MNAFIKI ATAKAPO KUJIA NA SURA HII JIHADHARI NAE! Utasikia eti wanajiita 'Narcissist''! Just RUN away
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ต.ค. 2024
- Usijilaumu sana kwa kuvurugwa na mtu mzima baligh 3akil kabisa, hao wana makusudi na wanajua nini wanafanya. Mtu anaeacha yake na kukusoma wewe ili akuharibie maisha yako, ndo iwe furaha yake, usijiumize kujiuliza ulikosea wapi? Jifunze songa mbele na mhukumie Mungu, mana dua ya anaedhulumiwa hairudi.
MZIGO MPYA UMEFIKA DUKANI ❤️🔥❤️🔥❤️🔥
Madera pambe ya cotton, hayachuji wala hayana joto. Mizigo tunatuma kwa gharama ya mteja.
Madera ya mikono mifupi yapo kwa
sizes zote: S, M, L, XL
Bei: 20,000 Tsh
Madera tunatuma kote kwa gharama ya mteja.
Vyombo vya kukodi cya shughulini viko kama kawaida Karibuni wote. Kwa mahitaji ya shughuli zako zote karibu tukuhudumie, vyombo aina zote vipo wewe tu. Madera yapo
🔊Duka namba 9,
📍Chini ya ZSSF Kariakoo Hall
📞 065 853 4225
📞 +255 778 098 999
@sabzaccessoriez @sabzaccessoriez
HUYU MAMA ANAONEKANA KAUMIZWA SANA NA WATU ALIOKULANAO KWA WEMA HATA KAMA NAYEYE ANACHANGAMOTO ZAKE LAKINI HANA ROHO MBAYA BALI WEMA MWINGI UMEMVURUGIA VINGI ILA NAONA NI MJANJA MCHAKARIKAJI NA NI NILIZRI HASA HIVYO HAWEZI SHUKA NA WALIOMFANYIA UNAFKI NDIO WATAUMBUKA INSHAALLAH
Nyamaza wew humjui huyo Hana lolote huyoo
Haa huyu mundu kampa NEMA mibili ITAKUWA ndizi zinazonfanya ahusudiwe kwa nema hizo ana akili nyingi sana pia ana umpo masllah
Asante Sabra kila ujumbe ni somo 🤝
Nakupenda sana hbbtyyyyyy❤
Hakuna mtu ambaye hana unafiki duniani, sema tu viwango vnazidiana, we mwenyew unayeongea ni mnafik pia, sisi hatukujui ila watu wa karibu ndo wanakujua
Kuna watu ambao amewarushia dongo hilo , kama huusiki angalia video jikalie kimyaaa .
Wahusika wameelewa .
Na stres pia unazo dada. Sio kujituma mitandaon ivo. Mshukur Allah mazal hulali na njaa bassiii.
Hakika madam sabraa👌👌hujawah sema uongo
Aliekuwa hajawahi kusema uongo ni mtume wa allah
Mwanamke yyt mwenye heshima zake hawezi kujianika mitandaoni km huyu
Wallaahi..elimu anayo ila hana hekma.Hana haya sijui akili yake imeruka..Allaah amsahalishie sababu anaongea sana.
Toa stress mama kufukuzwa kazi c masihara
🤣
❤❤❤❤
Naomba namba yako pliiiiiiiiz!
Hbbty deraaaaaa wapi nije nitazipataaaaaaa
wewe piga tarabu tu usiingize aya kwa kuchamba watu mtihani shukuriya mungu riziki yako imekwisha na kama bado itabaki usiaibike
ILA WE MAMA UN VICHEKESHO JAMANI UNGEFANYA NA COMEDY🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
Sasa utajuaje? ilhali ndo hivyo kajivika wema?
Kujua ni badae kweli kabisa
Mwenyezi Mungu akiamua anakujulisha katika Hali ambao hata haukujiandaa nayo Tena inakuwa udhariri kwake
@@hadijamandanje6189naam sahihi kabisa
@@hadijamandanje6189 ni sawa kama utajaaliwa hivyo