Najifunza mengi kupitia mafundisho yako baba,nimeimarika sana,kila mara unatufundisha kumpa Mungu nafasi ya kwanza na wewe umekuwa mfano wa kuigwa katika hili.
Hili ghala la Chakula Cha Uzima limesheheni Misingi ya Mafundisho ya Maneno ya Uzima, Kanisa liko Moshono Arusha Tanzania Kanisa linaitwa Nyumba ya Agano kwa Mataifa Yote.
Mafundisho ni mazuri kwa ujumla wake. Mungu akubariki!!
Najifunza mengi kupitia mafundisho yako baba,nimeimarika sana,kila mara unatufundisha kumpa Mungu nafasi ya kwanza na wewe umekuwa mfano wa kuigwa katika hili.
powerful
Hakika nyumba ya agano neno lamungu Lina fundishwa kweli kwe hakika nyumba ya agano nichuo kikuu
Hili ghala la Chakula Cha Uzima limesheheni Misingi ya Mafundisho ya Maneno ya Uzima, Kanisa liko Moshono Arusha Tanzania Kanisa linaitwa Nyumba ya Agano kwa Mataifa Yote.