewa

  • @tunuharun116
    @tunuharun116 2 ปีที่แล้ว +15

    UKIWA AU UYATIMA ni mbaya sana mungu niweke wanangu hadi waweze kujitegemea Mateso na chuki nilizopitia asipitie mwanangu au wanangu nililelewa na baba mdogo kama baba wa kambo aliyokuwa akinifanyia

    • @hawamsanga3714
      @hawamsanga3714 2 ปีที่แล้ว

      Amina

    • @arafahaji
      @arafahaji ปีที่แล้ว +1

      Na wengi wa hao mayatima ndio huaga wanateseka sana wamama tuwe na huruma na watoto wa wenzetu kwani Kuna siku Basi pia tutakufa

  • @catherahma1771
    @catherahma1771 ปีที่แล้ว +3

    Mama ako kweli alikua anaroho Kama rangi yake.MashaAllah.Tulimzoea Kama Halima Mzungu.Ila Bibi ako alikua mpishi mashaAllah umerithi

  • @lolagodwin113
    @lolagodwin113 2 ปีที่แล้ว +3

    mamaako ni good mama sana alikuwa anakuandalia leo yako da eisha your strong now

  • @fatumamohammed7082
    @fatumamohammed7082 2 ปีที่แล้ว +6

    Esha pole endapo umenifanya nilie na kumkumbuka mtu muhimu katika maisha yangu mume wangu aliyekuwa ananijali na kunisamini na kunitunza aliyekuwa baba Bora wa watoto wangu nimekuwa wakulia Hakuna anaenisaidia sasa na ukiangalia ameniachia watoto watatu ambao wote nimepokonywa nimebaki mm kama mm maumivu haya hayawezi kuisha pole

    • @jackyluns8224
      @jackyluns8224 2 ปีที่แล้ว +1

      Pole sana Fetty kwa kufiwa mumeo

    • @fatmarashid2066
      @fatmarashid2066 2 ปีที่แล้ว +1

      Pole Sana changamoto za maishahizi mola atakusaidia

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 ปีที่แล้ว +1

      Kakupokonya nani?

    • @barikiSwai
      @barikiSwai หลายเดือนก่อน

      000

  • @gracelyakurwa6280
    @gracelyakurwa6280 2 ปีที่แล้ว +5

    Aseeee nimelea Sana maan km historian yako inafanan na yangu bora wewe ulipata elimu Mimi ht sikupat niliishi kwa shida 😭😭😭😭😭😭

  • @abuuissa1819
    @abuuissa1819 2 ปีที่แล้ว +1

    Mm simjui baba angu sijawai kumuona hata kwenye picha, nakipenda sana mama angu m/mungu akuweke miaka 100 na zaid

  • @uuuuiiii3917
    @uuuuiiii3917 2 ปีที่แล้ว +2

    Pole sana dada Esha mungu qqkutie nguvu kwakweli unaniliza namie

  • @abdularuffin9308
    @abdularuffin9308 2 ปีที่แล้ว +4

    Esha pole sana sisi tupo mama zako tunakupenda sana tu

  • @emmanuelchaula6682
    @emmanuelchaula6682 2 ปีที่แล้ว +5

    Dada shukuru kw kila jambo shukur kuzaliwa na mama uyo..hayo maisha sote tumepitia na ndo izo akil zake za kujiajir leo ..onestop kumsema mzaz wako!

    • @somoeally9592
      @somoeally9592 2 ปีที่แล้ว

      Exactly Kuna wengne tumeishi maisha hata kula ni shda ukienda shule ukirudi patupu watu washakula

  • @ayshaky4399
    @ayshaky4399 2 ปีที่แล้ว +3

    Hii life mm nilipitia Sana tena mm niliachwa na Babangu ndo alinilea tokea niko na 2yrs old Hadi namuona mamangu nimekua mtu mzima niko na watoto 2 lakn mamaangu aliamua Tu kunitelekezwa. Hadi niliua naisha nikijua sina mamangu nadaganywa Tu juu hakukua na mawasiliano na kwenye babangu alikua akujua akahama Yan umri mzma nimekaa bila kujua Niko na mama juzi Tu 2018 ndo akajileta Yan hata sinaga Mapenxi na yeye kabisaa nampenda Tu kama mtu mwengine lakn Ile really love ya mama sina Ila pole Sana Dadangu hayo ndo maisha....😭😭😭😭

    • @dianamkita6571
      @dianamkita6571 2 ปีที่แล้ว

      Msamehe tu,,Mzazi ni mzazi tu...

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 2 ปีที่แล้ว

      @@dianamkita6571 huyo sio mama

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 ปีที่แล้ว

      Eti jamani mtoto wako unamuacha miaka hutaki kujua taarifa zake wala kujua anaendereaje jamani hapana mungu niepushe na hiyo roho

  • @sirielinnko5691
    @sirielinnko5691 2 ปีที่แล้ว +1

    Daaah pole tupo wengi kipenzi, ila tumshukuru Mungu hatukutupwa jalalani, tuendelee kumshukuru Mungu kwa Zawadi ya uhai .

  • @mrs2918
    @mrs2918 2 ปีที่แล้ว +20

    maskini alikosa mapenzi ya mzazi ndio maana anatafuta kupendwa na watu wengine 😥😥

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 ปีที่แล้ว

      Duh 🙄 !

  • @saitakitalika3293
    @saitakitalika3293 2 ปีที่แล้ว +2

    Daaah pole haya wanawake wengi tunapitia unapotendewa vibaya na uliyezaa nae huwa tu naona bora mtoto asimjue tu huyo baba jina

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 2 ปีที่แล้ว +7

    Kuna muda watoto wangu hawanielewi ila ninachokifanya mimi cha tofauti ni kuzungumza nao,kuwaeleza ukweli wa mambo, wengi tunapambana,wengi tiliwapoteza mama zetu tukiwa bado wadogooo sana,wengi hatukuelewa vitu viiiiingi na hivyo vilisababisha maumivu meeeeengi mioyoni mwetu lkn that's life ilimradi tuko hai tutafika

  • @mohamedzaina8585
    @mohamedzaina8585 2 ปีที่แล้ว +2

    Tofauti yako na yangu ni kwamba tu ulikua huna baba lkn kwenye swala la mikazi ya nyumbn na kutokudekezwa jaman yan mama ni mkali adi unaweza hisi ni mama wa kambo khaa.lkn nashukur mungu kanijengea ujasir naish popote na nina fnya kazi yoyote ile.

  • @tatumakadara5793
    @tatumakadara5793 2 ปีที่แล้ว +4

    Wengi tuko hivyo Eshe. Mshukuru MUNGU angalau amekuwezesha na umejitambua

  • @julianaandreea5836
    @julianaandreea5836 2 ปีที่แล้ว +6

    Uyu dada simlinzi yake utafikili tumezaliwa mama moja duh'😢😭

  • @soudothman4067
    @soudothman4067 2 ปีที่แล้ว +10

    Esha dadaangu hayo mapenzi tumeyakosa wengi ndio maana yanatupa ujasiri sanakupambana namaisha 🇨🇦

    • @TheSalma1999
      @TheSalma1999 2 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa mama zetu walikuwa wakali sana walikuwa na taugh love wajukuu sasa ndio wanadekezwa weh

  • @bahiyalumelezy3016
    @bahiyalumelezy3016 2 ปีที่แล้ว +2

    Pole sana inshaallah mungu akufungulie milango ya kher zaid na zaid maishani inshaallah😍

  • @halimaabduli6221
    @halimaabduli6221 2 ปีที่แล้ว +2

    Asante umenilea kwa mateso umenifundisha kazi mungu akubariki

  • @tulisamwel41
    @tulisamwel41 2 ปีที่แล้ว

    Pole sana dear. I can feel your pain but God is in control. God loves you. You are beautiful

  • @lolakimaro8767
    @lolakimaro8767 2 ปีที่แล้ว +3

    Pole Eshe Buheti mpiganaji, nakupenda sana na Mungu akubariki, yote ni mapito

  • @mwahijalukali2387
    @mwahijalukali2387 2 ปีที่แล้ว +1

    Mama yetu alitupenda sana tupo wanne hakuwah kupima upendo mapema sana kutuacha mapenz yake Mama hayana mfano kidonda changu hakitapona mm pole Da eshe😭🙏

    • @azizaaziza7996
      @azizaaziza7996 ปีที่แล้ว

      Mshkuru Alla sisi tulokosa mapenzi ya mama tuna umia kwakweli

  • @samaamin2501
    @samaamin2501 2 ปีที่แล้ว +6

    Pole sana pia mamako alikuwa shujaa tena mwenye busara. May god rest her soul in Firadous Al Janaa

    • @rayyanjuma1240
      @rayyanjuma1240 2 ปีที่แล้ว +1

      Ushujaa gani huo kumtesa mtoto hata dini haikufundisha malezi hayo

  • @MwajabuShabani-p2f
    @MwajabuShabani-p2f 21 วันที่ผ่านมา

    Pole eshe hata wanaokuonea kijicho nawashangaa sana

  • @habbyhalawa5266
    @habbyhalawa5266 2 ปีที่แล้ว +9

    Daaah umenifany nilie ulivyosema kun vile tunamiss mama zetu n kweli jaman😢😭😭😭😭😭

  • @maryhaule5625
    @maryhaule5625 2 ปีที่แล้ว

    Pole Sana Esha, mama wa mtu ni mama watu Hata umpende vipi ni bure

  • @rosehaule220
    @rosehaule220 2 ปีที่แล้ว +3

    Alikuwa anakufundisha kujitegemea ❤💋

  • @lovenesshadson3559
    @lovenesshadson3559 2 ปีที่แล้ว +6

    😭😭😭😭 umenilizaaa sana aiseee

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 2 ปีที่แล้ว +2

    Pole Sana Dada Esha wengi tupo hivo hatuna wazazi wa kiume

  • @rosehaule220
    @rosehaule220 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu yupo 👏

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 2 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana dada esha nakupenda sana

  • @nasmafarmsltd9146
    @nasmafarmsltd9146 2 ปีที่แล้ว +5

    Hayo maisha tumepitia weng ila tunafundishwa mie silaumu maana amenifanya niwe strong kumlaumu mzaz anaekufundisha ety anakutesa Huon saiv unamilik Mgahawa bila huon hyo sababuu

  • @rhodasamwel2485
    @rhodasamwel2485 2 ปีที่แล้ว

    Mweh,pole sana esha

  • @shamomar629
    @shamomar629 2 ปีที่แล้ว +7

    Mama yako hakukosea kukufunza kazi, alichokosea ni kutokupa mapenzi ya yake. Alitakiwa akupe mapenzi ya mama. Alikukosea hapo pole sana. Mnapendana sana vidonda vyake vya mahusiano vilimharibu. Psychological problem alikuwa nayo

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho8138 2 ปีที่แล้ว +1

    Pole saana mpendwa 😍😘😘🥰

  • @orishluka4241
    @orishluka4241 2 ปีที่แล้ว

    pole sana busheti mungu akufariji

  • @bilikhamis8963
    @bilikhamis8963 2 ปีที่แล้ว +6

    Akiamung umenilz miss you mamy😭😭😭🙏🙏

    • @nasliasuleiman6954
      @nasliasuleiman6954 2 ปีที่แล้ว

      Mdamwengine husda anaweza kufanyiwa mama kwamtotowake au mtoto kwamzazi wake binadamuwabaya

  • @fadyaalmansoor7795
    @fadyaalmansoor7795 2 ปีที่แล้ว +1

    Yametukuta dada na bado twapambana nao.futa machozi maisha yaendelee.

  • @anitahkim9857
    @anitahkim9857 2 ปีที่แล้ว +1

    usijali Dada ata mm nimepitia mengi Ila tulikua wengi sisi lakini on my side mama alikua ananichikia

  • @VanessaMwandu
    @VanessaMwandu 4 หลายเดือนก่อน

    Alikutengeneza pole sana Mungu amrehemu

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 2 ปีที่แล้ว +2

    Pole sana esha

  • @husnaali1610
    @husnaali1610 2 ปีที่แล้ว

    Dar polesana nasisi tulikosamapenzi yamama ila tuwaombee Dua wazazi wetu.

  • @binthamoudshariff5492
    @binthamoudshariff5492 27 วันที่ผ่านมา

    Subhanallah

  • @kaskas4764
    @kaskas4764 ปีที่แล้ว

    Waaah hii stori ni kma ya kwangu nakumis sana mmngu😭😭

  • @nyamoyanaomi7222
    @nyamoyanaomi7222 2 ปีที่แล้ว

    Mungu wetu daima yupo pamoja na ww

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 2 ปีที่แล้ว +3

    Dah mzazi ni mzazi tu
    Watoto waliyo kuliya kwa mzazi umoja huwa hawataki liwarudiye yani watoto wawo na wenyew wapitiye hayo
    ALLAAH atupe wenza ambao tuta dumu nawo🥶🥶🥶🥶

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 2 ปีที่แล้ว

    Pole sana

  • @merinajuma6948
    @merinajuma6948 2 ปีที่แล้ว +2

    Kinamama Kunachkujifunza hapa nimeumia kwel jmn😭😭😭😭😭😭

  • @happymwinyi6194
    @happymwinyi6194 2 ปีที่แล้ว +3

    Pole sana 😭😭😭

  • @magrethmallya7728
    @magrethmallya7728 2 ปีที่แล้ว +1

    Yaani usiongee maana unamkosea Mungu ujue!! Umzuri ujue halafu unajielewa. Kuna watu wapita pagumu kuliko wewe , wengine hata chakula hawapati.

  • @jcrackcrack1669
    @jcrackcrack1669 2 ปีที่แล้ว +1

    Nadhan Mimi ndio babake esha coz tumefanana Sana

  • @janemapoz6360
    @janemapoz6360 2 ปีที่แล้ว +2

    Inatukuta wengi sio pke ako pole babee😍

    • @irenemangare3598
      @irenemangare3598 2 ปีที่แล้ว

      Esha mimi na mama yako tulikuwa marafiki sana wakati huo mkikaa jitengeni mimi nilikuwa benki mombo

    • @irenemangare3598
      @irenemangare3598 2 ปีที่แล้ว

      Ukitaka kumjua baba yako mimi najua story yote mama yako aliniambia

  • @rukiakhamsin9220
    @rukiakhamsin9220 2 ปีที่แล้ว

    Daah😭😭😭pole sana daa esha ,hata mimi sijui faida ya baba,hata najuta kumjua mana hakuna faida Yoyote au mapenzi Yoyote niliyopata kutoka kwake😭😭😭😭😭kwa kweli usihuzunike kutomjua babako,mamako ni jasiri na alikupenda sana mamako,na ndiyo amekufanya wewe kuwa shujaa mzuri,
    Sema Alhamdulillahi kwa yote unayopitia daa esha

  • @madamboss348
    @madamboss348 2 ปีที่แล้ว

    Zada dadake yokubu team huba🌺🌺

  • @lmashua
    @lmashua 2 ปีที่แล้ว

    Mungu wangu umeniliza sana:(

  • @lailaomat7766
    @lailaomat7766 2 ปีที่แล้ว

    Duh. Nimeskitika sana

  • @yasmine937-so4mi
    @yasmine937-so4mi ปีที่แล้ว

    Poleni mliopitia magumu kwa wazazi wenu

  • @aishamwinyi5048
    @aishamwinyi5048 2 ปีที่แล้ว +1

    Kumbe wazaz wa tanga baazi wana tabia hii hata na mim mama angu yupo km wa esha nimelia sana esha 😭hii story ila ht na mim sjui mama alifanywa nn na baba😭

  • @sofisayed4768
    @sofisayed4768 2 ปีที่แล้ว +5

    Vibaya sana kumsema mamaako kwani shukuru kakuleta dunia mhhh acheni hizo kwenye mitandao

    • @zubedajamuhur6467
      @zubedajamuhur6467 2 ปีที่แล้ว +6

      Jaman Kwan ameongea baya gan hapo kuhusu mama ake

    • @florenceelikana3040
      @florenceelikana3040 2 ปีที่แล้ว +1

      Ndo hapo sasa

    • @hidayaally9977
      @hidayaally9977 2 ปีที่แล้ว +1

      Sikiliza vizuri kabla ya kucomment

    • @sofisayed4768
      @sofisayed4768 2 ปีที่แล้ว +2

      Sasa nishakoment unasemaje

    • @sofisayed4768
      @sofisayed4768 2 ปีที่แล้ว +2

      @@hidayaally9977 Mtu anamsema mamaake nyinyi wapuuzi mnaina sw

  • @ireneapronary2645
    @ireneapronary2645 2 ปีที่แล้ว +3

    Nakupenda sanaaa wewe mdada 😘😘😘🥰

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 2 ปีที่แล้ว

    Pole sn mama esha buhet kwa mapito ulio pithia

  • @zainabuhussein3487
    @zainabuhussein3487 2 ปีที่แล้ว

    Pole dada angu kipenz

  • @yasintamichel7249
    @yasintamichel7249 2 ปีที่แล้ว +7

    Kumbe wengi ambao hatuwajui baba zetu 😪😪

  • @FaridaFarida4
    @FaridaFarida4 23 วันที่ผ่านมา

    Tupo wengi tulio pitia malenzi maabaya kwa mama

  • @sadabahla7120
    @sadabahla7120 2 ปีที่แล้ว

    Daa pole Sana

  • @nadiaabdallahsalim9929
    @nadiaabdallahsalim9929 2 ปีที่แล้ว

    Inaumeza but yote maisha na wazazi wana siri kubwa sana Ndio maana tunatakiwa kuwaeshim sanaaaa

  • @linkishish2057
    @linkishish2057 2 ปีที่แล้ว +2

    Mimi nilikua napigwa na huo wire na mama mzazi wacha tu

  • @abouassifmabrouk8110
    @abouassifmabrouk8110 2 ปีที่แล้ว

    Daah nimelia pole Eshe ndio Dunia ilivo 😭😭😭

  • @stelahgeofrey8330
    @stelahgeofrey8330 2 ปีที่แล้ว

    Love you

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 ปีที่แล้ว

    Alikufundisha maisha saana

  • @aminahmisanya5636
    @aminahmisanya5636 2 ปีที่แล้ว

    Umeniliza

  • @sporahseif8055
    @sporahseif8055 2 ปีที่แล้ว +2

    Me ciujui hata unyayo wa baba au hata hiyo picha yake sijui..na hata sina mda nae

  • @murellemanes
    @murellemanes 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana Aisha

  • @annashishira3249
    @annashishira3249 2 ปีที่แล้ว

    Pole dear

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala9563 2 ปีที่แล้ว +1

    Pole jaman MWe inatia huruma

  • @mariampango1396
    @mariampango1396 2 ปีที่แล้ว

    Pole my lv

  • @mariammilanzi9161
    @mariammilanzi9161 หลายเดือนก่อน

    Ni mim kabisa mama akuwah kunambia baba yupo wap Adi amekufa simjuh

  • @sabrinahm5651
    @sabrinahm5651 2 ปีที่แล้ว

    God bless you swiry🇰🇪

  • @lizzybby2392
    @lizzybby2392 ปีที่แล้ว

    😢😢

  • @azzaalmaamry5817
    @azzaalmaamry5817 2 ปีที่แล้ว

    Pole saana Dada

  • @lindamutasa5752
    @lindamutasa5752 2 ปีที่แล้ว

    Pole sana Ms Buheti

  • @munirashee8932
    @munirashee8932 2 ปีที่แล้ว +1

    Allah ukulinde kwa mazuri na mabaya. It hurts

  • @lilianlukindo6502
    @lilianlukindo6502 2 ปีที่แล้ว

    Dah nimelia dada esha mungu yupo Pamoja nawe

  • @marthajeremiah
    @marthajeremiah 2 ปีที่แล้ว

    Pole

  • @alleoo273
    @alleoo273 2 ปีที่แล้ว

    So sad 😭naisi labda ata alibakwa na baba ake mzazi ndo maana alikua mkali sn kwake bt pole sn

  • @mariageorge4729
    @mariageorge4729 2 ปีที่แล้ว +2

    Pole dada

  • @singidaone5628
    @singidaone5628 2 ปีที่แล้ว +1

    Hii story usiombe ukapatwa tunaijua tuliopitia

  • @tingbatuuka7278
    @tingbatuuka7278 2 ปีที่แล้ว +2

    Moyo UMENIUMA SANA. Naelewa hii situation ni. Mbaya sana na haisahauliki kamwe. Kuwa Treated badly utotoni