MUNGU akutie nguvu nyingi pastor David Mmbaga. Watu wengi wanapotea kwa kukosa maarifa ukianza na Mimi. Lakini kulingana na mbaraka wa somo lako, sasa natambua ya kuwa ni makusudi ya aliyeniumba (MUNGU), Kuwepo katika ulimwengu huu. Mchungaji naomba uwe kuhani wangu kwa MUNGU, ili ndoto yangu itimie, na ndoto yangu ni kufanya kazi ya Mungu. Kwani Mimi nimebatizwa miaka miwili iliyopita, na kabla ya hapo nilikuwa sina sehemu ya kusali wala sikujua kanisa ni nini, lakini cha kushangaza nilipenda kuwa kama wahubiri wa neno la Mungu, kama ninavyopenda kuwa kama wewe Mchungaji Mmbaga.(Napenda kuhubiri,hivyo basi, namuomba MUNGU aniwezeshe, kwani peke yangu sitaweza.MUNGU Fanya jambo kwa ajiri yangu kwa kuwa wewe ndiwe unayeyaweza yote, pia ukabariki ombi la Mchungaji Mmbaga na ukasikie ombi atakaloomba kwa ajili ya watu wote na Mimi nikiwemo.Mchungaji David A Mmbaga,MUNGU akubariki, na aendelee kukutumia katika kazi yake, ili sote kwa pamoja tupate kuishi milele pamoja na Mfalme wa wafalme yaani YESU KRISTO, BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU Amina.
Pastor ubarikiwe sana umenikumbusha mbali sana kuna muda hata waliojidai kukupenda sana na kukukataa bila kujua unapitia nini kwa wakati huo utabaki na wazazi na ndugu zako wa karibu tu ndo watakuelewa barikiwa sana mchungaji
Unanibariki sana mtumishi yaani nikisikiliza naelewa zaidi neno la Mungu kila siku namic kukusiliza nakua na kui natafuta votcher kwa nguvu ili nikusie nifurahi
Ubarikiwe Pastor kwa mafunuo haya, ingekuwa ni shauri langu.. Ungekuwa mchungaji, mwinjilist Daily... Kwa kweli Mungu wa mbinguni akupe tuu baraka za afyaaaa na ulinzi
Hapana wewe pastor ndani yako kuna Mungu bwana tena anakaa kwako siku zote anaishi ndani yako hata sijui nikwambie nini ila nakwambia ukweli Mungu yupo ndani yako
Wewe Una Mungu au miungu hapo penyewe kila mwaka unaenda Kwa waganga kuomba msaada maana roho mtakatifu moyoni mwako huna na kule Kwa waganga utakuta kile kitabu chako unachokiamini
Nimebarikiwa San, ila huwa zinakata kabla yakuomba nataman sana ila cjawahi kubahatika ukaomba mpak mwisho, Mungu nimwema IPO cku., Barikiwa sana mchungaji
pia niko burundi ,pia mumi nimeanza na huu mwaka unapita kuingia na kanisa la wa sabato nikusema kama mimi ni jakomaa sana kwa kanisa la wa sabato ila nimelipenda saaaana nikaamuwa kushiriki kwa kanisa hii
MUNGU akutie nguvu nyingi pastor David Mmbaga. Watu wengi wanapotea kwa kukosa maarifa ukianza na Mimi. Lakini kulingana na mbaraka wa somo lako, sasa natambua ya kuwa ni makusudi ya aliyeniumba (MUNGU), Kuwepo katika ulimwengu huu. Mchungaji naomba uwe kuhani wangu kwa MUNGU, ili ndoto yangu itimie, na ndoto yangu ni kufanya kazi ya Mungu. Kwani Mimi nimebatizwa miaka miwili iliyopita, na kabla ya hapo nilikuwa sina sehemu ya kusali wala sikujua kanisa ni nini, lakini cha kushangaza nilipenda kuwa kama wahubiri wa neno la Mungu, kama ninavyopenda kuwa kama wewe Mchungaji Mmbaga.(Napenda kuhubiri,hivyo basi, namuomba MUNGU aniwezeshe, kwani peke yangu sitaweza.MUNGU Fanya jambo kwa ajiri yangu kwa kuwa wewe ndiwe unayeyaweza yote, pia ukabariki ombi la Mchungaji Mmbaga na ukasikie ombi atakaloomba kwa ajili ya watu wote na Mimi nikiwemo.Mchungaji David A Mmbaga,MUNGU akubariki, na aendelee kukutumia katika kazi yake, ili sote kwa pamoja tupate kuishi milele pamoja na Mfalme wa wafalme yaani YESU KRISTO, BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU Amina.
Nabarikiwa sana 👏👏 nimelielewa muondoeni mkamuue inje y madhabu
Hareluya pastor kwa ujumbe mzuri nimeelewa kuwa sikuzaliwa Kwa bahati mbaya hata nipitie magumu kiasi gani sikuzaliwa Kwa bahati mbaya
I really enjoyed this sermons poster may God bless you I’m fasting so i was listening to the sermons who is here with me 2019
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu endelea kutupa gombo la chuo haleluya
Aiseee Mmmmmm sawa sawa, nihatar nimebarikiwa sana.mora akujalie maisha marefu akujalie hekima amani na busara.
Mimi napenda sana Mungu aliye ndani yako. NIMWAMINIFU SANA. MIMI SI MSABATO LAKINI MFUASI WA YESU KRISTO ALIYE NDANI YAKO.
Nabarikiwa sana mtumishi ni kweli kabisa usemavyo,!!
Amina Mtumishi nimepata kitu kwa ujumbe huu natamani sana kujuwa kwa nn nimezaliwa ubarike sana
amina mchungaji mmbaga ww unaongea ukweli sana mungu akulinde kwa kazi unayo Fanya kwa kuwaelemisha watu wenye mioyo migumu balikiwa sana
Barikiwa mchungaji
Yes Pastor! We are waiting you in ukonga
AMEN......asante sana mchungaji
2020 Still watching you pastor God bless you
Wow natamani kusikia neno la Mungu zaidi na zaidi maana ni matamu eee Mungu nisaidie nijue kwanini nimezaliwa
Nimejifunza somo zuri sana tena Kwa uchungu mkubwa,kumbe sikuzaliwa kwa bahati mbaya
Ahsante PR.
Barikiwa pr.
Pastor ubarikiwe sana umenikumbusha mbali sana kuna muda hata waliojidai kukupenda sana na kukukataa bila kujua unapitia nini kwa wakati huo utabaki na wazazi na ndugu zako wa karibu tu ndo watakuelewa barikiwa sana mchungaji
ubarikiwe sana mchungaji
May GOD BLESS YOU you have really blessed my life .
Mtumishi wa Mungu,ubrikiwe saana
Mchungaji napenda sana mahubiri yako, nabarikiwa sana
Really powerful 🙏🏻❤️
amina sana mchungaji napenda sana huduma yako natamani siku mmoja nikuone
Unanibariki sana mtumishi yaani nikisikiliza naelewa zaidi neno la Mungu kila siku namic kukusiliza nakua na kui natafuta votcher kwa nguvu ili nikusie nifurahi
Barikiwa sana pastor mbaga
Mungu wa mbinguni akutie nguvu katika utumishi wako!
Amen Yesu apewe sifa,barikiwa mchungaji
Mchungaji kuna mambo unaweza pitia hadi unaanza kujitia mbona nikazaliwa kwenye dunia ya tabu.
Ubarikiwe Pastor kwa mafunuo haya, ingekuwa ni shauri langu.. Ungekuwa mchungaji, mwinjilist Daily... Kwa kweli Mungu wa mbinguni akupe tuu baraka za afyaaaa na ulinzi
Mungu uwasikikia wanaomwabudu Kwa roho na kweli
Amina ubarikiwe san Mchungaji
Amen Barikiwa
MUNGU ambariki sana pastor MMBAGA
Hapana wewe pastor ndani yako kuna Mungu bwana tena anakaa kwako siku zote anaishi ndani yako hata sijui nikwambie nini ila nakwambia ukweli Mungu yupo ndani yako
Watu wenye Shida moja wanaongea lugha moja
Watu wenye shida inayofanana wanaongea lugha moja
Maombi ya kunitoa machozi tumepitia magumu lakini kwa Jina la Yesu tuko na huai,barikiwa pastor Amina
Tabia za manoa bado ziko ni majina tuu ndio walibadilisha🤣🤣🤣🤣🤣
NAFUATILIA KUTOKA NAIROBI KENYA, INJILI SAFI INAONDOA ROHO MBAYA YA UDINI
Mungu aendelee kukutumia
Ameeeeeen saaaana.
Nmebarkiwaa sana
Nahitaji maombi juu ya mzee wangu anasikia mgonjwa lakini sipitali akienda ugonjwa haupatikani Lakin anasikia tu mgonjwa am from kenya
Mungu akubariki,tunamuombea
Wow
Eenyi mulio laaniwa namungu ..token makanisani kwamashetan. Huko kuna mashtan....shetan Ataendelea kuwabaka wanawake nawanaume ucku siku zote wasio msujudia mungu. .Pole wakirsto kwakubakwa nashetan
Wewe Una Mungu au miungu hapo penyewe kila mwaka unaenda Kwa waganga kuomba msaada maana roho mtakatifu moyoni mwako huna na kule Kwa waganga utakuta kile kitabu chako unachokiamini
Muchungaji injili nitamu nasikia niko mbinguni
Napenda sana kusikiliza mahubiri haya maana yanatia msisimko wa kumuangukia Mungu miguuni kwa maombi
I
U have really changed my life
Amen
Miaka mingi Haina maana but umefanya Nini miaka iyo yote???? PST barikiwa
amen
Ninapenda sana haya mahubiri pastor. Asante sana
What a great revelation. God bless u abundantly pst
Amen mchungaji, Mungu mwema sana
Nitapata kitabu chako pastor
AMINA PASTOR MMBAGA UNANIBARIKI SANA NA MAHUBIRI YAKO,BARIKIWA SANA
Mtumishi Mungu hakubariki
mchungaji mmbaga umekuwa mbaraka mkubwa sana kwangu Mungu anisaidie niyaishi maisha ya kusudi lake mimi kuwepo hapa Duniani.
Asante sana muchungaji najisikia rohoni mwangu nimeshafishwa
Blessed pastor
Asante Niko Uganda
jina la bwana libarikiwe
Kuna wakati naogopa kukusikiliza yaani naona kama ni Mungu ndio anaongea
Amina
Mchngj Mimi naitwa Gerome ila uyo uliyemsema Jelome historia yake kwa ufupi ilikuwaje au yeye alikuwa nani
Aaaamen
Nazidi kubarikiwa
mchunguji umenitoa chozi langu yaani nikama unaniambia mimi (unanikumbusha mengi)
Mtumishi naomba No yako ya simu tafadhali
Amen
0764600129
Asante sana Mtumishi
namwomba sana Mungu anionyeshe kusudi lake kwangu nmebarikiwa Sana mtumishi barikiwa mno
Nimebarikiwa San, ila huwa zinakata kabla yakuomba nataman sana ila cjawahi kubahatika ukaomba mpak mwisho, Mungu nimwema IPO cku., Barikiwa sana mchungaji
Mchungaji afundisho yameni okoa sana hasa kuhusu upendo katika ndo sio kitu chamuhimu sana cha muhimu ni hekima na busara
Baba umenibariki nakunijenga zaidi
Maana wengine bila uyu yesu maisha yangekua ni bure ubarikiwe
amina
Mtumishi namba zako tutapataje
0764600129 No yake Mch
kaliwabu yehosheba asante saana je namba hiyo ni ya whatsapp ??? mimi niko Burundi yaani nahitaji kupata namba ya whatsapp ya mcungaje huo
pia niko burundi ,pia mumi nimeanza na huu mwaka unapita kuingia na kanisa la wa sabato nikusema kama mimi ni jakomaa sana kwa kanisa la wa sabato ila nimelipenda saaaana nikaamuwa kushiriki kwa kanisa hii
jina la bwana lipewe sifa
Samahan mpendwa tafuta tofauti kat ya Bwana na bwana
injili isonge mbele jina la bwana lihimidiwe
Mchungaji hakika nina neemeka na mafundisho yako ya kisabato ,mm rc lkn
amina......... MUNGU akuongoze ktk kuifaham kwel yake na kuishi ktk kwel........ NAKUOMBEA Elisha Joseph
Elia not Elisha
Amen
Jamani MBAGA, AMINA SANA.
Amen