Mi mwenyewe sikumbuki ni lini niliambiwa na mumewang nakupenda sikumbuki ninamiaka nae 9 kwenye ndoa ila mi ninampend ingawa napitia kwenye magum mengiiiii😪😢
Acheni umbea fanyeni kilichowaleta pia www umemfahamu Amina kupitia Kiba sasa usijifanye unamjua sana utakumbuka na www diva acha kumfutalia familia za watu eti njoo Amina nyooo yule dada anajielewa sana sio kama ninyi pr
Diva wacha unafik ww unampenda mke wa alikiba kwa lipi? Kama unampenda usingetaka kuivunja ndoa yake na kukaa ukimuongelea alikiba kwa mabaya tangu utoke kwa team kiba. Wacha kuwa mnafik ww jibwa koko
Ibilisi kabisa huyuu kama anampenda kwa nn atake kumgombanisha na mume wake wa halali kama ulikua umelalwa Kwa nn usikae kimya tuu kama amina angekua nimtu wa kukurupuka c ndoa ingekua imeishia pale malaya sugu huyu dada
Mm nashkuru kila leo bwanangu ananiambia i love you zaidi ya mara 5 kwa siku,nashkuru kwa hilo,sisemi ambao hawaambiani au hawaambiwi hawapendani la,ni neno zuri linafurahisha na linatia moyo zaidi.
Ila we dada umezingua sana alafu nyie watangazaji ovyo kbsa yan baada ya kuona kimeumana ndo mnamuitia interview siku hiyo hiyo si mngemuacha baada ya wiki ona sasa ajakwambia ulichokua unakitaka
Eti Amina karibu Wachafuuu acha kihere kihere we ni nani sasa hata usipompenda
Buheti kama innocent girl I like her 🥰
Uyu dd kichefu chefu sana diva Mnafiki sana
Mi mwenyewe sikumbuki ni lini niliambiwa na mumewang nakupenda sikumbuki ninamiaka nae 9 kwenye ndoa ila mi ninampend ingawa napitia kwenye magum mengiiiii😪😢
😢😢Pole mpenz
Pole dear wengine cjui niseme washamba anakupenda anashindwa kukwambia, me namshukuru mungu naimbiwa kila siku nakupenda mkewangu tunamiaka 11
Poleee
@@khadijahilal3016 hongera
Poleee
ila diva fisadi sana mnafiki kweli kweli duu
Kipindi chake kuna muda maneno yaugombanishi yamejaa kusema watu
Mashalla
Esha Buheti nampendaga kweli
Acheni umbea fanyeni kilichowaleta pia www umemfahamu Amina kupitia Kiba sasa usijifanye unamjua sana utakumbuka na www diva acha kumfutalia familia za watu eti njoo Amina nyooo yule dada anajielewa sana sio kama ninyi pr
Life
Diva wacha unafik ww unampenda mke wa alikiba kwa lipi? Kama unampenda usingetaka kuivunja ndoa yake na kukaa ukimuongelea alikiba kwa mabaya tangu utoke kwa team kiba. Wacha kuwa mnafik ww jibwa koko
Chizi huyu
Tena jibwa mala kumi ajielewi kabisa
@@happykisite3990 Huyu Sio Binadamu Ni Jibwa Fisi Kabisa. Aty anampenda amina kisha hana hata aibu
Ibilisi kabisa huyuu kama anampenda kwa nn atake kumgombanisha na mume wake wa halali kama ulikua umelalwa Kwa nn usikae kimya tuu kama amina angekua nimtu wa kukurupuka c ndoa ingekua imeishia pale malaya sugu huyu dada
@@fatumaseleman5700 Huyu ni jibwa kobe sana
Mpende usimpende ni yeye na maisha yake,
huyu nguchiro tangu aachwe anapenda kujiliwaza kwa kumzungumzia kiba na familia yake
Mm nashkuru kila leo bwanangu ananiambia i love you zaidi ya mara 5 kwa siku,nashkuru kwa hilo,sisemi ambao hawaambiani au hawaambiwi hawapendani la,ni neno zuri linafurahisha na linatia moyo zaidi.
Diva pumbavu sana kigagula
Media zetu bana nyingi hazijengi ni udaku mwingi nakusaka attention
Diva Mnafki sana kama aly angekukata kumbi uko tu unamuuza Amina umuko aitaji upendo wako madam 🕷️🕸️
Tuokoe MB jamn huyu dada hamna k2 😄😄😄
Dada bure huyu nilikuwa namuona wamaana kumbe hamna kitu
😂😂😂
Hata usipompenda ww diva hatopungukiwa,
Diva umbwa t 🤣🤣 uzungu who? Uzungu where? Maninaa
Hata mimi sikumbuki
SHE IS ALWAYS SNITCHING! THE WORSE EMPLOYEE EVER SIGNED BY DIAMOND!!
She annoys me
a good pretender
She is doing her job bhana
Kumpenda mtu sy maneno ni vitendo
Kweli kabisa,maneno ni dhiada tu
Mnaongelea King kama nani?
Ila we dada umezingua sana alafu nyie watangazaji ovyo kbsa yan baada ya kuona kimeumana ndo mnamuitia interview siku hiyo hiyo si mngemuacha baada ya wiki ona sasa ajakwambia ulichokua unakitaka
Hesha buhet anaelekea anadeka saana yu onekana kabisah
Unafki tu😏😏😏😏😏
Yaani buheta wanichekesha
Kigagula vipi ww na familia ya kiba
Et nimwambie mume Wang nakupnd mh atakwmbia ume elewa 🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahaha
Umelewa?
Wangu atajua nmepoteza cm 😄😄😄
Wangu ata pata kigugumizi😂😂😂
@@ashaponda9038 vichekesho hivi 😂😂😂😂
Hamnamo kitu huyu dada
Kigagula una maswali ya kijinga kwani unataka watu waachane
Wanafiki
Switching SIDES damn snitch