Tibu(Zibiti) mafua makali kwa dawa ya alovera na pilipili ya unga kwa njia asilia.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- #mifugoonline #MAFUAMAKALI #Subscribe
Unaweza kutibu mafua kwa njia yenye gharama nafuu kabisa pia yenye uwakika bila kutengeneza madhara yoyote kwa kuku kwa kutumia njia asilia ya ALOVERA NA PILIPILI YA UNGA
Asante sana barikiwa
Bata unaweza kuwap muaruvel
Jee ni lazima nitumie pilipili ya unga ? Niwape wanapoumwa au hata kama hawaumwi ili kuwakinga?
Hebu ongea haraka acha kuvuta maneno kama aubas
Yani anavuta maneno sana
Je naweza kutumia dawa za hospital pamoja na hio.
Maana mafua yamewazidi sana vifaranga wangu mpaka naogopa. Wapo kwenye dozi ya tylodox leo siku ya pili lakini sio unafuu wowote.
Je kiki wa nyama inafaaa