Jenga Msingi Wa Kujiamini Kwa Njia Hizi 7
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 ส.ค. 2024
- Jenga Msingi Wa Kujiamini Na Njia Hizi 7
.
ILI KUPATA "EXCLUSSIVE CONTENTS", MASOMO YA ZIADA
YASIYOKUWEPO HAPA TH-cam, MASWALI NA MAJIBU
Subscribe katika Channel yetu kwenye WhatsApp:
Hapa: whatsapp.com/c...
.
NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
WhatsApp: wa.me/255759191076
Bei ya punguzo: 20,000 TZS tu.
.
NUNUA VITABU:
Click hapa uje whatsapp moja kwa moja kisha andika neno VITABU
WHATSAPP: wa.me/255759191076
.
OUR SPONSOR’S DETAILS:
Al-Rahmah Schools
Location: Mkuranga
Phone: 0673-52-66-44
IG: / alrahmahschools
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
chat.whatsapp.....
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent | Content Entrepreneur | Speaker
Instagram: / ezdenjumanne
Twitter: / ezdenjumanne
Facebook: / ezdenjumanne
WhatsApp: wa.me/255759191076
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @jewajua5506
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ voiceovertanzania
.
KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
- Kutengenezewa tangazo zuri
Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
CALLS: (+255) 759 191 076
WHATSAPP: wa.me/255759191076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
#Kuanza #Kujiamini #Ezden
Jifahamu,..jiongeze thamani,..pata motisha kwa WATU wa karibu,...jifunze kwa wanaojiamini,...jiambie maneno chanya,...tupia mavazi mazuri,...usikae kinyonge
Mashallah, hakika ezden nikisikiliza ninapata Imani kuwa nimepiga hatua kubwa kabisa.
Shukran 🙏
Iko vizuri sanaaa nitaifanyia Kazi Shukran
Kaka asantee nimejifunza mengi sana kupitia mafunzo yako na naona mabadiliko sahv🙏
Jiambie maneno mazuri kila uamkapo alfajiri. 2. Usikae kinyonge,Usitafute kuhurumiwa, Jionyeshe kuwa U shujaa. Asante kwa elimu isiyopatikana darasani.
Good point
thanks brother nimepata kitu
Bro yani tangia nianze kuku fuatiria asaivi nimejifunza mengi sana mpaka sasa nimekua mtu tofaut na yule wa awali nilikua nachukia ovyo ovyo asante sana kaka asaivi namim natumia vdeos zako kuaelimisha wenzangu ❤❤
wow nmependa kak najiamini sasa
Hakika kaka ezden jumanne nimejifunza vingi sana moja wapo usikae kinyonge mungu akupe maarifa zaid na zaid tuzidi kujifunza kupitia kwako👊🙏
Karibu Sana, ni furaha yangu kujua umejifunza jambo
I like that kipaji chako sio cha kwako bali ni cha wengine❤.
Kaka nakubali sana mafunzo yako mazuri mnoo santee
Mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla
Kukaa kishujaa hii IMEENDA 👏🔥💯
Wewe ni master sana..😊😊 Unatoa points za kueleweka sana Mshua
Aisee unanifunguaga Sana akili kaka Mungu akubariki naipenda Sana channel hii mnajua 🤝
barikiwa sana kaka ezden najifunza mengi
Shukulan kaka nimekuelewa San 👍👍
I will add two, and this thing works on me, sijui kwa wengine. "Help others, specifically the things watu wameshindwa yaani ukifanya then ukafanikiwa on that 😂 kuna some confidence inakuingia.
2: Exercise, especially the early morning ones bro that really works
ASANTENI SANA KWA KUTUELIMISHA.
Yaan kakaapo kwenye mavaz kama naona sijapendeza najiskia vbya sana afu sijiamin
Big up bro
Bongera pindi kiongozi
Eeh we ni zaidi ya mwalimu.. hapo pa kuvaa nakubali kabisa asilimia zote..
true
usikae kinyonge, ustie huruma iyo nimeipenda kaa kishujaa
nimekupata kaka hakuna kukaa kinyonge nivema kujiamini😁👍
Sawa ezden jumanne
Brother kujiamin nimoja yamsng mkubwa sana katka mafanikio yoyote, but moja katk kitu chamuhim san kila mmoj wetu anapaswa kukijua nikwamba kujiamin kunatokana na knowledge (maalifa), ukiwa namaalifa katk jambo lolote actually utakua na confidence yakulielezea jamabo lako nahata kuchukua hatua (taking action) yajambo hilo,..
Lakin vijana wengi tunashndwa kujiamin kwakukosa maalifa yavitu tunavyotaka kuvielezea au kuvichukulia hatua, nahatimaye tunajijengea hali yakutokujiamin nahali yakuogopa kuchukua hatua(PROCRASTINATION)
Personally i recommend to youth to read books alot ili kuongeza hali yakujiamin.
But also i recommend youth to read biography of success people, because reading biography of success peoples teaching us theory into practical.
Unawez kuwa na ushauri mzur ila ukashindw kuutoa kw kukosa kujiamn
Nimekukubali
Saw eden jumanne
Usikae kinyonge kaa kishujaa